Fix You: Aina 7 za Mama Wakwe na Jinsi ya Kuishi nao - Na Aunt Sadaka

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 77

  • @salmamohamed1769
    @salmamohamed1769 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani hawa wakwe na mawifi mungu anawaona

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 ปีที่แล้ว +6

    Nimependa sana anti sadaka hii ishu inasumbua sana kama ulivosema kila mtu na tabia yake mimi tena nimekuta mawifi ty tena wengi na kila mtu anamdomo lkn nimewewaza na siwezi kukaa bila ndugu wamme lkn niseme tyu acha tuendelee na upumbavu wakusema ndugu wamme wanatabia mbaya lkn na sisi tutajaitwa hivo kwa sababu tumezaa

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 ปีที่แล้ว +19

    Mimi ndio niliwakwepa mama mkwe na mawifi maana nilijipendekeza mpaka ni kaona nijitenge nao siwezi umia kwa ujinga kabisa

    • @deborakamsi
      @deborakamsi ปีที่แล้ว

      Same as me kabisa

    • @SaadaAlsheibani
      @SaadaAlsheibani 2 หลายเดือนก่อน

      Mimi hivyo hivyo nimejitenga nao Sina habari nao siwaulizi kitu na Wala sihangaiki kutaka kujua chao tunasalimia TU kulizana Hali ikimaliza kila mmoja na lake mwanzo nilijipendekeza mwisho nilichoka nilitaka niwe karibu na tuwe kitu kimmoja nilipoona hawataki nilichukua mamuzi haya sijipendekezi Wala sishughuliki na lao basi nimeishi vizuri

    • @KhadijaRajab-j9r
      @KhadijaRajab-j9r หลายเดือนก่อน

      Jaman same as me tatizo tunajenga mme ananiambia nyumba ikikamilika anamchukua mama na dadaake sinutakoma mimi

  • @shekhaissa9154
    @shekhaissa9154 ปีที่แล้ว +2

    Shukran sana bi Sadaka.. umeelezea vuzuri sana rabia za mama wakwe na vipi wakwe zao wanatakiwa kujipanga kukaa nao vizuri. Umesaudia sana pande zote 2 kujitambua na kujielewa nafasu zao katika maisha.

  • @jabuali5739
    @jabuali5739 ปีที่แล้ว +3

    Asante kwa ushauri aunty sadaka n irene i used to feel sorry 4 my mum bt nime learn something God bless u

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 ปีที่แล้ว +3

    Unt unajua unajua unajua tena nawapenda sana mnatujenga sana ili tukielekea kwenye ndoa tuwe imara 🤲🤲🙏🤝💞💫

  • @oswaldmgaya8935
    @oswaldmgaya8935 ปีที่แล้ว

    Asante kwa mafundisho mazuri. Vijana wanaooa au kuolewa wakaishi mbali. Kubaki mnapishana kwenye makorido hayo hayo haifai. Mkutane kujuliana hali tu ikiwezekana.

  • @a.856
    @a.856 ปีที่แล้ว +5

    Kuishi na watu kunataka subra kubwa kwani hata sisi tayari ni mawifi au wakwe watarajiwa pia.....tuombe salama tu

  • @mamanabii_online5491
    @mamanabii_online5491 ปีที่แล้ว +3

    True teachings!nimepitia hayo ni kweli uongeayo aunt

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah ubarikiwe mnoo Aunt sadaka pamoja na waandaaji wa kipindi mana nimejifunza mengi kiukweli 😍❤️❤️

  • @judithngobei3606
    @judithngobei3606 ปีที่แล้ว +2

    Asante Aunt sadaka ubarikiwe maa ❤

  • @sophiakayumba5974
    @sophiakayumba5974 ปีที่แล้ว +2

    Button button zimeshikiliwa kwa nguvu na Auntyyyyyyy... nimeelewa hapo kwenye ku loose battle , its soo trueeee Aunty...

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +3

    Untie she is the best I can listen to her advice all day long.,she is very wise..,I like her wisdom in her. Live long untie.

    • @marcelastephen4247
      @marcelastephen4247 ปีที่แล้ว +2

      Point taken mama mkwe hujamchagua ila mume umemchagua so mama mkwe mchukue kama alivyo na muheshimu alivyo

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah tabarakaAllah auntysadaka karibu tena na tena mie binafsi nakukubali sana

  • @omegatravel6039
    @omegatravel6039 ปีที่แล้ว +1

    Mama nimekupenda asante kwa mafundisho

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +2

    My mother in law she was a gem...,may she rest in peace.
    But one sister in law was kivuruge but I still won. Thank God.

    • @anneedward3673
      @anneedward3673 ปีที่แล้ว

      My dear sio wakuwaendekeza wao huwa wanataka uwe dhaifu mjinga ili wakukalie na kukuonea akijifanya kivuruge wewe unakuwa mwenda wazimu kabisa tuone kama wataendelea kukusumbua

  • @muznarashid6301
    @muznarashid6301 ปีที่แล้ว +9

    Sisi wazanzibari tunamsemo "mume mwenye mamae huna mamlaka nae

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha ปีที่แล้ว

      Hapo inakuaje Sasa😅?

    • @muznarashid6301
      @muznarashid6301 ปีที่แล้ว +1

      @@irenekamugisha iko hivi Irene kwamba mume mwenye mama Ake anamamlaka kubwa kwa mtoto wake kuliko mume ambae Hana mama

    • @happinessmtui1336
      @happinessmtui1336 ปีที่แล้ว

      @@irenekamugisha glass za maji dada uwe waeka

    • @samwa9496
      @samwa9496 ปีที่แล้ว

      znz mama ndio muamuru wa nyumba kila kitu umwambie mama wa Mume hiyo nimeiona nyumba fulani yaani mama wa Mume ndio aamue uvae nini mle nini duuu nawaonea huruma

    • @mwanakheri169
      @mwanakheri169 ปีที่แล้ว +1

      @@samwa9496 nayaona

  • @shyllahnekesa216
    @shyllahnekesa216 ปีที่แล้ว +5

    Ahsante sana Aunt Sadaka ntarudi kw mme wangu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Asante Mama Sadaka hii ni changamoto kubwa sana.

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 ปีที่แล้ว +4

    😃😃😃wangu fanya mema ila ni mzigo usiyo bebeka kwanza kila mtu ni kiongozi kwenye ile familia ni mtihani mtupu hakuna Cha mama Wala wifi wote wanaeza kuingia kwenye maisha yako😃lakini sijawahi kugombana nao nimejitahidi kujiweka na ujinga ili niwajue zaidi basi wanajikita wanakosea wao .😃😃 Lakin mie najiuza mbona kwetu pia tunaitwa wifi na mama yangu pia ana wake tunaishi poa tu na huwezi mtukana wifi yako unampenda kwa vyoyote alivyo mie nasema ni hulka zao tu na ubinafsi hakuna kingine

  • @josekamana6322
    @josekamana6322 ปีที่แล้ว +1

    Ant sadaka una sauti nzuri sana

  • @joyceshile8837
    @joyceshile8837 ปีที่แล้ว +2

    ILA NA MA BINTI WANAO OLEWA NAO WANAMAMBO, KUNA DADA NILISIKIA AKISEMA, NGOJA NIVUMILIE KWANZA ILI NIOLEWE NILISHA OLEWA TU, MAMA MKWE HUYU ATANITAMBUA😳, TULIKUWA SAFARI I NILIMWANGALIA HUYO DADA NIKAMWONEA HURUMA.

  • @jrlamar8925
    @jrlamar8925 ปีที่แล้ว +2

    Irene ananifurahisha na facial expression yake!!.

  • @joymohat5848
    @joymohat5848 ปีที่แล้ว +5

    Mungu tujalie wamama wema watakao tuelewa 🙏🙏🇰🇪❤️

    • @nyanziratatou5404
      @nyanziratatou5404 ปีที่แล้ว

      Najisikiya nilie tu. ! Nasina pakunyamaziya mama mkwe wangu Mungu amsamee na aniombe msama ntamsame.

    • @dianalova4418
      @dianalova4418 ปีที่แล้ว

      @@nyanziratatou5404 pop
      Pp
      PI’m
      Pl

  • @SonySony-hx5yd
    @SonySony-hx5yd ปีที่แล้ว +2

    Mama imenigharimu sana hii,niko kwenye ndoa miaka kumi lkn mama nichuki moja kwamoja,naishi nae

    • @maryammussa2002
      @maryammussa2002 ปีที่แล้ว

      I didn’t meet my mother in law RIP. But his aunt is devil 👿 for 10years she never stopped doing devil stuff

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 ปีที่แล้ว

    Duuu kweli Ndoa tabu tupu hususan kipengele hiki mmmhh🙌

  • @niindaelymalugu7629
    @niindaelymalugu7629 8 วันที่ผ่านมา

    Naomba kuuliza kwahiyo wazazi wanyamaze wasishauri watoto???

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 ปีที่แล้ว +2

    Hapo ni akili tu na saikolojia ukianza na hilo halitatusumbua na kuwasoma kwanza na ndipo uanze kudili na familia ya mume ukikurupuka utabaki kulaumu tu.

  • @joelsamwel2580
    @joelsamwel2580 ปีที่แล้ว

    SNS mtunzeni huyu dada anajuaa aiseee kufanya interview nimempenda bure ✅️

  • @sophiakayumba5974
    @sophiakayumba5974 ปีที่แล้ว +1

    Yani akishakuwepo tu Aunty Sadaka hata kabla ya kusikiliza ninakua na hakika kuna mambo makubwa na ya msingi tunakwenda kuyapataaaa...

  • @LizahAlex-n3j
    @LizahAlex-n3j 2 หลายเดือนก่อน

    😅jamani yani Mimi mama mkwe wangu yupo kwenye aina zote umbea ndo usiseme jmn

  • @khadijaabdala6876
    @khadijaabdala6876 ปีที่แล้ว

    Ahsante Aunt sadaka niseme tu karbu tena mamy

  • @niindaelymalugu7629
    @niindaelymalugu7629 8 วันที่ผ่านมา

    Naomba kuuliza bint ameolewa Na mtoto Wangu unafika unakuta mzingira machafu nje Na ndani, hapiki chakula Ni kununua chips ndio chakula , hawezi kufanya chochote Je mama mkwe akishauri hapo Ni kosa???

  • @rosemageka686
    @rosemageka686 ปีที่แล้ว

    Kweli aunt uko correct kabisa ila wadada wa Leo stamina hawana ya kupambania ndoa zao Kwa mama wakwe wenye maumivu

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 ปีที่แล้ว

    Kazi kweli kweli.

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 ปีที่แล้ว

    Mtihani huo mungu anisuru ishaalah mm hayo siyataki mama wake wakorofi mtihani mkubwa huo bora nimuwachiye tu huyo mama mke

  • @DinaJuma-fc6dm
    @DinaJuma-fc6dm ปีที่แล้ว

    Huyu dada sadaka ni asali ya maisha

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 ปีที่แล้ว

    Kuna mwingine alifukuzwa. Baadae ya kufukuzwa bwana akaoa mwingine. Na yule mke wa kwanza akapata mume mwingine .Na mimba juu.baada ya miezi mitano 2.mume hakuna kitu mpaka leo. Mwanamke ana watoto 3 sasa.

  • @jokhasaid6601
    @jokhasaid6601 ปีที่แล้ว +1

    Nimewaelewa

  • @nurualamoody4305
    @nurualamoody4305 ปีที่แล้ว +1

    Mambo haya yana safari tofauti lkn kwa vijana wetu wa sasa ni mtihani zaid

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 ปีที่แล้ว

    hapo pa mama mkwe kutaka kitenge, mwanaume alitakiwa kumwambia huyo mamake aongee na mkewe kama akikubali kumpa sawa. then amwite mkewe pembeniamweleweshe kwamba ampe hicho kitenge kuepuka vurugu

  • @shekhaissa9154
    @shekhaissa9154 ปีที่แล้ว +2

    Kwa mila za Zbar mtoto anapojifungua mimba ya 1 huwa anakwenda kukaa arobaini kwa mama yake mzazi . Mimba zinazofata atakaa kwake na mama yake atamfata huko.

  • @PendoAlex-pp9vz
    @PendoAlex-pp9vz ปีที่แล้ว

    ❤😊😂 mh nimefixka

  • @thequeenawifeofking8518
    @thequeenawifeofking8518 ปีที่แล้ว +1

    Jamani hii kitu ni shida wallah tena hizo tabia zote mimi wangu anazo jamani zoteee mniombee 😭😭😭😭😭

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 ปีที่แล้ว

      Pole ila simama kama mke sio ushindane nae

    • @thequeenawifeofking8518
      @thequeenawifeofking8518 ปีที่แล้ว

      @@zayumar2955 asante maa

    • @mamananga2849
      @mamananga2849 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣ww

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 ปีที่แล้ว

      @@thequeenawifeofking8518 ❤️😘

    • @tatianamnyiamba6416
      @tatianamnyiamba6416 ปีที่แล้ว

      Yaani,Mungu tusaidie ni shidaaaa!!Naomba nije kuwa mama mkwe bora kabisaa

  • @sanjevivi7741
    @sanjevivi7741 ปีที่แล้ว

    Aunty Sadaka sio vijana wote wana akili hyo

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy5740 ปีที่แล้ว

    Wanawake wa siku hizi ni viraza, Awajui kusoma hisia za mama mkwe.
    Wao wameweka vichwani mwao kuwa mama mkwe ni wabaya.
    #HonMichaelDeusdedityKessy

  • @lightnesselirehema1464
    @lightnesselirehema1464 ปีที่แล้ว

    Nimesikiliza wote 7 ila sijajua perfect ni yupi kati ya hao 7?

  • @achi_raymond
    @achi_raymond ปีที่แล้ว

    SNS tafuta watu wa copyright waje waongee on deep about this isue of zunguka

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 ปีที่แล้ว

    Maneno matamu madada zangu 🙏🇹🇿🇬🇷

  • @aaii8301
    @aaii8301 ปีที่แล้ว

    Kuna zingine familia sio zakwenda kuolewa jamani mimi wakati nilibeba mimba nyumbani wameniziraga kwao na baba mtoto wangu nikaka kwao na baba mtoto wangu ningali nafikatu nikamuona mamake mdogo anakuja kanambia apakwetu hatutaki mwanamke mvivu wana mchoyo 😂badae nikakutana nawanawake wameolewa kwaiyo familia wakanambia gisi yakuishi nao yani unatakiwa kazizote zamwaiyo familia ufanye wewe uamka sa11 asubuhi ndo wanapenda nawakiwa nashuhuli wala msiba kazi zote wakwe ndo mnafanya nakwakweli walinipenda sana sikuwa mvivu wakazi basi mke wababa mtotowangu naskia nimvivu bala afu mchoyo ana achika kilasiku juya mama kwe anamtukana eti heri ninge olewa mimi😭😂😂😂

  • @evamday2896
    @evamday2896 ปีที่แล้ว

    Bahati mbaya saaana wanaokusikiliza Ni wachache natamani hili somo lingefika mbaali maana Ni la muhimu

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 ปีที่แล้ว

    Jamn waolewaji nao wanakujaga na maajabu

  • @tidyboybishubo6440
    @tidyboybishubo6440 ปีที่แล้ว

    Huji wa pilipil hapn ten yanafany maziw yanakuw mepesi

  • @dikodikson559
    @dikodikson559 ปีที่แล้ว

    Mama mkwe mbeya😂🤣😂🤣😂🤣Sasa atakuwa mama mkwe M Arusha😜😜😜😜😜

    • @tanzaniaafrica7019
      @tanzaniaafrica7019 ปีที่แล้ว

      Mama mkwe wa mbeya nilikutana nayo mimi wew sito sahau akinikataa kabla ya kuonana na mtoto nilinyanganywa niende kwetu yeye alee 😭😭😭😭

    • @leylahleylah4599
      @leylahleylah4599 ปีที่แล้ว +1

      @@tanzaniaafrica7019 Pole mpenzi

    • @khadijaabdala6876
      @khadijaabdala6876 ปีที่แล้ว +1

      Mama Ashura ni kivurunge 😀😀

    • @khadijaabdala6876
      @khadijaabdala6876 ปีที่แล้ว +1

      @@tanzaniaafrica7019 pole mamy