Jamani au mm sijaelewa baada ya kutolewa jini na huyo mzee alirudi baada ya maisha kuwa magumu hapati kazi lakin akakumbuka kumpigia mganga akapokea kijana akaambiwa alishafariki au nielewesheni
Davister Kaká ulivofanya kumwambia ruke mbele Mimi sijapenda eti unasema muda wewe huua unasisitia atua kwa atua .munavoruka munapunguza utamu wa story.
@@aloycelucas1823 🤣🤣🤣kweli mana wee huyo mzee alikua anamtibu lakini hali ipo pale pale anatibiwa nayee ndio mtu wakwnza kuonana nae huyo jini siwalikua wanafahamiana jini namzee
@@RosemaryPius-cs5lhaliye kufa sio wa Zanzibar, ila aliye muunganisha na WA Zanzibar ambaye alielekezwa na babake mzazi pale mara yake ya kwanzia mambo ya waganga
Aliegundua jamaa amenyoa na kabadili nguo aweke 👍
Davistar bwana muache asimulie unamkatisha unapeleka mambo haraka😅
Na leo nimewahi wakwanza piga keleleleele😘
Duuuuuh😅😅😅😅😅😅😅😅😅 nimepiga kelele mbaka jicho moja linatoa dam
Nimemiss wamayoooooo jamani 😂🙌
Kama unakuwa umechoka davista muache kipindi kuliko izo zako zakutumia sim namahojiano nidharau
We know
Time,
Cost,
Majukum,
Harry,
Ila hii yaww kutumia sim kwenye hilo mmh anazingua
Davista msaada kaka, maana na mimi kuna jini linanisumbua
ASANTE DM kwa kumpeleka kinyozi kaka yetu
Mkutanishe dogo na Wamayo wafanye Movie 🎥 watauza sana 😂😂🤸
NIMEPENDA HUYU MSIMULIAJI JINSI ANAVYOSIMULIA ANAONGEA UKWELI MTUPU BILA KUFICHA MAMBO, UONGEAJI WAKE NI MZURI🤝
Hatimae kanyoa na kabadilisha nguo
Huu mkasa ni noma aisee, unanivutia zaidi kujua hatima yake kama ule mkasa wa wamayu, hongera Davista, ww ni mtu na nusu.
DAVISTAR MY BROTHER FROM TZ HOW ARE U AND HOW IS UR FAMILY REMEMBER ME IN UR PRAYES UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 UK
Nimegundua matajiri wa halali Ni wachache sana
Aswa
Hakuna tajili wa halali
@@jesusislord9190 Wanatoa makafara tu
@@womanofsteel1402 ukweli ndio huo..hakuna tajili wa halali woote ni washirikina.....
Mungu awezi mpa m2 utajiri?
Davister usimkatishe jmn...
Safi sana kwa mwendelezo brother
Pole na kazi kaka Davistar tunakupenda From Rwanda🙏
Karibu Tanzania
Davista unamkatisha alafu unaanza kuuliza maswali Acha asimulie hatua alizopita sio mkukatisha
Sasa ufukuze jini tena uanze kutafuta utajiri kwa waganga
Hasa siulisikia kaambiwa jini anahitaji mapenzi tooh hampatii chochote
Hata angemuambia babu amkoshe tuuh dawa apate kazi kwa haraka sio utajiri
😂😂😂😂😂hatari kbs😢
Mimi nioneleavyo ungelipa tu hao mbuzi
Uyu ndio yule jamaa wa bakora za kimkakati wajanja janja sanaaaa hawaaaa🤣
good story from Zanzibar Tanzania
Davista uko juu nakukubali long time
Bila kuroga hutoboi
Jamani au mm sijaelewa baada ya kutolewa jini na huyo mzee alirudi baada ya maisha kuwa magumu hapati kazi lakin akakumbuka kumpigia mganga akapokea kijana akaambiwa alishafariki au nielewesheni
sielewi pia
aliefariki alikuwa mganga yule wa 1ambae alimfahamisha aend kwa mtaalam wa kule zenji
@@shurbamsabah9060 ooh hapo sawa
Maamuzi magumu ndio msingi wa maisha mazuri duniani hapa
M me pia apo cjaelewa alisema kafa sasa mmmm
Number one
Davister Kaká ulivofanya kumwambia ruke mbele Mimi sijapenda eti unasema muda wewe huua unasisitia atua kwa atua .munavoruka munapunguza utamu wa story.
Hata mm sijapenda
Asante kwa usimlizi
huyu jamaa anaeleza km mzee wa bakola za kimkakati 😂😂😂😂
Utafikiri ni ndugu yake hadi sauti zinakuwa kama zinafanana
Labda babu nae alikua mwenzie jini ulivo fanya hivo kwa mganga huenda nae umemuuwa
Safi Sana 😆😆😆😆😆😆
Dada ujuaa hayo mamboo.. 😅
@@aloycelucas1823 🤣🤣🤣kweli mana wee huyo mzee alikua anamtibu lakini hali ipo pale pale anatibiwa nayee ndio mtu wakwnza kuonana nae huyo jini siwalikua wanafahamiana jini namzee
@@Teacher_01 hapana nahisi tuuh mana sikuile kasema alikua kalala akahisi mtu akaanza kumcharaza bakora mara kajistukia yupo kwa yule mzee nyumban embu nawee hapo fikiria kama huyo jini nahuyo mganga nikitu kimoja
Na leo nmechelewamo 😉😉😉
Hiii story itakuwa km wamayo
🤣🤣🤣🤣🤣
Hukujuamo km km inaendeleamo,,,
ASSALAAMU ALEYKUM MY BROTHER DAVISTAR MATA VIPI MAMBO UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧
Nipe form ya london
Davista kashamchoka 😂😂😂
İla Mwanza jaman Kuna Mambo mana kalıbia asilimia 90wote mwanza
Twende Kazi✌️
SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 MY DUA ALWAYS WITH YOU MY BROTHER DAVISTAR MATA ❤❤❤❤❤❤❤❤
Hii stori inatisha ila kijana yuko vizuri
Wakwanza Wana kaa wapi
Mie majini yananisumbua sana naomba muniunganishe na mganga ataye nisaidia maana yananitesa sana nisaidieni jamani
Pole sana kwa kweli ..nipatie email yako nitakutumia namba ya mtu atakusadia sana Yuko dar es salaam lakini
🇰🇪
1st
Lete maneno mkuu
Nimekua wa mwishomo tena😅
Mchelewaji
Wewe tatas umemtoa wacha uon
Uyu mwamba alikuwa mandazi kwel
🙄🙄unakataa kona una kubali penalty
Kujeni mzigo tiyari
Ile sehemu ya tisa alisema mzee wa Zanzibar alikufa, ss mbona karudi tena Zanzibar na ni kwa yule yule mzee 🤷🏿♂️
Sio wa Zanzibar niyule aliokamuambia jini aende na ule uzi wa magereza alivoenda ndio yule mzee akamuambia aende Zanzibar ndugu kuwa makini kusikiliza
Kafa w Huku wa kwanza wa Boga
Asantee
Mwamba kapendeza kunyoa kwel
Oyoooo
Sasa wewe nawe umemkimbiza jini alikua anakupa mchongo bila ya kuua watu Leo unaenda kutafuta pesa za ndagu dah 😏😏
Wasuku au basi 😂😂 achatu ni cheke 😂😂
Amludie tu Mungu😢
@@msaysha5886 😂😂
xotol zako ntumye pcha zote
Mbona mhusika kasema maganga wa Zanzibar alikufa Wakati wa kumpigia simu na Leo kasema walienda wakaonana naye na akawaekeza kuingine
Huja muelewa mganga aliye fariki ni yule alie muagiza aende Zanzibar
Aliekufa Babu mwingine huyu wa Zanzibar mwingine sikiliza kwa umakini
Maskiyo yako wapi 😂😂
Ila sehemu ya 9 alisema kapiga simu kwa mzee akaambiwa kafa
Huyo aliyekufa ni mwingine na wa Zanzibar ni mwingine kwaiyo na huko bukoba ni kwa mganga mwingine tenaa
@@RosemaryPius-cs5lhaliye kufa sio wa Zanzibar, ila aliye muunganisha na WA Zanzibar ambaye alielekezwa na babake mzazi pale mara yake ya kwanzia mambo ya waganga
@@mysskibe soma comment vizuri cjasema aliyekufa ni wa Zanzibar
@@RosemaryPius-cs5lh poa
Tumepigwa apa alisema amekufa gafra akitoka damu
Chingakibona kumbe na ww umeona ilo