Mungu atulinde katika maisha yetu na atuepushe na tamaa izi mbaya ni bora kupata kdg chenye Amani kuliko kikubwa chenye karaha Mungu peke anatosha kutegemewa mr facts pamoja kaka 🇹🇿🇸🇪❤️
Mr fact,,,pliiz uswe unawauliza hao watu wa hv anatoka wapi,,,akisema msoma2 inatosha maana ushaamua kumficha tyr,,,,hz str za aibu hata tuswajue kwa kweli😥
Mpkaaa anashindwaaa kuangalia mwanaume mwezake yani ulishindwaa kulima vibarua ukapata riziki yani ulitaka pesa nyingi ujinga sana haya ushaharibu ndounajirudi
Wenzangu tupunguze tamaa kwani tukiwa maskini kuna ila gani? Hlf kwann tunauwa kwajili tupate utajiri kwani utajiri na uhai utadumu?turidhike tulivoekwa na Allah
Kitu ninacho wauliza HAWA vijana wanao kuwa NA tamaa mpaka wakaingia kwenye haya mambo ya ushirikina wa pesa za uchawi huyo mtu anae mipa hayo masharti YEYE anaitajiri gani hata nyinyi vijana mkamwani hajuwi kuwa huyo mganga anamipeleka motoni mungu wangu tusitili yaarabi NA hii tamaa💔💔😭😭
Pale mzee akaniambia pale eheeee umefka 😹😹😹😹😹mtani wangu jamani mkurya kanifurahisha nkanyolewa nywele zote kucha zote nkachanjwa chale mwili MZMA 😹😹😹😹😹waganga jamn mmemchanja mpk kwenye tundu la kwampalange
Kumbe ulijua kijijini kulima ndo issue sasa nn kilikufanyaa tamaa upate pesa nyingi umechanjwaa bado tuu wataka hela loo utajiri waushetani nani alikuambia unadumu kama sikuangamizaaa family
Kwa nin shetani akupe vyote vya dunia, mali na utajiri ambao hupati raha, huna amani ya moyoni. Wazazi na ndugu zako wameuawa kisa mali!! Jamani muombe Mungu ongeza bidii omba ushauri kwa watu sahihi utatoka sio kwa wasanii na walimbukeni
Kwa haraka haraka wanaume wengi wanapitia hii Mikasa kuliko wanawake unafikiri nnini sababu?au wametuzidi kafika utafutaji?au hawana moyo wa subira katika hili..
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli ulipo Nipo ndugu yangu dm angalia uyu jamaa naona bamsa asije akakutoa meno ya sebuleni ninamashaka nae mmmm
Kama awapatikani nakushauli uwaulize majirani kujua hali zao,mfano yule aliyesema kuwa amebakiza muda mchache wa kuishi kwa kupita utajiri wa mkataba. Jitahidi kutupatia feed back ili isionake baadhi ya story zako ni za uongo.
Chakushangaza muonekano wakitajir hamna, umeshauwa watu wako wa karibu sasaiv unahangaika, uyo shetani Hana utajiri wa kumpa mtu ndo maana anatoa mashart magumu, Nia Yao watupoteze binaadamu
Mungu atulinde katika maisha yetu na atuepushe na tamaa izi mbaya ni bora kupata kdg chenye Amani kuliko kikubwa chenye karaha Mungu peke anatosha kutegemewa mr facts pamoja kaka 🇹🇿🇸🇪❤️
Davistar Thank you dear big up utajiri utajiri 🤔 Tamaa Tamaa 🤦♀️
Ombi langu,eeee mungu usinirusu nichekelewe juu ya hali yangu ila unipe yakunistiri, usinipe kingi nikaharibikiwa .amen.
Story nzuri saana kabisa kijana ana simulia vizuri
Yaani kasimulia vzr hadi nimependa
Mungu wanusuru hawa watoto wetu wa vizazi hivi
Duh hadi Musoma....
Kazi nzuri🔥
Yani kuna watu humu hawali mpaka davistar arushe kitu kipya gonga like kama ni wewe
Kwelii mimi mmoja wapoo
😂😂😂😂😂
Ulijuaje 🤣🤣🤣🤣🤣mie nisipona dev ajaposti Naumwa kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣shule hii
Mjue
Tupo wengi kumbe
@@fettyanthony8107 fetty
Nikiwa na mb moja kwa moja kwenye story zako upo vizuri davistar
Kuwa makini tu....ipo siku utaoji jini🤣🤣🤣🤣🤣
Asante Davistar Matar kwa kutuelimisha na kutuburdisha
Tupe ile ya mungu bonge jamani na malkia wa kuogelea dam
Yes
Nibora niendlee kukopesha vijora mtaani nachokipta kinanitosha tamaa mby
Mr DM nakukubali Sana mtu wangu makini Sana.... duuuh huyoo jama ukitoa tamaa n roho mbaya pia anayoo .. duuuh
Ukisha kubali mashrt lazma uwe na roho mby
Mungu atuhifadhi amin
Goodluck uko Wapi, Nimekumiss tu sana story zetu hizi
Ndio zenyewe hizi hatari
David tuko pamoja brother
Vyashetan havidumu unge komaana maisha yako ya kawaida
Jambo linalokatazwa na mungu yaani ogopa Sana shiriki mbaya Sana na matokeo yake mabaya mungu atunusuru wallahi
Appreciate you Devistar mata nakufatilia sana bro kipindi chako hongera sana
Shida zote hizo kunyolewa,kukatwa kucha na chele zote ulikuwa saloon na ww😄😂😂😂
Siwezi kulala bila kucheki hii channel davistar mtu wangu waukweli love from Australia 🇭🇲🇭🇲🇭🇲
😹mbagala hiyo
@@gosbertmuta5421 😂😂😂
Mungu Atunusuru 🤗
Ya Allah wanusuru vijana wetu 🤲
Amiin
🤗
@@hebronsdaughter1661 🤗
Mimi nisemetuhivi nduguzangu haliyoyote unayo walamimininao turizishwe nahiyohiyo tunayo alafhu tumutanguze mungu mbere kwakuwa yeyendiemutowa riziki nandie weweanaejaliamtunautajili
Mwendelezo Davistar bas
Wa 10
Yote Haya nikwa sababu ya umaskini...but Ndivyo dunia ilivyo lazima tujikubali sisi kama sisi na hali tulizonazo.
Leo nimeiwahi,haya mambo ya kutaka utajiri wa haraka mwishowe majuto
Umeonaeehh
@@beatricekweka6683 nakwambia shida kukosa subra
@@hebronsdaughter1661 Kabisaa
Hawana subra
@@mohammedabdi2381 nakwambia
Part 2 plz
Ooh first1🙌
Mr fact,,,pliiz uswe unawauliza hao watu wa hv anatoka wapi,,,akisema msoma2 inatosha maana ushaamua kumficha tyr,,,,hz str za aibu hata tuswajue kwa kweli😥
Tuonyeshe mgongo wako tuone hizo chanjo!
Santee..🔥🔥 mniombee am not Good but..tuko pamojaa..Familia ya DM
Usijali nakuombea utakua poa dear
@@hebronsdaughter1661 Asante mwayaa...
Pole my utapona
@@azizasayi97 Asante mpendwa..
Tamaa mbele ...mauti nyuma
Nomaaa kakutana na masheitani
Daa maisha mtihani kweri pole kaka
Mpkaaa anashindwaaa kuangalia mwanaume mwezake yani ulishindwaa kulima vibarua ukapata riziki yani ulitaka pesa nyingi ujinga sana haya ushaharibu ndounajirudi
Innalillah wainnalillah raajuin
Duh hihatari sana
I'm the first watching from zambia
Halima ilove you
Zambia in Which corner
Zambia swahili zero kabisa hamjui
Muongo ww uko mbagala
@@yunusramadhan2546 kisa sio mtanzania😹
WA Saba 🙌🙌🙌🙌
Atali sana
Tunatakiwa tujifunze tu kwa sababu hakuna anayetumia hii mali maisha yote lazima ufilisike ya nn sasa
Nice
Pls davista usiwe unauliza majina yahao watuinaweza kuleta shida Sana kwajamii
Kwel kabisa akitaja mkoa inatosha
Respect Devistar Mata kila kukicha ni mitihani
mimi hizi story zaniogopesha kwa waganga milele hakufai😂.heri amtumainiye mungu heri nife kwa shida lakini nisipitie hayo waaah🤔🤔🤔
Wenzangu tupunguze tamaa kwani tukiwa maskini kuna ila gani? Hlf kwann tunauwa kwajili tupate utajiri kwani utajiri na uhai utadumu?turidhike tulivoekwa na Allah
Kweli kabsaa
Mpk nalia ase
Duh hatari
Kumekucha! Kumekucha!
Maduuu! huyo ewaaaa!
10 bora kama kawaida
Mi ndy nafika huku sahizi,nmechelewa vibaya
Mungu atamsaidiy🇴🇲🇹🇿
Davistar kijan wak hp mtu mwenye utu wang respect 👊
Daah🤨🤨🤨
🙏 kaka hongera sana kaka 😘
Wakwanza
Kitu ninacho wauliza HAWA vijana wanao kuwa NA tamaa mpaka wakaingia kwenye haya mambo ya ushirikina wa pesa za uchawi huyo mtu anae mipa hayo masharti YEYE anaitajiri gani hata nyinyi vijana mkamwani hajuwi kuwa huyo mganga anamipeleka motoni mungu wangu tusitili yaarabi NA hii tamaa💔💔😭😭
Muendelezo wengine atulalagi
Mm kwa mganga mwisho kombe
Hahahahahahaha dah wew mtoto ni tatizoooo
jama ananichekesha sana jinsi anavyo ongea 😅😅
😹😹😹😹😹mwache bhana smkurya au hujui taarime
Tumwamini mungu
Pale mzee akaniambia pale eheeee umefka 😹😹😹😹😹mtani wangu jamani mkurya kanifurahisha nkanyolewa nywele zote kucha zote nkachanjwa chale mwili MZMA 😹😹😹😹😹waganga jamn mmemchanja mpk kwenye tundu la kwampalange
Utajiri wa shetan lini ulidum jaman? Mola tuepushe na haya
Amiin
Amen 🙏🙏🙏
Daah
Leo sijachelewa Sana yani mimi WA sitini Leo Asante DM kwa kazi nzuri
🤣🤣🤣🤣🤣 wa 60
Angalau top 60 😅😅😅🤣🤣🤣
@@babyboss2886 nimecheka kweli
Kumbe ulijua kijijini kulima ndo issue sasa nn kilikufanyaa tamaa upate pesa nyingi umechanjwaa bado tuu wataka hela loo utajiri waushetani nani alikuambia unadumu kama sikuangamizaaa family
Ss unafanya biashara vizuri badala ya kukaa ufanye unakuwa na tamaa, ndio manake tamaa ikiwa nyingi hivo badae watu huingilia ushoga
Kwa nin shetani akupe vyote vya dunia, mali na utajiri ambao hupati raha, huna amani ya moyoni. Wazazi na ndugu zako wameuawa kisa mali!! Jamani muombe Mungu ongeza bidii omba ushauri kwa watu sahihi utatoka sio kwa wasanii na walimbukeni
Yaraab tuepushie NA tamaa
Kwa haraka haraka wanaume wengi wanapitia hii Mikasa kuliko wanawake unafikiri nnini sababu?au wametuzidi kafika utafutaji?au hawana moyo wa subira katika hili..
Maisha hata wa wanawake hawajitokezi tu wanaona haya
Ni moyo wa uvumilivu ndio hawana
Ukimuona mwanaume kwamganga ujue utajir Ila mwanamke ujue mapenz
@@butondodavid2105 hapo umesema
@@butondodavid2105 😂😂 wacha wee
Part two mbona siiyonagi😌😌
SubhanahAllah, unaenda tafuta utajiri na unakubali kabisaa kuuwa watoto wako,babako na mwisho unamlala mamako mzazi
Namshangaa sasa izo pesa atatumia na nani wakati family yote kaipoteza kwa ninavoamini mm raa ya dunia wazazi
Fatma Alrshdii Ck zote utajiri huu haudumu sbb ni wa masharti na mbaya zaid unakosa vyote vyote Allah tunusuuru na tamaa izi Amen 🙏
@@fatmaalrshdii7615 ndio hapo, huo ni ujinga mtu anafanya bila kufikiria yakimfika badae anadai ameacha
@@abdulhalimhumud1917 nikweli mwenyenzimungu atupe Mwisho mwema in shaallaa
Fatma Alrshdii Allahuma amin
Nguvu za shetani ni mbaya tuache ndiyo maana kuna Q'ur'uan na bibilia mwangozo upo huko kuupata utajiri kwa nini uteseke
Part 2 lini🤤
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli ulipo Nipo ndugu yangu dm angalia uyu jamaa naona bamsa asije akakutoa meno ya sebuleni ninamashaka nae mmmm
Duuh atali jamani tulizike naunacho kipata
Mungu bonge lkn anakisauti kidogo km mtt
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄unamoyoo unakubali kirahisii usijue nn unaambiwaa
we davistar acha maswali mengi ambayo hayana point
Hii stori inaelekea itakuwa tamu 🤣
Tena sana😂😂😂
🤣🤣
Ganda landizi bwana noma
Tupo sana makini
Hakuna aliyewekeza kwa shetani hakafanikiwa hata cku moja tuache tamaa ya mali jamani.
DDDD MAISHA haya jamani mugu atusaidiye
Story nzur
Kaka upo wp tunakusubilia ukuuu notification IPO on kwa ajili yko
Sasa kazi yenyewe ya saloon ndo unaiendea kwa mganga? Alafu inaonekana mvuta bangi
Jaman hii nimara yakumu bwan devist na kuambia tutafutie kilekisa ulicho anza nach yul jamaa kasha maliza miezi mitatu tunahitaj kujua maish yak yakoj
Hata na mie natamani kujuwa
Wengine nikiwafatilia kujua hali zao huwa siwapati
@@DavistarMataMediaDM hatujambo alhamdulilah
Kama awapatikani nakushauli uwaulize majirani kujua hali zao,mfano yule aliyesema kuwa amebakiza muda mchache wa kuishi kwa kupita utajiri wa mkataba. Jitahidi kutupatia feed back ili isionake baadhi ya story zako ni za uongo.
P2 pls
Asante ayush
Bairut
@@ayshamahariq6665 Beirut
🙌🙌🇰🇪🇹🇿
Sijachelewa sana leo
Hatar
Mtu akikuambia niliaza na mtaji wa buku mbili muagalie Kwa macho ma4
Kwa kweli wanga Sana hawa
🤣🤪😲
Usione watu wanadrive ma V8 kuna mengi nyuma ya pazia
Chakushangaza muonekano wakitajir hamna, umeshauwa watu wako wa karibu sasaiv unahangaika, uyo shetani Hana utajiri wa kumpa mtu ndo maana anatoa mashart magumu, Nia Yao watupoteze binaadamu
Mbaya zaidi sio kulala na mama yake,lakini kuwaua watoto wake.
Tuko pamoja kaka Dv
jamaa wacheni tamaa
Davst naona unatamba na nguo ya docta mtimkavu
37 minutes mtu wa 234 doh mko faster kweli big up DM