EXCLUSIVE: "NIMEFATWA NA MAPANGA, WAKATAKA KUNIMWAGIA TINDIKALI, NILIJIKUTA NJE, NIKAZIIBA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ส.ค. 2020
- Wengi tunamfahamu Flora Lauwo kupitia kazi zake kwenye jamii pengine kuna upande wake mwingine wa maisha hatukuwahi kuusikia mahali popote, Flora amekubali ku -share na sisi sehemu ya maisha yake, mikasa na mengine kwenye EXCLUSIVE na AYO TV.
Nakupenda frola hujivung 🤔hata skujui lkn nilikutafta prvate ulinisaidia na tatizo lng limeisha mpka leo 🤞aiseee Mungu akuzidishie sana furo wetuu🥰😍baraka ya kukupenda tyuu mimi😍
Nampenda sana Frola,umepitia mengi mno mpaka kufika hapa leo, Mungu aendelee kukulinda siku zote my dear Frola 🙏
😍😍😍😍😍😍😍🌷🌷🌷🌷🌷💗💗💗💟💟💟💟💟💟💟😍😍😍💌💌💌💌💌💌
Penda saaana my Dada, mungu akuepushe na matatizo
Mashallah flora nakupenda sana
Wewe ni zawadi kutoka kwa mungu da frola mungu awe pamoja nawewe😘😘😘😘😘😘
Hongera Sana Flora Mungu Akulinde,Binadamu Hawana Wema Wala Shukran.
Da flora Mungu akubariki mi pia ulinisaidia sana dear wasiokufaham ndio wataongea huo ujinga
Kwanini watu wanamfanyia vitu kama hivyo na hali yeye maskini ana wasaidia walio kuwa wana hitajia misaada mbona wao hawawezi kufanya kama yeye na wengi wana mapesa, yote ni roho mbaya tu, endelea na Mwenye Enzi Mungu ata kulinda na watu wabaya. Asante dada Flora
Frolah anajitoa sana kwa watu nampenda sana frola😍😍
Mnaom beza huyu dada naona ni kulakulala, hamjui ugumu wa maisha, ndio maana mnashangaashangaa.
Kabla sjasoma hizo comment nikupongeze kwa ulichokiandika mtu kma huyu anasaidia jamii unaanzaje kumbeza hata kama ana mapungufu tukumbuke hakuna mkamilifu
Nani kambexa mbona coment zote zakumsifu tu
Hongera sana kazi nzuri napenda unachokifanya Flora ata ufanyeje binadamu huwezi kumridhisha Yesu mwenyewe alinyoosha mikono sembuse wewe wala wasikutishe usikate tamaa
Pole sana Flora. Hao wanaosema wewe ni mwizi ni wale ambao hata hawachangiagi kitu kwa mgonjwa yeyote. Mungu aendelee kukutetea kama unavyotetea wenye shida. Kumbuka "mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe". Endelea kusonga mbele achana na waliolala.
Hongera sn kwa kazi ya jamii. Biblia inasema hatutotulia hadi tutakapolala katika Bwana.
Duh kumbe huyu dada mtu mzima 🙌🙌🙌🙌
Yaani 1994 alikua 24 yrs old na mpk leo ni 26 yrs means ana miaka 50 🙌🙌🤣🤣🤣🤝🤝 shikamoo dada florah👣🚶🏃
Mungu ni mwema anamwili mzuri sana
Mungu ni mwema anamwili mzuri sana
@@shanishosho911 dah amini kwamba
Ana mwili wenye shukran
Uko vizuri
Frola chondechonde. Usije ukakubari kukatishwa tama. Pambana. Mungu wa mbinguni yupo pamoja na wewe. Tunakuombea Sana Frola Wangu
Majina ya kina flora wana utu sana..mungu akujalie maisha marefu ili uzidi kuhudumie wanyonge
Pole dada hawo ndo binaadam bwana Mungu atakulipa kwahilo na jingine lililo zuri
my sister -Inspiration for life
Mlipaji mzuri ni mungu ☝️ achana na sisi!pambana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hakika Jaza yake ataikuta kwa Allah
Nakupenda Sana Da Frola Mungu aendelee kukulinda Sana katika kaz yako nataman na mm kuifanya hii kazi
Mungu amekuchagua. Kila siku ishi ukimtegemea Mungu wewe una kitu ndani yako flora
Keep it up flora
Yuhu Dada nampenda mungu anajua ,,,,anajitoa Sana
madam flora nimwenye kutenda kazi za kheiry.
MashaAllah flora mungu yuko pamoja nawe. Hatawakusanyike hawawezi kukuzuru
Nakupenda mno Flora mwenyez mungu akupe maisha marefu uendelee kusaidia wenye uhitaji ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kazi unayo ifanya ni kubwa sana unatakikana uokoke umpee Yesu maisha yako uenze kuingia paradiso
Hivi wanaouliza umri wake, utawasaidia nini? Dada ni mpambanaji sana
Hadi kusudi la Mungu aliloweka ndani yake litimie vngnvenvyo watapgana nae lkn wataishia kushindwa tu na kumzushia uongo,
Mungu amtangulie hyu dada
Dada Frola unafanya kazi nzuri, maneno ya watu wabaya yasikunyime usingizi fanya kazi pambana, hyo ndyo karama Mungu aliyokuandikia. Salute kwa kazi nzuri...
Mungu akubariki sana mungu amelinde Akupe maisha malefu na baraka tele mtetez wa wanyonge uchagui ubagui una moyo wa pekee
Nakukubali Sana mtu wangu wanguvu we ndo malikia wangu siku zote naomba mungu nipate maisha mazuri nikusapoti siku moja by simirii cimotrich
Pole sana aunt mungu yu pamoja nawe katika kazi yako ya utume ndio maana wanashindwa kutimiza makusudio yao mabaya kazana tu kujikabidhi mbele za mwenyezi mungu
Nakupenda Sana dada Mungu azidi kukulinda siku zote kazi unayoifanya ni ngumu Sana
kabsa ni kaz nzur sana ndomaana watu wengi wanamponda maana anamoyo mwema
@@dorislema1814 kweli kabisaaa wanaitaman Ila wanashindwa
Pole sanaa dada flora'''''' Mungu akutie nguvu ktk kaxi nxuriiiiii ya kuhudumia jamaniiii.
Be blessed Mungu akuinue zaidi
Amen my sister my God protect u Jesus name
Hongeara na pole me nakupenda sana yani Allah akulinde na kila shari malipo utayakuta akhera usichoke usikate tamaa keep it up
Dada frola nimtoaji sana kuanzia ndani ya moyo wake,lazima mungu ambariki,nakushauri usiache,mti mwenye tunda hupigwa mawe,na mungu azidi kukulinda na akupe siku nyingi zakuishi ili watu wazidi kuziona baraka ambazo mungu amekuandalia,watu hawajui Siri ya mafanikio,kutoa ni shida watu hawajui,mungu yupo nawe katika kila pito haji kukuacha kamwe.
Masha Allah kumbe umetoka mbali sana dada ndio maana ume kuwa mtetezi wa wanyonge Mwenye Enzi Mungu akuzidishie na akuhifadhi na akulinde na mabalaa
Nakukubali sana dada Flora.. Nakupendaga mnoo yaan mungu akulinde akuepushe na watu wa baya na wenye vijiroho kuntu.. Adui akufatapo anaswe apigwe na shoti ya umeme.... Mwaa mtetezi
Yaani nakupendaga sana filo wa watoto,unajitoa sanaaaa
God protect you Flora front your enemies
Aisee Flora nakupenda sana Mungu akulinde sana jmn
Aaaa uyu dada nampenda kichizi eee mungu akuweke unavyopapambana na umaskini wa watu kuwataftia riziki daa heko ya heko dada floka mungu akuweekee mkono
Asante frola
Flora Mungu akubariki kwa kazi unayoifanya
Dah pole sn da frola mungu yupo ataendlea kuklinda inshaallha binafc nakupnd sn
Dada flora wewe ni jasiri na nnashukuru serikari kwa kukutambua Mungu akubariki na akulinde
Usiogope vitisho ,Fanya KAZI uliyoitiwa na mungu yakusaidia,mungu ataendelea kukulinda
Mungu akulinde uishi miaka mingi binadam tunaroho tofauti jaman MTU from no where hapend maendeleo yako ni laaan zinamsumbua mungu awalaan wanaotaka kukukatisha na kazi zako za kusaidia jamii
Luv u FLORA.
Kumbe mh Lema anatoka kwenye family tajiri!
Dada Frola nakuombea kwa mungu usijali usilalamike bwana Yesu yuko upande wako ,kwasababu unafanya kazi ya mungu kusaidia yatima wenye mazingira magumu wanaokatariwa km yule bibi wa mtoto shemsa so wanadamu hatuna jema mungu ni mwaminifu sana atateta na wanaoteta nawe
Ni mzuri mashallah roh sura mpole wallah nampenda sana huyu dada❤️😘
Dada Flora hakuna aliyefanikiwa kwa kulala au njia moja, waliofanikiwa wamepitia mambo mengi lazima ujiamini wewe mwenyewe mwisho wa siku maisha ni ya kwako mwenyewe, songa mbele , Asante kwa kujiamini .
Piga kazi mie mwenyewe nakukubali sana👍🏾🥰
Daaah pole dd
Pole Sana Dada Frola nakupenda sana kiukweli hata Mimi napenda sana kusaidia lakini umenikatisha tamaa kutokana na changamoto uliyopitia ila ninaamini hakuna kazi isiyokuwa na changamoto.
Dah umenipa ujasir wa kuendelea kupambana Dada,MUNGu akulnde na akubarik pia
Hongera flora kwa mapito upitia mengi yana lingana na yangu
Mungu atakungarisha kila itwapo leo dada mshukuru Mungu kwa yote hio kz yeye ndo amekupa usisahau na atakulinda siku zote za maisha yako Amen
Wallah dada frola nakupenda sana Allah akupe maisha marefu
Mashallah, Allah akubariki inshallah 🙏
Pole Sana Dada Frola mwenyezi Mungu akufunike kwa damu ya Yesu
Flora uko vizuri kweli inshallah.
Flora Mungu yuko pamoja nawe
Na hao wanaopiga kelele tunaomba Mungu ashughulike nao
Bwana ameahidi atapigana na wateja wetu na sisi tunaomba na iwe hivyo apigane nao hao wanaokufanyia fitina na uzushi
mungu akusimamie dada😘😘😘
Hongera sana kwa kazi yako
Mungu aendelee kukupigania
Fanya tu dada mungu ndie atakaekulipa binaadam sisi hata ufanye jema lipi huwa kwetu baya
Mungu akujalie umri mrefu uzidi kuwalea wenye huhitaji amin
Daaa maisha banh
Dada Frola wewe ni zaidi ya malikia wanguvu, siku zote mti wenye matunda hupigwa mawe usikate tamaa hatima yako ni kubwa sana umebeba jambo kubwa sana ndani yako, wanadamu siku zote huwaza mabaya ktk mioyo yao, usiwajali wewe kaza mwendo kwa imani my champion Lady
Da frola we nimzulii sanaa hongera da wa taifaa
Malkia wa nguvu Mpambanaji big up
Mungu akutie nguvu kwa kazi yako ya kutetea wanyonge ipo sababu ya Mungu kutenda haya.
Allah akufanyie wepesi uzidi kuwasaidia wenye uhitaji
Mungu anaendelea kuwaaibisha maadui zako baki na yeye tu sisi wanadamu tuna unafiki Mungu Hana unafiki
Mungu azidi kukulinda Florah...
Big up Flora. I love you sweet love. Mungu aturehemu kwa kukuwazia mabaya
Usiseme hivyo dada Flor mungu mkubwa atakulinda utaishi hutakufa tunakuombeya dada yetu
Hongera dada flora Mungu akuteteee
Pole sana flora me nakupenda mno
Yo my favourite dada frola mungu akutunzeee
Fanya tu dada Mungu amekulipa na ataendelea kukulipa
Pole dada flora mungu atakupigania kila siku
Dada Frola uko vizur mm nakupendaga sana
Mungu akupiganie flora na akupe maisha marefu uzid kusaidia weng
Nakupenda 💞
Pole mamy mungu akulinde
Kaz ni ngum san Lkn Mungu azid kusimam na wew
🙏🙏🙏
Jamani ndio maana atukuoni Tena Dada yangu achana na walimwengu wewe fanya kazi mungu anaona mwanadamu wa Nini achana nao wamejaliwa majungu
Dada hongeya sana kweri
Frora wapitena dada kaziyako yakuteteya wanyonge umewaciya nani?
Shangazi yangu mpendwa,. Mwenyezi Mungu azidi kukupa. Nguvu na kukupa moyo wa ujasiri, na akuzidishie kwa kila Hali mema, akuepushie na Shari na Hasad na balaa za Dunia. Uzidi kubarikiwa mapenzi tele
Nakupenda Sana dada florah
Dada umejaliwa roho ya tofauti ambayo mi sina! Bwana akutunze
Cjampenda mtangazaj hajauliza all we want da flora keep t up
Kwani yy ni Mungu mwenye uwezo wa kusoma ulichonacho moyoni
Mungu akubarik sana Frola usikate tamaa maneno yapo tuu songa mbele