MOHAMED HUSSEIN AWEKA MIPANGO YA KUONDOKA SIMBA/ DAU LIPO MEZANI ASILIMIA 80%
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Naelewa wakuu crown 👑 fm
Kuna tofauti kati ya expatriate na local. Si katika mpira tu hata kwenye makampuni. Hilo ni jambo la kawaida sana. Hata wa kwetu wakitoka watalipwa zaidi ya wenyeji.
🔥🔥🔥 crown
Mmh jamani Duchu, Chasambi, Kijili wote wana magari sasa sjui mnazungumzia timu gani,, naona hance unaropoka sana hebu nikuulize wew hapo crown umepangiwa Masaki
Mnaitafutaa sana Simba sc..akitaka ajikatee tu..
Jee hapo mnalipwa sawa wotee
HIYOO BAADA YA HOVYOO KWELI,HAWAA WACHAMBUZ WAMESOMAA KWELI.
Wachezaji wa timu gani mnaozungumzia akt ata chasambi saiv gari analo.....au ni umbeya tyu
Hataa England fernandes na kobbie manooo not treated as the samee
Brow shida ni kujielewa samata aliwaonyesha njia wazawa ila walishindwa kufata
Jaman wachumbuzi mnaremisha nn kila kitu ni mkataba bro
Mmmh
Mzuzu kawatumaa..aendee tuu
Kama ivo basi ateba namukwala watimuliwe maan wanaujumu uchumi t
Zimbwe Jr
Wajenge nyumba zao, sibmishahara wanapata???
Bongo nyoso