Kweli mtangazaji kama unaona iyi video, , na unaicomparer iyi maneno ya ule muzalendo aliye lalamiki wakuu wa inchi ugase nini? Ule muzalendo anasema kweli, ama wote wademissioner.
Inchi ikonaongozwa na batusi, aussi long term que ba kongolais hamuyafukuza ruberwa kanambe na wengine watusi wenye wako Kinshasa mutakuwa na wakati mgumu,mubafukuze ba jeune musimame mupiganie Inchi
Quelle politique parle-t-on et quelle général es-tu Mr Chilimwami. Traître munene wewe!! Inatakikana ukae chini na upokonywe hizo pete sababu raiya hawaone mafaa. Huna huruma yahao watoto na wamama ambao wameachishwa makao yao? Hadi lini.
Acheni hadithi za kijinga. Huyo Fatshi went ni mjinga sana. Mbona hawezi kupa ga jeshi lake? Kesho hao warwanda watakuwa Kinshasa. Nyinyi ni midomo mirefu tu kila siku.
Watu wa mashariki fungukeni macho ..
Tshisekedi hayupo Upande wetu na bila kijisimamiya na kujipiganiya mtajikuta watumwa wa wanyarwanda
Asante kwa maoni
Asante mtangazayi
Najuwa Mushaki Mukubwa sana ya lamba letu TV
Kiseketi chirimwaminachiko mungu awasaidie wakufe niwasaliti
Asante kwa maoni
sauti ni 5kwa5 najisikia kutoka ituri mahagi
Bonjour mimi niflori kutoka kingali
Ma Généraux n'a wa canalisation wafungwe jelani woooote n'a wa nyanganywe Simu zao
Nawapata 5/5 kutoka apa cape town Shukran kutupa habari mbichi ni Kalenga Alinoti Sungura maharufu Malenga
Umoja gani kuacha wazi Rwanda na Uganda🇺🇬??? maadui wanaongiya muda wete wanaotaka😢😢😢
Watu wa mashariki ifike wakati tupate akili tujibebe wenyewe watu wa kaskazini hawana wema na sisi il faut tujitenge nao
Jambo mutangazaji naitwa Malipo djuma iko Burundi kwakweli njeshi ya congo inatupatisha aya sana kweli uyo commanda anasitaili afungwe makala
Asante sana kwa maoni
Tchisekedi njo traitre wa kwanza.
Baba Raisi Félix,pôle tena na utoshe commandement kwa ma généraux wa FARDC uipatie wa Majors n'a ma capitaines pamoja n'a Wazalendo.
Asante sana
Kwa silaha zenye munasemaka kisekedi aliuza ziko nakazi gani nazinaendaka wapi ?
Celui qui n'avance jamais recule toujours. C'est nous!
Asante sana
Mimi ni ISRAËL MATHÉ NGAHANGODI KUTOKA BENI PA KIKURA NAWAFATA 5/5.
Kuzohofika kwa wazalendo ni kuwa chini ya Fardc, walipo kuwa wakijiongoza pale mwanzo walifanya kazi vizuri sana.😢
Asante sana
Kweli mtangazaji kama unaona iyi video, , na unaicomparer iyi maneno ya ule muzalendo aliye lalamiki wakuu wa inchi ugase nini? Ule muzalendo anasema kweli, ama wote wademissioner.
congo inachosha haina miundo mbinu
Vraiment
Jambo,mupasha habari na karibu tena sikunyingi hatuku pate,kwanini jeshi kurudi nyuma?
MBICHI usiku mida ya 18h
Sauti nipowa mzeee wabari mbichi
Asante sana
Inchi ikonaongozwa na batusi, aussi long term que ba kongolais hamuyafukuza ruberwa kanambe na wengine watusi wenye wako Kinshasa mutakuwa na wakati mgumu,mubafukuze ba jeune musimame mupiganie Inchi
Asante sana
Amani manase kutoka Utica ny 🇺🇸 tunakupata sana
Asante sana
Watampiga adui wa wapi wasaliti njo wanasapotiwa na Viongozi
Vraiment
Nakufwata 5/5 toka burundi bwana mtangazaji
Asante sana
Quelle politique parle-t-on et quelle général es-tu Mr Chilimwami. Traître munene wewe!! Inatakikana ukae chini na upokonywe hizo pete sababu raiya hawaone mafaa. Huna huruma yahao watoto na wamama ambao wameachishwa makao yao? Hadi lini.
Sauti poa, Butembo
Asante sana
Nafuata kutoka Uganda 5/5
Asante sana
Sijawahi kuona mutu mwenye Busara akifungulia wajirani ili wapigane vita viao nyubani make nakuuwisha batoto yake..
Asante sana
Nous sommes déçu de comportement de nos autorités et militaires.
Merci
Wasikari wacongo niwavatilye pehi besha kabula raiya wanamindanganya Mimi mumba evans uku zambia
Asante sana
Kwanini tchsekedi haiko sanctionner wale wtraitre?
Vraiment
Pas question de saicer le feux chez nous parcequ'ils ne sont pas au Rwanda
Vraiment
Nakufuata toka goma
Asante sana
Acheni hadithi za kijinga. Huyo Fatshi went ni mjinga sana. Mbona hawezi kupa ga jeshi lake? Kesho hao warwanda watakuwa Kinshasa. Nyinyi ni midomo mirefu tu kila siku.
Fata vidéo vizuri
Jeshi letu la Congo linsletå hayå
Yes
Hiyo serekali yako ndio inayo tumika na m23 wao wenyewe ndio m23 waache kudanganya watu ,m23 ni wa alier wao ili kuomba misaada wakule