TRUMP KUWAFUKUZA WAKENYA 30,000, PRINCE HARRY MAREKANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น •

  • @KamardinTebe
    @KamardinTebe 11 วันที่ผ่านมา +15

    Jpm aliwahi kusema tujenge nchi zetu hakuna wajomba wakutusaidia tukamdhalau sasa wajomba wanatufukuza Safi sana trump

  • @enockRocky-p2y
    @enockRocky-p2y 10 วันที่ผ่านมา +4

    Umeona kenya ndio ikona wahamiaji wengi ama mshenzi

  • @AkimJacob
    @AkimJacob 11 วันที่ผ่านมา +9

    daah waafrika tunapenda kukaa kwa watu😱😱

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 11 วันที่ผ่านมา

      Kongo Amani itapatikana Kama UN wataondoka kongo.Majeshi ya Africa yatengeneze jeshi la kulinda kongo. UN ndio M23. Kuluna wako chin ya wazungu, Haki zabinadamu wamewekwa na wazungu kwa ajili ya kuwatetea wahalifu walio waweka. Ndio maana hata wazungu wamarekani wamekamatwa kwenye msako wa kundi la kuluna.Waafrika tujifunze tusiwe wajinga. wazungu wanatuchezea sana Afrika.

    • @stellanyamuhogota1832
      @stellanyamuhogota1832 11 วันที่ผ่านมา +1

      Daa hio ni hatar sana bora kukaa nyumbani au angalau tukiwa nje tujenge kwetu

    • @AkimJacob
      @AkimJacob 11 วันที่ผ่านมา +1

      @stellanyamuhogota1832 livee yaan.. sijui Afrika wanaoinaje.. Boraa hata wamefukuzwaa

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 10 วันที่ผ่านมา +3

    Masikini Kenya baba anamfukuza mtoto yoooo yoooo 😮😮😮😮

  • @DINASSOUR
    @DINASSOUR 11 วันที่ผ่านมา +9

    Wawatimue tu...kwnn wanakwenda kwnye nchi za watu bila utaratbu

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 11 วันที่ผ่านมา +11

    Hawwezi kumfukuza Prince Harry

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 11 วันที่ผ่านมา +7

    Wakenya idadi yao iko wazi vipi kuhusu wa kwetu mwananchi

  • @philipngeso8883
    @philipngeso8883 9 วันที่ผ่านมา +1

    Wakenya ni wakora 😅😅😅

  • @paulmathias810
    @paulmathias810 10 วันที่ผ่านมา +1

    Safi kabisa

  • @Janemburu-e1f
    @Janemburu-e1f 10 วันที่ผ่านมา +3

    Wewe unasema wa Kenya but wa africa wote, na hata inchi ingine

  • @PhidelinNakhumicha
    @PhidelinNakhumicha 11 วันที่ผ่านมา +6

    It's true 💯🙏, why did they immigrate to America without following up the law as it's supposed

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 11 วันที่ผ่านมา +1

      Kwani wa America wanaoishi nchi za watu bila utaratibu hawapo?

  • @Epec-47media
    @Epec-47media 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ruto mbona ujaenda kwa trambu banae tulikuwa tumekuwait utuwakilishe nasi we love you so much as kenyans

  • @Mussa-t1q
    @Mussa-t1q 9 วันที่ผ่านมา

    God with you President Trump

  • @Easy-handle
    @Easy-handle 9 วันที่ผ่านมา +4

    Na sisi Wakenya, tufurushe wahamiaji kutoka inchi jirani hapa Kenya. Wasomali, WaSouth Sudan, Wa Ethiopia, WaBurudi, Waganda, Wabongo, Wanyarwanda, Wahindi, Wachina, Wacongo, wote wasio na vibali warudishwe nyumbani kwao.

    • @manmanonline6394
      @manmanonline6394 9 วันที่ผ่านมา +4

      huna akili ww,kama munajiamini fukuzeni wazungu warudi kwao,waafrica wenzako wanahusiana na nini...

    • @LoistaSteven
      @LoistaSteven 9 วันที่ผ่านมา

      Wabongo kenya😅😅😅😅😅😅 huko njaaaa Kali hakuna mtu anakimbilia zaidi ni WAKENYA kukimbilia MAREKANI kutafta mkate no:5in the world wide Kenya

    • @LoistaSteven
      @LoistaSteven 9 วันที่ผ่านมา

      Kenya njaaa sana no:5 in the world sheim on you Kenya.

    • @LoistaSteven
      @LoistaSteven 9 วันที่ผ่านมา +1

      Tatizo Kenya WAVIVU baadhii Yao kule MAREKANI ni Mashoga inasikitisha sana wenzenu Uganda Museveni alikataa Ushoga kwahiyo Uganda Respect😂

    • @munaelmimohamed9912
      @munaelmimohamed9912 9 วันที่ผ่านมา

      We watchman kabla ya kuongea tembea hizo inch uone vile wakenya wamejaa hizo nchi

  • @florangido202
    @florangido202 11 วันที่ผ่านมา +12

    Na sisi Tunawafukuza wa Americans Tz
    Ubaya Ubwela 😮😮😮

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 11 วันที่ผ่านมา +3

      Km Hawana vibali
      Trump hafukuzi tu Kila mtu, ila wale illegal migrants

    • @PanyaBuku-qo7tu
      @PanyaBuku-qo7tu 11 วันที่ผ่านมา

      We mlalahoi unaongea nini utamuweza marekani hebu kale ugali na maharage ujambeeeee mpka asubuh 😂😂😂😂😂 pumbaaaff mkubwa

    • @beatricekatunzi3721
      @beatricekatunzi3721 11 วันที่ผ่านมา

      Bora uwaambie nahisi watu hawaelewi
      Wanadhani anafukuza kila mtu.Kitu ambacho si kweli
      Anasisitiza wahamihaji Haramu​@@christinewomanoffaith5479

    • @beatricekatunzi3721
      @beatricekatunzi3721 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@PanyaBuku-qo7tuwe ndo huelewi
      Unaambiwa bila vibali

    • @LincolnLudovick
      @LincolnLudovick 10 วันที่ผ่านมา

      ​Acha natusi

  • @josephmetu7191
    @josephmetu7191 11 วันที่ผ่านมา +9

    Yani marekani kuna wahamiaji wengi wakiafrika lkn umechagua kutaja Kenya ju ya ubinafsi wako 😂😂😂 utapata tabu sana

    • @jedidahnthenya
      @jedidahnthenya 10 วันที่ผ่านมา +1

      Warudi wafanyie nchi yao kazi .wajenge kwao.whats this.donald never give fish but he forces you to know how to fish.the best president who hates beggers and corruption.

    • @janerouhassanjanerou7933
      @janerouhassanjanerou7933 3 วันที่ผ่านมา

      Wahamiaji haramu ni wale walio ingia nchini isivyo kisheria

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 10 วันที่ผ่านมา +4

    Acheni uongo wabongo wageni wote ambao hawana vibali maalum wanafukuzwa sio wakenya2

  • @jozemwas2299
    @jozemwas2299 9 วันที่ผ่านมา

    Yani ati mpaka wanachaguliwa uko

  • @MbulwaMunyao
    @MbulwaMunyao 11 วันที่ผ่านมา +3

    Gd job trump

  • @Jemahjampa
    @Jemahjampa 11 วันที่ผ่านมา +3

    Bila kutaja Kenya content aiendi sio

  • @EmmanuelJoseph-q1b
    @EmmanuelJoseph-q1b 9 วันที่ผ่านมา

    Wakenya ndo vibaka

  • @ramadhaniOsujacki
    @ramadhaniOsujacki 10 วันที่ผ่านมา +3

    Ndugu manahabari wa mwananchi digital tunakupata vizuri sana kwa kuenndelea kutujuza habari za ulimwengu maoni kwangu nikwamba hao wahamiaji walioko huko marekani warudi makwao na waje wazijenge nchi zao na sii kuishi kwa manyang,au maana hao ndio wanatumika kuziangusha nchi zetu kwa kutoa siri za ndani za nchi zetu na kupelekea kuisaliti

  • @DuuSaid
    @DuuSaid 11 วันที่ผ่านมา +6

    Warudi wakalime

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 11 วันที่ผ่านมา +5

    Prince Harry haishi kinyume cha sheria, umeipata wapi hii

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 11 วันที่ผ่านมา +3

    Kumeanza kuchangamka

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 11 วันที่ผ่านมา +4

    Wanajua kiingereza😅😅😅😅😅.

  • @mrishongwikwi6448
    @mrishongwikwi6448 8 วันที่ผ่านมา

    Wanachama wa NATO hao jamani msiwatimue.

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 7 วันที่ผ่านมา

    Nyie DIGITAL ACHENI UPUUZI, PRINCE HARRY ANAHUSIKAJE HAPA

  • @christineamukoye3920
    @christineamukoye3920 11 วันที่ผ่านมา +7

    WAKENYA MUJICHUNGE SANA NA WA TZ, NIMEGUNDUWA MTU AKITAKA CHANEL YAKE IKUWE ANATUMIA WAKENYA NDIO MUFUNGUWE ILA UKISHA FUNGUWA WEKA DISLIKE, YANI KATI YA NCHI 5 NI KENYA AMEONA AZUNGUMZIE.

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 9 วันที่ผ่านมา

    Nonsense

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 11 วันที่ผ่านมา +4

    FUKUZA WOTE NA WAKINA PIDDY WOTE WARUDI WAJENGE AFRICA😃😃😃 wamezidi kushangaa magorofa ya mbao

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 11 วันที่ผ่านมา

      Kumbe ni ya mbao tu bora ata ya kwetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @RehemaHussein-bv6mu
      @RehemaHussein-bv6mu 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @PetersonOngaro-y1v
    @PetersonOngaro-y1v 9 วันที่ผ่านมา

    Wacha uongo

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 11 วันที่ผ่านมา +4

    Warudi kujifunza kiingereza kwao

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 9 วันที่ผ่านมา

      @@charlesboniphace2249 Hakikisha umefunza kizazi chako wawe na akili kama ya mama yao sababu baba yao yuko Muhimbili anaugua

  • @hawrajehan2398
    @hawrajehan2398 9 วันที่ผ่านมา

    Ruto na ukibaraka wake bado anadhalilika na watu wake

  • @PendoMarco-x3u
    @PendoMarco-x3u 11 วันที่ผ่านมา +6

    Warudi kwao

  • @JacksonKivuyo-b1v
    @JacksonKivuyo-b1v 9 วันที่ผ่านมา

    Timuwa wote shenzi

  • @hamudzakuwani4149
    @hamudzakuwani4149 10 วันที่ผ่านมา +1

    huwoo niwongoo awezii kuwafukuzaa wafrikaa wengi wapo jeshiniii ndiyo tena awafukuzee manenoo buree

    • @LoistaSteven
      @LoistaSteven 9 วันที่ผ่านมา

      Inferiority Idea Hujawaza kama Mashoga baadhi Yao ni Wa Kenya.

  • @AziCure
    @AziCure 11 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂
    Waingereza kutok Kenya 😅😅😅

  • @c.r.mtechnology2322
    @c.r.mtechnology2322 11 วันที่ผ่านมา +2

    Fukuza wote Kila mtu akae kwao

    • @jedidahnthenya
      @jedidahnthenya 10 วันที่ผ่านมา

      KABISA KABISA WATANJENGA KWAO LINI?

  • @yasinkaunda1552
    @yasinkaunda1552 11 วันที่ผ่านมา +8

    Fukuza na mangekimambi

    • @donaldmgunda4970
      @donaldmgunda4970 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

    • @DubaiDxb-k7y
      @DubaiDxb-k7y 11 วันที่ผ่านมา

      Yatakushinda

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 11 วันที่ผ่านมา

      Kakosa ni?
      Raisa yule afukizwe vipi?
      Mshaambiwa illegal migrants muwe mnaelewa

    • @ElfurahaKidabulo
      @ElfurahaKidabulo 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @oliviaseth4652
      @oliviaseth4652 11 วันที่ผ่านมา

      Mange ni raia mwenzio

  • @LeylathYahsin
    @LeylathYahsin 11 วันที่ผ่านมา +5

    Wakenya kiherehere chao cha kujisifia Kingereza kitawaisha kama nchi za wazungu zitapata viongozi kama Trump 😂😂😂😂

    • @oliviaseth4652
      @oliviaseth4652 11 วันที่ผ่านมา +3

      Wivu tu

    • @LincolnLudovick
      @LincolnLudovick 10 วันที่ผ่านมา

      ​I u wapi ndoo u kweli huo kajambe mbele

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 10 วันที่ผ่านมา +2

      Mbona unauchungu jamani mwanaume mzima unaleta haja ati kiherehere Chao kujisifia kingereza ushindwe

    • @LeylathYahsin
      @LeylathYahsin 10 วันที่ผ่านมา

      @paulinewangila-cs6ys Punguzen kiherehere kenge nyie 😅🤣😅🤣😅🤣

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027 11 วันที่ผ่านมา +2

    Wakenya warudi wakafanye maandamano.

  • @Anthonyzombie-d2s
    @Anthonyzombie-d2s 11 วันที่ผ่านมา +2

    Kbs warud kwao si wanapend vurugu😅😅

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 11 วันที่ผ่านมา

      Chuki zako zitaisha kaburini ,kwani waliko kwenye nchi zao hawaishi? Hao wasiopenda vurugu pia utawaona wakirudi uko kwenu

    • @Anthonyzombie-d2s
      @Anthonyzombie-d2s 11 วันที่ผ่านมา

      @fatumamwalimu5765 kenya imaejaa mbwaa ww,wakiitwa nyani ndo wa kwanz kulialia

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 11 วันที่ผ่านมา +2

      Nashangaa waafrika kwa waafrika hawapendani

    • @philiplugalia3724
      @philiplugalia3724 11 วันที่ผ่านมา

      Akili pungufu

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 9 วันที่ผ่านมา

      @@Anthonyzombie-d2s Tanzania nayo imejaa nguruwe, hata wakinyanyashwa hata sauti hawatoi

  • @mejakimaro2773
    @mejakimaro2773 11 วันที่ผ่านมา +1

    SEMA ripoter wa chombo kikubwa kama Mwanchi inakuaje anashindwa kutofautisha R"na "L?

  • @HomaYy-q4h
    @HomaYy-q4h 10 วันที่ผ่านมา +1

    Fukuz wakenya wote maan ni wapumbav tu si wanajivunia kuongea kingerez wanajita wazung weus ndo wajitambue wao watumwa tu weuc na bora lugha yen yataifa iwe kijaluwo tu hap ndo tutajuw wakenya mmepat akil

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 10 วันที่ผ่านมา +1

      Mhhh roho yako mbaya inakufanya uteseke bure maishani pona

  • @aminamalilo6605
    @aminamalilo6605 9 วันที่ผ่านมา

    Wana tabia chafu sn fukuzeni duniani kote acheni wale wanaojitambua tu na wanafata sheria

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 11 วันที่ผ่านมา +4

    Hao wakenya hawana adabu, fukuza wakenya wote huko, na bado wafukuzwe na huko uarabuni.

    • @LuckyAraka
      @LuckyAraka 11 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe ni shetani wivu itakuuwa si na wewe uende heheheheeeeeeeee!

    • @philiplugalia3724
      @philiplugalia3724 11 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂😂Na hizi viwete zenu zenye zimejaa hapa Kenya kuomba omba pesa tutafukuza zirudi huko Tanzania pili hizo nyimbo za bongo tutapiga marufuku

    • @thamani5842
      @thamani5842 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@philiplugalia3724jeuri iyo hamna

    • @jedidahnthenya
      @jedidahnthenya 10 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@philiplugalia3724😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂walai

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 10 วันที่ผ่านมา

      Salvatory una roho chafu

  • @winfredmundali5441
    @winfredmundali5441 10 วันที่ผ่านมา +1

    you report what you don’t know

    • @LincolnLudovick
      @LincolnLudovick 10 วันที่ผ่านมา

      Ww mwenyewe haujui shut up

  • @kajembeathman
    @kajembeathman 11 วันที่ผ่านมา +2

    Mange Kimambi ajiandae.Wakenya rudini kwenu mkale vyakula vyenu vya GMO.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 11 วันที่ผ่านมา

      Kwani Mange Hana kibali

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 10 วันที่ผ่านมา

      Havi wewe tajiri usiye kula GMO utaishi milele 😢

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 11 วันที่ผ่านมา +3

    Waende North Korea

  • @DINASSOUR
    @DINASSOUR 11 วันที่ผ่านมา +4

    Habari za kipropaganda...hawajafukuzwa unasema wamefukuzwa.

    • @Sarah-e1o9k
      @Sarah-e1o9k 11 วันที่ผ่านมา +1

      Cjui wanazitoa wapi tangu wajuwe.views ni pesa basi weeeee ata kuku akinya wanaleta hapa😂

    • @CaroDzame
      @CaroDzame 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂​@@Sarah-e1o9k

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 11 วันที่ผ่านมา

      Propaganda Gani?.
      Watu hampendi kuambiwa ukweli, mbona hii Iko wazi kabla ht hajachaguliwa?
      Illegal migrants watafukuzwa , period!
      Kwahiyo watu wafuate Sheria ,simple
      Prince hawezi kumfukuza

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 11 วันที่ผ่านมา +2

    Watu pendeni kwenu jengen mataifa yenu yawe kama marekan ajabu nyie kazi kukimbilia kwa watu

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 11 วันที่ผ่านมา +4

    Warudi makwao wakafanye maendeleo

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 11 วันที่ผ่านมา

      Maendeleo gani?

    • @philiplugalia3724
      @philiplugalia3724 11 วันที่ผ่านมา

      Hatuwezi Kuja Tanzania wala mazeruzeru

  • @michaeljames403
    @michaeljames403 11 วันที่ผ่านมา +1

    Fukuza mashoga. Wapambaneji waache

  • @jothamkibona2919
    @jothamkibona2919 11 วันที่ผ่านมา +2

    Nakwelii kabisa wangekua wanatulia ingesaidia sasa wanachochea migogoro kwenye nnchi zao

    • @KolamuWabene
      @KolamuWabene 11 วันที่ผ่านมา +2

      Siyo kila habari niya ukweli watu wanatafuta views kwenye mitandao ya kijamii,WA kenya ni watu wenye kujihelewa sana,mtu alitetea haki yake ndo kwamba hajatulia,duh WA bongo bwana hachatuzidi kunyonywa na wenye nguvu zao,uwoga hunatusumbua sana
      Hiyo habari niyauhongo tena saaaaana

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 11 วันที่ผ่านมา +4

    ili lizee nina ubaguzi roo mbaya tu kama ataishi milele vile

    • @aganolamotoeliya2027
      @aganolamotoeliya2027 11 วันที่ผ่านมา

      Utaratibu lazima ufuatwe

    • @AkimJacob
      @AkimJacob 11 วันที่ผ่านมา

      @@KassimKhalaid halina ubaguzi... kwani wakenya ni kwao kulee.. wakae kwao walijenge taifa lao sio kukaaa kwa watu utadhanibni wakimbizii..
      Nchi yenyew imeshachangnyikiw saiv inapokonywaa usuper power kila siku..

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 11 วันที่ผ่านมา

      Kambagua nani?
      Kwann uende Kwa watu bila kufuata utaratibu?

  • @philiplugalia3724
    @philiplugalia3724 11 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂Watanzania mnakuanga na kinyongo sana na Wakenya anyway Hawa viwete vyenu imejaa hapa Kenya tutafukuza

    • @DavidCurtis-e4c
      @DavidCurtis-e4c 11 วันที่ผ่านมา

      Mungu hakosei iwe unachosema ni utani au kweli ujue unaweza ukaamguka tu ukashindwa kusimama tena na ukifika hsptl unaambiwa huwezi kusimama tena kiuno kimevunjika

  • @vero57
    @vero57 11 วันที่ผ่านมา +1

    Fake fake fake news

    • @LincolnLudovick
      @LincolnLudovick 10 วันที่ผ่านมา

      Fake your face it's true wamefukuzwa😮😮😅😅

  • @AminaAbdulkadirsheikh
    @AminaAbdulkadirsheikh 8 วันที่ผ่านมา

    Yani trump anajiona aje america ni yake

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 11 วันที่ผ่านมา

    Si wanajua english jamn

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 11 วันที่ผ่านมา +1

      Englishi niuraia? Duh mashamba kweli

    • @miltonmachage2462
      @miltonmachage2462 11 วันที่ผ่านมา +2

      @EmmanuelMlowe-u1v huwezi sikia watanzania wamefukuzwa kwa nchi za watu cz sisi ni wazalendo wa nchi yetu Aya Sasa njooo mle english yenu

    • @SylvesterKameo
      @SylvesterKameo 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@miltonmachage2462Si sababu ya uzalendo, watanzania tunakosa uthubutu wa kukimbilia fursa, elimu na ujuzi wa kazi!

    • @SylvesterKameo
      @SylvesterKameo 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@miltonmachage2462Si kwamba ni uzalendo. Kwa watanzania kuzamia Marekani ni maji marefu. Wengi wao wanazamia Afrika kusini na Uarabuni. Huko ndiki sailing yetu!

    • @SalimMohamedFaraj
      @SalimMohamedFaraj 11 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅 ss km wanajua English

  • @Jamesmutukumuteti
    @Jamesmutukumuteti 10 วันที่ผ่านมา

    Ondoa uongo wako Hapa shaitani wewe

    • @HomaYy-q4h
      @HomaYy-q4h 10 วันที่ผ่านมา

      @@Jamesmutukumuteti wakeny wajing ni wazung au wajaluo nnakimbilia nch za wat tu au ndo nnakimbia mandano🤣🤣😂🤣

  • @AhmedMuhammad-b5n
    @AhmedMuhammad-b5n 11 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂muongo wewe

    • @KyissmaMoreen
      @KyissmaMoreen 11 วันที่ผ่านมา

      Dah Muongo kweli maana anaongeaga tu lakini hatimizi....Anahasira na Prince Hary Analeta na kwa watu wa mataifa mengine aache waafrica watafute maisha bana...Huku kwetu kuwakiwa jua tu na Mafisadi kuendelea kula

    • @LincolnLudovick
      @LincolnLudovick 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@KyissmaMoreenwe jua trump atafukuza

  • @COLLINSWaweru-f6m
    @COLLINSWaweru-f6m 11 วันที่ผ่านมา +1

    Kenya kuwatimua wahamiaji kutoja tanzania 200,000 ifikapo 2027

    • @LincolnLudovick
      @LincolnLudovick 10 วันที่ผ่านมา

      Unazani kunwakimbizi wa Tanzania Kenya nchi yetu ya amani bwege ww