@@silaskamau364 skiza bwana kamau Hua wakati Kila mtu alikua Ni mkali usiulize wachuja nafaka wagosi wa Kaya,Daz baba,Johny walker,ngwea nk sio kama sasa Ni wasafi tu lakini mtu kuanza sema eti ahead of us time niku Andika maneno maana waona watu waandika tu sasa hio head of tym akiambiwa aseme hata hajui
Siku chache zimebaki tumalize 2023 tuanze 2024 happy new year in advance wote mnaompenda professor jay tunamuombeya maisha marefu na Mungu amuvushe mwaka professor na kumponya kabisa 🎉🎉🎉
Furaha isiyo kifani ilifanyika bonge la party, watoto uswahilini walibeba wali kwenye mashati.kama wakubali kuwa haya mashairi yalienda shule gonga likes zote za prof.
Nilimpa change,,,oooh no keep change una mawazo mengi itakufariji weekend. 🥂This verse hits deep❤️❤️. Hata Mimi nategea baraka zangu huu mwaka wa 2022. Eeeh Mwenyez Mungu ntumie zali za mentali huu mwaka
Get well soon Kaka Joseph Haule. You are one of the greatest legends of East African Music. You have inspired many of today's popular artists in East Africa
Ilinipa Hela za kula maandaz na ice cream enzi izo ili goma limetoka,siku 5 tu Nlkuwa nmeshalikalili watu wanasema niwachanie then wananpa pesa,daaaah I was very young but nlikuwa na uwezo Wa kukalili nyimbo Kwa muda mchache Sana. Big up Kwa prof J.
I wake up daily alive alhamdulilah and start with watching this video it never gets old 🎉❤ Professor jay was mentor frl The 🐐 ever and Ever. Achana na wale wameanza kuimba nyimbo siku Karibu but professor ni mtu wa zamani Sana Keep up from Kenya 🇰🇪❤️ big fan.
My favorite TZ song. I heard this song for the time in 2005 and it was actually my first to hear from Bongo. Fell in love with it and it has been my all time favorite.
Nani bado anaangalia hii ngoma 2023 kama mimi gonga like 👍 twende sawa
😈🔥⬅️🏃
Sisi hapa
April
April 2023
Tuko wengi
Kama unsisikiliza hii Ngoma 2024 gonga like ❤❤❤
❤
Mmm🎉
Ferooz ndo amefanya nmekuja kutafuta professor jay
Hatar
Prof Jay unleashed his lyrical prowess on this one...2024 and am still here jamming 🔥 🔥
🎉🎉🙌
Mm hap
Flow Iko chonjo
The way Swahili is difficult to rap in..... makes it look easy
few days to 2023 and this jam still rocking,a generation of Tanzania musician were just a Gem. the flow in poetry showed real talent
Si aty nini
True
Rich Gang
Dv
@@joasyeliya P
Tokea Kenya,wewe ni Jembe Kubwa.Sijawahi pata comment wala like!!!!!!
kweli sana alex mumo
Hii ndio the real BONGO flavour with wazee wa bongo...yaani haitawai isha ladha vizazi na vizazi...naomba like 1000 za mheshimiwa professor J
Inamafundisho mhim sana
Of cauz
Kam kawa
Kali sana
Za,nn
It's 20th February 2024, still fav song 💯 thanks Prof for this memorial hit song 🎉🙌
IM THERE WITH YOU 21/02/24
Kama umeiangalia 2024 gonga like❤
Nani bado anaangaria hii Ngoma 2024 kaka mm gonga like 🎉🎉
Bosi some time tunakumbuka ngoma kali za kitambo
Mimi red 😂
Wale wa 2006 highschool leavers nipeni like zenu,hii Ngoma iliheat,Hadi sahii 2024
tunao angalia hi ngoma 2024 tujuwane kwa like plzzzz
It's 2023. I still can't get over this jam. The bars. The flow. Eish! Memories 🔥
This song reminds me when i met my wife in Uganda, we've now been married 12 years.
Zebede Zandale be
daaa broo umetishaaaa
Hongera Sana ssebo
wow Beautyful
Don Oldwell 2020, hope you are still together,
Prof Jay was ahead of time, the guy is a great poet, our generation will never see a great hip hop artist better than jay.
Oh please!! ... ahead of time?! everybody was hot in that tym
He has proved with time that he was a rare talent!
@@almeidhalu3238 some truth here. Bongo music was at its best then
@@silaskamau364 skiza bwana kamau Hua wakati Kila mtu alikua Ni mkali usiulize wachuja nafaka wagosi wa Kaya,Daz baba,Johny walker,ngwea nk sio kama sasa Ni wasafi tu lakini mtu kuanza sema eti ahead of us time niku Andika maneno maana waona watu waandika tu sasa hio head of tym akiambiwa aseme hata hajui
@@almeidhalu3238 I will say it again here for the record, Prof Jay was ahead of time and there is nothing you can do about it, its my opinion.
Juma Nature killed the hook 🔥 .Hit like for him too man!
Siku chache zimebaki tumalize 2023 tuanze 2024 happy new year in advance wote mnaompenda professor jay tunamuombeya maisha marefu na Mungu amuvushe mwaka professor na kumponya kabisa 🎉🎉🎉
mwaka 2021 like hapa twende sawa . anaemjua vicky jaman anifahamishee.
Anaitwa nargis Mohammed
Tuko area, hii ngomaaa kali saaaana
Kuja nikupe namba yake
Kasha zeeka 🤣🤣🤣🤣🤣
Pamoja
From Nairobi, Kenya.
This is a legendary and timeless track.
Professor Jay naye Juma Nature ni ma gwiji wa muziki wa kizazi kipya.
2023❤....... This song will forever be there for our coming Generations..... Much respect.....
leo ni pasaka 2024 ngoma la kuishi nalo ❤😂🎉🎉🎉🎉🎉
I remember watching this song at Channel 5 ... Oh my ... 2020 still feeling this. Music made to last 🇰🇪💯
Channel ngofo hahaha i miss those old days
Channel 5 was my favourite
It's now known as EATV
Who's listening this beautiful song in 2020? 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
am here dude
Dude kaz hili
Me
NAIROBIWEST NIGGA IN THA HOUSE!
Patrick Paticool p
Professor Jay is a lyrical giant, you make East Africa proud.
Kweli baba ni kajala etiiiiii...kongowe dada maua kwake❣️
Siku hizi mentali akipata zali anaitwa benten 😂😂😂 salute kwa Mheshimiwa Professor Jay bado tuangalia mziki mzuri 3.09.2018
😂😂😂
Ha ha ha ha ...
Eti benten....hahahahahahaha
😀😀😀😀😀 mbovu sina ally chilinga umenichechesha sana
😂😂😂😂😒😊
Wangapi ambao wanasikia kibao ichi 2019????
Alikula kwa, machooooo tu
Mm hapa leo hii trh 7.4.2019
فجر الروشدي pamoja sana.
Nipo hapa
Mm hapa
2024 kwa mbigo🎉i used to hear this song when i was young❤ such a throw back❤
This is one in a million hit from one in a zillion poet singer, song writer & a public servant. ❤❤❤
Kile chama cha wasoma comments Tanzania {UWAKOTA} embu tupieni like hapa niwatambue.
2021 still representing
Am here for authentic stuff only
What a composition i say
Together
🔥🔥🔥🔥 on
Big Jay!! As Jay jnr you always be ma legend when it comes to bongo music. ...2024 and still on ma top chat. Much respect from kenya 🇰🇪
East Africa iconic those days .we miss lyrics like this .big up professor and nature
Who is listening to this in 2021🇰🇪🇰🇪
Am here
Here
Ngoma kali haizeeki
Together
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Makes me flash back the days of EATV channel 5, Nairobi. Classic and nostalgic memories. 🇺🇸🇰🇪
surely this brings back such sweet memories
Nani kamuona diamond akicheka hpo
EATV was🔥🔥
I just love this song 2024 here in Kenya and still loving it many years after it's release,if you like it just like it
Furaha isiyo kifani ilifanyika bonge la party, watoto uswahilini walibeba wali kwenye mashati.kama wakubali kuwa haya mashairi yalienda shule gonga likes zote za prof.
2040 if u came here know that this song is still a banger. We enjoyed it when it was released and forever it will remain a big tune
Kama unacheki ngoma hii 2021 weka like yako hap
pa1
Hyo ngoma noma sana
Nakubali
Mimi nacheki saa hivi na ni 2022!!jay alikua fayaaa
Niko hapa 2022
Professor Jay was one of my favorite rappers from Tz always telling stories in those raps😅. Love from kenya🇰🇪
I fell in love with this song ever since i was like 7 yrs old now am 25 and still it remains in my heart
Potelea mbali uchawi hauendi kwa mentali wangap bdo tunaskiza mziki huu mzuri 2018
mimi hhahhaha
Bado uko poa sana
Kazi nzuri
2019 faza bado unabamba 🔥
2019
Naomba like km una watch this video in 2020
Tena Ndugu yangu Professor Jay katoka mbali sana ya Mola hayafahamiki na binadamu.
Tupo pamoja oldies the best👍
🇺🇸🇰🇪 moto sana
nakpa like na kamessage
I still watching this song , i remember when thay was out ,i was like 13 years old ,now it's 17 years ago . Damn
Mungu akupe afya proff jizee ... InshaAllah utasmama tena ... Amin
Jamani irudiliwe waweke prof ft kajala😂😂😂😂😂 mbwa sisi imetoboka siri kajala eshima kwako kwakutunza siri
Oh my👏....Professor Jay is a true swahili rapper💪{"watching from Africa in Kenya🇰🇪}HONGERA sana Tanzania🤝🙏
Hello 2021!!!!! It's our tradition to comeback to this every once in a while big up Pf.🤜🏾🤛🏾
Nilimpa change,,,oooh no keep change una mawazo mengi itakufariji weekend. 🥂This verse hits deep❤️❤️. Hata Mimi nategea baraka zangu huu mwaka wa 2022. Eeeh Mwenyez Mungu ntumie zali za mentali huu mwaka
Yani ndio leo nafahamu kuwa hiyo sauti ya demu kwenye hii Ngoma ni ya Kajala masanja, Duuh hongera zake Mama Paula
hii ni moja ya song yenye creativity kubwa sana
JUMA NATURE killed the hook man!And what a lyrical storyteller Proff JAY is!
Juma killed it,,,🙏🙏
Ooh yeah Story teller Jay is and will always be precise story teller
Storytelling at its best🙌🔥🔥🔥
Kenya.. why, we forgetting this legend!!! Deep in 2000s …. We waiting, We miss u Kenyans in diaspora and 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Ngoma Bado ya moto wale wa 2024 TU like apa
Joseph haule lead vocals, juma kassim a.k.a nature lead chorus and p funk was on the mixing board! They killed totally
100000%
Yu forget kajala
@@eidbakari7980 kajala masanja
Heshima kwa Prof J p funk majani na watanzania bomba la hit.
Vikie ni jay,Jay ni viki mustaree.kitoka ndani ya dhiki saa kila siku ni sheree 🙆🏻prof.wee ni mnoma❤🔥🔥🔥🇰🇪
Febr 2024 nimerudi apa kucheki hii ngoma aysee hawa jamaa mwanzo waliweza sana. . Saiv matusi tu. Nani mwingine bado anaichungulia hii ngoma.
Kidume nang'aa wanajigonga shenzi type (shenzi type) gonga like kama bado waicheck 2019
Get well soon Kaka Joseph Haule. You are one of the greatest legends of East African Music. You have inspired many of today's popular artists in East Africa
2022💖
Mbarisaana sauti yaviki ninoma sana yani iligoma nawazaga mengi sana mauwayote pokea j w j & vici 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
2024 bado na enjoy hili dude
Unforgetable hit
i am a camerounian and i like this song . used to hear it 10 years back when was a teenager and already loved . big up to you guys
🤛
Paul piya
U don't even understand Swahili 😂 why would u waste your time to listen to this song
@@gnarlyscouser470😂😂😂😂🤭
@@gnarlyscouser470comment ya kishamba kweli, wabongo sisi ni wapumbaf sana
No artist in East Africa can do sick hooks like Juma Nature.. Love from +254 #2020
Feerooz
@@benjaminmangheni7506 yes always ferooz
Nani anaamini kuwa hii ngoma ni noma adi sasa 2024 agonge like zangu apo❤😅😅😊
Daah!! Huu wimbo utaishi mpaka Yesu anarudi, huu ni zaidi ya Wimbo hii Falsafa iliyotumika humu sio ya kawaida, bonge la ujumbe✊🏿🇹🇿📍
Watching from the Congo 🇨🇩
Much respect for the Prof Jay and the whole Bongo music. Love you my people
Kama utaendelea check ngoma hii 2022, nipe like kwa mara ya kwanza.
2024 na tuko hapa.Gonga like hapa kama tuko pamoja
This I have listened to this song more than 20 times... thank you Prof Jay for this legendary song
Who else still listening 🎧 to this beautiful song more love to pro jay 🇹🇿🇿🇲🇳🇦🇿🇦🇿🇼🌎💜💖
It's 2021, still listening 🎧 this hit song, kweli zali🤣🤣
sijui kwann kajala akua msanii sauti yake iko 🔥 😍
Eeeish what a master piece, the flow from the beginning to the end it's a timeless hit
Prof Jay is such a story teller in his songs
2022 am still here bcoz i love this guy.THE RAPPER TURNED POLITICIAN
Yaani nimeangalia hii ngoma tena baada ya kujua sauti ya kike inayosikika hapo ni kajala wee hatarii kajala shika maua yako🎉🎉🎉🎉🎉like jamn twende sawa
Nargis kanileta tena hapa ❤30/6/2023 Mbunge Wangu jimbo la mikumi🥰🥰🥰🥰
HILI ZALI TULIACHE TYU AISEE
SHIKAMOO MH.JOSEPH HAULE
2019 NAIANGALIA HII NGOMA
Ilinipa Hela za kula maandaz na ice cream enzi izo ili goma limetoka,siku 5 tu Nlkuwa nmeshalikalili watu wanasema niwachanie then wananpa pesa,daaaah I was very young but nlikuwa na uwezo Wa kukalili nyimbo Kwa muda mchache Sana. Big up Kwa prof J.
Nature alipigaaa bonge la Chorus. This is anthem. Peace.
Yani ukisiki nyimbo zinazo ishi hii ni moja wapo 👍👍👍hiyo mambo ndio inayo endelea kwenye ulimwengu.Fukala asaminiki
Mamae, this was one of my favorite song in 2003, had to listen it all long day, J you actually killed it! Still listening it in Dec 2020
We really rocked this jam!! How quick time flies. Bless you Prof.
Apa mpaka 2026 ngoma nado itaendelea kuwa Kali tu Kwa uwezo wa Mungu
Nanini kama GS Bacha balesa mwaka Huu wa 2024
Old is Gold. .lilikua Bonge la wimbo. .when music was alive
Who's still listening in 2020 while corona virus is outside stay home and be save momorise of Mombasa old is always a gold greeting from Norway 🖐🏾
Undead song I will lesten to this track till my end ,. Ukiwa bado unasikiliza hi 2023 plz weka like
Hip hop Kali sana...big up professor back to back up to date you feel the vibes... professor ..nature na uyo mwingine ni nan
2020/2 nani yupo anaangalia???
Kama unaiangalia iiiii ngoma 2020 gonga like
This song brings back Irreplaceable memories 😢
I wake up daily alive alhamdulilah and start with watching this video it never gets old 🎉❤ Professor jay was mentor frl The 🐐 ever and Ever. Achana na wale wameanza kuimba nyimbo siku Karibu but professor ni mtu wa zamani Sana Keep up from Kenya 🇰🇪❤️ big fan.
Ebaanaaaa dahhhhhh imenikumbusha Mbali Kinoma respect mheshimiwa bado unaeleweka kitaaani
Utabaki juu mzee mbunge unaongoza watu na wanyama
2022 still this track is 🔥🔥
Now this is pure definition of story telling in music.
All time throwback 🔥🔥🔥
True story telling and Entertaining
Hazichuji wasani wasasa kulikoni
majani hana baraa
"Uchawi hauendi kwa mentali" maanake ni gani???
This song never gets old, professor J, the best ever in the game
I pray for Jay a quick and full recovery!!!
My favorite TZ song. I heard this song for the time in 2005 and it was actually my first to hear from Bongo. Fell in love with it and it has been my all time favorite.
“Ooh no keep change , unamawo mengi itakufariji weekend”
😂😂😂 sio Enzi za makufuri
hahaha
😂😂😂😂
Henric Pelegric Haaaaahaaaa
20 years later but still rocking
This was the era Pfunk Majani was the best music producer of east and central Africa. What a beat!