Ndugu yangu unaweza kuona km uongo lkn mm siwezi kubisha kabsa labda tyu baazi ya maelezo ya huyu mzee ndo nmeyasikia leo, lkn mimi nmeenda ukerewe aisee NYOKA hawaui Hawa watu nmeona laivu na wala were men ulofika Ata hawez kukudhuru yule NYOKA,yaan Hawa watu Nyoka ndo minimum yao kuna kabila wanaitwa WAJITA hawaui kabsa Nyoka,yan nyoka akitokea walipokaa huwa wanamfukuza tyu na sio kumpga😢😢,Wana hatar xna aisee
Wah..... miungu inaishi miongoni mwetu kweli teknolojia imetusaidia sana kujua mengi yaliyofichwa,,,,, lkn sasa davistar si apo umesacrifice pesa kwa miungu inayoishi kwa hilo jiwe, sasa itakuaje jameni
Hiyo sehemu inaitwa bukiko nilitaka kupetezwa nilitembea kuanzia saa 8 mchana mpaka saa 12 jioni baada ya maombi ndio nikaona njia nillipishana kauli na mzee mmoja allikuwa anaitwa mzee jojo siijui kama yupo... ????? Mpaka leo???
@@kungugeni wewe msenge sana, mbona mnaenda hospital,fala wewe unaamini jiwe,go back to school you,an academic dwaf shut up your mouth na ushirikina wako
asa jiwe linacheza vipi wakati anaskuma na mguu 😹😹 embu kuweni serious bana uwe unatupa ata historia za wazungu hao wasenge unaowahoji skuizi wanazingua tu kamba nyingi
hakuna namna hilo jiwe linacheza kwa miujiza, tilt angle yake sehemu inaruhusu hcho kitu kufanyika, nilipoona chupa ya maji kwa chini iko positioned hpo nmekua convinced zaid, inahtaji slippery surface hio sehemu na nguvu kidogo, huto tumwimbo ni ujasiriamali.
Uje uende na tabora kuna nyayo za kuna pale mbwa alikuwa analala wanapocheza bao lipo ila kete sie tulizikutaga ngoma navimbo zake ila walishaziiba kete hakuna wala fimbo
Anasafirije huyo chatu baada ya kula maana inaaminika kwamba chatu akishiba huwa anakaa hapo mpaka cha kula kiyeyuke inakuwaje yeye akila anaendelea na safari?
Uongo mtupu
Wanataka urudi wapige hela.
Wakerewe wanapenda sana Ushirikina
Nyoka ni Alama ya Uchawi bana....hacheni hizo Okokeni Wakala.
Ndugu yangu unaweza kuona km uongo lkn mm siwezi kubisha kabsa labda tyu baazi ya maelezo ya huyu mzee ndo nmeyasikia leo, lkn mimi nmeenda ukerewe aisee NYOKA hawaui Hawa watu nmeona laivu na wala were men ulofika Ata hawez kukudhuru yule NYOKA,yaan Hawa watu Nyoka ndo minimum yao kuna kabila wanaitwa WAJITA hawaui kabsa Nyoka,yan nyoka akitokea walipokaa huwa wanamfukuza tyu na sio kumpga😢😢,Wana hatar xna aisee
Nyimbo nzuri burebeka burebeka 💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂
Umeliwa hera yako tu davstar
Mmmmh jaman Kuna mambo Tz 🇹🇿 naipenda nchi yangu😂😂😂 sihami😍😍🔥🔥
Mumevuta Bange ya wapi nyiee na stori zenu za uwongo 😅😂😂😂😂
Hao davistar wamekucheza 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli sio elfu hamsini Kuna mtangazaji Alisha fika hapo alitoa elfu kumi na Tano to na jiwe lilicheza akiwa analiimbia
Davister hapo jamaa wanazingua mtu anachezesha jiwe na mguu anakwambia mizimu ndo inachezesha kweli..😆😆😆🤗🤗
Uyo mzee ajui historia vizuri ya hapo tafuta mzee kbsa anayejua
Ww ndio wa hapo, jina mafuru
Davista umeliwa hapo 😂😂😂 Mungu awasamehe hawa
Story nzuri sana ✨
Hatari sana lakn waambie wamugeukie kristo waachane na imani potofu
Ulokole mwingine ni ushamba khaa imani potofu ipi?, kila mtu Ana imani Ndo maana hta mbinguni hawaendi walokole peke yao stop fooling around
@@eyezarc1239MUNGU akusamehe
Matapeli kama matapeli wengine tu. Na ww mwandishi unaamini jiwe lisikie kweli?
Wewe sio mkazi WA Kuala ndomaana huami sie wakala ndo tunajua
Linacheza nikweli
@@mariakidumba8439nikweli kabisaa
Uongo tu mumeliwa sana Yesu Alisha msliza kazi Imani hiyo sio
Achen masihara nyinyi ukubwa wa jiwe ilo huwez chezesha na kamguu ka yule mzee tu
Lipo juu juu ukilisukuma linayumbatu
Mr dastan hiyo pesa ungenirushia mkitoka hapo jamaa wanarudi kuchukua hiyo wamekuchezea kiini macho
Yan ninyi wandixh wa habali mna kubali kwel
Kumbe mpaka alitikishe na mguu, mi nilijua linacheza lenyewe
tumrudie mungu yotehayo nikukosa hof ya mugu tueome tumjue mungu amin kunakesho utaulizwa umeutumia vp uhaiwako mungu atuongoze
Wewe ni zezeta kabisa sasa hapo wanamkosoa Mungu ? Tamaduni zetu waafrica lazma tuziishi
Maajabu haya 😳🇰🇪
Wah..... miungu inaishi miongoni mwetu kweli teknolojia imetusaidia sana kujua mengi yaliyofichwa,,,,, lkn sasa davistar si apo umesacrifice pesa kwa miungu inayoishi kwa hilo jiwe, sasa itakuaje jameni
Hilo jjiwe halina chochote kuka kwake linaelea juu ya mawe mawili nilikwenda peke nikalichezesha nilivyo taka wezi tu hao.
Mbona analitikisa na muguu
Kwa Mara ya kwanza Davi umedanganywa yaan hapo ni namna ya kupiga pesa tu
Sio kweli
Sio kweli
Sasa unabisha Nini yaan jiwe linasukumwa Kisha linatingishika afu mnasema linacheza ,mie nilijua mnaimba bila kugusa Kisha linacheza ,acheni uongo
acha uongo mizimu haina mwili wala nyama umepigwaaaaaa hahahaaaaa davii
hii sehemu inakaa kama mwibale wa mwanja
Hiyo sehemu inaitwa bukiko nilitaka kupetezwa nilitembea kuanzia saa 8 mchana mpaka saa 12 jioni baada ya maombi ndio nikaona njia nillipishana kauli na mzee mmoja allikuwa anaitwa mzee jojo siijui kama yupo... ????? Mpaka leo???
Pole sana
@@annapeter6065 asante maisha haya ni safari
😂ukweli ni kwamba wameliwa uongo tu
Umeona eee. Jiwe liko kama duara litacheza tu likitikiswa
Sioni la ajabu jiwe Lina sukumwa kwa mguu.
Kalisukume ww Kama nikawaida
Mbona naona analiskuma na mguu 😅
Nimecheka mbavu zangu mpka zinAuma😄😄😄😄
mr dav
Mwandishi kwann haingii hiyo
Equilibrium 😂😂
Davista tuelezee vizuri mbona analisukuma na mguu mi sijaelewa😂
NASHANGAAA
@@buxxjosephs6379ungejiuliza swali huo mguu wa huyo Mzee unauwezo kweli wa kusukuma Hilo jiwe jamani
Davista na nguvu zako zote umezidiwa na mkalebeka😁
Mkuu huko mbona mmepiga picha watu wanaoga ziwani Wako Uchi 😅😅
Tanzania kuna mambo jameni
😂😂😂😂watanzania Muna vituko mukorebekamukorebeka mpaka akanyagwe
Waandishi mmeliwaaaaaaaaa na mmepigwaaaaaaaaaaaa.
Tanzania namba 1
Kwa ushirikina
Proud home sweet home
Anashezesha jiwe na mguu uongo tupu
Kaka Davistar mbona unajikakamua 😁😁😁
Mtakuja kufunikwa na Iman zenu Za kishrkina😂😂😂😂🙄Pesa zinachukuliwa Na nan
Wacheni ushirikina nidhambi kubwa sana kwa Allah
Wewe mpumbavu Imani za kiafrika inaponya huyo yesu mnamjuwa mbwa nyinyi
@@kungugeni wewe msenge sana, mbona mnaenda hospital,fala wewe unaamini jiwe,go back to school you,an academic dwaf shut up your mouth na ushirikina wako
Nyayo za mwanamalundi mzee hizo
Kama una Yesu hizi imani utaishia kuziskia tu
Yesu mzungu au mweusi ?
@@mwambakakudji6288wanazareti
Eti wazee walikuwa wanacheza usolo
Huu ni uhuni tu wa kuendekeza mamizimu na ni ujanjaujanja tu,
asa jiwe linacheza vipi wakati anaskuma na mguu 😹😹 embu kuweni serious bana uwe unatupa ata historia za wazungu hao wasenge unaowahoji skuizi wanazingua tu kamba nyingi
😂😂😂😂😂
Jaman mlibeka
Ok
Huyo mzee tapeli uyo😂😂😂😂😂
Àhaa kumbe nyie hapo mabwabwae yaan mnaleta stor za uongo tu kila stor uongo mabwabwa nyie😮😮😮😮😮
Yaani,hawa jamaa wote wanagojea elfu hamsini eeh?? Kweli kazi ni kazi
hakuna namna hilo jiwe linacheza kwa miujiza, tilt angle yake sehemu inaruhusu hcho kitu kufanyika, nilipoona chupa ya maji kwa chini iko positioned hpo nmekua convinced zaid, inahtaji slippery surface hio sehemu na nguvu kidogo, huto tumwimbo ni ujasiriamali.
Aah davista iyi mara umeliwa
Na Tz kuna mambo
Mafuru niko hapa davistar ukiitaji nikwambie kwa nn nilikanyaga jiwe likajichora nyao
Mwl alisema sifa zote anazo ila jama jama, mkara, mwl akacheka😁😁😁😁👍
Bro hapo umepigwa hebu rudi sikunyingine wakiwa hawapo hao wazeee ujaribu kulitikisa kama halitikisiki
Mbona anatingisha na mguu babu umeliwa
Utakut mtu anasema yesu ndio kimbilio utazan anamjuwa
Duh
Aaaa uyo mzee muhuni daa
Uje uende na tabora kuna nyayo za kuna pale mbwa alikuwa analala wanapocheza bao lipo ila kete sie tulizikutaga ngoma navimbo zake ila walishaziiba kete hakuna wala fimbo
Mmmmh kwahilo jiwe kuchezeshwa na mguu ni hatar kwan huku kwetu mawe yapo ila huwezi hata kulichezesha
Sasa vile lilivokaa lazima licheze, acheni imani potofu
Long time nilifika apo,before mv nyerere kuzama
Hao ndo sie🤔
Ye aliimbie licheze lenyewe sio kulikanyaga 😅
Sasa mbona anatumia mguu kulisukuma
😂😂😂😂😂 we jamaaa umepigwa kizembe nyoko zqko
Jiwe mpaka litikiswe daah uwongo
Amesema makorokoro sio makolokolo davista
Yesu ndo tumaini pekee uzo Iman zimeshapitwa na wakati
Yesu mzungu au mweusi ?
Acha Imani za kizungu Hawa ndio Mungu wetu
Acha utaahira wewe sasa hapo ni dhambi au wanamkufuru MUNGU? Hizi ni mila zetu waafrica
🙏🙏
@@mwambakakudji6288MUNGU akusamehe
Atoe miguuu
Nahs Huo ni mguu banhaaaa
Yani apo bado ajui kujielezea
Mbona naikanyaga hapo tumeepigwa mzeee
Kwa kweli Mandhari haya nimeyapend zaidi, hasa inahitaji Utalii kabisa,sababu ni sehemu nzuri ya kufanya picknic
Wew unapatikana wap
Waongo hao
🤔 dunia mmmmh Mungu simama mwenyewe
Hinabidi nifike huko Mr fact
Anasafirije huyo chatu baada ya kula maana inaaminika kwamba chatu akishiba huwa anakaa hapo mpaka cha kula kiyeyuke inakuwaje yeye akila anaendelea na safari?
Tunalagaiwa
Pazuri
Mnamoyo mi sikai likikasirika je likawafunika mh🤔
Sasa acheni uongo ilo jiwe mmekitega
Mmmmh siyo kuwa limekaa Bevo
uuuuu hatari sana
Mafuru, masato
Wasomi watasema kuna force of gravity
Mom's San mzee
Ni saw Lakini,Yesu kirsto ni zaidi ya Aya, kazi ni kuamini neno lake
This man is making money Davista huyo ni tapeli
Kweli bro
Angalia usiliwe na Mamba 🐊 maana hapo si pa mchezo mchezo
Vizuli kuona majabu yapo jamani
Milad umenichekesha kweli leo,,, burebeka kitu kimya
Mbona unatingisha kwa mguu wake maenyewe Devi umeliwa aisee
Mtu waliekuwa na uwezo ktk Kanda ya ziwa ni mwanamalundi tu
Muandishi unachosha unareya mawali hayo hayo