Mungu anikumbuke katika kutimiza maono ya mapenzi yake kwangu,na kunipigania Vita vya kiroho kupitia mashambulizi ya ndoto ambayo Adui anayaachilia kwangu ili kunikwamisha,Bwana na Aliangalie Neno hili kwangu.kwa Rehema na Neema yake nitavuka
Yesu unapowagusa wengine nami usinipite, niliambiwa ninatatizo la Kuzidi Asidi tumboni,kupitia Shuhuda mbalimbali na hasa huu wa Mzee Moses,Bwana nami nihuishe,naziamini Nguvu zako Bwana.
Utukufu kwa Bwana Yesu, huu ushuhuda ni kwa ajili ya kuliinua Jina la Yesu. Nina kiu ya kujua kama amewapata ndugu zake, na watoto wake. Mungu atukuzwe kwa wote waliojitoa kwa ajili yake, na Mungu akubariki Mwl na mama kwa huduma. UTUKUFU APEWE YESU.
Mana Ministry Mungu awabariki sana kwa somo hili....naomba kama inawezekana muweke somo hili kwa siku inayofuata....au wapi naweza pata cd zote za somo hili la Tanga
Bwana Yesu asifiwe ......kuna somo alifundisha mwalim Mwakasege dar es salam 2018 na somo lilikuwa ni ISHARA ZA MUNGU KTK MAJIRA YA KUJILIWA (siku ya tatu) nmejaribu kutafuta Cd na TH-cam bila mafanikio,tafadhali sana watumishi wa Mungu kama lipo tunaomba mtuwekee huku TH-cam. Na Mungu awabariki
Asante Mungu kwa ajili ya mtumish wako Moses wewe ndie baba wa wote Asante yesu nakushukuru kwa ajili ya uponyaji wako NAMI nimepokea kwa Imani Asante yesu
Jamani wateule wa Mungu ninaomba atakae weza kati ya wote mnao soma ujumbe huku kwenye Grupu munisaidie kuniunganisha na mwalimu ninajambo kubwa nasijui nitalifikishaje kwa mwalimu linanitesa.
Sifa na utukufu zikurudie ee Mungu wetu kwenye kiti cha enzi
Amen Asante BWANA YESU
Mungu anikumbuke katika kutimiza maono ya mapenzi yake kwangu,na kunipigania Vita vya kiroho kupitia mashambulizi ya ndoto ambayo Adui anayaachilia kwangu ili kunikwamisha,Bwana na Aliangalie Neno hili kwangu.kwa Rehema na Neema yake nitavuka
Yesu unapowagusa wengine nami usinipite, niliambiwa ninatatizo la Kuzidi Asidi tumboni,kupitia Shuhuda mbalimbali na hasa huu wa Mzee Moses,Bwana nami nihuishe,naziamini Nguvu zako Bwana.
Shukrani mwalimu kwe ku tu rudiya hiitena tume faidika sisi ambao hatuku jaliwa neema ku fuatilia wakati ule . Mungu asifiwe na aku zidishiye tena
Ahsante YESU KIRSTO kwa kuniokoa nimekupolea Leo kupitia mtumishi wako Mwalimu Christopher mwakasege#ahsante YESU KIRSTO kwa neema hii.
before I start to listen 👂 God bless 🙏 you teacher
Amen 🙏🙏🙏
moyo wa upendo❤
Mungu akubariki sn mtumishi wa mungu
❤❤❤❤❤❤❤Amina
Baba.
Ubarikiwe sana na Mungu
Mungu ubaki kuwa Mungu Halleluja
bwana YESU apewe sifa samahani nipo mbeya nataka kuokoka nahitaj kujua mwakasege ratiba yake ya kuja mbeya ni lini
Ubarikiwe mtumishi
Utukufu kwa Bwana Yesu, huu ushuhuda ni kwa ajili ya kuliinua Jina la Yesu. Nina kiu ya kujua kama amewapata ndugu zake, na watoto wake. Mungu atukuzwe kwa wote waliojitoa kwa ajili yake, na Mungu akubariki Mwl na mama kwa huduma. UTUKUFU APEWE YESU.
Mana Ministry Mungu awabariki sana kwa somo hili....naomba kama inawezekana muweke somo hili kwa siku inayofuata....au wapi naweza pata cd zote za somo hili la Tanga
Mungu aendelee kujifunua saana Kwa jina laYESU KRISTO
Jmn Mwalasegeee yukoo wapii??? Namtafutaa kwa Bidiiiii
NENDA ARUSHA
Nimefurahi kuona neno hili balikiwa mwalim mwakasale
BWANA YESU asifiwe Niko bukoba asante kwa neno la MUNGU.Amen
0o.j0
Jina la Bwana ribarikiwe sana🙏🙏
Bwana Yesu asifiwe ......kuna somo alifundisha mwalim Mwakasege dar es salam 2018 na somo lilikuwa ni ISHARA ZA MUNGU KTK MAJIRA YA KUJILIWA (siku ya tatu) nmejaribu kutafuta Cd na TH-cam bila mafanikio,tafadhali sana watumishi wa Mungu kama lipo tunaomba mtuwekee huku TH-cam.
Na Mungu awabariki
Ameni ubalikiwe mtumishi kwa kutuponya natamani niwe muombaji lakini kipaji hicho Sina mungu anasaidie kwa hilo
Amina
❤❤❤❤❤❤❤Amina
❤❤❤❤❤❤❤Amina
moyo wa upendo❤
Mwalimu Mwakasege is more than a Nation's Treasure. MUNGU BABA asante kwa ajili ya zawadi hii
Namshukuru MUNGU kwa ajili ya Mwl mwakasege,Mungu aendelee kumtunza na kumtumia ili tuzidi kupanda viwango vya juu.
❤❤
Asante Mungu kwa ajili ya mtumish wako Moses wewe ndie baba wa wote Asante yesu nakushukuru kwa ajili ya uponyaji wako NAMI nimepokea kwa Imani Asante yesu
Amen mtumsh wa bwana
Amen
Amen
Jamani wateule wa Mungu ninaomba atakae weza kati ya wote mnao soma ujumbe huku kwenye Grupu munisaidie kuniunganisha na mwalimu ninajambo kubwa nasijui nitalifikishaje kwa mwalimu linanitesa.
Sifa na utukufu apewe bwana Asante Mungu kwa ajili ya baba mwakasege na mama yetu Mungu azidi kuwatia nguvu Mungu awatunze
Asante Yesu kwa kumwokoa Mzee Mose's
Utukufu ni kwako Ee BWANA
Samahan baba nami nahitaji kitabu iko Cha ndoto ata kuomba ninashindwa
Naomba mtuwekeee SoMo lote jamani
Jamani Mimi Nina shida na maombi ya Mwalimu Mwakasega, na Niko mbali, nitafanikiwa vipi kuyapata? Naomba msaada.
Hakika niwewe wa kuabudiwa na kupewa sifa na utukufu na heshima niwewe pekee Mungu wangu
Amina Baba
Amen
Amen Amen
AMEN MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI
Ameeen
Asante Yesu. Shalom.
Ni Yesu tuuu🎊🎊🎊🥀
Hallelujah Yesu apewe sifa
Ameni
Asante Yesu kwa neema hii
Amen
AMEN 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
Ooooh hallelujah hallelujah Glory to GOD 🙏🙏🙏
Amina
Always a blessing listening to my mentor Mwl. Mwakasege