Hii dunia Ina mambo ila Mungu anatulinda, kitu Cha muhimu usitende dhambi mwamini Mungu utashangaa xana unazeeka bila kulogwa na unashuhudia virembwe vikifanikiwa
hahahahahahaaaaa jmn tangu nasikiliza story hzi leo ndo nmepata ufafanuzi mzur kbsa usio na shaka kwann kuna uganga na anaweza mtibu mtu akapona lkn bado huyo mtu yuko kweny falme ya shetan, nmekuelew vzr
Mtangazaji upo vizuri unaonekana unaelewa haya mambo Lengo la kuwepo waganga sio kusaidia watu hata kidogo Lengo ni kuwafanya watu wapige magoti na kumuamudu shetani 😈 Na baada ya hapo hata wakitibu shida hiyo wanaweka shida nyingi zaidi
Okoka kamili kaka. Yesu Kristu Bwana wa ma Bwana kasema, a kingdom divided against itself can’t resist, ok? Means mganga is a devil agent, mchawi is a devil agent as well. So, if a witch ataloga na mganga kutunza it doesn’t make any sense. Let Jesus Christ of Nazareth remain the only powerful mighty, greatest mighty lord because he is the most perfect and savior
Ushauri kwa kaka..ukisahau verse yoyote ya Biblia. Enda kwenye Google na uandike maneno yale unayoyakumbuka...ila English is better than kiswahili..you get all the verses you need..Google search engine contains the Bible for easy reference. Boom!
Uwongo msidanganye mganga maanayake mganguzi au lugha rahisi doctor ndo mganga mtu mwenye elmu na anatumia elmu yake vile inavotakiwa na Mungu kusaidia watu na huwezi kumlipa mchawi ni mtu mchafu mwenye elmu anayoitumia kwa tamaa ya matamanio yaroho yake uyo ndo mchawi
Nazani Davista mata unahitaji elimu juu ya mizimu na pia naona mtazamo wako juu ya nguvu asili bado ni mdogo inaonesha unaimani ya kilokole ndiomana unashidwa kujua mambo kiundani yakupasa kujua imani ya wa Africa kabla ya kutawaliwa na wazungu ambayo ina wema pamoja na ubaya
Hapa kuna kampeni ya kidini nimeshajua hii ni ishu maalum kwaajili ya... hakuna sheikhe anayehusika na majini lamda useme mchawi ama mganga na sio sheikhe achana na masheikhe kabisa
Jamaa anajieleza vizuri sana, Congrats Davista
Hii dunia Ina mambo ila Mungu anatulinda, kitu Cha muhimu usitende dhambi mwamini Mungu utashangaa xana unazeeka bila kulogwa na unashuhudia virembwe vikifanikiwa
Mtanhazaji msikilize vinzuri Mzimu ni asili yako toka katika jamii yako na inanguvu sana sasa unajua kabira ni asili yako sasa ndani yake ni Mzimu
Ni mambo ya kutisha katika ulimwengu wa pili,Du! Yaah Abdalaaaa kwel umepitiaa mazito,,#KilajamboanalopitiaMwanadamukunakusudilaMungu.
eti upepo wa kisulisuli😅🤣🤣🙌🏿
Jamaa anaelezea vizuri sana. Siri za shetani zinafunuliwa. ASANTE YESU!!!
Mchawi na mganga ni wa agents wa shetani. Mtu mmoja
Huum! Davistar is ready smart and intelligent. Why? Because of his questions.
Big up davistar
No 1
Bro fanya Back to Back basi hii yakusikilizia inapunguza stim mzee
#Do Dondosha mzigo
Davistar huficha wachawi. Wow
Together mr everything 🙏
Mbona dada wa tarakea mna mbania Sana
Waganga enyewe awana Maisha mazuri
hahahahahahaaaaa jmn tangu nasikiliza story hzi leo ndo nmepata ufafanuzi mzur kbsa usio na shaka kwann kuna uganga na anaweza mtibu mtu akapona lkn bado huyo mtu yuko kweny falme ya shetan, nmekuelew vzr
Mtangazaji upo vizuri unaonekana unaelewa haya mambo
Lengo la kuwepo waganga sio kusaidia watu hata kidogo
Lengo ni kuwafanya watu wapige magoti na kumuamudu shetani 😈
Na baada ya hapo hata wakitibu shida hiyo wanaweka shida nyingi zaidi
🔥🔥🔥
Okoka kamili kaka. Yesu Kristu Bwana wa ma Bwana kasema, a kingdom divided against itself can’t resist, ok? Means mganga is a devil agent, mchawi is a devil agent as well. So, if a witch ataloga na mganga kutunza it doesn’t make any sense. Let Jesus Christ of Nazareth remain the only powerful mighty, greatest mighty lord because he is the most perfect and savior
🤩🤩
Davista, please stop unnecessary interruptions 😡😡
BIG boy's 🥂🇴🇲🇴🇲
Atuambie ni vipi anawaficha majini wasio na nguvu
Stori unaifaya inakuwa mbaya davi mwache ataje majina
Ushauri kwa kaka..ukisahau verse yoyote ya Biblia. Enda kwenye Google na uandike maneno yale unayoyakumbuka...ila English is better than kiswahili..you get all the verses you need..Google search engine contains the Bible for easy reference. Boom!
Uwongo msidanganye mganga maanayake mganguzi au lugha rahisi doctor ndo mganga mtu mwenye elmu na anatumia elmu yake vile inavotakiwa na Mungu kusaidia watu na huwezi kumlipa mchawi ni mtu mchafu mwenye elmu anayoitumia kwa tamaa ya matamanio yaroho yake uyo ndo mchawi
Aibu hii 😂😂
Nazani Davista mata unahitaji elimu juu ya mizimu na pia naona mtazamo wako juu ya nguvu asili bado ni mdogo inaonesha unaimani ya kilokole ndiomana unashidwa kujua mambo kiundani yakupasa kujua imani ya wa Africa kabla ya kutawaliwa na wazungu ambayo ina wema pamoja na ubaya
Hapa kuna kampeni ya kidini nimeshajua hii ni ishu maalum kwaajili ya... hakuna sheikhe anayehusika na majini lamda useme mchawi ama mganga na sio sheikhe achana na masheikhe kabisa
Bro tunaomba zile stor zetu zq kijasusi na wizi pls
Stop unnecessary editing. We want full story kabisa.