Tubu haraka kabla haujaja Usiku..Fanya kazi nje uchungaji..utafanikiwa...tutakujua kwa matunda yako...hapo kwako matunda hayapo..uwe Una maneno machache ya kiungu... Bwana akurejeshee furaha ya moyo wako...
21 Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. Mathayo 7:21 22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Mathayo 7:22 23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu. Mathayo 7:23
Kijana Uchungaji ni WITO ,SASA UTAKUWAJE MCHUNGAJI NA MAMBO YA DUNIA YA KUNYOA SIJUI UMENYOAJE HIVO ...YAANI UNAONEKANA KABISA SIO MCHUNGAJI ULIYEITWA NA MUNGU WEWE UTATUMIKA KUWAPOTEZA WATU ...ETI KANISA LINACHUKUA DINI ZOTE KHAA UJUE HATA FREEMASON NI DINI
Na Mungu hazihakiwi
Kanisa siyo siasa kijana achana na kazi hiyo kama haujaitwa utapoteza muda wako, endelea na kazi uliyokuwa ukifanya kijana, usifanye kwa maslahi.
Uyu tangu afiwe na mama yake ni kama hayuko sawa kabisa 😢😢
labda alitoa kfara😂😂😂😂😂😂😂
Tubu haraka kabla haujaja Usiku..Fanya kazi nje uchungaji..utafanikiwa...tutakujua kwa matunda yako...hapo kwako matunda hayapo..uwe Una maneno machache ya kiungu... Bwana akurejeshee furaha ya moyo wako...
Huyu kaka alichanganyikiwa wangempeleka soba kwanza Ili akaesawa. Wanasema Hadi mkewe waliachana
Kwan alikuw na shida gan
Alikula kondoo, hadi akamvimbisha.. wife aka-mind.... akatafute biashara nyingine
Njaa haijawahi kumuacha mtu salama
uchungaji ni wito kaka
Haya ndo madhara ya kujiita ktk utumishi
Ajiulize aliitwa kwenye utumishi au alijiita
21 Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
Mathayo 7:21
22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?
Mathayo 7:22
23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
Mathayo 7:23
Mbona Mc anaongea kama hiyo ni bussnes sio utumishi tena
Amna kitu
Alianza kula wachungaji wanono... akamvimbisha kondoo wake..wife aka_mind.... washirika wakatawanyika,wasije kuvimbishwa
mc pilipili hayuko sawa kisaikolojia sababu kubwa ni ndoa yke kukumbwa na misukosuko
Nani kamuelewa mc pilipili anieleweshe😂😂😂
Unamuelewa mc pilipili hahaha😂
MC pilipili ludi nyumbani Dodoma kumenoga njoo ufungue kanisa uku
😭😭😭😭😭
Kijana Uchungaji ni WITO ,SASA UTAKUWAJE MCHUNGAJI NA MAMBO YA DUNIA YA KUNYOA SIJUI UMENYOAJE HIVO ...YAANI UNAONEKANA KABISA SIO MCHUNGAJI ULIYEITWA NA MUNGU WEWE UTATUMIKA KUWAPOTEZA WATU ...ETI KANISA LINACHUKUA DINI ZOTE KHAA UJUE HATA FREEMASON NI DINI
duu