Tabia ya mkwere ya kupenda kuyaongea mamboyake hadharani yamfikisha pabaya baada ya kugundulika kuwa anamtumia mpezi wa Sumaku kama njia ya kujipatia kipato.
Mie now mtu akija namwambia nahitaji mwanaume wa kunisaidia.Mmoja alifata akajua dem akiwa nje ndio atatoboa ikifika mwisho wa mwezi yy n shida tu nashukuru mungu hajui mwili wangu wala hela yangu nikaona huu mzigo baba pumzika tu acha nimlee mwanangu staki mahusiano
duuuuh ama kweli mapenz maumivu....hususani pale unapotanguliza maslahi ya kitu kuliko utu, ..kwa namna hii tunaweza kuyagawa mapenz ktka makundi, ya dhati na batili. Yapasa tuwe wakweli kwa tunaowapenda au wanaotupenda, usaliti sio dili.
wanaume kama hawa wapo sana tu nawanawake kama hawa wapo
hawajamaa wakovizuri sana nawakubari sana
Jamani mnanifrahisha mno ktk michezo yenu, kiukweri mko vizuri sana.
Haya mapenzi siyawezi kabisaa 😂😂😂
Awa jamaa bna!..😅
Mwenyewe Nataka kupewa leo nionge Mwanaume pukaaaa....Yn nidange Ili nionge usenge uwoooo
Hiii nyumbaa mnaipenda sana ila hii clip ina fundisho sana
Haahaaa😀😀😀Marioo hata kubembeleza hajui
Mie now mtu akija namwambia nahitaji mwanaume wa kunisaidia.Mmoja alifata akajua dem akiwa nje ndio atatoboa ikifika mwisho wa mwezi yy n shida tu nashukuru mungu hajui mwili wangu wala hela yangu nikaona huu mzigo baba pumzika tu acha nimlee mwanangu staki mahusiano
Napenda sana hii michezo
hayabwna enziza za jk
Kwahiyo kila mmoja na mnyonge wake
duuuuh ama kweli mapenz maumivu....hususani pale unapotanguliza maslahi ya kitu kuliko utu, ..kwa namna hii tunaweza kuyagawa mapenz ktka makundi, ya dhati na batili. Yapasa tuwe wakweli kwa tunaowapenda au wanaotupenda, usaliti sio dili.
nikweli sana 🇨🇩💯🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
uwiiii uko kupenda balaa
Niambie Wangu 💖
😅😅😅😅😅eti mpenzi wngu shikamoo
hahaha 😂😂wanajitahidi sana hawa kuchekesha..
mubasharrrrraaaaa😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌👈👈😍
nawapenda sana jomon
Dah hawa jamaa hawajawahi niangusha
Hawa jamaa wanajua sana
Hahahahahahahaha jamaa wako vzr!!!!
Gamers guide
Haaaaahaaaahaaahaahaaaahaaa
Nimefurai sana
njoo ule kuku , hahaahahaaaaaaaa
Muwe mnabadilishaa hata location Sio kila sk nyumba moja tuuu???
Ubauhakika kila siku nyumba moja tuuu??
Sasa waje kwako??
Eti nashindia maji tu leo
Iko vizur
😀😀😀😀🔥🔥
Mariooo😀
Mfukuze huyo mwanaume anakutumia ni tapeli
Maringo saba yuko vizuri sana
♡
Watu wa vitonga
Nc
nis
sif zimemponza walah 😂😂😂😂
Neema himemlevya hahaha
movie nzuri ila mjitaidi kwa sauti nindogo snaa
uchumba
Huyu simu yake mbovu
Cm yako mbovu wewe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nishidaa
😁😁😁😁
malingo unani cheksha
Ok
financial women
Zamwizi 40
Huyo mwanamke anaboa hicho kiswahili chake
😁😁😁😁😁
Wanawake km hqwa walikuwa 1945
duuuu
pamoja
😁😁😁😁😁😁😁😁
chuga B !!
mm
😃😆😆😃😃😃😆
Haaaa haaaa haaaa
😅😅😅😅
hivi huyu nimkongo kweli au
ni mpare
Mkongo wp uyoo mzarom wa mkamba
😆😆😆😆😆😄
Kiswahili hakijalishi
fatama all
Haya mapenzi siyawezi kabisaa 😂😂😂
Nasraty Aqram mnatish san
Bado hujapenda...