Wapi wamekosea mpaka useme wamuogope mungu na Hayo maamrisho unayo yadai ndio haya ndio maana hawajemda kuimba mziki wameimba qaswida tena nzur san kama roho inakuuma kufa na presha katika uislamu kuna furaha bn
Uislamu raha sana bn acheni watu tufurahi kwenye furaha bn kwnye msiba tunune kuna mijitu ya ajabu inajisemea vitu vya ajabu na kugawa mpaka pepo eti huyu motoni huyu peponi kazi ya mungu we umeijulia wapi kama si laana wewe eti kununa nuna ndio uislamu Sahihi alaah msituharibie dini yetu bn watu wafurahi
Watu tufurahi bn 😁 kufeni sasa hii mijitu inayo haramisha qaswida na kugawa pepo na moto kwa viumbe vya m/mungu niile inayo vaa vimini na mandevu machafu machafu sasa tuna furahi kufeni sas 😁😁😁😁👆
Kuna watu wao comet zao nikukandamiza wenzao tu kwa kuwaalin na kuwaombea mabaya kwa mungu Kweli ni vibaya saut ya mwanamke kupaa sana kiivyo ila unatakiwa kumrekebish mtu bc wajib wako.ushaish cyo kumwmbia kuna kufa kwan kifo kipo ukiimb kasda holin tu Ebu jirekebishen watoa mawaidha
Musifanye dini kuwa gumu kufurah rukhsa kwenye harus hlf kwan harusi zenu zinakuwa za msiba wacheni wafurahike nyinyi mnavyosema maharusi yenu laaana teele kabla hujamsema mwezamo jiangalie ww kwanza umekamilika sio vizur kila jambo kulitoa kasoro
Hata muambiwe vipi mfahamishwe vipi hamtaki kuelewa ipo siku mtakumbuka yaaa laitaniii kuntu rurabaaaa
Biharusi nilidhani ni ukhty Adila .....wali fanans sana
Mashallah dyda jazallah khaira
Mashallah mabint hawaa👏👏
Habari zenu
Nakukubal ukhty tum pamoja na ukhty maryam
Nampenda ukhti mwanacha
mashaa Alla hii Qaswida ni nzury sana na inamafumbo ndani yake wacha wee Alla Awahifadhi
Nice song, amazing❤
Bass haya
Mashaallah mnajitaidi❤️❤️❤️❤️😍😍😍 jmn me mwenyew natamanigi kuimba lakn duh sijaipataga nafasi
Mh WW dada sauti haijaelekea n ulivo sauti imekuzid mwenyeo
Tabasamu
Kaswida mzur lakn Arus mbya
Wameimba vzr
Maa shaa Allah nzuri sana 🌷🌹🌷❤💓💕💖💗❣💜
Tuache mas-hara hii ni taarabu pure.
Nakubaliana na ww
Masha Allah Alf-mabrouk Kwa maharus endeleeni kushangilia ni harus c msiba
Mashahallah
Mashallah mungu awaongezee ila sichoke mtatukanwa sana mana mm nimetukanwa mpaka nimezoea
joayns
Hata ukifanya jambo zuri kiasi gani huwez kupendwa na wote -
Nakupongeza sana kwa kuimba vizur qaswida -
Hongera Sana ukhty Tum
tatizo sisi waislam tunaroho mbaya sana
hakuna kibaya apo
Huu ndio ujumbe wa watu walio salimika asante sna hii qaswida inanifanya moyo wangu uweze kua na furaha bn
Mashaallah
Mashallah nice voice and nice song
Tabasamu 2020🔥🔥🔥
Muogopeni mungu ndugu pia kumbukeni kunakufa
kwani wamekwambia hawafam kama kunakufa acha roho mbaya
Wapi wamekosea mpaka useme wamuogope mungu na Hayo maamrisho unayo yadai ndio haya ndio maana hawajemda kuimba mziki wameimba qaswida tena nzur san kama roho inakuuma kufa na presha katika uislamu kuna furaha bn
safi sana mmenivutia hadi nataka kuja toa posa
Hahaha wew nenda tuu
🤣🤣🤣nenda hujachelew
Masha Allah 😘
Mashallah kasida nzr tuma jikaze dida karib utamuach nyuma
Naa Idd Santeee
Naomba hii qaswida nitaipataje
Ukosaw
Uislamu raha sana bn acheni watu tufurahi kwenye furaha bn kwnye msiba tunune kuna mijitu ya ajabu inajisemea vitu vya ajabu na kugawa mpaka pepo eti huyu motoni huyu peponi kazi ya mungu we umeijulia wapi kama si laana wewe eti kununa nuna ndio uislamu Sahihi alaah msituharibie dini yetu bn watu wafurahi
Watu tufurahi bn 😁 kufeni sasa hii mijitu inayo haramisha qaswida na kugawa pepo na moto kwa viumbe vya m/mungu niile inayo vaa vimini na mandevu machafu machafu sasa tuna furahi kufeni sas 😁😁😁😁👆
MashaaAllah umependeza daa
Mashaallah
Shai Martin
Mashaallah qaswida nzuri xana
Kuna watu wao comet zao nikukandamiza wenzao tu kwa kuwaalin na kuwaombea mabaya kwa mungu
Kweli ni vibaya saut ya mwanamke kupaa sana kiivyo ila unatakiwa kumrekebish mtu bc wajib wako.ushaish cyo kumwmbia kuna kufa kwan kifo kipo ukiimb kasda holin tu
Ebu jirekebishen watoa mawaidha
hakuna kibaya apo mawaidha kampe bibi yako hiyo ndoa
@@banshbansh2329 mashaallah
Maa shaa Allah
Utenzi
safi sana qaswida
Insha Allah nitawaita kwa ndoa yangu😘😘😍😍
Masha'Allah
wow 👏 continue.😍😍😍😍😍😍
Mashaallah😘
WOW!!!nice one @King Juvenile SHASA
Mungu akuweke
Hii hapana
Awwwwwwww I like it big up gals
Sawa Raha sana
Aleleleleleleleeeee vigelegele kidgo😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂aiaiaiaiaiiiii
Msh allah
sasa hii ni Tarabu ndugu zangu wa Zanzibari mnapo kwenda sipo sasa
Hhhh
🤣🤣
😅😅😅😅
Jamani jamani nisemeje mieee ..kitu roho inapenda
Yaani kuna watu wanahashuo eti muogopeni mungu kwani nani asiyemuogopa mungu munajifanya munaijuwa dini kwa hiyo watu wasifurahi
Khadija Said umeona kumbe wakat wa furaha onyesha kuwa moyo umsafi kwan hawa makafiri watu bwana
Teynaaa😃😍😍👌
nashindwa pia
Si ajabu huyu anayesema muogopeni mungu ana mabaya zaidi ya haya.
@@yumnacute8079 kabisaa
Masha alaaaaaaa
wanacheka mdomoni miyoni wana roho baya sana mbona umewachoma sana
Jamani raha
MaashaaAllah jaman gwasida imetulia
mashaallah ❤❤❤❤💝
Manshaallah
Kaswida nimeipenda mashaalah.mngekua tanga ningewatafuta jamaani kwenye shughuli yanu mependa sana
mashallah
manshaallaaaaaa
Afadhaliii tumeendeleaa
Kupata dhambi co
Mm naona km taarabu uimbaji na uchezaji sijaulewa mmh nisameheni bure
Umeonae yaaan taarabu tupu
Sasa ulitaka waimbe ikiwa wanalia
Leila kwel hii tarabu
Izo ni kasda za harusi,tofautisha kati ya harusi na za ramadhani
Jamani tamu
Rahma Ali mambo VP wambie cn wenye chuki nasi
@@zainabsalum1437 wenye chuki nachukizao nyie fanyen yenu
hatariiiiiii
nimeipenda munajuwa
Mashallah
Mashalllah❤❤❤❤
Mutaambiwa mijimbo hayafai
Musifanye dini kuwa gumu kufurah rukhsa kwenye harus hlf kwan harusi zenu zinakuwa za msiba wacheni wafurahike nyinyi mnavyosema maharusi yenu laaana teele kabla hujamsema mwezamo jiangalie ww kwanza umekamilika sio vizur kila jambo kulitoa kasoro
Zuhaidah Mohammed mmmh lkn sio kwa aina hii sibora wangeenda kanisani
Mukiambiwa ukweli munakasirika cc tunakumushana tu
@@mwanakombo6933 zote dini nawote tunamuabudu mmoja tuu sasa acha roho mbaya
@@hajiharoub8125 baki na ukweli wako tuu acha kusema vbaya wezio ww hujui yako
Masha'allah
Nzurii cnaaa
Safi
jaman naomba namba zao
Hii c dini muko mbali na dini ila achani usanii Wa kuimba tubuni zambi zenu mrehemewe
Yunus Acha bangi we mwenyewe umereconnect chura video kwenye channel yko bangi tu.
MaashaAllah♥
Kuna kufa hatukataii kuna mangapi yanafanyaa ya kuwapotosha umma simameni mutoe tahadhar au mmeona kassida tu ndo haifaiii
Wanawepesi wa kuhukumu wallah
Nimeipenda sana anaejuwa jina la hii qaswida plz
Masha allah
Mashallah islamiya Qaswida
Tabasamu Qaswida
Jina la Qawida
❤❤❤
Mashaallah mpo vizurii
Mashaa Allah
inapendeza wallah
مشاء الله❤
Duh ivi hamuwez pendez bila bingooo bing ni haram
Sauti tuu ya mwanamke kuizihirisha ni haram
namba ya chuo wanaosoma kasida
Rauhiya Juma Nifte mm
Asalam alaikum vp kadiria mbn hamtoi mpya
MashaaAllah
Huko mwixho ni qaxwida ya ixlaha ya dufu
Tazama dunia kuna watu islaha
Yarapi
Leteni raha
Mashaallahhhhhhhhh
no one no this song what is meaning so don't talk about song it good
yeah
Tabasamu la mwenzio Mola amekujaalia lakin mbona maharus hawatabasam jaman...
Masha allah
Ziara ya raid maguli mteara
HB
.
Ziara ya raid magufuri mtwara
Bc mtihn ati km haringi
Pambe
Alandn i
Taarab
Bass haya
Masha Allah muko vizuri
Hongereni
maashaalllah
Mashaallah 👌
Fatma Fatma safi
Mashaallah
Masha allah
mashaallah
Manshaallah
mashaallah nice voice and nice song
Tawasuli
Tawasuli
Mashallah
Mashaallah
Masha Allah umzuri
Mashaallah
Mashaallah 😘😍
mashaallah
MashaAllah
Mashaallah
Mashaallah