uchawi wa diamond ndio umesababisha kundi livunjike na king kiba anajua kabisa akiingiza verse yake mond ataikopi maana anajua diamond sio mwana music hila ni msanii tu
Nyny huyo diamond munamuona km mtu gani acheni kuparatikia sana nyny wabongo mbna washamba sana nyny mupo munamnyenyekea freemanson kupitiliza hebu acheni kuparatikia wabongo akitajwa diamond utaskia comment wanasema diamond maji Mara ujinga huu acheni ujinga wabongo washenzi wa kibongo
Unaipenda Kigoma Sema Yess
Hussein Gwanone yessss ma home boy
Goooood
Kama ww unawasikiliza wote kiba na mond gonga like apa
kama ww umekuja kuangalia hi video baada ya kuona jina diamond bac sema yes!
Mudy Ramadhani yes
Ilo jina shida sana hhhhhh
yesI simbaaaaa
Sema baba levo inapaswa niige mfano wako wa kujishusha mkuu nakubali sijawahi kupanda
Comment nyingi kwa sababu ya chibu uongo ukweli like hapo chin anayekubaliana na mimi👇👇
D1 umesahau ukweli uliosambaratisha Leka Lutigite ni Siasa.
King Kiba.Mofaya
ndo game imeamua hvyo cjui mwsho wao ngoja tuone twenden nao tuwaone au mnasemaje wenzangu
Napenda ukweli mno
Ulizamilia kbisaaa kunivunja mbavu 😀😀😀😀😀😀
Dah,umeongea point kusema ajenge hata hotel,nimependa buuuuure,ubarikiwe baba
Baba leve nakukubali Sana aufichi kitu
Wabongo wengi wanafki mnacomnt usenge badara yakuangalia hoja inazungumza nini ili music ufike mbali.Kazi kuwazungumzia kiba na mond
2021 naitazama napenda Babalevo arudi kuisema iyi duuuh ila ni chawa 😀😀😀😀
Ndio tatizo la Wa kigoma kila mtu anataka awe juu ya mwenzake ubinafsi mwingi sana
ww tena ukome nakuomba sana
Tunaomba baba uwapatanishe jmn,maisha yenyewe haya mafupi
King kiba mofaya Ali ni msanii mkubwa hapa Tanzania na huo ndio ukweli Ali ni legend wa mziki Africa nzima na east Africa yote.
jamaa hajamung'unya kanyoosha
Abdallah Kichui Kwel Mzee baba
Safiii sana!.
#DDW DIAMOND DRINKING WATER 🔫🔫✔✔✔👏👏👏👏
wanaenda cooni wakitoka nasisi tunaenda😂😂😂😂😂
me nimekuja kuangalia kwa Saab nimeona jina LA simba aixe
Ameongea bila kujisifu,maana wangekuwa wengine hapo wangesema wapo juu ya mawingu.
kigoma ma home baba revo nakukubal
mia 100
daaaah kweli baba
Mo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
kiba atabaki kuwa msanii wa k/koo tu..... diamond international..... Diamond ana haki ya uvimba lkn sio kibamia
Marry Saimon 😂😂😂😂😂😂
Unashabikia upumbavu au unaliwa nyuma na mondi kwani kiba hajui kuimba au ndo mnagombanisha2 wasanii
Imma Paul Mbona una wivu na MTU anaeliwa nyuma kwani wewe shogaa
Hadija Abdallah,,,,hpana
Soivo
Yan OBD buana😂😂😂😂
Et wakitoka choon na sie tunaenda😂😂😂😂🔥
Maryam Mbogo
Umenikumbusha mbaaali balaaaaaa Enzi za K TOWN PEOPLE.
OBD na GAZZY
Mariamu mbogo umenikumbusha mbali Kimali John
kwer kabisa bloo
Ana watoto ni kama nzige 😂 😂 😂 😂
Kanichekesha sana ila nimempenda maana ameongea ukweli
uchawi wa diamond ndio umesababisha kundi livunjike na king kiba anajua kabisa akiingiza verse yake mond ataikopi maana anajua diamond sio mwana music hila ni msanii tu
fuck
+sospeter lulyalya choko ww
Dailu Mmala we mwehu nn lione
+Dailu Mmala mama yako ndo choko
+Bahati Samson kwani uongo ww vp mwehu mama yako
Hahaha duuh,anawatoto kama Nzige
Gud sana baba la baba levo
Alikiba Sony music huyo mwingine wasafi ndio muumtumie sio king bwana mzungu na mbongo wapi wapi
Ally kiba hawezi kumvimbia diamond...... Diamond international
Marry Saimon ivi unamjua mtu jeuli ...
Alikiba ni mtu mjeuri sana
Kwa akili zenu zilipoishia
Marry Saimon international kivipi acha ushoga dogo
Mbna diamond ashajenga nyumban kgoma bana
ဩဪဪဪ၌
millard bwana wanichwkesha sana
Mzee baba usha omba na kiwanja halmashauri we mpigaji huna lolote una misifa tu muda usha kuacha najua ume tumwa
Baba levo ni msembe sana.😂😂😂😂😂
Nakwamini Baba Levo
Kweli baba,Mungu akubariki
Hajashuka Coz hajawah Kupanda hahahaaa
Jamani kiba ni mtu wa iringa babake ni mhehe
Abubakar Salim jmn ya kweli hayo au ni swaga tu😂😂😂😂😂😂
So Oman ni kweli ila mama ni wakigoma siyo utani🤣hapo wana mwonea
Abubakar Salim nilikuwa sijui kama kiba ni mhehe bas nitakuwa tim kiba maana na mama angu ni mhehe😂😂😂😂
So Oman sawa na mimi piya itabidi unite kaka coz mimi pia ni mtu wa njombe makete mkinga mwenyewe😂
Abubakar Salim
Hahaha wewe shemeji yangu bhn mchumba wangu ni mtu wa njombe 😂😂😂😂
Haahah
Nimeangalia baada ya kuona Jina la Mond Maana huyu Mond ni maji usipomnywa utamuoga tuu #
Wakae sawa sisi wakigoma tumawategemea Sana waachie kitu kikal tuzid kuupaisha mkoa wetu wa kigoma
👏👏💯💯🇹🇿🇹🇿👌👌🙏
huyu jamaa mtangazaji WA RADIO JOY
Hahahahaha anakwambia hajawahi kupanda sasa AMESHUKA VIPI
Diamond ndio Fundi wa music wa hii nchi yure mwingine akuna k2 kilichobaki ni ubishi wa kibongo bongo 2 simbaaaaa🎶🎼🎼🎹🎷🎤🎤🎧📼📀🎵🎸🎷🎷🎼🎻🎺🎧📼🎸🎹🎵🎤📼🎶🎹
Kiluwa Salum njoo nikupime mkojo mjomba
Eliah John 😹😸😸😹😹😹😸😸😸😸😹😹😹😸😸😸😸
Simbaaaaa yupo international zaidi wengine ni chai tu
Haaa haa haaa mbavu zangu mie
Ndo akili yako inavokupa
Sana
Huu msem usemwao kua watapat tabu San nikwel kbsa adi nyumbn unakukata duuu achawatangulie kwenda chooni nasis tupo nyum maan nasis tunakul chakushiba
Baba Levo tumemiss ngoma,
Tumemiss bro
We jamaaa kuwa comedy tuu
Uu jamaa ana akili sana ila anashindwa jinsi ya ku share akili zake jili joke nyingi
Nikimuangalia tu nacheka sana yuko muwazi sana
Baba levo leo umeuramba hatar hahahaa
Mondiii 4 life
wakitoka chooni na sisi tunaenda
Wilson Wizzo 🤣🤣🤣
Hahahahahah… yaani huyu baba nikomedian tosha
kibaa ndoo mfalmeee
kama mm hayo hayanihusu kula kwao uumize kichwawww
Nimekuja kuona kwa7bu ya Mond
Upo good mwamba
kweri kabsa
😂😂😂😂
Wachane
kibaa ndo king
Huyu jamaa ni kiboko daah
wazee wenye vipara, raravipara😂😂😁😁😀
Kuna wasenge wanacomment ujinga2 mnachonganisha wasanii au?
Diamond atabaki kuwa juu na atazidi kuwa juu , awa wengine mavi matupu ...
Emmanuel Inyasi cjawai kuona kiumbe mpuuzi kma ww,umaskini wa akili nn
Anaitwa allydreamzclasscal
Nyny huyo diamond munamuona km mtu gani acheni kuparatikia sana nyny wabongo mbna washamba sana nyny mupo munamnyenyekea freemanson kupitiliza hebu acheni kuparatikia wabongo akitajwa diamond utaskia comment wanasema diamond maji Mara ujinga huu acheni ujinga wabongo washenzi wa kibongo
Abraham Lucas Kajifunze kwanza kuandika
Lucas Mhagama 😁😁😁😁😁😂😂😂daaah
Abraham Lucas 😁😁😁😁 utapata tabu sana simba ni maji
Baba Levo.....noma sanaaaaa
Et kajaza watoto Kama nzige😎😎😎😎
Nani. kajaza. watoto. hujitambui. kiba anawatoto. 3 , kila. Mtoto namamaake. damondi. anawatoto. 3, mama. wawili nzige. Nani sema. mondi. intaneshno. zaidi. lakini. kwanzige. kiba. anawatoto. wengine. anawakataa. alafu. anaswali. jamani. tumuachie. Allah. ndiye. ajuae. tusihuku. hukumu. anajua. mungu
Tutaelewana tu
Millard mboreshee MIC
Chibuuu
Goooood
Kiba waumize kimy kmy
King kibaaaa