TUNDU LISSU:UCHAGUZI 2025 NAENDA KUA RAISI MKUBALI MKATAE CCM AWANIWEZI ATA KIDOGO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 51

  • @JANEBGOYA
    @JANEBGOYA 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Pole,haiwezekani.UTAKUWA MWENYEKITI WA CHADEMA TU

    • @MaselePatrick
      @MaselePatrick 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kabisaaaa

    • @RamadhanKitama
      @RamadhanKitama 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wajinga wawili wakisaportiana inakua wajinga² . Ko ingekua uchaguzi ulio huru na wahaki nadhani chama tawala kisingekuepo madarakani.

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Good words

  • @musamhaya5319
    @musamhaya5319 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Rais wetu tundulisu,awamu hii ccm hawatoboi, lazima lisu uwe rais I've mvua Iwe masika mungu amekupa nafasi hii uwaokoe watanzani

    • @MaselePatrick
      @MaselePatrick 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Alikosa lowasa NI huyu Hamna kitu hapo

    • @LuciaAgustino-pt5mg
      @LuciaAgustino-pt5mg 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mwenyezi mungu akutendee alivyo kunenea

  • @Emanuelurio-yv1xh
    @Emanuelurio-yv1xh 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Sio mnayofikiri kushinda Kwa Tundulisu hakutaleta chochote uzalendo wa Lisu ungeonekana Ikungi

    • @RamadhanKitama
      @RamadhanKitama 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe ni mjinga tu, unaleta ukanda na ukabila! Huu sio muda wa lissu kujenga ikungi!! Lissu ni wa watanzania wote😊

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hata ukimtukana. Lisu
    Mungu atamnyanyua ccm Haina ishu

  • @nassorally4002
    @nassorally4002 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    🎉Wewe umerogwa Nani atakuchagu

  • @benderakashindi3834
    @benderakashindi3834 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Tundu lissu Bravo, mwaka huu niwako tuna kupenda sana ili ututoe kwenye majanga ya CCM ya utekaji watu kuuwawa, mwaka huu akuna kuibiwa kura mbinu zao zote zilijulikana kabisa.
    Chadema iko macho kwa sasa kupitia Lissu. Yeye ni Raisi mtarajiwa wa Tz.

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Sema unampenda siyo tunakupenda pia akutoe siyo awatoe

    • @MaselePatrick
      @MaselePatrick 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Pole Sana lowasa alikuwa anazijua mbinu zote na bado akafeli NI huyu anaweza Nini sasa oiiii

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Umampenda siyo tunaenda mimi dimprnfi ninsmdharau na ninamchukia

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Never ever ever

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Haiwezekani. Hufai kabisa

  • @mwili_wa_ndoto_yangu
    @mwili_wa_ndoto_yangu 11 นาทีที่ผ่านมา

    Wapuuzi hayo mazungumzo ya muda mrefu kabra ya uchaguzi chadema

  • @NungulaRais
    @NungulaRais 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hii saf

  • @musamhaya5319
    @musamhaya5319 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ccm wamekuwa wanaiba ,kuuza na kujinugaisha raslimali za wananchi na wananchi kuishi maisha magumu,wala hawakemeani.

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hata wakitukana Wewe ni Rais

  • @ChristerKok
    @ChristerKok 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Husikasirike.

  • @musamhaya5319
    @musamhaya5319 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Shoga ni baba yako, lisu ndiye rais wetu

    • @MaselePatrick
      @MaselePatrick 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      KWA HERUFI KUBWA HAITOKEI HATA KIDOGO OIIIII

  • @KopiscoIsaya
    @KopiscoIsaya 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tundu LISU kinacho ku coast ni Luga zako chafu,badilisha luga zako watu wamechoka na hizo luga chafu,halafu unafedheheshe WENZAKO na kuwabeza WENZAKE anayo nafasi yakuhacha hayo madhaifu yake.

  • @makamesaid9137
    @makamesaid9137 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kama CCM hawakuwezi Mungu anakuweza hilo halina wasi wasi

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    KWA NINI HUWA NAJIULIZA CHADEMA KILA ONGOWA NA TUNDU LISU WAKATI YEYE ALIKILI YEYE NI SHOGA 2020KWENYE UCHAGUZI ETI AWE RAIS WA TANZANIA SHOGA SASA CHADEMA KINAESHWA KISHOGA TU

  • @ZainaRashid-t3m
    @ZainaRashid-t3m 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Endelea kuota ndoto za mchana mpska dunia inakwisha hutakuwa rais hatuwezi kukupa nchi mtu meenye mdomo mchafu ka choo cha stendi ccm oye mitano tena mama samia

    • @MaselePatrick
      @MaselePatrick 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kabisa akalaleleee

  • @subilagalyimo9917
    @subilagalyimo9917 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kinachonishangaza ni CCM ni watu waheshimiwa wako na maprofeser kwa nini waibe kura ili'!! watawale hawaoni aibu hivi wanafikili watu woote wasio CCM ni wapumbavu!!? Mpaka majaji wanaona lakini wanajifa nya hawaoni!!

  • @maase2023
    @maase2023 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂 tundu apelekwe akstembelee mirembe haki ya mungu 😂😂😂😂😂! Anaota urais wakati ubunge wa jimbo lake la watu 20000 tu lilimshinda ? Jimbo lake lilimshinda atauweza urais huyu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @HijaLuhumba
    @HijaLuhumba 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Rais wako wewe mzi lazimishe watu wengine

  • @maase2023
    @maase2023 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Miaka 10 ya ubunge wake hakuwafanyia lolote watu wake wa jimboni leo anawaza urais anadhania wananchi hawaoni au hawamjui au wajinga mpk wamchague??? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JamesApiyo
    @JamesApiyo 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Apate wapi?

    • @MuradAbdul-u2c
      @MuradAbdul-u2c 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Tulia ww.

    • @ZaidAKissinza
      @ZaidAKissinza 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@MuradAbdul-u2cBasi bro Apiyo pata wewe.ok?

  • @maase2023
    @maase2023 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ameshindwa kuhudumia wananchi wa jimbo lake ambao hawazidi 20000 kwa miaka 10 hata maji walikosa leo ataweza kuhudumia wananchi mil 60 ????? Mama samia twende mama hana kitu huyo

    • @salummohamed2689
      @salummohamed2689 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kodi zote mkusanye nyie CCM maendeleo yakiwepo maji walete wapinzani.

    • @maase2023
      @maase2023 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      @salummohamed2689 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

    • @MaselePatrick
      @MaselePatrick 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@salummohamed2689pole yako na huyo lisu wako anayeota mchana kweupe😂😂

    • @salummohamed2689
      @salummohamed2689 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@maase2023 Hao ndivyo walivyo, tuwahoji.

  • @MaulidMjwiga-tb1zu
    @MaulidMjwiga-tb1zu 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    We ni mwehu na shoga huna lolote nenda ukagawe mkundu Kwa wazungu malaya ww

    • @costamasuba1099
      @costamasuba1099 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Daah mbona umetukana ,bila kuweka hoja nzito,weka hoja nzito tukuelewe na ueleweke

    • @kobelochamanga9757
      @kobelochamanga9757 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Mtu akishindwa anakimbilia mawe au matusi kwaiyo jamaa amekubali lisu anazo hoja nyingi zinashindwa kujibiwa

    • @ZaidAKissinza
      @ZaidAKissinza 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Wewe Maulid Mjwiga ndiyo mwehu na shoga wakutupwa, usirushe mawe kwa mwenzio wakati nyumba yako ni ya vioo. Ok? You gat me? If you don't gat me then forget about it.

    • @RoseMwajibanda
      @RoseMwajibanda 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      MaulidMjwiga-tb 1zu nakupa pole sana kwa kuwa mwislam jina!!! Waslam wa kweli vinywa vyao hunena hoja si matusi kama yako tena hata ushahidi wowote huna!!!

    • @mfwimiekayuki8692
      @mfwimiekayuki8692 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Matusi ni kwa watu waliokosa malezi.

  • @katondostudio652
    @katondostudio652 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    👇th-cam.com/video/DF6FxwrXZLk/w-d-xo.htmlsi=dX18ZtKJle6yfJrb