MH. TUNDU LISSU AWASHA MOTO KATA YA MWANGEZA JIMBO LA MKALAMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 32

  • @patrickmanasi6831
    @patrickmanasi6831 3 หลายเดือนก่อน +1

    Chadema, nawaombea mwenyezi Mungu awape uongozi wa Tanganyika na kati a mpya

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nyinyi ccm mchukulieni poa lissu anamwaga upupu anawapa uelewa watu ngoja uchaguzi uje wanainchi wanahasira hali ni mbaya sana

  • @salama1113
    @salama1113 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu atatenda majabu kwako inshaallah

  • @ElizabethMwalongo
    @ElizabethMwalongo 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tundulisu Lissu ni Mwalimu asiekuelewa ni Mjinga wa mwisho Mungu nakusihi endelea kumkumbatia Huyu mwanao aliekufa ukamrudisha maana risasi moja watu wanakufa hivo kwa risasi Hizo hapo umetuthibitishia jinsi gani ulivyo Mkuu hufananishwi kabisaaa🙏🙏

  • @CharlesAndrea-sj8xr
    @CharlesAndrea-sj8xr 3 หลายเดือนก่อน

    Karibu mkalama nyumbani

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n 3 หลายเดือนก่อน

    Sijui unafundisha nini jamii ya sasa kusema Sio mama wa wengine 😢, hii itaje kuanza kudharauliana kwa jamii yetu, badae mje mseme jamii imeharibika

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y 3 หลายเดือนก่อน +2

    Eti elimu bure alafu maji anauziwa

  • @lgf7297
    @lgf7297 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa kasahau, kawasahau wapiga kura wake

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndiye Sababu ya kusahauu si kila siku unampa yako lako!!

  • @emmanuelkaale6448
    @emmanuelkaale6448 3 หลายเดือนก่อน

    Idadi ya wanafunzi na walimu haiendani, kusababisha elimu inayotolewa kua duni, na kupelekea kuzalisha watu wengi wenye elimu duni mtaani

  • @emmanuelkaale6448
    @emmanuelkaale6448 3 หลายเดือนก่อน

    Wanafunzi wengi walimu wachache, inapelekea kuchanga pesa za asomo ya ziada na kupata walimu wa ziada, Maana ya elimu bure ni mtihani

  • @warrenmgode1837
    @warrenmgode1837 3 หลายเดือนก่อน

    Nakupata meanasheliya anayeekimisha

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wachangiaji tusiwaonee haya ccm wanatuchelewesha nakuhalibu vizazi vyetu Tanzania co masikini kivile vyanzo vikubwa ni vya mapato ya nchi iii mafisadi wamegawana leo wanakusanya Kodi kweli kwa bibi zetu mamazetu wajane wtt yatima ,mageti kuweka vijijin nikuwanyonya masikini hata ss wanaharakati tunaunga mkomo majambazi nchi imeshindwa kujiendesha inaendeshwa na nchi zingine Katiba mbovu

  • @jovitherkaijage614
    @jovitherkaijage614 3 หลายเดือนก่อน

    Kumbe ndio sababu siku izi mmefungua maduka ya dawa katikati ya hospital ? Wewe unaona iyo sawa kuiga mabaya na unyonyaji wa Marecani?

  • @patrickmanasi6831
    @patrickmanasi6831 3 หลายเดือนก่อน

    Mpate katiba mpya irekebishe dosari iliyomo kwenye muungano usio na usawa

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa maelezo yako hutaki Kodi kwa wananchi? Nchi yoyote huendeshwa kwa hela za raia wake, labda elimu ndogo ya rais unao waambia ndio watahisi wanaibiwa, Kwa wenzetu hata nyumba ya mtu ipo kwenye mfumo wa kodi, tena ni nchi zilizo endelea😢

    • @francismomo7067
      @francismomo7067 3 หลายเดือนก่อน

      Lakin sio Kwa hiz Kodi likuki....na

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅 wewe zombie

    • @Abs-tz8dl
      @Abs-tz8dl 3 หลายเดือนก่อน

      Kodi zinaliwa, sio hataki kodi

    • @nixonjohnson4908
      @nixonjohnson4908 3 หลายเดือนก่อน

      Huu ni wizi ..wenzetu kodi zinafanya kazi sio kuibiwa

    • @user-dl1mg2qf4n
      @user-dl1mg2qf4n 3 หลายเดือนก่อน

      @@nixonjohnson4908 msilipe kodi kisha mkae kimya

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 3 หลายเดือนก่อน

    HichibKokokotoo cha a miaka 30 kwani atakuwa Rais ni mmoja tu Tanzania? Hizi Sentensi hizi Ukweli Labda wajinga tuu wataamini. Kwenda hospital na kuambiwa kwenda Kununua Dawa pharmacy hata Marekani inafanya hivyo na sio Tanzania tuu. Marekani mtu unaulizwa ni Pharmacy gani unayotumia ili Prescription zitumwe kwenye hiyo pharmacy mtu akifika ananunua Dawa alizoandikiwa unless Isurance inalipia. Hivyo mambo ya kulipia Dawa sio Tanzania tuu tuache kudanganyana.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 3 หลายเดือนก่อน

      Sawa bwana chawa wa ccm unae ona serikali iko sawa na tanzania ina piga hatua kulingana na rasilimali zilizopo

    • @juliuskitaluka1206
      @juliuskitaluka1206 3 หลายเดือนก่อน

      Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

    • @jovitherkaijage614
      @jovitherkaijage614 3 หลายเดือนก่อน

      Tuige mazuri sio mabaya ya marecani

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kumbe kuna msd Marekani !!

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 3 หลายเดือนก่อน

      Fisiemu