MAMAAAAAA...Taarifa ya NAPE YATIKISA , LISSU Ataficha wapi sura YAKE?

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 545

  • @enockgogy5458
    @enockgogy5458 หลายเดือนก่อน +11

    Nape unazani watanzania awajui ukweli acha kijipendekea nape taifa aliko sawa kabisa kodi inadidimiza taifa kila kitu nikodi tu mahosptali amna madawa

  • @joramjoramtiles4380
    @joramjoramtiles4380 หลายเดือนก่อน +3

    Tundu Risu ni jicho wa wa Tanzania Alie teuliwa na mungu kuyasemea madudu yanayo endelea Kwa watanzania tusemee tusie jua nchi inaendaje

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza หลายเดือนก่อน +8

    Umejibiwa na wanaume wasomi.umesikia katiba ya zanzimba alivyo fafanuwa.mwanaume lissu.. nape lisuu ni msomi huwezi kulingana naye. Powa.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 หลายเดือนก่อน +14

    Hongera sana Tundu Lissu, tuelemishe hata tuliyokuwa hatuyafahamu. Nape na Samia wanataka wamasai wawe wakimbizi kutoka katika Inchi yake. Nape anafurahia kuona wamasai hawana kwao. Kwa nini mzanzibari atufukuze mahali petu? Yeye anagawa kila kitu lakini Nape anaona raha kwa kuwa mchawa kwa Samia. Kawe mchawa tu kwa Samia. Kwani kuitwa mzanzibari ni vibaya kwani. Hata hivyo tunataka KATIBA na hiyo KATIBA ni lazima Tanganyika yetu irudi . Ninyi Zanzibar mna KATIBA yenu sisi labda hatuna KATIBA ya Tanganyika. Basi nasi tuwe na KATIBA yetu ni lazima tuwe na hiyo KATIBA ya Tanganyika ili hili hili LIKATIBA libaki kuwa la muungano wao.

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 หลายเดือนก่อน +3

    Kwanza nape sisi atukuelewi kabisa ili tuanze kukusikiliza turudishie MB zetu ulizo tuibia

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 หลายเดือนก่อน +2

    Kwahiyo kama amerudishwa asiseme ukweli nape umesahau mungu atakukimbusha ipo siku

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga หลายเดือนก่อน +10

    Nape mkamateni na yule wa Bukoba aliesema watu wakipotea wasitafutwe. Mbona husemi iweje lisu? Usifikiri watanzania hawajui? Ila wameamua kunyamaza tuuu na kukimbilia kwa mwamposa kwa sababu wamekata tamaa na viongozi kama wewe...

    • @user-pj8cj7ps5b
      @user-pj8cj7ps5b หลายเดือนก่อน +1

      Lisu yuko sawa safi sana

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 หลายเดือนก่อน +11

    Nahuyu Nape ni chawa tuuuu hizi nihona za kitafuta cheo cha juuu

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 หลายเดือนก่อน +24

    Nape punguza jazba jibu hoja ya Katiba ya Zanziba inayo futa Uraiya wa .................kuwa niwa Mchongo

    • @hamisijuma8124
      @hamisijuma8124 หลายเดือนก่อน

      Mikundu nyiemsilete ukabila

  • @fredrickkaaya6287
    @fredrickkaaya6287 หลายเดือนก่อน +7

    Wewe chawa tu mmechelewa lazima mjue muda wenu umeisha. Jiandaeni kuwa upinzani ujao.

  • @chengobenardchengobenard8056
    @chengobenardchengobenard8056 หลายเดือนก่อน +8

    Ww ndo wakwanza kukutenga sio lisu nape ww unatetea ugari hapo unataka upatiwe uwazir ww nape tumtenge watanzanis

  • @DanielMagwiza-wx7el
    @DanielMagwiza-wx7el หลายเดือนก่อน +12

    Wewe ndiyo utengwe na ulaaniwe anayosema yanatoka kwenye katiba ya Zanzibar

  • @AmanLaizer-rb5rt
    @AmanLaizer-rb5rt หลายเดือนก่อน +11

    Amelaaniwa Nape tumbo nnauye

    • @sadickissa1600
      @sadickissa1600 หลายเดือนก่อน

      Kemeaa wizi wa hela za walipa kodi cag mbona umenyamaza wacha watu waseme ukweli.

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 หลายเดือนก่อน +6

    😮muungano tunataka ra kini tuweke saw upo hovyo ulikuwa mzuri zaman tulikuwa 3 mlion wakat zamba walikuwa 9 laki so mgao wa sawa kwa watu 3 mlion kwa milin 70, siyo sawa tulekebishe

  • @reonandmpangalushu3434
    @reonandmpangalushu3434 หลายเดือนก่อน +9

    Ww si yule wa kipindi kile cha ---- au mm nmesahau, mliongea sana kuhusu ukanda, acha dawa iwaingie

  • @johnny.j.nyondo
    @johnny.j.nyondo หลายเดือนก่อน +1

    It’s so nice kumsikiliza Tundu Lissu. Yaani hata kama anakudanganya basi unadanganyika kwa kueleweshwa vizuri kwa hoja zilizopangika vizuri. Kimsingi unakuwa unapotea kwa maelekezo mazuri. Lakini I just love him.

  • @wilbartwilliam
    @wilbartwilliam หลายเดือนก่อน +14

    Nape wewe ndo uwelewi.

    • @bakarisaidi3022
      @bakarisaidi3022 หลายเดือนก่อน

      so mnataka kuwa wakabila kama sisi wakenya 😆😆😆karibuni sana

  • @narcissusmakenge4710
    @narcissusmakenge4710 หลายเดือนก่อน +5

    Akili ndogo inaongoza akili kubwa. Muungano ufe tumechoka.

  • @salumnassornassor9733
    @salumnassornassor9733 หลายเดือนก่อน +7

    Nape anatetea ugali wake wasimsikilize lisu ila watu wameamka yeye nape anapata mihela kibao kazibwa mdomo maovu hayasemi kwa iyo lisu kapewa pesa zake ndio asiseme ukweli na anasema anapotosha watu sioni tatizo kwa lisu tuache ujinga haki itawale

    • @user-xj3um9si6o
      @user-xj3um9si6o หลายเดือนก่อน +2

      kweli kabisa nape sio wa kusikilizwa hawa wanaccm wanatetea ulaji wanaokula nchi hii,kwann ajawai kuongelea kuhusu sisi wamasai tunavyonyang'anywa sehemu zetu kama kweli anapenda nchi na wananchi waliopo kwann amekaa kimya wakat huku tunafukuzwa kama mbwa na yupo bungen na anasikia na anajua

    • @NdeshaPaul-uz9bw
      @NdeshaPaul-uz9bw หลายเดือนก่อน

      Wewe ni mpuuzi kupimdukia Tena umebaki tumbo TU huna lolote. Unadhami watanzania ni wajinga kama wewe inaongea matope kwa kuwa akili Yako ni tope. Tena wewe ni mnafiki.enzi za unafiki zalimepitwa na wakati. Hivi huko ccm inakaaa ukifanya nini rndapo unatoa pumba Kali hivyo? Umeshiba hata unashindwa kuelewa ukweli ulivyo? Kweli una tatizo kubwa sana kiakili au pengine umrshachangsmyolies. Pole sana.😢

    • @BoniphasLukas
      @BoniphasLukas หลายเดือนก่อน

      Kwendraaa Kule nyie ndio wenye tamaa mnauza nchi yetu nahii mibunge iliopita bila kupingwa yenyew Kaz kupiga meza tu hayana hata hoja kama masenge vile mamae

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m หลายเดือนก่อน +8

    Wewe nape pamoja na ccm wote. Wezi mbwa nyie.

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 หลายเดือนก่อน +15

    Nape endelea kutetea tumbo lako nakuongezea ukubwa wa suti sisi sio wajinga tunaona 😂

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf หลายเดือนก่อน

      Hilo neno upuuzi Kwa bungeni halina avya

  • @lukampwepwa1578
    @lukampwepwa1578 หลายเดือนก่อน +12

    Watanzania sio wajinga Nnape huna sera

    • @simongwandu7392
      @simongwandu7392 หลายเดือนก่อน +1

      Watanzania ni wajinga
      Wanaacha kazi na kutembea barabarani .Lisu analipwa wao wamelipwa nini
      Wanasiasa ndiyo wenye fedha
      Mnaoandamana mnalipwa nin

  • @user-nr3uw7bq1r
    @user-nr3uw7bq1r หลายเดือนก่อน +10

    Kichwa kibovu jamani mhurumieni huyu fala

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 หลายเดือนก่อน +10

    Jenga point zenye hoja tija,
    Sio kujichawisha kichawa chawa tu.

  • @user-jo6kb7ee8v
    @user-jo6kb7ee8v หลายเดือนก่อน

    Uko sawa MH. Ubaguzi wa aina yoyote hautakiwi, Waasisi wetu wote waliukemea kwa nguvu zote. Ni jukumu la Kila Mtanzania kuilinda AMANI TULIYONAYO. CHARLES MASOLWA MABONA.

  • @user-vj4bf9cf5i
    @user-vj4bf9cf5i หลายเดือนก่อน +9

    Tanganyika kwanza.

  • @AloisMosha-uv2fu
    @AloisMosha-uv2fu หลายเดือนก่อน +8

    Tuwatenge ccm

  • @ShadrakNdalu
    @ShadrakNdalu หลายเดือนก่อน +4

    Mi naona Hawa ccm wanamatatizo sana mbona Nyerere alikua raisi wa jamhuri ya muungano: je aliwahi kuuza ardhi ya Zanzibar???

  • @rayyahinay-hp7jf
    @rayyahinay-hp7jf หลายเดือนก่อน

    Sasa hv tunamtaka huyohuyo dr Samia kazi iendelee!!!

  • @pharesjrmitarya3230
    @pharesjrmitarya3230 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa maneno hayo Nape unatakiwa utengwe!

  • @user-cj9oh6iy5y
    @user-cj9oh6iy5y หลายเดือนก่อน +17

    Lisu yuko sawa

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b หลายเดือนก่อน

      KAKAE NAE KICHAA HUYO MVURUGA AMANI

    • @user-nq2np6de6l
      @user-nq2np6de6l หลายเดือนก่อน

      Watanganyika wengi wanaona Hili la Utanganyika ila hawalioni vp wazanzibar na wao miaka nenda miaka rudi znz haipewi fungu lake la Muungano wamekaa kimya

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 หลายเดือนก่อน

      Lisu hayuko SAWA Maana CHADEMA Ina wadhamini wa Chama Tanganyika na Znz

  • @SeifYusuf-jf7bn
    @SeifYusuf-jf7bn หลายเดือนก่อน +5

    LISSU MTU MWENYE AKILI NYINGI SANA ASIKILIZWE PLEASE

    • @joscamwoshezi2986
      @joscamwoshezi2986 หลายเดือนก่อน

      Lisu ni kichaa kabisa.

    • @user-go2qe8hx5u
      @user-go2qe8hx5u หลายเดือนก่อน

      ETI LISSU NI MWENYE AKILI NYINGI - INAMAANA KUUKUBALI USHOGA NI AKILI NYINGI WE BWEGE KWELI ALIPEWA MASHARTI HUKO ULAYA ALIKOKUWA ASAPORT USHOGA NA ALIKUBALI NA AKASHABIKIA USHOGA NA WALE WAZUNGU WAKE WAWILI AMBAO INAONESHA INAWEZEKANA WALIKUWA NI MABWANA ZAKE.

    • @SeifYusuf-jf7bn
      @SeifYusuf-jf7bn หลายเดือนก่อน

      @@user-go2qe8hx5u Kwani Kuwa Shoga Mtu Analazimishwa c Anataka Mwenyewe Kufumuliwa Halafu Mimi sio Bwege May be Your Father.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน

      ​@@joscamwoshezi2986kweli yawezekana lissu ni kichaa na yule wa bukoba mnamweke kwenye kundi gani

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน

      ​@@user-go2qe8hx5upropaganda hatutaki , tunaitaka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 หลายเดือนก่อน +2

    Watanganyika watengeni CCM . Nape hana habari kuwa CCM IMEISHA TENGWA KABISA TENA UKIZIDI KUTUONGOPEA NDIYO TUTAWATENGA. NDIYO SABABU MAGUFULI MWENYE AKILI ALIYEKUWA HATAKI UNAFIKI ALIKUFUKUZA

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli kabisa ni bunge la mchongo. Nape ndiye anatumia maneno ya hivyo kama alipomtukana Magufuli. Kama alivyo ongea maneno ya ovyo kuwa yuko tayari kuingiza CCM hata kwa goal la mkono.

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf หลายเดือนก่อน

      Chombo Cha juu Cha habari kinaita watu wapuuzi kikiwa kimesimama bungeni dah

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im หลายเดือนก่อน +3

    Muungano hauko fair. Inakuwaje bunge lina wabunge wengi wazanzibari na wakati wawo idadi yawo ni łąki 5 tu. Huwa simuungi Tundu Lissu mkono kwa hili Tundu Lissu anasema ukweli. Wewe NAPE nyamaza ni wewe unamutukana Rais. Wewe ulimutukana Magufuli na Polepole. Muungwana kwa kukupa Kazi bila ya elimu? CCM ilinyamaza wakati Magufuli akitukanwa

  • @cyprianpetetmbonde6374
    @cyprianpetetmbonde6374 หลายเดือนก่อน +2

    Nape instead muungano,, au tonge? Kwani wamasai hawadhalilishwi? Nape tambua WATANGANYIKA sisi sio walee,,,,

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb หลายเดือนก่อน +4

    CCM kashindwa kuizika chadema wewe utaweza ???????????? Mpuuzi weeeeee

  • @ephraimmwidunda7136
    @ephraimmwidunda7136 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu si wa kwanza kuulizia Tanganyika! Alikuwepo Mtikila! Alidai wakati bado hata mchonga yupo 😆😀

  • @suleimanomary8689
    @suleimanomary8689 หลายเดือนก่อน +1

    Mtoke sasa mfanye mikutano ya hadhara muwaeleze wananchi ili wasimusikilize, lakini lazima tuseme ukweli, nakonda ndiyo ilikuwa kiboko yao, kwa sababu alipoteuluwa tu walianza kumuhutubia kwenye mikutano na maadamano yao.

  • @ngusacharles475
    @ngusacharles475 หลายเดือนก่อน

    Ila Makonda angekuwa Mwenezi haya yasingetokea kabisa uchawi wa upinzani Dawa yao ni Makonda.

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 หลายเดือนก่อน +4

    Mm simpendi tundulissu lkn ukweli mwabaini amesema ukweli kbs

  • @user-xj3um9si6o
    @user-xj3um9si6o หลายเดือนก่อน +1

    nape ni mmoja kati ya watu ndan ya serikali hii wenye ukabila na ni mmoja wa wanaotunyima haki yetu wamasai na kutuhamisha atakama haongei ila yupo kwann tundu lisu akiongea kuhusu hilo anakua mkali wanapata nini kwenye hili,inamaana hakuna sehemu nzazibar ya kuwapa waarabu

  • @josephbundala1475
    @josephbundala1475 หลายเดือนก่อน +1

    Siasa hizi! Zanzibar ni nchi na Tanganyika ni nchi. Usisfanye hesabu ya watu kienyeji hivyo kuwa majimbo upande mmoja ni madogo mno. Hakuna hesabu ya hivyo. Mi mtu wa Bara, mbona nina jamaa zangu toka bara wanamiliki ardhi Zanzibar? CHEDEMA tuambieni sera zenu mtaifanyia nini Tanzania ili tuwachague . Siyo hayo maneno mnayopotosha wananchi.

    • @pharesjrmitarya3230
      @pharesjrmitarya3230 หลายเดือนก่อน

      acha uongo wewe, katiba ya Zanzibar hairuhusu hiyo kitu

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u 7 วันที่ผ่านมา

    Kabila mzanzibar hapana hii haiko sawa ila ktk maneno yake Kuna pointi maana world oil imenunua bandari ya Tanzania na c ya Zanzibar je... Wewe unaweza liwazaje hilooo

  • @lukampwepwa1578
    @lukampwepwa1578 หลายเดือนก่อน +3

    Nnape umepata madaraka kwa mgongo wa mzee Moses Nnauye! Wangapi mko humo kwa majina ya Baba zenu au unadhan hatujui

    • @maulidmponda8224
      @maulidmponda8224 หลายเดือนก่อน

      Jiongeze Brother Be Care full

  • @danielngogo8285
    @danielngogo8285 หลายเดือนก่อน

    Kuandamana ni haki ya Kila mmoja si uhungwana wa mtu.

  • @amosmasele1398
    @amosmasele1398 หลายเดือนก่อน +1

    Tundu lisu Kaa kimya nchi,,itawalike!!! Vinginevyo urudi ulikokuwa,,, nilikuwa nakukubali SANA lakini sasa inatoshaaa,,,,,nshagundua kua ni mtafuta ubwabwa tu na weweeeee!! Umepewa uhuru lakini uhuru tukafurahi kwamba ututetee chama chetuu!!! Tena umeanza kutumia vibaya,,,basii!!✌️❌ Kuanzia Leo nileteeni kadi ya 👍✅

    • @user-fl2th1xc8y
      @user-fl2th1xc8y หลายเดือนก่อน

      Acha unafiki tangu lini ukawa chadema mpuuzi kama wewe kaa utulie sindano ziwaingie mbwa nyie.

  • @LaureanKajugusi
    @LaureanKajugusi หลายเดือนก่อน

    Maneno yamtokayo Tundu Lisu, hayamstahilishi kumuita mwanasiasa!!!Siamini mwanasiasa kuwa juu ya sheria.Hii ni kututia mashaka siye waajiri wa wanasiasa. Hata hivyo hii ndiyo maana ya siasa?..Tuwaamishe hivyo watoto.wetu?.Kwa namna yake, je, huupokea mkate wa Beana? Ni hatari!!!.

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 หลายเดือนก่อน +2

    Nape we mjinga tu huna uwezo wa kuongea au kujibishana na Tundu lisu

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 หลายเดือนก่อน

      Wabunge wa mchongo wanashangilia ufala

  • @NANCYWARD488
    @NANCYWARD488 หลายเดือนก่อน +2

    Nape.. hata wewe ulipo tumbiliwa ulisema umelala Porini kuiweka CCM Madarakani. Leo umepata cheo una muona Lisu hafai. Mimi ni CCM. Lakini nimemsikiliza Lisu, kweli maneno yake yana make Sense

  • @RashidMhina-jp5mi
    @RashidMhina-jp5mi หลายเดือนก่อน

    Tundulisu amekua mchonganishi apuuzwe .kujenga nchi si lelemama. mengine tuzibe masikio

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim หลายเดือนก่อน

    Wacha auze mbn taanyika inaibana Zanzibar..basi vunjeni muungano..wakati Wazanzibar ndo wanabaguliwa

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 หลายเดือนก่อน +2

    Nape ww ni sawa na mbu kunyonya damu mmekula nchi kuanzia babako hadi leo uozo mlio nao ni mkubwa mno mnaropoka tu hamjui upande upepo unapoelekea kwani mmelelewa kimayai huoni kbs mateso tuliyo nayo watu wa chini shut up up kula kulala ww

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib หลายเดือนก่อน

    LISU RISASI ZIMEFYATUA AKILI ZAKE. HII NCHI HAINA DINI WALA UKANDA. NA HAIONGOZWI KWA SABABU ZA DINI RANGI UKANDA NA UKABILA.

  • @symonmhoja3102
    @symonmhoja3102 หลายเดือนก่อน

    All is well, ila kauli ya Tundulisu kuhusu Uzanzbar na Utanganyika ni ya kichoko na haina afya kwa Taifa letu.

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc หลายเดือนก่อน +1

    Lisu yupo saaaaaaaaaaaaawa kabisa wewe ndio ulaaaaniwe asilimia Mia ,alafu hao polis kulinda maandamano ndio kaz yao kikatiba wew tulia kunywauji

  • @faithlutainulwa3832
    @faithlutainulwa3832 หลายเดือนก่อน

    Ahsante Sana mwanetuuu.
    Uko vizuri Sana, umenena vyema. Umekonga Moyo wangu mno. Huo ndiyo uzalendo baba. Ni wajibu wetu kulinda Nchi, kiilinda katiba, kiilinda Serikali na Raisi aliyepo madarakani.
    Mungu akulinde Mheshimiwa Nape,

  • @edwardmwandu3564
    @edwardmwandu3564 หลายเดือนก่อน

    Mwaka 2025 TUUNGANE KUMNG'OA mzanzibar wao arudi nchini kwao

  • @user-nr3uw7bq1r
    @user-nr3uw7bq1r หลายเดือนก่อน +3

    Kumbukeni watz bwawa la nyerere limeiva sgr nayo iko mbioni, lažima wazungu watatumia kilambinu manufaa haya yasiwafikie wananchi kuwa tumia vibaraka hawa

    • @SeifYusuf-jf7bn
      @SeifYusuf-jf7bn หลายเดือนก่อน

      Vibaraka Wa Bandari Zetu Unawajua?

    • @frankmayogo3529
      @frankmayogo3529 หลายเดือนก่อน

      Hujui kitu unabwabwaja man na Bado watoto wako watakuja kuelewa tu.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน

      Kibaraka km nape

  • @rithaurassa
    @rithaurassa หลายเดือนก่อน

    Hatukuelewi kwanza unaongea nini hii nchi ni. Ya wote ulikuwa unategemea akaishi wap? Tete tumbo lako sis bado hi nchi inahitaji watu wenye hofu ya MUNGU KAMA MH. LISU TU.

  • @tuntufyemwasyete3834
    @tuntufyemwasyete3834 หลายเดือนก่อน

    ifike mahari katiba ibadilshwe huu ujinga mpaka lin kwan hii nchi aina wasomi mpaka tunaongozwa na wazanzibar.?

  • @Nedjadist
    @Nedjadist หลายเดือนก่อน +3

    Mimi si fan wa CCM na hasa si wa huyu Nae, lakini katika hili ukweli usemwe: matamshi ya Lissu si mazuri wala ya siasa njema. Huyu atapelekea machafuko. Si Uzanzibari. Watanganyika wangapi, JK, wameiuza nchi?

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi หลายเดือนก่อน

      Sasa ajibu oja kwa nn Zina uzwa mali Tanganyika pekeake na sio Zanzibar

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz หลายเดือนก่อน

      Ww nawe una akili ndogo ,atapelekea machafuko kivipi?

    • @user-nf7vq6dt3z
      @user-nf7vq6dt3z หลายเดือนก่อน

      Tundu anaumwa apimwe akili huyu ni mwenda wazimu kuliko wendawazimu wa jamaika.

    • @user-nf7vq6dt3z
      @user-nf7vq6dt3z หลายเดือนก่อน

      Kimeuzwa kitu Gani lisu ACHA uongo hujawapeleke maji wananchi skuli hospitali wewe unajenga matusi tu basi hatukutakiiii

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi หลายเดือนก่อน

      @@user-nf7vq6dt3z ivi watu kama nyinyi uwa niwa tz au munavamia nchii ndo mnatualibia nchi ye2 kwaiyo bandali aija uzwa sio nawalee wamasai awaja fukuzwa sindio naizii Kodii azipo sindio ivi we unajitambua au akili zako zip kwenye makalio Yani maisha magum wa2 Wana kufa mitaani kwa ugonjwa galama laki mbili2 ivi we una akili kwelii wee nichizii lama chiziii ujitambuiii

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 หลายเดือนก่อน

    Wewe utalinda muungano hauna maslahi kwa mjibu wa kile alichosema huyu lisu kama ni kweli muungano wazanzibari wavunje nao katiba yao tuwenayo moja . Ndiyo maana ya kuungana

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 หลายเดือนก่อน

    Kama tupo pamoja kwanini Zanzibar Wana Katina yaooo nasisi hatuna

  • @ananiamwatebela3159
    @ananiamwatebela3159 หลายเดือนก่อน +3

    Huna akili ww na kichwa chako kikibwa ivho utamkosoa lossu ww au umesahau nyakat za mzee jpm ulivochanganyikiwa ww

  • @isakakimolo5365
    @isakakimolo5365 หลายเดือนก่อน

    Polepole bwana. Uko kwenye jukwaa kubwa.

  • @DhamraTaib
    @DhamraTaib หลายเดือนก่อน

    Mwanaharamu tu huyu sijui kama yeye anaijuwa asili yake angepewa yeye icho kiti angefanya hivohivo ubaguzi tu anauleta mungu Kawalani watu kama hawa asitake tufarakane na nchi yetu kukosa amani tunajivunia amani yetu

    • @dullayomwinyi3359
      @dullayomwinyi3359 หลายเดือนก่อน

      Hatutaki mazoeya kwani so kweli anauza ardhi za Tanganyika na kuwaangaisha wananchi huku na kule muungano Bora ivunjike

  • @allyopi6101
    @allyopi6101 หลายเดือนก่อน

    Nape achakutoa povu hunalolote unabebwatu unatafutahuruma ya rais iliakuchague uwe waziri😂

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 หลายเดือนก่อน +2

    Hatutaki muungano hauna maan ni manyanyaso

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf หลายเดือนก่อน +1

    Jamani kwani Samia ni mtanganyika si mzanzibari jamani kosa la lissu liko wapi

  • @shemsewando1444
    @shemsewando1444 หลายเดือนก่อน

    Nape hayo maneno yakurudie wewe mwenyewe, kama Roho ya Mungu iishivyo . NA NDOO MAANA MAGUFULI ALIKUFUKUZA.

  • @AllyMohd-qo8vm
    @AllyMohd-qo8vm หลายเดือนก่อน

    Uyoo Lisu anajichanganya tu sjui kajipak mavi

  • @msafirikushama2193
    @msafirikushama2193 หลายเดือนก่อน +2

    Nape ni mkweli nchi yetu ni ya Watanzania, tusijinadi kwa ukabila, ukanda na utaifa kwa maana nchi yetu ni moja nayo ni jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

    • @tinosimon595
      @tinosimon595 หลายเดือนก่อน +1

      Usilete ubaguzi hayo mambo yako yamepita na wakati

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz หลายเดือนก่อน

      ​@@tinosimon595ila wizi wa kura umehalalishwa si ndio?

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 หลายเดือนก่อน

      TUNATAKA RASILIMALI ZETU .

    • @jumaseifjuma4185
      @jumaseifjuma4185 หลายเดือนก่อน +1

      Lissu kaainisha kifungu cha Katiba ya Zanzibar kinachosema Zanzibar ni nchi na mambo mengine mfano wake. Hapo tayari kuna nchi mbili naona, hebu jaribu kuweka sawa maelezo yako.

  • @kusinayusuph2294
    @kusinayusuph2294 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli CCM bilawewe itakufa wewe nimtu muhimu sana

  • @BenMahende
    @BenMahende หลายเดือนก่อน

    Mwache Lisu aongee. Tz ya sasa ni ya Demokrasia, kwa sasa ni full uhuru wa kuongea

  • @williumteete2626
    @williumteete2626 หลายเดือนก่อน

    Muungano wa Zanzibar na Tanganyika, Zanzibar ina rais, ina katiba yake, ina jeshi lake, kinajiendesha mambo yake bila shida, ya Tanganyika yako wapi? Tumeungana kwenye nini? Wekeni mambo sawa. Mpoooo?

  • @user-wv5is5ky9b
    @user-wv5is5ky9b หลายเดือนก่อน +1

    Tundu lisu fanyeni jitihada zenu muvunje muungano ili musiongoze na mzanzibari kwa wazanzibar hatutaki muungano

  • @charlesshilla9740
    @charlesshilla9740 หลายเดือนก่อน

    Na wewe usimkosea mwenzako kumeita "mpuuzi" huo sio uungwana. Kemea kwa STAHA!!

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 หลายเดือนก่อน

    Vunja Muungano Wazanzibari wote tunamsapoti Lissu ,Lissu anatetea Tanganyika yao ni yupo sawa ,Tanzania ni nchi mbili zilizoungana Tanganyika na Zanzibar, Zanzibar ipo Hiyo nyingine ipo wapi??????ndio suali la Lissu inshort Huo Muungano ni batili ,hakuna muungano wenye masilahi kwa upande mmoja tu

  • @rayyahinay-hp7jf
    @rayyahinay-hp7jf หลายเดือนก่อน

    Hongera Nape!!!

  • @FabianDickson-bg5ch
    @FabianDickson-bg5ch หลายเดือนก่อน

    jamani watanzania tunafikaje huko. hakika kama ataendelea katika kukosoa serikari kwa kuweka mgawanyiko wa Tanganyika na Zanzibar . atasababisha hitilafu kubwa kati ya wanainchi wa Zanzibar na Tanganyika. tafadharini sana watanzania wenzangu

  • @mohammdsaid2981
    @mohammdsaid2981 หลายเดือนก่อน

    Hyu tindu lisu ni shoga halafu yy mwenyewe ni mtusi amezoea ubaguzi mbwa hyu mungu akulaani mshenzi mkubwa w

  • @plotagonworld-sc4ln
    @plotagonworld-sc4ln หลายเดือนก่อน

    Love ❤ you lisu

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 หลายเดือนก่อน

    Wewe mwenyewe Nape unashindwa kuwaheshimu wanasiasa wenzako unawaita wapuuzi unataka upigiwe magoti wewe nani nchi hii ni yetu wote na kila mtu anayo haki ya kutoa mawazo yake hasa yanayohusu watu wote na siyo cheo au nafasi yako uliyorithi kutoka kwa baba yako wewe tumeshakushutukia ni chawa tu

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y หลายเดือนก่อน

    Anazingua huyu mzee tumajua kila kitu cc niwatumwactunajua

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim หลายเดือนก่อน

    Muongo lissu watanganyika wapo Zanzibar na wanamiliki ardhi na washazaana usiseme uongo

  • @user-if1du1td2x
    @user-if1du1td2x หลายเดือนก่อน

    Mi mzamzibari ila hapo namunga mkono lisi yupo sahihi badae hata wewe ukikosa Cheo utaongelea tu hivo

  • @RashidThabite
    @RashidThabite หลายเดือนก่อน

    Tumwambie nape yeye nawenzie ndo wapigaji wakubwa wainchi hii

  • @DanielMagwiza-wx7el
    @DanielMagwiza-wx7el หลายเดือนก่อน +2

    Tusomee katiba ya Zanzibar kwanza

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi alipata Devision ngapi huyu form 4

  • @antonyibrahim5949
    @antonyibrahim5949 หลายเดือนก่อน

    Haina jipya nape,jibu kilichozungumzwa

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph5811 หลายเดือนก่อน

    NAPE NAKUULEWA SANA KAKA YANGU

  • @HamduniYasir
    @HamduniYasir หลายเดือนก่อน

    Lisu ni mpumbavu km wapumbavu wengine apuuzwe ameishiwa kisiasa
    Yy apiganie ushogo tu sio siasa ana akili kabsa

  • @medicalamon908
    @medicalamon908 หลายเดือนก่อน

    Kumrudisha Lisu na Kuruhusu mikutano.Swali: Je Ukimfadhili mtu ndiyo iwe sababu ya kufanya unavyotaka? Hutakiwi kukemea Mfadhili anapokosea? Umeme kwetu ni wa mgao,Zanzibar hamna kitu hicho? Bandari za Tanganyika amezigawa za Zanzibar ziko salama.Lisu na Samia nani ni mbaguzi? Wabunge mnapiga makofi mnashangilia KWELI ni HAKI hivyo mnavyofanya?

  • @user-ud4rk1vw7l
    @user-ud4rk1vw7l หลายเดือนก่อน

    Nape achana na Roboti Hilo . Muflis hawana hoja mara bandari , mara katiba , mara maandamano haijulikani wanataka Nini eti Mzazibari Nini maana ya Tanzania ,Roboti futa neno Tanzania .

  • @lupyanamatimbwi8064
    @lupyanamatimbwi8064 หลายเดือนก่อน

    Nape tulia upewe dozi na watu wenye akili

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8b หลายเดือนก่อน +4

    Mfungeni jera au anapata viboko 3kilasiku nyau

    • @jakobongwara3038
      @jakobongwara3038 หลายเดือนก่อน

      Nnn wanauza Mali arafu wanachukiwa kuambiwa ukweri mungu anawaona ccm hizimali mtatapika siku mungu akija haaaa

    • @jakobongwara3038
      @jakobongwara3038 หลายเดือนก่อน

      Nnn wanauza Mali arafu wanachukiwa kuambiwa ukweri mungu anawaona ccm hizimali mtatapika siku mungu akija haaaa

    • @jakobongwara3038
      @jakobongwara3038 หลายเดือนก่อน

      Risu wanyoshe walevi wamadalaka

    • @davisndimila1559
      @davisndimila1559 หลายเดือนก่อน

      ​@@jakobongwara3038 hili tunalifurahia mda huu, ila hii dhambi itatutafuna, tushabikie vyenye tija na mwanga kwa taifa hila kwa hili analolizungumza lisu kuhusu uzanzibari na utanganyika sijalikubali.

  • @davischitumbula823
    @davischitumbula823 หลายเดือนก่อน

    Nape kweliwewe falakabisa zazibali unaenda nakitabulisho wazazibali wanaingia bala bilachochote

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o หลายเดือนก่อน

    Nani amefilisika kwani zanziba hakuna misitu bandari kwanini hajayikabizi waarabu nape acha ubwege

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband หลายเดือนก่อน

    sasaaaa siandiki chochote ila kati ya Hawa Wawili mmoja Ana Akili sana na Ana utaalamu mkubwa wa kufafanua Mambo na kuisaidia TANGANYIKA....