Shukran sana mwalim wangu Je ikiwa mie sio mtaalam lakin napenda kupata khuddam atakaenihifadhisha qur an naweza soma jina la pili mara elf moja kwa huo muda wa siku 7
Asalaam aleikum sheikhe wangu, Niko na shida sana nikipata pesa ni madeni, pesa Deni, yaani pese hazinisadii , Insha-Allah nataka niwanze kusuma majina , Insha-Allah na Niko na Imani , natafaulu na mangu yangu yatafunguka Insha-Allah. Barak-Allah sheikhe wangu
Hyo ni kwel me nipo Dubai nafanya kaz passport yngu alikua nayo boss wngu namm nilikua naitaka hili niweze kutoroka pale nilipo soma Kwa mda wa siku 3 tu usiku saa 8 na nimefanikiwa kuipata na kutoroka kwake
Inshaallah
Maa shaa Allah
Shukran
Bado majina nimeyapata sita tu maalim
Nimesoma barahatii mara 1000 nikapewa karama ya kuamurisha fimbo inifate ninavyotaka
Shukran sana mwalim wangu
Je ikiwa mie sio mtaalam lakin napenda kupata khuddam atakaenihifadhisha qur an naweza soma jina la pili mara elf moja kwa huo muda wa siku 7
Mungu akujaze elimu
mi nauliza kuandika surat bayina unatumia peni au zafarani
Zafarani
Salaam ya Muallim! Je, tunatumia Zafarani au wino gani? Allah akubarik kheri na ulinzi.
DHAFARAN
Asalam Alaykum mimi nataka kuwa mwanafunzi wako mpya
Krbu
222
Sheikh sie watu wa qasam umetushitua kidogo
Asalaam aleikum sheikhe wangu,
Niko na shida sana nikipata pesa ni madeni, pesa Deni, yaani pese hazinisadii , Insha-Allah nataka niwanze kusuma majina , Insha-Allah na Niko na Imani , natafaulu na mangu yangu yatafunguka Insha-Allah.
Barak-Allah sheikhe wangu
Na kama una majini ya kichawi ukisoma watakuja
Kama unasoma mwenyewe sio rahis kuja kwako lbda akusomee mtu mwingine
Tupe elimu hio
Hyo ni kwel me nipo Dubai nafanya kaz passport yngu alikua nayo boss wngu namm nilikua naitaka hili niweze kutoroka pale nilipo soma Kwa mda wa siku 3 tu usiku saa 8 na nimefanikiwa kuipata na kutoroka kwake
Nadua
hakuna uwongo hpa ni kufundisha tujisaidie
@@NADUAonlineTV Nashukuru sna asante ubalikiwe 🙏
@@noorynmohammedy6063plse nitafute