MZEE SAID | TUMSHUKURU CAMARA INGEKUWA DRAW ILE | YANGA WANAMTAKA GAMOND TENA NA WAKO SERIOUS🤣

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 150

  • @RaymondsSambala
    @RaymondsSambala 2 หลายเดือนก่อน +21

    Mzee said 😂😂😂 Makomando......kofii 🤪😅🤣🤣we mzee mbavu zangu uku daa makofi makofii..kata kata kapewa mtu kibao 😂😂😂 naenda kujisalimisha 😂😂Daa mungu akujalie maisha marefu na uwe na afya njema mzee wetu said daa unatufrahisha saana👏👏

  • @ummymuya.2060
    @ummymuya.2060 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mzee Saidiiiiiiii! Nakupenda bure Babangu!🥰

  • @ErishaNestor50
    @ErishaNestor50 2 หลายเดือนก่อน +10

    Ila mzee said bwana apewe maua yake yaani natamani kukuangalia kila siku big up mzee wangu

  • @raphaeltanzania
    @raphaeltanzania 2 หลายเดือนก่อน +16

    Mzeeeeeeeee Said nilitaman nikuone toka Jana ila hata ivo haujachelewa umekuja muda sahihi mzeeeeeeeee wetu

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 2 หลายเดือนก่อน +14

    Walokua wanamsubir mzee said gonga makofi

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mzee Side sometimes kama bangi zinamzinguwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @NdeonasiaMahava
    @NdeonasiaMahava 2 หลายเดือนก่อน +3

    Asante Chagamba kumleta Mzee Said nimefurahi kumuona kumsikia Mzee Said

  • @eliamanimfinanga3957
    @eliamanimfinanga3957 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe unaye soma omenti hii mungu akulinde umalize kwa juu kwa kishindo wnaokupangia mabaya mungu aww angushe nchini kama una ota ndoto na inakuchanganya njoo inbox nita kutabiria uta pata ufumbuzi wa ndoto yako ndoto ni maisha unacho kiota katika ulimwengu wa roho ndivyo itakavyo kua maisha ya kawaida mungu aww bariki sana

  • @KhadijaOmar-j2s
    @KhadijaOmar-j2s 2 หลายเดือนก่อน +5

    Nakupnd mzeee said kwa maneno yk😂😂😂😂😂

  • @MANIRAMBONAWilliam-r4c
    @MANIRAMBONAWilliam-r4c 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kkkkkkkk mzee Said bana unachekesha sana 🙏🏽🙏🏽🙏🙏

  • @FaidharErasto
    @FaidharErasto 2 หลายเดือนก่อน +4

    ILA MZEE SAID 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 2 หลายเดือนก่อน +10

    Wapi Mzee side ubaya ubwela

  • @kubuleabdul6032
    @kubuleabdul6032 2 หลายเดือนก่อน +1

    Big up mzee nakukubali na uzi wako wa kimataifa wa MO cola

  • @KidoBanks
    @KidoBanks 2 หลายเดือนก่อน +2

    Waoo mzee said nawapenda na chagamba

  • @yohanajoseph7555
    @yohanajoseph7555 2 หลายเดือนก่อน +57

    Wewe Unayesoma Comment hii Najua Hatufahamiani ila Nakuombea Kwa Mwenyezi Mungu Akujalie Afya Njema Na Akupe Wepesi Ufikie Malengo Yako Yatimie Vizuri 🙏🙏

  • @GidionPeter-k8y
    @GidionPeter-k8y 2 หลายเดือนก่อน +5

    😂😂😂😂😂😂muzeee saidii

  • @AnithaPonsiani
    @AnithaPonsiani 2 หลายเดือนก่อน

    Uyu mzee ni yangaa kabisaa❤

  • @SaidiNdidi
    @SaidiNdidi 2 หลายเดือนก่อน

    Nakubali sanaaa

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee saidi safiiii

  • @CharlesMagwa
    @CharlesMagwa 2 หลายเดือนก่อน +1

    *jamani tunao mkubali mzee wetu like ziwe nyingi kwake😅😅

  • @VeronicaNyondo
    @VeronicaNyondo 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂ila mzee said

  • @MauDinho-h8n
    @MauDinho-h8n 2 หลายเดือนก่อน +4

    Za ndaaaniiii gamondi anaend singida big stars n musa ndaw

    • @DanielRorbet
      @DanielRorbet 2 หลายเดือนก่อน

      Wamzee hatari😅😅

  • @eliasyeliasy-c2l
    @eliasyeliasy-c2l 2 หลายเดือนก่อน

    Mze saidi unaongea ukwer tu Mungu aku baliki

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mzee Said Heshima yako 🙌🏼🙌🏼🙌🏼 11:17 😂😂😂

  • @Merrymerry-l4n
    @Merrymerry-l4n 2 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂❤❤❤❤said

  • @TwalibumsaaMusharaba
    @TwalibumsaaMusharaba 2 หลายเดือนก่อน

    Mm mwana Simba kocha kuvaa tah anaonekana yupo sirias na kz 😂😂😂😂

  • @evancemodest
    @evancemodest 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee utatuuwa 😅😅

  • @WaziriMussa-tu9lb
    @WaziriMussa-tu9lb 2 หลายเดือนก่อน

    Simba ina watu bhna mpka raha, mzee saidi, Gb 64, Kisugu,

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mzee said bwanaaa ananikoshaa sanaaa

  • @AbdulhalimMohamed-o8x
    @AbdulhalimMohamed-o8x 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo "ooh anafungwa "😂😂😂

  • @MoiseMishenyimateranya
    @MoiseMishenyimateranya 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana wewe unasema 🎉🎉🎉🎉vizuri leo

  • @nchojinyanda1152
    @nchojinyanda1152 2 หลายเดือนก่อน

    Huyuu ndoo Mzee saidi

    • @SimonAmon-dr8xw
      @SimonAmon-dr8xw 2 หลายเดือนก่อน

      nacheka Japo nimefiwa

  • @mashakahussein2031
    @mashakahussein2031 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli Mzee side

  • @giftgasper6501
    @giftgasper6501 2 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂

  • @dawayao2837
    @dawayao2837 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 Nimecheka sana Eti dogo unaweza? Twende mpaka kwa diara 😁😁

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee said 😃😃😃😃😃

  • @EnessiSosten-gd7yy
    @EnessiSosten-gd7yy 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ahahhahaa mzewe said eti kamoni

  • @zuberyathumani6258
    @zuberyathumani6258 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika nafurahi sana kukusikiliza babu yangu

  • @GemeloMabula
    @GemeloMabula 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ila mzee said

  • @MussaRicco
    @MussaRicco หลายเดือนก่อน

    Mzee said hana ufundi ila akizungumza unafurahi hata kama anamsifia mpinzani wako

  • @NeemaDaniel-j3g
    @NeemaDaniel-j3g 2 หลายเดือนก่อน +4

    Simba bila Camara wangefungwa goli mbili, Camara akafanya kazi kubwa sana.

    • @MhindiRashid
      @MhindiRashid 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa bila Camara Kwan Camara mchezaji wa wap acha uboyaa wewe kama diara kashatoboka tuliaaa mzee

    • @BeatriceZakaria
      @BeatriceZakaria 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani Kamala ni mchezaji wa nani?

    • @idrisamohamedi5344
      @idrisamohamedi5344 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani camara sioo mchezaji wa simba ,,na kama nj mchezaji wa simba katimiza majukumu yake

    • @DanielChaula
      @DanielChaula 2 หลายเดือนก่อน

      Uchawi huo 😂😂😂😂

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 2 หลายเดือนก่อน

      Camara ni refa au mchezaji wa simba?

  • @emmanueljackson9213
    @emmanueljackson9213 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sema Chagamba unavunjikaga sana mbavu kwa Mzee Said😂

  • @YahayaRajabu-h3k
    @YahayaRajabu-h3k 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee Saidi mkumbushe chagamba kweli mwenye ng'ombe ndio tajiri

  • @monicakayombo4770
    @monicakayombo4770 2 หลายเดือนก่อน

    Ana maisha mazuri kabisa😂😂😂

  • @AchileusNshekanabo
    @AchileusNshekanabo 2 หลายเดือนก่อน

    mzee said Raha sana jhaman

  • @NuruMtambo-d2d
    @NuruMtambo-d2d 2 หลายเดือนก่อน

    Ila Mzee saidi

  • @davidjoetv9595
    @davidjoetv9595 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee said hajui mpira ni mchekeshaji

    • @salumkihuwi5495
      @salumkihuwi5495 2 หลายเดือนก่อน +1

      😅😅😅

    • @MeshackManoja
      @MeshackManoja 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe unajua fungua redio uchambue

  • @mtakisylivanus341
    @mtakisylivanus341 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ngaa twende, ngaa twende, ngaa twende mbuvu zangu jamani

  • @Mkubwa_jr
    @Mkubwa_jr 2 หลายเดือนก่อน +1

    ILA MZEE SAID ETI LIBENGE LIONGO😂😂😂

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pinpin

  • @ananiasmbele6168
    @ananiasmbele6168 2 หลายเดือนก่อน

    Eti nga twende nga twende

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 2 หลายเดือนก่อน +2

    Gamondi kaialibu timu yetu

  • @hafsaibrahim6675
    @hafsaibrahim6675 2 หลายเดือนก่อน

    😁😁😁😁😁😁

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 2 หลายเดือนก่อน +17

    Mzee said ulisema utopolo asiposhinda na simba hatutashinda.. sasa utopolo hakushinda na mnyama kashinda...

    • @Eyoo-x6f
      @Eyoo-x6f 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli😂😂

    • @hafidhmohd8696
      @hafidhmohd8696 2 หลายเดือนก่อน +3

      Amesema yanga isiposhinda basi simba itakuwa ngumu ila amemaamisha kuwa yanga wanaweza kufanya kitu cha figisu ili Simba ikwame ktk matokeo

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tunatumia hiki kipindi wamegombana na mganga wao 😂😂😂😂

    • @DStarTz-if2ko
      @DStarTz-if2ko 2 หลายเดือนก่อน +2

      Pia alisema yanga Bora Simba mbov na aliipa ushindi mechi ya nne na kaapa huyu Mzee nilikuw namkubali ila kazd kujifbya anajua mpka anapoteza mvto

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 2 หลายเดือนก่อน

      @@DStarTz-if2ko ni kweli kabisa.. halafu Leo kama sio yeye..

  • @masimangosaidi
    @masimangosaidi 2 หลายเดือนก่อน

    ubaya ubwela namkubali sana Mzee

  • @AngelinaHassan-fe3jp
    @AngelinaHassan-fe3jp 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😊

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 2 หลายเดือนก่อน

    Hahahahahah mzeen aid mbavu zangu

  • @KilapayaIbuni
    @KilapayaIbuni 2 หลายเดือนก่อน

    Gamba anacheka sana anapomhoji huyo Mzee saidi

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 2 หลายเดือนก่อน

    Chagamba umpeleke mzee South Africa akale nchi na Miraji

  • @rossemsuya2698
    @rossemsuya2698 2 หลายเดือนก่อน

    Ukiona mtu anasema Gari haiendi Juan anjua amewafanya nini?

  • @ShukuruMakoko
    @ShukuruMakoko 2 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DStarTz-if2ko
    @DStarTz-if2ko 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mzee anaona aibu alivyoiponda simba uyu sasaiv anajikaza tu mana alitabir unaz nakaapa ndn y mech y nne eti ynga bingw simba mbov

    • @JosephatMassae
      @JosephatMassae 2 หลายเดือนก่อน

      Yaan mualetee malaika wa mungu utani wa kiwaki alafu awape ubingwa !? Ubingwa wa konyo😀😁😂

    • @fredrickipembe8188
      @fredrickipembe8188 2 หลายเดือนก่อน

      Haka kazee kanafiki tu kweri

  • @bakily7464
    @bakily7464 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani tumsaidie mavambo,unajua toka mechi ya costal alivyo mvulia yule mchezaji jezi mpaka leo amepoteana kabisa....tumsaidie mchezaji wetu hii tanzania bwana.

    • @faridayusufu2045
      @faridayusufu2045 2 หลายเดือนก่อน

      Watanzania uchaw mwingi sana mavambo nayeye alijua huku n ulaya ona sasa kinachomkuta nilisema lakin wachezaj wetu wasiwape wapinzan chochote zaid ya mo kola bas nguo haifai kumpa audi yako

  • @AishaMshamu
    @AishaMshamu 2 หลายเดือนก่อน

    Chagamba nakuona unakonda sijui unafanya kaz san

  • @NehemiahNdimgwango-i5i
    @NehemiahNdimgwango-i5i 2 หลายเดือนก่อน

    😅😢😅😢😅😢🎉🎉

  • @mtakisylivanus341
    @mtakisylivanus341 2 หลายเดือนก่อน

    Kicheko changu mie siyo yanga yangu yangu ya gamond

  • @mwanaidimatanoabdarahman9135
    @mwanaidimatanoabdarahman9135 2 หลายเดือนก่อน

    Simba walieda kufanya mazoezi kule kwa uwaja wakaroga

  • @hafidhmohd8696
    @hafidhmohd8696 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee saiv ndio interview zake sinaingoza kwa. Viewers

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi chasambi simkibali mipira mingi ahanaalibu

  • @ZainaKhasab
    @ZainaKhasab 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kiukwel nisiwe mnafki naonaga Mzee said km anaongea unafk hv plus pumba tuu

    • @ce-08
      @ce-08 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sawa ni mtazamo wako ila sio wetu😂

    • @joellaizer2685
      @joellaizer2685 2 หลายเดือนก่อน

      Sahihi Kiongozi huyu ni mnafiki wa kwelimchome no mbili

    • @unuc4100
      @unuc4100 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hata wewe tunaona umeandika pumba na una akili hv

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 2 หลายเดือนก่อน

      Demu wa yanga huwezi kumpenda mzee said, utampenda mobeto tu😂😂

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 2 หลายเดือนก่อน +1

      Usimuangalieee basi hajakuita

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mzee ni mchawi mkubwa akome kututaja hii ni mechi ya pili akiiombea yanga ushindi akome aiombee timu yake lkn mzee said ww kunifunga ni kwenye ndoto zako tu na siku hiyo nitakutafuta nicheke mpaka basi 😂😂😂

  • @josephchengula-o3f
    @josephchengula-o3f 2 หลายเดือนก่อน

    kwa namna nilivyo waona wapinzani hawa wawili wengine simba tujipange

    • @ce-08
      @ce-08 2 หลายเดือนก่อน

      Uzur wake tunabadilika kutokana mechi

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 2 หลายเดือนก่อน

      Tutacheza kulingana na walivyokuja

  • @DaudDaudmahumbi
    @DaudDaudmahumbi 2 หลายเดือนก่อน

    Chagamba mwabie mzeeh saidi kuwa galagashene maana yake ni kuonyeshana kazi akibisha namtumia mshee tishet mbili Za simba mmi ni daud mahumbi Niko tabora pia asali tunaita bhuki sio uchi

  • @WilliamJohn-t6f
    @WilliamJohn-t6f 2 หลายเดือนก่อน

    Humeokota dodo mzee

  • @JastFinancial02
    @JastFinancial02 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ili lizee ni lanayanga tumeshalijua

  • @goldenbrown1826
    @goldenbrown1826 2 หลายเดือนก่อน

    Ongerea timu yako choko kalime wewe

  • @AziziAlly-xc6nm
    @AziziAlly-xc6nm 2 หลายเดือนก่อน

    Uyu mzee nae kashaanza umakumaku uyu