Beki alipoteleza ndani ya 18. Camara amesevu. Camara ni nyota ya mchezo Mabululu wa Tripol alishindwa. Michomo alio okoa Camara dhidi ya Tripoli ndiyo iliyo tuingiza makundi. Kumbuka kipa tulio mleta toka Moroco. Mechi za mwanzo uliona hafai baadaye tulimpeda. ,,, ndiyo maana nasema tusiingie kwenye propaganda za nyuma mwiko
Wewe mtangazaji hujitambui, unasema Simba ilimiliki mpira dakika 45 za kwanza kivipi wakati ball possession Yanga 51-49 Simba Second half Yanga 54-46 Simba Ni vipi useme Simba walimiliki mpira? Halafu nafasi ya Ateba ilikuwa offside.
Wakumbusheni mbona hawwsemi offside ya ateba na red card na penati ya Msonda hawasemi. Mechi ya dodoma jiji penati hamsemi mliyopewa na sio. Mechi na cost hamkuongea 😂😂😂😂😂😂
Simba wamecheza vizuri kwa sababu HAWJAFUNGWA NYINGI!😂😂😂😂Yaani ,simba imekwisha! Timu ilicheza for A DRAW! KUPOTEZA MUDA,KUJIANGUSHAANGUSHA ! Kwa hiyo mvua ilikua kwa simba tu!?😂😂😂😂KIKOSI KIBOVU!
Wanao sema Camara anatuchoma ni mashabiki wa nyuma mwiko. Tafadhali tusiingie kwenye mtego wa kuwalaumu wachezaji wetu. ,halafu tukiwa acha. Utopolo anawachukua. Anaelaumu wachezaji wetu. ,,huyo ametumwa na nyuma mwiko. Waache ujinga. Refa ndiyo ametuumiza
Kwahy magori nyuma mwiko
Magori nyuma mwiko?
Unaumwa UTI ya ubongo nini wewe? Magori ni nani?
Unateseka ukiwa wapiii Kolozidadi????? Mlijikuwa mnajitapa sana
Mmebakia kulalamika tu 😂😂😂😂😂🤣👆😂😂
MECHI KANYOKO GOLI KANYOKO USHINDI KANYOKO 😂😂😂 KANYOKO FC 😂😂😂
Mzee masatu alikuwa anasema anaitaka Yanga ameiona sasa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Beki alipoteleza ndani ya 18. Camara amesevu. Camara ni nyota ya mchezo Mabululu wa Tripol alishindwa. Michomo alio okoa Camara dhidi ya Tripoli ndiyo iliyo tuingiza makundi. Kumbuka kipa tulio mleta toka Moroco. Mechi za mwanzo uliona hafai baadaye tulimpeda. ,,, ndiyo maana nasema tusiingie kwenye propaganda za nyuma mwiko
Hovyo kabisa mzee huyu!
Refa Ali sawazisha mchezo
Amjasema mpaka mseme na mtasemaaaa bwana asifwe amee milele na milele kolo akipita teketeketeke kuleee😂😂
Mzee masatu kuhusu manula kubu denis hawa watu nikweli kabisa bila kuondoka hao ni balaa tu.wachawi sana drisha dogo waondoke
SIMBA VIONGOZI WETU NIWAZEMBE SANA ,KWANINI MRILUHUSU ATEBA AONGEE NAVYOMBO VYA HABARI YAKUA ATAIFUNGA YANGA ???
Hili jamaa linakimbiliaga kuposti ila kufanyia kazi tatizo la sauti haaaa
Ao wa wazee wamekua machawa wa mama
We magori mara nne yote hujaamin? Acha ubishi
Kibu haondoki ramda ww una ham mana ww ninyuma mwiko
Camara katuchoma, kipa mwenye uwezo lazima ajue milingoti yake ya goli iko wapi
Mzee wangu umemaliza yote, Yanga wana nguvu mpk yawatu wazito kuifunga sasa tusahau
Mwambieni akaangalie video mpira uligusa kwenye chaki haukutoka😂😂😂😂😂
Magoli hajakosea lolote hii mechi ya pili mfululizo Camara anatuchoma
Kamsajili Magori huyo huyo!
Mzee masatu kila mala mnasema mvua ikinyesha ndo mnapata magoli Leo unalalama kuwa ubora ulikosekana kwa sababu ya mvua
mm Simba ila Camara anatuchomesha toka mechi na cost nazan hamuelewi ila mtaelewa 2 mechi ya pihri anafanya makosa tunaazibiwa kupitia makosa yake
Na anapookoa je inakuwaje? Mkubali tumefungwa na tuone nini kimetukosesha ushindi licha ya kosa kama lile la kimchezo la kipa
Wewe mtangazaji hujitambui, unasema Simba ilimiliki mpira dakika 45 za kwanza kivipi wakati ball possession Yanga 51-49 Simba
Second half Yanga 54-46 Simba
Ni vipi useme Simba walimiliki mpira?
Halafu nafasi ya Ateba ilikuwa offside.
Shukrani kwakutukumbusha wew ni familia
Jamaa siku zote huwa fala sana! Huwa ana maswali ya kijinga,introductions za kijinga,i mean he is sh...t
@@wispoti_tvMECHI KANYOKO PIRA KANYOKO USHINDI KANYOKO GOLI KANYOKO 😂😂😂 KANYOKO FC
Wakumbusheni mbona hawwsemi offside ya ateba na red card na penati ya Msonda hawasemi. Mechi ya dodoma jiji penati hamsemi mliyopewa na sio. Mechi na cost hamkuongea 😂😂😂😂😂😂
Simba wamecheza vizuri kwa sababu HAWJAFUNGWA NYINGI!😂😂😂😂Yaani ,simba imekwisha! Timu ilicheza for A DRAW! KUPOTEZA MUDA,KUJIANGUSHAANGUSHA ! Kwa hiyo mvua ilikua kwa simba tu!?😂😂😂😂KIKOSI KIBOVU!
hahahhahahaha team hakuna mlalamikia marefa na tff acheni hzo tieni hela acheni kuchukua wachezaji wa bei rahisi
WEWE NI WALE WALE TIMU KANYOKO PIRA KANYOKO GOLI KANYOKO USHINDI KANYOKO 😂😂
Wewe umenufaika na michezo km miwili kwa penati za wazi mbona lawama hazikuwepo
Mmejifunga wapi? Sema mmefungwa.