USHUHUDA: NILIMWOONA MDADA AKICHUNWA NGOZI | NYWELE BANDIA |KUCHA BANDIA | NABII ESTHER MASANJA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- BADO KUNA USHINDI TV NI TV YA MTANDAONI INAYOJIHUSISHA NA MAMBO YENYE KUJENGA NA KUINUA IMANI YA KIKRISTO KUHUSU MUNGU WA KWELI YEHOVA. INARUSHA SEMINA, MIKUTANO YA INJILI, SHUHUDA ZENYE KUJENGA NA SIMULIZI MBALIMBALI ZA MAISHA YA MASHUJAA WA IMANI.
UNGANA NASI KWA KU-SUBSCRIBE, KU-SHARE NA ILI KUBORESHA HUDUMA HII UNAWEZA KUCHANGIA AU KUTUMA SADAKA YAKO. KWA NAMBA +255 718 600 557, + 255 629 920 640. PIA NAMBA HIZI UNAWEZA KUZITUMIA KWA MAWASILIANO. JINA LITAKALO TOKEA UKITUMA SADAKA YAKO NI DANIEL ANTHONY KITUA. UBARIKIWE
Nina asilimia kubwa Sana kwa mafundisho Kama haya wengi hawapendi kuyasikiliza na ndo maana hata moment zinakuwa chache maana mama kabina panapo wakuna wengi hudhani ni mafundisho ya kujitungia hapana..roho wa Mungu anawafunulia watumishi lakin tunawadhihaki..mama ubalikiwe mama umewakuna panapo washa hallelujaaaaaa❤❤❤
Bwana utusaidie kwenye kanisa kwetu tutanuna sana kwa mahubiri haya
Ni kwelij,watumishi wengi mbona wako hivyo
Asante Mungu hayo yote situmii nashukuru na uumbaji wako🙌🙌🙌🙏
Hongera mama kwa ujumbe uliopewa na mungu uko vizur na mungu akulinde daimaa
Ujumbe mzuri,mungu akubariki
Mungu akubariki mtumishi
Tulioko rohoni unatuokoa sana na kuzimu🎉
Mi nakuamini sana mama ester wewe ni nabii wa kweli jumbe zako hazifichiki zipo WAZI MUNGU azidi sana kukufunulia ili watu tupone
Asante Mama una tusaidia tupone na jehanamu
Mungu nisaidie
Umetoa ushuhuda huu vizuri sana mtumishi wa Mungu Esther. Ubarikiwe sana. Nampenda Yesu sana.
Mama ahsante sana mama barikiwa sana kwa mafundisho mazuri
Yes, ni roho kamili. Wanawake wengi hawajiamini, wanamtukana Mungu kwa kudharau uumbaji Wake. Absolutely. Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu Esta. Ashukuriwe Mungu sana.
Amen amen nakupenda sana mamangu kwa mafundisho yako mungu akubariki
HALLELUYA. YESU NI MZURI SANA JAMANI. ANATUPENDA SANA WANADAMU, HATAKI TUANGAMIE. HEEEEEEE. NAPIGA KELELE SAAAANA KWA JINSI USHUHUDA ULIVYO POWERFUL.
Ni kweli kabisa .Mungu na akubaliki kwa ushuhuda mzuri
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Ni kweli mimi nimepitia njia hiyo lakini nilitokewa na Mungu kakweli nikapata neema ya wokovu nikaacha mpaka Leo nipo katika kweli.
🤝
HALLELUYA HALLELUYA HALLELUYA.
UBARIKIWE SANA MTUMWA WA YESU KRISTO ESTA.
HAKIKA KWENYE WOKOVU KUNA NGAZI ZA KUKUA KIROHO. MUNGU ATUSAIDIE TUSIANGUKE NA KUMUACHA YESU.
USHUHUDA WA NGUVU SANA.
Mungu nisaidiye ubarikiwe sanaaa mutumishi wa Mungu
Amen Dada ubarikiwe. Naomba no yako Dada.
hakika na kweli yote be blessed
Ubarikiwe sana ester wa Yesu. Nashukuru sana kwa ujumbe 🙏🏽
Mungu akubaruki sana mama yetu na Mungu aendelee kukutumia zaidi.
Ubarikiwe Mujakazi Wa Mungu..
Hiyo ni kweli ,kweli.
Amante
Mungu azidi ku kutumiya zaidi na zaidi yaani viwango badala ya viwango, Ubarikiwe sana mutumishi wa Mungu.
Ameeeni nakupenda sana❤
Mama kunamtumishi wa kisabato alikuwa ana yshubiri hayo sema watu walimdharau ila mi nilipoona kaletwa mwanamke mwenye mapepo alikuwa amejiremba sana mtumishi akasema mnjoeni hizo njele kwangua kucha akatolewa urembo wote baada ya hapo msoepo yaksmtoka tokea hapo mi nanyoa nywele zangu cpaki urem o wowote nilimuogopa sana mungu barikiwa sana mama yangu nakupenda sana
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu aliye hai
@@NdeshimuniSwai ameni
Hallelujah. Napenda huo ujumbe wa kuambiwa na Yesu kufunika kichwa ukiwa mbele zake kwenye maombi, kuhutubu. Mungu Atusaidie tupone. Nampenda sana Yesu. Napenda sana niingie mbinguni. Mimi sio wa dunia na Jehanumm. Mungu Nisaidie.
Ameen
Mungu akubariki kwa kukubari kutuletea ujumbe tupone
Mungu akulinde Ili tupate maarifa Asante
Amena Asante mama kwa ujumbe mzuri
Amina Amina mtumishi
Mama Sina la kusema ila MUNGU tu akulinde na vita yoyote maana unafichua Siri nzito sana ambavyo imekuwa ngumu kwa kanisa la leo
Asante Yesu naona kabisaaa unakusudi na Mimi, naomba usiniache peke yangu.
Mungu akufunukie zaidi wa kupona watapona
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa ujumbe
Amina amina, nakuskiza tokea Kenya 🙏.
Barikiwa mtumishi nimebarikiwa sana na SoMo hili
Be blessed
Nabii ..naomba maombi kwa familiar yangu wanangu wana matatizo ..mgonjwa hawana kazi ..maisha yameharibika..mkenya mimi....shukuran kwa ujumbe .jina la bwana litukuzwe
Amina wewe ni nabii wamataifa yote Mungu akutie nguvu ili uyaendee mataifa wasikie ushuhuda huu
MUNGU akubariki mama
Yaani mama nikama wanihubiria mm mungu anirehemu aniokoe😢😢
pole saana Kata Nguvu ya mwovu nyuma yako ili usonge mbele
Nina wigi langu huko ndani silivai tena
noted
Amina... Mungu atusaidie sanaa...
Mama shupavu wa Mungu,nakupenda sana kwa masomo ya Siri za mbinguni.Masomo Yako imenibariki sana.Mungu aliye hai na anaetamalaki mbinguni na duniani Yesu kristo,abariki sana kipawa chako.Amina🙏
Asante mama. Sasa sielewi. Nipake maftagani jamani. Loho mtakatifu. Aniongoze
Tumia mafuta ya nazi tena Kama unajua kuyatengeneza tengeneza mwenyew
MAY GOD FORGIVE US😢😢AND BE BLESSED MAMA
Merci maman ester
Mungu akulinde amen 1:14:38
Nikweli kabisaa Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe zaidi nazaidi
Ninabarikiwa na ninakuwlewa vema san mtumishi
Mungu atukubuke wanawake na atusamehe.
Sema mtumumishi wa Mungu
Amen
Mungu aturehemu.
Asante mtumish 😮😮
Ubarikiwe sana mama Esther
Asante sana mtumishi kwakutufuria neno lake tujue zaidi mungu akulinde
Amina amina
Barikiwa Mama Estere
Mungu turehemu.
Mungu akutunze na akupe Maisha marefu
Amina
Amen 🙏🙏🙏
Nimempenda sana huyu mama ukweli mtupu
Ameen
AMINA
🙌🙌🙌🙌🙌
Asante Kwa ujumbe huu unapatikana wapi?
Dodoma ,tanzania
Àmen
Namba za mama naomba
Hakika nimekubali wewe ni mtumishi wa Mungu unafundisha vitu vya rohoni kweli kweli Mungu wa lbrahim lsaka na Yakobo akupe umande wa mbingu na manono ya nchi na mavuno ya nchi viwe juu yako na uzao wako
Ameni nakuelewa .... MUNGU anisaidie niwe sawa sawa na mapenzi yake...
Me najichubua jaman kila siku naota nashuka kweny mlima kumb najipolomosha mwenyew me naacha
Yesu akupe neema ya kuacha
Ujumbe mkubwa sana huu, watu wa Mungu tumsikilize mtumishi Na nabii ESTHER EMANUEL MASANJA maana hakika amenibadilisha.
Nikweli mama injili hii sijawai kuisikia. Tuambie tupone😢😢😢
Kakobe ameyafundisha sana haya ila tulikuwa hatumuelewi
Mm ndo nimeanZa kukusikiliza mama ..hakika umenigusa Sana maana mafundisho Kama haya kwa sasa hayapo.wahubiri wengi hawasemi kwa uwazi wanatetea zambi lakin ww umekuwa muwazi na umenifungua Sana ubalikiwe mno
Yangu nikaeka chemical ,ilibidi ninyoe sikuwa na amani hata kidogo ,vipuli nikajaribu kuvaa wapi,sijihisi mimi ,nikarusha kwenye taka.
Mama nakupenda na unajua stak kupepesa macho nasemahv;; HAKIKA WW UMEKUTANA NA YESUKRISTO HAKIKA uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Nimeshukuru mchungaji Kwa kuonya nitaacha mimi nauniombe iyo roho itoke
AMEN BARIKIWA
Acha uongo dada mzuri alafu mwongo. Kumwona Kristo sio wakati huu labda wakati wa parapanda.
Kuna mama wa mahimahiyu wakati wa mafuriko ya mwezi wa 4 aljipata kuzimu lakini Yesu akamsaidia na Yesu alimuuliza nini hiki kiko kichwani akambie sipendi akaanza kulia kweli Mungu akamuhurumia akarudi naalipo rudi alikua uchi lakini hakujiona uchi alikua anasema nipeni makasi nipeni makasi
Amen mtumishi wa Mungu 🙏🤝🤝 naomba unisaidie number yako mamaangu
Mwenye sikio asikie hizi Ni nyakati za mwisho...
Amen kubwa
Dada esta tuambie wanawake tupake mafuta gani
Tumia ya nazi tena kama unajua kuyatengeneza tengeneza mwenyew
Tumia mafuta yasiyobadirisha rangi ya ngozi yako.
Mama kanisa liko wapi
DODOMA MJINI
Kuna makanisa yakiroho ukihubili mambo haya utashangaa utakavyopingwa
Je na hiyo mewani je?.
Mama aendeley kukutumia ili tujuwe none lake
Mapambo na mavazi yatawafaya wasiingie binguni
Mama naomba unisaidie namba zako
0763099367
Dhehebu gani uyuuu
ameokoka Yesu ni Bwana kwake.
Kwetu sisi waislam hukumu ya M/Mungu ameshaitoa kabisa anaeunganisha nywele moto unamhusu anaeunganisha kucha,kujichubua kunyoa nyusi basi hao wote hukumu Yao Tayari zamani imeshatolewa
😭😭😭😭😭 Ee Mungu wa wote wenye mwili wasaidie watu wako wape macho ya rohoni😭😭😭
Kwa mfano mtu ana maradhi ya ngozi aende hosipitalini na kupewa dawa ajipake je nayo ni aje??
Hayo ni maradhi hapo inatumika kama dawa na akipona Si ndio basi hataendelea kuitumia.
Kungu inanywewa haipakwi mchungaji.
Upo wa kupaka. Nilitumia sana kabla sijaokoka.
Kuna wanja wakungu
😂😂😂😂
Punyeto nini
Mwanaume kujichua yaani kujichezea uume wako mpk ukamwaga manii na haswa wanawake mnapenda
Masterbation. Kujichua sehemu za Siri. Ndio maana ya punyeto.
Samahani mtumishi ester,naomba unijibu swali hili,je kuweka meno ya bandia ni zambi
Ndio ni dhambi unamkosoa Mungu na kumwambia kuna meno mengine hakuyaumba na kuyapa rangi nzuri ndio maana unaamua kuweka ya bandia dada Mungu hataki kitu chochote artificial kwenye sehemu yoyote ya mwili wako.
Je kusuka nywele zako mwenyewe ni makosa
Ndiyo hutakiwi kusuka kabisa zitunze tu vzr kwa usafi basi
mungu wangu nime hacha ku kutia nywele bandia nika sema nita suka kwa mikono bila kuchanganya bandia kumbe nayo kosa😭
@@kabwefrancine99Soma 1Timotheo 2:9
1Petro 3:3-6
BADO KUNA USHINDI TV NI TV YA MTANDAONI INAYOJIHUSISHA NA MAMBO YENYE KUJENGA NA KUINUA IMANI YA KIKRISTO KUHUSU MUNGU WA KWELI YEHOVA. INARUSHA SEMINA, MIKUTANO YA INJILI, SHUHUDA ZENYE KUJENGA NA SIMULIZI MBALIMBALI ZA MAISHA YA MASHUJAA WA IMANI.
UNGANA NASI KWA KU-SUBSCRIBE, KU-SHARE NA ILI KUBORESHA HUDUMA HII UNAWEZA KUCHANGIA AU KUTUMA SADAKA YAKO. KWA NAMBA +255 718 600 557, + 255 629 920 640. PIA NAMBA HIZI UNAWEZA KUZITUMIA KWA MAWASILIANO. JINA LITAKALO TOKEA UKITUMA SADAKA YAKO NI DANIEL ANTHONY KITUA. UBARIKIWE
Sadaka za nini sasa ndugu, yaani unachukua content za watu wengine alafu unaweka namba yako utumiwe sadaka. Kama nia yako ingekuwa ni kufikisha ujumbe na mahubiri tu watu waokoke ingekuwa Sawa ila kuweka namba yako utumiwe pesa ni Utapeli! 😡
ubarikwe Rafiki
Mafuta karibia yote yameandikwa crim sijui tuna fanyaje