Mazungumzo na Rakesh Rajani Juu ya Demokrasia |Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S08

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 9

  • @norahappolus8994
    @norahappolus8994 10 หลายเดือนก่อน

    English please Jen my friend.

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 11 หลายเดือนก่อน

    Haki Elimu ndio ilifanya kazi zake vizuri mno ilileta elimu kwa raia hata kwa maandishi na kutuma posta, lkn twaweza aah kwa upande wangu hakuna kitu hapó

  • @jitathminitv3429
    @jitathminitv3429 ปีที่แล้ว +1

    Nidhamu sio kunyamaza❤

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 ปีที่แล้ว +1

    NCHI AMBAYO ILIJENGEKA KUFUNDISHA RAIA WAWE WAOGA KUJADILI MAMBO YA MSINGI BAHATI MBAYA WANANCHI WACHACHE WALIPOONA NI HATARI WALIPOJARIBU KUHOJI WALIADHIBIWA😢

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 9 หลายเดือนก่อน

    Naam, mjadala mujarab kabisa wa masuala yetu ktk nchi yetu. Ninakubaliana kabisa na ndg Rakesh kuhusu umuhimu wa kujitolea kwa ajili ya nchi. Lakini nadhani kwa sasa hivi, kwa kiwango cha mparaganyiko kilichopo huko serikalini (NA HASA IKULU ILIVYO PANGO LA WALANGUZI HIVI SASA), tukazanie jambo moja tu nalo ni UWAJIBIKAJI. Tuweke taratibu thabiti za uwajibikaji kuanzia IKULU penyewe na kushuka chini kwa watendaji wengine. Hilo likikaa sawa, hata kujitolea kutatokea kwa vile sote tutaridhika na kuiona nchi kama yetu sote kweli, na siyo ya Rais na genge lake ambapo anafanya atakavyo kwa faida yake na walio karibu naye!! Tusisitize na tudai KATIBA MPYA ili tuuondoe huu 'uvundo' wa Rais-Mungu unaotusumbua sana na kudumaza kila kitu😢

  • @user-fx6zr6ij5y
    @user-fx6zr6ij5y ปีที่แล้ว +1

    Watu kama hawa ndiyo wanaoitajika ktk serikali zetu ubinafsi umetujaa

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 ปีที่แล้ว

    Hakika maoni mazuri Sana ilituondokane nahiihali tunatakiwa tuwe nawatu Kama nyie kifupi selekari hasikilizi wananchi

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 ปีที่แล้ว

    Ni kweli kunyamaza si nidhamu

  • @dr.salimnasser8701
    @dr.salimnasser8701 ปีที่แล้ว

    Uongozi wa kibabe unatokana na chama tawala kuona kukubalika kwao kwa wananchi kunapungua kila uchao