#TAZAMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • Serikali imewataka wakala wa Taifa wa hifadhi ya chakula katika BIL 50/- za ununuzi wa mahindi walizopatiwa na serikali kununu mahindi kwa wakulima kupitia vikundi vyao kwa bei elekezi ya shilingi 500 kwa kilo ili fedha hizo ziwanufaishe walengwa ambao ni wakulima wadogo.
    Akizungumza jijini Dodoma Waziri wa Kilimo Prof Adolf Mkenda amesema lengo la Serikali kutoa Fedha hizo ni kuhakikisha zinanufaisha Mkulima Moja Moja na si wafanya Biashara waliokusanya mahindi kutoka kwa wakulima.
    Amesema kila mkulima atakayeuza mazao yake kwa NFRA ni lazima arekodiwe na kiasi cha mahindi alichouza na kisizidi tani 30 ili kuepusha wafanyabiashara kutumia nafasi hiyo badala wa wakulima wadogo waliolengwa.
    Kuhusu billion 50 ambazo serikali imeidhamini bodi ya nafaka na Mazao mchanganiko kupata mkopo ili kununua mahindi waziri mkenda amesema wao watanunua mahindi kwa mtu yeyote kulingana na bei ya soko kwani wanapadswa kufanya biashara na kupata faida ili kurejesha mkopo huo.
    Follow us on:
    FACEBOOK;
    SpotiLeo: / spotileo-176. .
    HabariLeo: / habarileo
    DailyNews: / dailynewstz
    INSTAGRAM;
    HabariLeo: ....
    SpotiLeo: ....
    TWITTER;
    Twitter HabariLeo: Ha...

ความคิดเห็น • 2

  • @helsonibanda5191
    @helsonibanda5191 3 ปีที่แล้ว

    Kwa nn nyanda za juu tu kusini vipi kuhusu kanda ya ziwa wakulima wanalia na shehena nyingi za mahindi please acheni siasa wakulima wana hali mbaya