Season zangu bora mximu huu 1. Hause girl 2.penzi la mtoto wa boss 3.wrong hause 4.tarzan 5.baba yangu kipofu 6.ndupe Kama na ww wazifatilia hzo weka like tujuane🎉🎉🎉
😂😂😂 Jameni team house girl kama umefurahi SNA kwa hii kazi nzuri iliyofanywa na team busati ❤eka like tukisonga Yani hii EP 3 wallah inakuja motooooo🔥🔥🔥🔥🔥
Asalamu walekum😢 ndugu zangu wakristo bwana yesu asifiwe kama ulikiwa unasubusiria kwa ham house girl msimu wa tatu please like hapa tujuane🤲🤲🤲🤝🤝🤝🤝🙏🙏🙏🙏
Waoo safi nimewai mm mshangazi wa b Kai Hil batuli somoy unajidagaj wallah Tena utajuta ww nao wezio waliokupa kazi wap bibi zuuuu busat tv📷 lete vitu ww waif za Bure za warabu 🇴🇲
Waaaah himeanza vibaya kwa zuu taari Dada wa kazi uko taari kufanya kile halitumwa,, Jameni tumuombeheni zuuh na Kai kwa hajili ya ndoa Yao,, pia na Tasha wako kwa safari ya kuenda kijijini,, mungu hawatanguliya
Karibuni tena vipenzi ,toka season 1 mpaka season 3 tuko pamoja na tutazidi ku support kazi yenu,mi niseme tuu ukweli napenda sana hapa kwa mama yake mr tasha
Whatsapp group 👇👇
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/JyrN7hIxoagKiVTISAAdm0
Season 1,2 na 3 zote ni 1 story ni ile ile hakun kipya
Duh
Kimewaka out link hii
🎉😅🎉😅
Kwelii kbsaa@@vumiliawaziri2007
Ambao tulikuwa tunahisi tangu mwanzoni kama batuli ni kamati ya roho mbaya like tujuane 😂😢😢❤
Tuko pamoja
Pamoja 😂😂 natukonae sambamba Hadi kieleweke
Yaniii
Bibi zuu atamfundisha atabu😂
Bibi zuu kama anaona kila kinacho endelea kwa batuli😂😂
Tulioanza season 1 mpaka sasa season 3 tumeanza wapi like
Tupo 🙌 🙌 🙌 ❤❤❤
😂😂😂😂😂
🩷❤️🩷❤️
Tupo 🙌🙌👊
Tupo
Kw wenye wanatazama hosgel wakiwa kitandani like apo thkisonga🎉
😊😊
@@TheeMgHouse 😂🤣😂 ila wewe
Watu mnajuaje kuwa mda huo tuko kitandani
Wenye tunayitizama tukiwa kazini tujuwane
Tunao mchukia batur kwa ambo anayotaka kumfanyia zuu like bc
Nmejua. Batul. Hanania. Nzur. Kwa. Zuu. Lakn.hajui.dazuu.analidwa.namizmu.ya.nyanyake.😂😂
Hatafanikiwa,bibi zuu atamnyoosha
Tunaomkubali zatiti Mr Tasha gonga like 🎉🎉🎉
Tuliokuwa tukingoja house girl season 3 tujuane na likes
Batuli auna bahati mchawi bibi yake zuuh atakunyoosha kbs😏😏😏waliyo hona gisi Batuli aliweka ushawi wagonge like apa❤❤❤
Kabisa broo
Duuh watuu ata hamjaangaliaa mpk mwishoo mshaaanza kusema mimi wakwanza naomba like 😂😂😂!!
Wenyew tumetoka live busati tv Na kuja Kwa house girl weka like tukisonga
Napenda sana zatiti ukiwa na furaha na tashaá na mama piya ongereni ki ukweli 🎉🎉🎉
✌️
Season zangu bora mximu huu
1. Hause girl
2.penzi la mtoto wa boss
3.wrong hause
4.tarzan
5.baba yangu kipofu
6.ndupe
Kama na ww wazifatilia hzo weka like tujuane🎉🎉🎉
Tupo pamoja dee mm pia vilevile
Tupo sote mojakwa moja
Dadeki ,tukikosa huku kule mambo ni moto
Umesaahau dada wa kazi ageuka kuwa mke , search utaipata n tamu sana pia ❤❤❤❤❤
Wewe ni mm kabisa
Mungu azidi kumbariki kila mtu atakae like na kusoma comment hii ❤❤❤
Amen
Amen
Allahumma Amin
Naomba da zuu shutkia bomu hilo dada wema huo utakuponza😢 janamqn Naomba like team strong 💪 ♥️ 😀
😂😂😂 Jameni team house girl kama umefurahi SNA kwa hii kazi nzuri iliyofanywa na team busati ❤eka like tukisonga Yani hii EP 3 wallah inakuja motooooo🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu batuli hamjuh vizur bibi zuuh ooh 😂
Nkwambia kitamramba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂tusubiri matokeo😂😂😂😂😂😂😂adi namuonea huruma vile😂😂😂😂😂😂
Muace kitawalamba na candy wake
Subili akutane na moto wakeee kwa bibi Zuuuu
😂😂😂
Hamjui,sio ajabu bbi zuu tayari ameshazoom na kuona kila kitu ila anampa mda tu,kitamramba sio mda
Asalamu walekum😢 ndugu zangu wakristo bwana yesu asifiwe kama ulikiwa unasubusiria kwa ham house girl msimu wa tatu please like hapa tujuane🤲🤲🤲🤝🤝🤝🤝🙏🙏🙏🙏
❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤
Huyu batuli hamjui bibi ake zuu eeh wow tuliisubir kwa hamu Busati Tv❤❤❤🎉🎉🎉
Mwache bibi atakuja mtimua
Anacho kitafta atakipata tu@@zainabzain3434
Eee hatakoma batuli
We mwache Tu litamkuta jambo😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂 kweri
Mm nilijua 2 huyu batuli sio mtu mzuri kbx ila nko na iman yaku mizimu ya bibi zuu italinda ndoa ya zuu & na kai❤❤
Oyooooooooooooooooo Asanteni sana timu busati kwa kutubulidisha tuko na nyie pamoja
Mbonq hii imekua fupi sana jaman
Wenye walikua wanadubili hiyi like zangu hapa Burundi njo nyumbani🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Myumbani wapi nigukute wap kinama kamenge buyenzi bwiza aho calama niambie nigukute
Tuliochelewa kuona season3 like hapa❤❤
Season 3 mm ndo wakwanza jmn nipen likes zangu😂😂😂
Ila zatiti nakupenda sana wenye wanapenda zatiti like hapa
Mko wapi mashabiki was buzati TV,like jameni ❤
Finally season 3 tuko hapa kama kawa i'm watching from Dubai 🎉🎉
Waooo warundi tunaopenda house girl tujuane 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Da Masozi napendag sauti yko My Dear 😘😘😘
Mimi pia jmn 😊
Safi Sana zuri MUNGU akuepushe kabisa na huo uchawi wake.
Jaman wanaosubiri harusi ya zatiti na mr tasha gonga like hapa tujuane ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤💃💃💃💃
Team strong tujuane💪💪💪kma waamini batuli katumwa na candy gonga likes tukosonga
Naomba like japo 5 na mm
Hapa kazi tunayo. Batuli umeyakanyanga mama
Msijifanye hamjaona kendi amesave tajili badala ya tajiri😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Jamani jamani watu mnaona tu michapio
😂😂😂
Macho wewe 🤣🤣🤣🤣
😂
n'a ni asia penda zuu kumusaidia ule dada wakazi wake n'a kai nipeni like zangu
Waliokuwa wakingoja kwa hamu kubwa sana season 3 house girl tujuane kwa like
Waoo safi nimewai mm mshangazi wa b Kai Hil batuli somoy unajidagaj wallah Tena utajuta ww nao wezio waliokupa kazi wap bibi zuuuu busat tv📷 lete vitu ww waif za Bure za warabu 🇴🇲
Zuu huruma zako zitakupoza 😂😂
Hawez kuzulika chochot
Mzigo huu hapa tunaanza kwa kishindo ila batuli ww 👉👉👉
We muache batuli ipo siku
Wal sio siku Yani han muda mwingi
Tumefika season 3 napenda sana hii tamthili ya house girl🥰😋🥰🙏
Wale waliolala satisa jana usiku kusubiri season 3 house girl....like yang y qwanza🎉🎉
Mama Tasha nakupenda sana wewe mstalabu sana
🙏🙏
Kweli ni wamwanzo au macho yngu😂😂
Ahah
Aakaaaa
Jamaniii napenda kuja mwigizajii naombeni msaadawenuu
Tunatamba nayooo😅😅
Wa 1 jaman
Habari zenu jamani i hope mko powa karibuni tena kwenye movie yetu pendwa ya HOUSE GIRL ,season3
Nilikua naisubir kwahamu sana house girl msimu wa 3 karibun mtupe burudan busati TV
Finally it's done season 3 ishaingia nimwendo wa kuendelea na movie yetu ya house girl kazi nzuri sn mungu awabariki❤
Mambo zenu wadau. Mm hata sjui ni wa ngapi na hata sjui like zna umuhimu gan nielewesheni basi
Ila kendy umeigiza kuwa binti asiye na heshima hata kidogo kwa mzazi wake, mama yako unamwita Mwanzani umeshindwa kumuita mama jamani hatariiiiiiiiiii
nakwambia anamshinda ata kibendu muuni lkn anamheshimu mamaake
Jaman huyu batuli mbona sio mtu mzuri
Ila kitamramba mda si mrefu😂😂huruma niona mm jaman😢
Season 3 muache kuomba like tumewachoka kuna mambo meng ya kuchangia
Tuliokuws pamoja kwa live tujuane hapa❤❤❤❤
Napenda mapendo ya kibendu na mpenzi wake waishi vizuri pis kibendu kumbadilisha tabia
Mapenzi ingine hamuongelelei ni ya kipendu ❤❤❤❤
Team Strong gonga like ukipita 🎉🎉🎉🎉🎉hatujali ng'ooo😂
Kibendu nili handsome boy jmn😂😂 chukua 🌹🌹 yako kibendu nimekupenda bure
Wakwanza likes bac
Kwel watu hatulali tushaidaka tayariii 🤣🤣
Wanabusat wapo chapu we uogop 😂
Chooni pia mnaenda na simu 5 mins mshajaa😂😂😂
Gonga like moja kuubwa sana kwa season 3.😊
Asanteni sana wana busati akuna kuboeka mpaka mwisho❤❤🎉🎉
Waaaah himeanza vibaya kwa zuu taari Dada wa kazi uko taari kufanya kile halitumwa,, Jameni tumuombeheni zuuh na Kai kwa hajili ya ndoa Yao,, pia na Tasha wako kwa safari ya kuenda kijijini,, mungu hawatanguliya
😮😮😮😮😮mko rada aje😂😂😂
Naona hapa ni wanyuma kweli 😅
Hii house girl imenifunza mengi ambayo nilikua siyajui kwa kweli mbarkiwe wote wana busat tv ❤❤❤❤❤❤❤❤❤from kenye
Jamani kumbe batuli ametumwa na gupa poleni sana hiyo kazi hautoyiweza lLa ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
haya na mm naomben izo liked😊
Nilijuatu batuli hakuja kw wema
Jana hata hajaangalia movie mnaomba like tayari🥲🥲haya na mm mnipee likes zangu😂😂😂
Mabwege hao
Kama kuna wananchiiiiii humu ndani tunaangalia house girl toka season 1 adi 3 leo tukutane jumamosi uwanja wa amani zanzibar nawapenda wote❤
Batuli kitakuramba mbona unataka kumiza zuu wanaoamini kikundi cha batuli na roho chafu watakikuta tuchuane kwa like
Wa kwanza leo likes za kutosha nawapata nikiwa Oman 😂😂🎉
kwann bibi haon kama mjuu wake anatakiwa kupoteza mimba 😢😢😢😢😢sijapenda jaman
Karibuni tena vipenzi ,toka season 1 mpaka season 3 tuko pamoja na tutazidi ku support kazi yenu,mi niseme tuu ukweli napenda sana hapa kwa mama yake mr tasha
Msingetumia cava ya season one hyo cava ya interview ni nzuri
Nickson kutoka kenya 254 ndani mapema tuuuu
Nyumba ya wakina yolanda ni vichaa kwanzia mama na watoto wake😅😅
Batuli umeanza kuuthi sana
Ila nyie watu mna wahiii 😂😂 naombeni like zangu na mm
Wow kazi nzuri sana
Jamani yujuane tuu kwa salam mm ni mtania niko kenya nimeanza mwanz mpk sasa tupo pamoja nawapenda mtot wenu like kwa busat tv😊
Eeee Nimechelewa walai but anyway am Back Safi xn kwakuteta season 3 Wana busati Asante sana jaa bless more 🎉
Waoooh nilikuwa naingoja sana s3 Jmn hatimae imetoka
Good one
Alotabasam kipengele Cha kibendu na mpenziwe kukumbatiana like
Yaan napenda Sana kumuona zatiti akiwa na fraha yeye na Mr Tasha 🎉❤🎉
Walio sikia neno lawa zungu like apa 😂😂😂hila rahma una mambo 😂😂😅
Team kenya tulioanza kutoka season 1 naomba like
❤❤❤❤❤❤❤❤
Mapenzi ya KIBENDU yameanza kuchanua
Waliokua wakingoja season 3 kama mm gonga like hapa
❤❤❤❤❤❤❤❤
Asanteeni kwa season 3,,,hongereeeni Sanaa kwa kzii nzuriii!!!!
Team kibendu tupo nakukubali kichaa wangu badilika utunde ua hilo 🎉🎉
Watu wangu wakwanza leo❤❤❤❤ karibuni Kwanye season 3 wapendwa❤❤❤
UsimdharU mama ako na baba ako jamni kama cendy anavyo wadhalau wazazi wake kama unaniunga mkono gonga like
Siyo vizuri kutumwa kuvuruga maisha ya watu
Alfu waomba like mnakera jamani 🥺🙄 daaah!!
Weew 🎉🎉🎉🎉🎉wenzangu waliokuwa wakiisubil km mim mpo
Tuliokuwa tunatamani season 3 ianze tujuane hapa kwa like
Mama Kibendu muace Candy siku atadundiya puwa ndoatajuwa ataliya sisis tukimtizama uku tukicekeleya kwasababu hashauriwi acana nae kabisa mukosaadabu mkubwa😢
Uyu kandy ni jini sio mtu