Huyo ni mwamba from Wagadugu Aziz ki ndo mchezaji mwenye paja kubwa🤣🤣🤣 nishaifungua code hiyo kazi kwenu kufatilia anamkula dada yetu wawapi au ndo Hamisa Mobetto
Uyo chama ndo ali ambiwa na baba yake endepo itatokea ofa ina takiwa acheze simba yanga hawez cheza ata kwa dawa nando mana hawana papala zaku msajili kwa sasa mana wana jua mda wowote lazma ata sain
Chama ana mke mzee baada ya mke wake kufariki haikuchukuwa muda akaoa mke mwingine wa kwao Zambia huko ndo anaemlelea watoto mzee huyo wanaemsema hapo ni Aziz ki
Azizi hatakuwa bwege akibaki hapa kwanza pesa mtoto yupo tu na mtoto anataka pesa na gharama yanga hawana pesa ndio kwanza wachangishe kwa wanachama njaa nenda baba mpira mchezo wa muda tu
Momo ujaelewa swaliii ni kwamba uyo JR ni wa muziki au Mpiraaa? Mana mama JR mwenyew yule Jr mwingine mpka leo hatuelewi elewi mdogo wako nae kakaa kimya t momo 😂😂
Nina wasiwasi jamaa wanakusnya ela kiakili tu ila Aziz alishaongza mkataba kwann watamke hadharani kuwa hajaongeza mkataba sio kiulahs hvyo wew kna namna wanaksany pesa ili 2sishnglie tu tuwe 2nachangia na chochte k2
@@husseinmagessa7721Sasa kutangaza ni vibaya? Ulitaka waseme washampa mkataba ili hali hawajampa hivi unajuwa kuwa kwenye huo mkataba wa Aziz ki atakao saini lazima serikali ijuwe na hata kodi inapanda kutoka ile ya mwanzo kutokana na malipo ya ke atakayopewa kwa sasa kwa sababu lazima mshahara utakuwa umepanda Sasa wafiche kitu gani?
Huyo ni mwamba from Wagadugu Aziz ki ndo mchezaji mwenye paja kubwa🤣🤣🤣 nishaifungua code hiyo kazi kwenu kufatilia anamkula dada yetu wawapi au ndo Hamisa Mobetto
Oya kak😂😂😂 uyo Azizi ki Kampa Mimba mobeto 😂😅😅
Iyo camera 📷📷 kiboko🙌🙌
Kama ndivyo hivyo,akioa kanisa huyo binti yetu,kama yeye mwenyewe kama atakuwa radhi,tumpe na uraia,akipige hapa kwetu.
Makolo mbn hampendi Azizi abaki yanga😂😂😂😂😂😂
😁🐸🐸😁
Hamisa mobeto ndo wakumpa faraja ili abaki
Furaha ya azizi ki nikuwa mfungaji Bora
Nawakubali Sana wasafi
Wachambuzi wa wasafi mashabiki wa Uto wanajipa hope
Momo unazunguka sasaaa
Jamaaa anaenda kuitwa baba hapa Tanzania
🎉mobeto oyooooo kamfanya k apaki yangaaa
Ni Vanessa 😂
Wasaf❤❤❤❤❤❤❤❤
Liongo tu hiliiii lilisema KIBU anaondoka Kiko wapi??
Ww kolo siyo mwananchi
Ki Aziz
Uyo chama ndo ali ambiwa na baba yake endepo itatokea ofa ina takiwa acheze simba yanga hawez cheza ata kwa dawa nando mana hawana papala zaku msajili kwa sasa mana wana jua mda wowote lazma ata sain
Chama ana mke mzee baada ya mke wake kufariki haikuchukuwa muda akaoa mke mwingine wa kwao Zambia huko ndo anaemlelea watoto mzee huyo wanaemsema hapo ni Aziz ki
Azizi hatakuwa bwege akibaki hapa kwanza pesa mtoto yupo tu na mtoto anataka pesa na gharama yanga hawana pesa ndio kwanza wachangishe kwa wanachama njaa nenda baba mpira mchezo wa muda tu
Wew ndo bwege unaepanga maisha yamwenzio.
Simba ana pesa ndy maan ana sajili wazeee
TABORA Atuwapati kwenye radio station uku jamani
Eti big up kwa aliyepanga mipango ya mbinu,inabidi apewe mshahara mkubwa😂😂😂.
Viongozi husika wanaakili nyingi sana ya kumbadilisha mtu mawazo yake
bb uyo mwenye mtoto ni msanii au ni mtu tu wakawaida
Yanga
Nyie yanga huwa mwasema cmba bila chama haiendi mbona nyie kuondoka kwa Aziz k mna wacwac
Tushajua
Momo ujaelewa swaliii ni kwamba uyo JR ni wa muziki au Mpiraaa? Mana mama JR mwenyew yule Jr mwingine mpka leo hatuelewi elewi mdogo wako nae kakaa kimya t momo 😂😂
Mimi Ni Yanga Damu but sioni chance ya Ki Aziz kubaki yanga😢
aziz keshasain yanga
Nina wasiwasi jamaa wanakusnya ela kiakili tu ila Aziz alishaongza mkataba kwann watamke hadharani kuwa hajaongeza mkataba sio kiulahs hvyo wew kna namna wanaksany pesa ili 2sishnglie tu tuwe 2nachangia na chochte k2
@@husseinmagessa7721 point yako nimeipata
@@husseinmagessa7721Sasa kutangaza ni vibaya?
Ulitaka waseme washampa mkataba ili hali hawajampa hivi unajuwa kuwa kwenye huo mkataba wa Aziz ki atakao saini lazima serikali ijuwe na hata kodi inapanda kutoka ile ya mwanzo kutokana na malipo ya ke atakayopewa kwa sasa kwa sababu lazima mshahara utakuwa umepanda
Sasa wafiche kitu gani?
Unataka abaki Mara ngapi mkuu, Azixi yupo, watu wanaandaa namna ya kuitangaza usajili wake kibiashara Yanga ipate Hela kupitia usajili wake
hahaha yaani ki azizi ana mtoto binti mkubwa tu sasa nashangaa mnapotosha ok ngoja tuone 😂😂😂😂
Mi mwenyw nashangaaa😂😂
Kuna demu wake ana mimba Na ni mwigizaj muwe mnafatilia kidg
Aya makolo ngoja tuone mwamba k anakuja msimbazi kweupeeeee
😂😂😂... Ubuntu achaaa kuota ndoto za mchanaaa ... Kaeni msubirini Manzoki
Makolo Huwa hamnaga akili aisee yaani roho inawauma? Kafieni mbele nyau nyie
Anapata mtoto karibuni
Master K & vee kaveshera mwamba lazma abak
Mbona nasikia wameachana na vanesa
hamisa mobeto kamteka azizi k
😁🎉🥳
Wachambuzi wanaongea kilichopo mbele yao wala sio mashabiki wa timu frani no
Usitubebe ufala , AZIZI KI ANA KATOTO KENGINE
Ana demu wake ni mwigizaj na ana mimba ya azizi ki Na n mwigizaj maarufu tu, usimshambulie mtu kwa kaul mbaya kama huna uhakika muwe mnafatilia
@@aakashsolank-l7h we naye una kichwa kigumu,, YEYE AMESEMA MTOTO ANAYEENDA KUZAA NA YULE MWIGIZAJI NDO WA KWANZA WAKATI AZIZI KI ANA MTOTO MWINGINE
Pakome 😂😂
Momo ukisema , umesema.
Diara tu uyo
Mmmmh
Siasa hizo
Wapeni moyo utopoloni
kama huwapendi wasafii kama mmi gonga like hapo
Sababu nini?
Sasa unatafuta nini huku kama huwapendi tena na message una comment
Unawapenda sana unawafatilia sana
Tafuta ela kitendo cha Ku comments apa Tu unawapanda😅😅😅
Kwel wew ne maku upnd uku unacoment n like
sijuwi ni kwa nn wasafii imejaza wachambuzi wa yanga kwanzia ba levo na wangine wote
Kwa nn efm imajaa Simba joff lea maestro jemedari Wilson uruma
Ubuntu tuliza mshono
Ttzo umejaa makasiriko ndo maana kila wakisema unaona unasemwa wewe
kwn baba levo n mchambuzi???
Huyu muongo sana wala msimwamini
Mbona hoja za kitoto sana momo anaongea ache pesa kwa ajili ya kuona mtoto siku ya kuzaliwa kweli uko anapoenda akuna ruhusa
2mia akili yanga sio wajinga kutangaza kuwa Aziz hajaongeza mkataba. kuilan hvyo na wew unaamn hapna me najua wanaksany pesa kiakr
Uyo kabaki kisa mwanamke
We ulitaka abaki kwa sababu ya mangungu 🤣🤣🤣 ??