Ata tff waliompa tuzo ya kipabora wa msimu uliopita matampi ukiwaambia wachague kati ya matampi na diara chagua mmoja wanachagua diara msimfananishe diara na makipa wenu
Mamelod kufungwa na Yanga siyo jambo la ajabu kikubwa ni maandalizi tu hata Mamelod hakuzuka ghafla alianza taratibu kupata umaarufu kama hatua za kiumbe yeyote katika makuzi yake hadi kupevuka
Utataja Yanga na Simba siyo Simba na Yanga. Diarra siyo wa kulinganishwa na huyo Camara
Huyu geof kumbe ni mwanajeshi au,naskia jamaa anamwita kamanda.
Jefu niginius anajua mpira mwandishi kuwa makini
Ata tff waliompa tuzo ya kipabora wa msimu uliopita matampi ukiwaambia wachague kati ya matampi na diara chagua mmoja wanachagua diara msimfananishe diara na makipa wenu
Mamelod kufungwa na Yanga siyo jambo la ajabu kikubwa ni maandalizi tu hata Mamelod hakuzuka ghafla alianza taratibu kupata umaarufu kama hatua za kiumbe yeyote katika makuzi yake hadi kupevuka