Lingine, Raisi Félix alifanya erreur, kama iko nyuma ya Rwanda na Amérique pia kwenda ku mutafuta Putine kwake na Chine alijigusa mu jicho achunge sasa moto kutoka pande zote
Kizuri ni hiki hatakama Raisi Félix anaweza kuwa nyuma ya Kagame ile si neno yamuhimu kila mucongo wa kweli na wa damu ameamushwa kiakili hata Ulimwengu nzima kwamba tuko agressé na baazi ya inchi fulani duniani
Hali iliyo jiri ya usalama mbaya Tchisekedi anausika,ivi raia wanajuta kumchaguwa. Yaani raisi Tchisekedi aeleweki yeye uyo uyo anakwenda Ufuransa yeye uyo uyo anakwenda inchi za ulaya yeye uyo uyo anakwenda Uchina yeye uyo uyo anadanganya kwenda Urusi Sasa atima yake atauliwa kama alivyo uliwa Khadaffi, watakao kuwa hai watayaona
Ndugu journaliste askante kwa ma details zako ila tu juwa kama rich snack sio yeye chanzo ya wakimbizi kuletwa rwanda....Jee una mujuwa former minister Borris Johnson???
Pardo BB Raisi Félix sisi kama sisi tutapita watoto wetu watakua watumwa maisha yote, uko na la kunfanya Mwenyezi Mungu hakukuweka pale kwa bure ni sababu ya kufanya quelque chose ju ya taifa lake na Yeye atakulinda tunakuomba,usituuzishe kama kabila pardon
My friend advise your president to get help from Zambia army all of you will appreciate we can't give you a help when you are not asking for it we can help you coz kagame will control the entire africa after Congo
Monisco ahija toka DRC hakuna Amani kama Jeshi la Congo lingeliingia Rwanda sikumbili tu Kila kitu kitabadirika.
Bwana mta'gazaji nakufiata vizuri saana nakufiata Toka Tanzania zaidi kuahusu usaliti
Apa niko isiro apa ni Djemse katembo niko naku fata muzuri sana
Bonjour sauti inatoka bien sana baba tunakufata5/5 kutoka goma unapendewa baba BACHILONDA ERIC kutoka GOMA mabanga
jambo kaka tunashukuru kwakutu elewesha kila leo Mungu akulinde ilatu tuna subiri kuanguka kwarwanda
Bjr nakufata boss ni pascale poba kutoka manyema salamabila
Méga zetu ziko nakuwa ndongo ndugu mtangazaji,,, Uwe nafupisha
Siku peuple ita penda vita itaisha, révolution populaire contre les armées du Rwanda ?
Akusamehe Nini , ume ongeya ukweli mtupu😮😮😮😮😮 échec trop kabisa
Niko nakufata toka apa Butembo , DRC . Minimum jean louis kambale
Lingine, Raisi Félix alifanya erreur, kama iko nyuma ya Rwanda na Amérique pia kwenda ku mutafuta Putine kwake na Chine alijigusa mu jicho achunge sasa moto kutoka pande zote
Ok,sauti iko bien
Mimi Rajabu Haruna nikiwa Tanzania maoni yangu nasema wazalendo waendele kupambana nahao mafisadi
Minasema wazungu hawajui siasa Bali ni ujinga wasisi waafrika hatupendani kuuwana sisi kwetu nisuna
Aksanti mtangazaji nakufuata vizuri sauti ni nzuri sana,ni Caleb Chako kutoka Goma
Kizuri ni hiki hatakama Raisi Félix anaweza kuwa nyuma ya Kagame ile si neno yamuhimu kila mucongo wa kweli na wa damu ameamushwa kiakili hata Ulimwengu nzima kwamba tuko agressé na baazi ya inchi fulani duniani
Tuna. Siya baba. Tuanakufata. Vizuri. Sana. Kutoka. Afrika. Yakusini
Kagame ajawahi Kuwa mjomba yetu atabaki kuwa aduhi yetu wa milele yeye na ndugu zake watutsi
Apa niko Niania nakufata vizuri saana
Hilonikweli usemalo kbs washenzi wamerekani nimimi delvo kutoka ujerumani
Niatari kwa DRCongo
Jambo ndugu mutangazaji mimi ni wazawaza mimi Niko Zambia lusaka Nina kufuata liamba letu
Congo tuko na mangi nacheka na hasira kwa comments zawatu apa.
Joseph nikiwa uganda nakufata Bien kabisa baba
Hali iliyo jiri ya usalama mbaya Tchisekedi anausika,ivi raia wanajuta kumchaguwa. Yaani raisi Tchisekedi aeleweki yeye uyo uyo anakwenda Ufuransa yeye uyo uyo anakwenda inchi za ulaya yeye uyo uyo anakwenda Uchina yeye uyo uyo anadanganya kwenda Urusi Sasa atima yake atauliwa kama alivyo uliwa Khadaffi, watakao kuwa hai watayaona
Tatizo maneno mengi sana Tena unatiya minutes mingi
Kule kukataa dialogue ni kutufunika macho, kwa sababu kwa mwanzo Raisi Félix alikubaliyana nao ila sasa ameisha kosa aende ngambo gani
Uyu njoo Ana malizia sasa
Ndugu journaliste askante kwa ma details zako ila tu juwa kama rich snack sio yeye chanzo ya wakimbizi kuletwa rwanda....Jee una mujuwa former minister Borris Johnson???
Mzee mbone Léo uko baridi? Ni Patchelly depuis goma
Sauti yatoka Barbara tokea Lubumbashi
Sasa mutagazaji kwasiswana wacongo tufanyeje nasie tuitike kuachavita? Ao muzaledo aedeleye pigamuasi?
VIP
Pardo BB Raisi Félix sisi kama sisi tutapita watoto wetu watakua watumwa maisha yote, uko na la kunfanya Mwenyezi Mungu hakukuweka pale kwa bure ni sababu ya kufanya quelque chose ju ya taifa lake na Yeye atakulinda tunakuomba,usituuzishe kama kabila pardon
✌️♥️👏
Tunakufata kutoka Danmark
Ndiyo uko nasema haki lakini sasa kwa Nini fardc hawagomboi vijiji vilivyotekwa na m-23 ?
Acha kusumbuwa na ma propagandes inutile victoire ni yetu na mingini ziko naenda?
Apa Niko USA Las Vegas sauti yako ni power
Tunachukuru namonisko War ndo wa eme 23 tuxe macho deo bkv
Naomba.bakongomani.popotewaripo.kwanzakwamtoto.wamyaka.kuminitano.tupihane.mpakatuondowe.haduwi.mtutsi.baba.mama.kaka.binti.simama.haduwiyetu.ni.mtutsi.namkongomanimjinga
Goma ni salama
Vive les wazawaza
Mimi Apotre Mbiso Mikoka naku pata bars kabisa hapa Vine Grove Kentucky
elisha nzapa toka lubumbashi nasoma bien
Kongo ni yetu mwanya rwanda aende kwabo
Ni RAMAZANI Niko kamituga zone ya mwenga nawafata Tano kwa Tano .
Wa Gen kama Ibrahim tr, habiko ku Congo? Waokowe inchi
Hein !!! 😮😮😮😮😮 Journaliste : échec # ECHEQUE
Nakufata nikiwa haba juba
Kuja na habari baba 😂
Jambo baba mtangazaji ni tchibanko toka kalemie maoniyangu wazalondo wazalendo kwanini waacha machambulio? Iyi njo wakati yabosasa
My friend advise your president to get help from Zambia army all of you will appreciate we can't give you a help when you are not asking for it we can help you coz kagame will control the entire africa after Congo
Watupatiye sote silaha tu pige shenzi
Jambo kaka muta ngazaji leta chai ili mukoromeye vindonda bipone
Mzee namna gani île yakupasha habari ? Kwenda maramodja kwenye mada
Sasa mtakuwa munasemeya inje hamukuje tusaidiane? Que fait Kabila Kanambe dans notre pays.Nous sommes fatigués
Jambo mutangazaji nakufaata tano kwa tano
Uko unasema uongo sana wewe uko upended wa M23.aunaukweli.
Karinu. Papa
Ok
Jambo mwariri nideo kutoka bkv drc
Usiangalie video wewe sikia habari hiyo ndo ya kweli tutabamaliza
Acawongo
W
Kwaukweitunachoka bagombane mwatabaki atajenga inchi frdc nawazwaza .deo bkv