Yaani wew dogo unahitaji ulinzi au wew ni Luhanga mpina nini mbona unaongea kiuzalendo na chama chako hakina uzalenda wala haki, nakutumia ulinzi mkubwa, Mungu akulinde yeye ndo silaha tosha kwako
Ccm jiandaeni kuwa chama Cha upinzani wtz wamewachoka mkikubali uchaguzi wa huru na haki ccm kwaheri nani anawataka? Watumishi wanalia hamlipi madeni Yao mmewapiga na kikokotoo nk wanaichi mmewakaba kwa tozo za Kila aina nani anawataka? Ccm
Kijana umeongeq point katika wana chama cha mapinduzi huo ndo uqnaume ndo maana mnapo Ingia ulingoni mnapigana peupe ili utakaye shindwa utaonekana na kujua kuwa nilizidiwa popote ulipo tuma namba nikutumie hera ya soda umeongea eko sikuizi raia hawataki matokeo ya mifukoni kuna viongozi tunashindwa kuwaadabisha kwa kushindwa kutekeleza miladi kwa sababu wanasema walijichagua hii sio haki
CCM ILIKUFA NA MWL. J.K. NYERERE. MULIOBAKI NI FIBAKA NA WARAFI WA MADARAKA, HAKUNA ANAYEWEZA KUKUBALI KUFANYA UCHAGUZI WA HURU NA HAKI KWENYE INZI WA KIJANI. HAKO SUBIRINI UTEUZI TU
Mwana CCM mwenzetu kuna baadhi mazuri sana ya kujifunza kwa Chadema Hakuna mwenye hati miliki ya Uongozi( Alfa na Omega ) Kiongozi ni chaguo la wengi Kabla ya Chama kumpendekeza Kiongozi lazima kwanza kupitia kwa walio wengi ili kujua kama anakubalika
HUYU JAMAA KWELI AMEANZA KUOKOKA,HAIJA WAHI KUTOKEA WANA CCM KUSIFIA CHADEMA, MUNGU AMEFANYA HIVI ILI KUWA ONYESHA WATU UCHAGUZI UNATAKIWA UWE HIVI ILI HATA MTU AKIANGUKA KUCHAGULIWA HANA MASWALI,KULIKO ULE WA VIFICHO.
Hakuna kiongozi wa CCM anayeishi kwenye maneno yake. Kutamka uchaguzi utakuwa huru hawakuanza Leo na hakuna chochote kina chofanyika zaidi ya wizi wa kura tu. Kama polisi anakimbia na box la kura bila aibu Ili kuisaidia ccm, haishangazi kuona hayo na mengine ndio demokrasia ya ccm. Chukulia kwa mfano, mwenyekiti wa CCM anachaguliwa baada ya kuwa Raisi na hakuna wa kushindana naye, mitano yap pili rais akichaguliwa aendelee hakuna mwanachama mwingine yeyote anaruhusiwa kuchukua fomu. Huo ndio uhuru wa uchaguzi huko ccm ambao ni udikteta tupu. Na wewe unayeshauri wakajifunze kule Chadema, jiangalie usije ukaungana na Soka na wenzake.
Jamaa yuko vizuri. Sikutegemea Kauli ya namna hii kutoka kwake. Ametisha sana
Huyu mwanaccm kaongea vizuri sana😊
Bora msiwe wanafiki wote uko vizuri kiongozi
Chadema hongereni sana mmekuwa darasa zuri sana la demokrasia nchini
Upo vzr sana
Huyu jamaa ameongea points ila ccm watakupiga vitaa
Safi sana
Chukua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉👏👏👏
Ubalikiwe sana
Wewe kijana upo safi.hata mimi ni CCM nakubariyana nawewe.uchaguzi tufanye wazi. Lakini .hatuwezi tukafanya kama chadema.
Ukweli mchungu
CCM bado sanaaaaaaaaaa
Kwa vinywa wanatamka kwa matendo ni zeroi plus.
Hii ndiyo siasa safi mwenzako akifanya vizuri unampongeza
CCM hawawezi kuiga demokrasia wanajua wakifanya hivyo hawawezi kuongoza nchi
Tukipata watu wengi wa mfano wako nchi itaokoka
Maswali ya mwandishi sasa😂😂
Mtaweza..kuiga huo ?!
Yes,umeongea kwa hekima
Good man
Huyu CCM haijamkolea vzr (ukikolewa sawasawa akili inageuka)
CCM wakifanya chaguzi za aki wataondoka mchana kweupe
Yaani wew dogo unahitaji ulinzi au wew ni Luhanga mpina nini mbona unaongea kiuzalendo na chama chako hakina uzalenda wala haki, nakutumia ulinzi mkubwa, Mungu akulinde yeye ndo silaha tosha kwako
Tukifanya vile tutapigwa asubui namapema sisi tusijaribu jamani
CCM uchaguzi wao wote niwakihuni sana hebua angalia kwenye uchaguzi wa nec ya ccm ilikua ya hovyo sana
Heko kijana upo sawaaa
Uko vizuri
Hivi ccm ni kuteuana tu mpaka sasa mnateua wazee kweli watareta matokeo chanya kwenye nchi yetu
Ndyo maana mm napenda chadema
Mh jamaa yangu nakupa miezi mitatu hiyo nafasi ulionayo itaondolewa 😊
Wewe ni ccm kweli, waambie viongozi wako watimize hayo
Chademaaaa✅☑️✔️✌️
Nyinyi si mnategeme roboti za mitandaoo
Kweli cdm wameonyesha kukomaaa kwa safari hii
Chadema nichama makini haifanani na Ccm walla Ccm haijaifikia chadema
Hakuna cha kujifunza sababu uchaguzi wao umeacha maumivu
Uchaguzi huru na wa haki😮😮It is easier said than done
Mpuuzi kabisa eti Democrasia haikuwepo
Huyu anawezakuja mwanasiasa mahiri sana kwa kusema ukweli japo huko alipo kuna shida sana kwa mtu anaezungumza ukweli hususan ule unaowagusa wakubwa
Lissu ajiandae kuupata kura za ccm sana sana
Unafiki umeanza kupungua tanzania uko vizur kaka chadema ni mfano Wa kuigwa.
Wakipatikana vijana km huyu chawa na wapambe wataisha ccm
Naomba CCM waendelee na shingo ngumu ili watu watakapo zinduka hapo ndiyo itakuwa mwisho wao !!!!!
Itachukuwa mda maana damu z watu wengi zishamwagika
Inatakiwa wakianza kumwaga damu ya watu waanze na wewe
Ccm jiandaeni kuwa chama Cha upinzani wtz wamewachoka mkikubali uchaguzi wa huru na haki ccm kwaheri nani anawataka? Watumishi wanalia hamlipi madeni Yao mmewapiga na kikokotoo nk wanaichi mmewakaba kwa tozo za Kila aina nani anawataka? Ccm
Kaka amenena kilicho sahihi japo najua wapo wengi hawapendi hiki alichonena lakini huo ndio ukweli.
Muuliza maswali usirudie rudie maswali
Ccm miizi ya kula
Mmetukaba na Kodi nyingi Kwa AJILI ya matumbo na watoto wenu
Kijana umeongeq point katika wana chama cha mapinduzi huo ndo uqnaume ndo maana mnapo Ingia ulingoni mnapigana peupe ili utakaye shindwa utaonekana na kujua kuwa nilizidiwa popote ulipo tuma namba nikutumie hera ya soda umeongea eko sikuizi raia hawataki matokeo ya mifukoni kuna viongozi tunashindwa kuwaadabisha kwa kushindwa kutekeleza miladi kwa sababu wanasema walijichagua hii sio haki
Huwa wanasema ndoa ni kuvumiliana, kuweni wavumilivu.
Cdm!mmewashtaki viongizi wa vyama vingine Kwa WANANCHI na WANANCHI wameonaa inawezekana Hali ikatendeka huku wanaona ukweli wote!!ngoja tuone .
Ccm aikosei chadema wanajifunza kupitia ccm
Umenena vema sana
Jamani hacheni woga Lissu ni binadamu kama wengine.raia mwema aogopi polisi.Lissu anaogopwa nini?
Muongo ww sema wametuzidi.chaguzi za chadema wamefanua wazi.je nyinyi mumewai kufanya kura za wazi?
Safiiiiiiiiiii👍👍👍👍👍👍
Wimbo kila uchanguzi huru na haki wimbo wa ccm na wanauchafua wao
Kijana una akili lkn mkweli
Sanaaaa tu usemayo hata uxhaguzi wetu wa Ccm uwe hivyo kwa uwazi kabisa
Kidumu Chama Cha Mapinduzi: Ulichoona ndicho tunapaswa tukibebe CCM na tukifanyie kazi.Chadema sio adui wetu CCM Ila nshindani wetu kisiasa.
Aki ccm wataenda nyumbani wakifanya hiyo watu wamechoka na ccm. Mm mwenyewe ccm lkn nitapigia upizani
Acha ubwege!uchaguzi wa chadema umekigawa chama!hakuna cha kujifunza!!
Naona una matatizo kidogo. Umekigawa au la bado wamefanya uchaguzi sisi hatujafanya uchaguzi tumepitisha viongozi na sio wote tumefurahia Hilo.
Ndio tatizo lenu nyie mazuzu,ndio sababu chama chenu had leo mmeshindwa kuwapa vijana kwa sababu ya nidhamu yenu ya uoga.
akamaliogopa dodoma Kwa lisu atakubali
CCM hawawezi kufanya uchaguzi wa huru na haki CCM hawa wezi shinda walisho zoea uwizi na uongo?
chadema Kuna wasomi kimbisa amewapigisha makofi nyie simulipiga makofi na kushangiliya
Wewe ni mwanasiasa uliyebobea
Wewe situnakujua ni chadema kabisa
Uchaguzi ata akateuliwa Mbowe kuwa ndio Msimamizi wa uchaguzi Taifa upande wa Uraisi ccm inachukuwa kwa kishindo tu
Huyo nyuma anacheka nini
CCM ILIKUFA NA MWL. J.K. NYERERE. MULIOBAKI NI FIBAKA NA WARAFI WA MADARAKA, HAKUNA ANAYEWEZA KUKUBALI KUFANYA UCHAGUZI WA HURU NA HAKI KWENYE INZI WA KIJANI. HAKO SUBIRINI UTEUZI TU
Point
Umelishwa ujinga na unasimulia ujinga. Hofu au woga umewajaa na kushindwa kukosoa madudu ya CCM!!
CCM haitawezekana kamwe
kijana uko gizani
What extra comments?
Mwana CCM mwenzetu kuna baadhi mazuri sana ya kujifunza kwa Chadema Hakuna mwenye hati miliki ya Uongozi( Alfa na Omega ) Kiongozi ni chaguo la wengi Kabla ya Chama kumpendekeza Kiongozi lazima kwanza kupitia kwa walio wengi ili kujua kama anakubalika
Hakika umenena
Ndugu umechangia vizuri tunaendaa kuwashinda kwa haki na mama yetu ni mtu wa haki
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Mukundu wewe msema kweli ni mpenzi wa mungu
HUYU JAMAA KWELI AMEANZA KUOKOKA,HAIJA WAHI KUTOKEA WANA CCM KUSIFIA CHADEMA, MUNGU AMEFANYA HIVI ILI KUWA ONYESHA WATU UCHAGUZI UNATAKIWA UWE HIVI ILI HATA MTU AKIANGUKA KUCHAGULIWA HANA MASWALI,KULIKO ULE WA VIFICHO.
Ccm ina usa ngorongoro na kupiga watu wetu risasi niwape kura siwezi
Siasa haina uadui futa kauli ya adui. Siasa zinatakiwa 4R.
Wewe ni ccm lakini nimependa namna ya ulivyo mkweli na sahihi wewe ni mzalendo,lakini sio ccm njaa wasiooenda haki na uhuru wa watu wengine
Hakuna kiongozi wa CCM anayeishi kwenye maneno yake. Kutamka uchaguzi utakuwa huru hawakuanza Leo na hakuna chochote kina chofanyika zaidi ya wizi wa kura tu. Kama polisi anakimbia na box la kura bila aibu Ili kuisaidia ccm, haishangazi kuona hayo na mengine ndio demokrasia ya ccm. Chukulia kwa mfano, mwenyekiti wa CCM anachaguliwa baada ya kuwa Raisi na hakuna wa kushindana naye, mitano yap pili rais akichaguliwa aendelee hakuna mwanachama mwingine yeyote anaruhusiwa kuchukua fomu. Huo ndio uhuru wa uchaguzi huko ccm ambao ni udikteta tupu. Na wewe unayeshauri wakajifunze kule Chadema, jiangalie usije ukaungana na Soka na wenzake.
Muongo huyo
Huyu jamaaa anatakiwa kupigwa na ccm chadema na Act pamoja na cuf kaongea vzr sanaaaaa
Hujitambui wewe kura za wazi alianzisha mhe magufuli na mwaka uliopita kura zote toka kata mpaka taifa acha kukurupukq wewe
Unauliza umejifunz nn,wkt amesha kujibu
Hakuna coment!
🤔