SIMBA WATAKA MABORESHO KWENYE JEZI/ WAMNG'OA SANDALAND KAMA MDHABINU WA JEZI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

ความคิดเห็น • 22

  • @festorama4580
    @festorama4580 7 วันที่ผ่านมา +2

    Katika taasisi kama mkataba ulisiniwa 2 years, ukiisha hamuongezi tu lazima ufanye tender ili kupata competitive environment. Huwezi ongeza tu mkataba kiholela kwa kuwa Simba ni taasisi ya Umma

  • @elipidiusgerazi1924
    @elipidiusgerazi1924 7 วันที่ผ่านมา

    Tuliwambia sanda amna kitu yeye anachkua milangi tu anapachika sema na neno sanda limekaa vibaya😂😂

  • @kabazitv4293
    @kabazitv4293 7 วันที่ผ่านมา

    Mkataba ukiisha tenda inatangazwa upya ndo kanuni za procurement so sandland akishinda ataendelea ila akishindwa competition mwingine anachukua. Kungazwa tender haimanishi hawamtak sand ila ndo kanuni zinatakahivyo km kitu hamjui ulizen wataalamu

    • @andersonmatimbwi6775
      @andersonmatimbwi6775 4 วันที่ผ่านมา

      Hilo lipo lakini kwa hali ya kawaida ni wazi kuna siasa ila kumpa tena si rahisi,Ngowi na Yanga wana muda gani? Unaona tu jinsi anavyofanya kazi yake.

  • @amanisalum1638
    @amanisalum1638 7 วันที่ผ่านมา +1

    Acheni Ukuda.Sandaland anayofursa ya kuomba Tena na iwapo atakidhi vigezo atapewa mkataba mpya.

  • @Uhondoleo
    @Uhondoleo 7 วันที่ผ่านมา

    Sandaland mbabaishaji, jezi zilikuwa hazipatikani kwa wakati.Anataka auze yeye jumla na rejareja.Bora aende

  • @vinny.morales
    @vinny.morales 8 วันที่ผ่านมา +5

    Sandaland alikuwa na quality mbovu sana.

    • @MasoudMganga
      @MasoudMganga 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kwenda sandaland anayokwalit ilahawajakubaliana acheniujinga

    • @MasoudMganga
      @MasoudMganga 7 วันที่ผ่านมา

      Mchambuzi mjinga hakuna jezi ya kike au yakiume jezijezi2

  • @gilbertmwakalebela2862
    @gilbertmwakalebela2862 7 วันที่ผ่านมา

    Vunja bei alikua na quality nzuri kuliko Sandaland

  • @mahadshekh398
    @mahadshekh398 8 วันที่ผ่านมา +1

    Ni tenda imewekwa wazi.Atakayeshinda ni kwa mujibu wa tenda.

  • @mahadshekh398
    @mahadshekh398 8 วันที่ผ่านมา

    Simba walifanya kazi na Umbro.

  • @alibhassan6347
    @alibhassan6347 7 วันที่ผ่านมา

    Kumbe alichukulia serious lile swali la Ali kamwe... Unakuta km utani ivi kumbe ngoma kweli

  • @abdalahmjomba471
    @abdalahmjomba471 7 วันที่ผ่านมา

    Tukiongea mnasema ooooooh yanga wanazingua wakati sisi wenyewe SANDA sio pwh

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt 8 วันที่ผ่านมา

    Gsm wanatengeneza nguo? Zipi? Au magodoro kwako ni nguo?

  • @enockmlyuka6475
    @enockmlyuka6475 7 วันที่ผ่านมา

    Kuzungumzia jambo usilo na hakika nalo si weledi. Mngeweza kuwasiliana na wahusika ili msikie kutoka kwao! Kutangaza tenda ni suala la utaratibu ktk masuala ya tenda. Hakuna mzabuni wa kudumu! Mzabuni aliyepo bado ana nafasi ya kuomba tena km muda wake umemalizika na kuingia ktk mchujo!

    • @mgagalaabdallah6479
      @mgagalaabdallah6479 7 วันที่ผ่านมา +1

      100% Exactly bro.. iyo ni tender na hata huyo sandaland anaweza pia ku bid juu ya tender hiyo pia haijampa limitation

    • @ummymuya.2060
      @ummymuya.2060 7 วันที่ผ่านมา

      Kabisaaaa!

  • @athumanimtajih
    @athumanimtajih 7 วันที่ผ่านมา

    Kumbe kutangaza ten̈da ni dhambi

  • @StanleyDeluna-v8q
    @StanleyDeluna-v8q 8 วันที่ผ่านมา

    Uhalisia apo nikuwa brand kila siku inakua hivyo hata pesa inahitajika kuongezeka