- 96
- 607 756
IYAMBA LYETU TV
Canada
เข้าร่วมเมื่อ 28 ม.ค. 2024
MONUSCO KWISHA HABARI NA CONGO, TSHISEKEDI BINGWA HUKO NEW YORK.
MONUSCO KWISHA HABARI NA CONGO, TSHISEKEDI BINGWA HUKO NEW YORK.
มุมมอง: 2 888
วีดีโอ
NI MSIBA WA NAMNA GANI HUU INCHINI DRCONGO ?
มุมมอง 1.6Kหลายเดือนก่อน
NI MSIBA WA NAMNA GANI HUU INCHINI DRCONGO ?
PENDEKEZO LA HARAKA LA KUMALIZA VITA CONGO LATOLEWA WAZI
มุมมอง 3.3Kหลายเดือนก่อน
PENDEKEZO LA HARAKA LA KUMALIZA VITA CONGO LATOLEWA WAZI
KIVUMBI NA JASHO KATI JOSEPH KABILA NA RAISI TSHISEKEDI
มุมมอง 2.9K2 หลายเดือนก่อน
KIVUMBI NA JASHO KATI JOSEPH KABILA NA RAISI TSHISEKEDI
MAKOBOLA: 01/08/2024: KUMBUKUMBU YA MAUWAJI YA ZAIDI YA RAIA 1000 YAANZISHWA TARAFANI FIZI.
มุมมอง 8482 หลายเดือนก่อน
MAKOBOLA: 01/08/2024: KUMBUKUMBU YA MAUWAJI YA ZAIDI YA RAIA 1000 YAANZISHWA TARAFANI FIZI.
KURA YA KUFUTA KIFARANSA CONGO IPO MLANGONI
มุมมอง 5007 หลายเดือนก่อน
KURA YA KUFUTA KIFARANSA CONGO IPO MLANGONI
IKO WAPI KAULI YA RAIS TSHISEKEDI YAKUPIGA RWANDA? WATU WAULIWA OVYO LEO
มุมมอง 1.2K8 หลายเดือนก่อน
IKO WAPI KAULI YA RAIS TSHISEKEDI YAKUPIGA RWANDA? WATU WAULIWA OVYO LEO
Basi siku za bandia ni arbaini tu.Si tôt dit si tôt fait !
Mpasha habari ,tunakuwa waastriwa hapa mashariki na muinci nzima ni sababu tunawasema wakamatike hawa watu wakubwa wakubwa watangulizi ili wafungwe na amani ipatikane incini na wenye siasa hawapendi muone na musikie vyakufanyika wakati wasasa nao,mfano Moïse Katumbi chapwe pa Katanga.Ninazungumuza kutoka Mugunga/ Nord - Kivu.
Bawilikakozi mungu niwe tu siku zote ❤❤❤❤🎉🎉
Iyamba lyetu TV huwa mnanifurahisha saana nyie jamaa kweli ni wanahabari professional kabisa
Sauti ninzuri
Asante sana mzee wa abari mbichi
Uyunidemungapolewazawazayakotumbanafachi
Kwanini tununuwe sabuni kwa wafungwa hao si niwasaliti wahache wa fiye uko uko chawa xi w malize ivi moise baye akifungwa naye tu mnunuliye sabuni?
Jambo mtangazaji. Naipenda mno hii radio yangu Iyamba Lyetu TV. Sauti yako nyororo na ambayo imesikika kwamba unasema na roho ikiwa imrtulia. Endelea na Kazimierz yako hauna deni na mtu
Aksanti sana mtangazaji tunakufwata tano ju ya tano.ni Bonjo nikiwa Bukavu
Vizuri Kwa at least D 4 sababu wastugaji wa theologie tuliwakimbiya tuna lazima ya wastugaji wa wanaye funuliwa na roho mtakatifu .ata vile tunamupenda Mutamba Mungu wetu amushunge mbali sana.
Mzee ututilie hiyo vidéo kwenye groupe WhatsApp
Kabisa na Vyumba vya Maombi vinachangia kuleta njaa congo kama akipunguza ni nyeti ongera Mutamba😊
Wafunge makanisaya wakatoliki nahuyo mukuu wakanisalakatoliki congo, uyoambongo nishetani mousi.
Akmatwe.huyo.ktumbi
Mtangazaji kumbuka nilikwambia makanisa ni moja ya vitu vinavyo haribu Kongo, Wakati ule mlisema watu wakakusanyike uwanja wa taifa Kinshasa kwenda kuombea Kongo, nilikwambia kuwa maombi hayo hayatasaidia chochote katika Kongo, Cha muhimu ni kufuata muelekeo anaousema Mutamba, baadhi ya makanisa yafungwe na kuwepo Sheria ya kufunguka kanisa, siyo makanisa yawe kiholela na kupumbaza akili ya wakongomani.
Muheshimiwa Président wetu Tshilombo Tshisekedi Félix wa RDC kupitia meeting aliofanya juzi pale kwa USA kuusu MONUSCO alisema waondoke muda yao imeisha,hapa Congo.Kwa maoni yangu kama hawapendi kuondoka,ikifika Mwenyezi wa kumi na mbili hawajaondoka; wapigwe na jeshi,Wazalendo,FRDC Waondolewe kwa kinguvu, Asante Mzee mbichi lyamba lyetu
Sauti'nisawa.kipuni.kutoka.malonga.kasenye
Ni kweli ulisemaka na ku. Kubalingi sana uko saw kbs.l love this emission l am Blaise from USA.
Number tent tv
Nakumbuka kile kipindi, uliongeaka habari ya vifaa vya vita vya KATUMBI.
Jambo mutangazaji moize tumuchunge demili2027
Maaadui wote watakia kua gerezani, watakaobahatika ku kimbia kama Akina J.K.KABANGE, J.NUMBI, AZ.RUBERWA KATUMBI, etc watakua wakimbizi inje ya inji ya 🇨🇩. Wengi watawaua vitani na gerezani. MUNGU AUNUSURU inji ya CONGO 🇨🇩 kutoka maadui
Baba mpaka mwisho wasaliti wote wata banwa kwenye ndowano ambayo tumekwisha kuitega sehemu zote, Ni pastor Stephanois mufia injili Paulin depuis butembo drc
Amaandii wacongo waliingiya kwanjia moya watasabara kwa jiya samba kama aishipo Mungu wambinguni
Tupo habari zilizo mbichi mzeee wetu tunakufata kumi kwa kumi tukisubiriya abari kutoka kwa iyamba lyetu. Natokea Bkv ville
N'a publicité zimefanika nangapi?
Tu mepata habari kuhusu publicité mututumiye namba ya simu juuyakutuma publicité
Sauti iko sawa towa habari baba ni papa BALECAR SHABANI SELEMANI kutoka uvira
Jambo baba Muchungaji, utupe mbinchi baba, sauti nipoa apa kwetu kasumbalesa
Jambo
Jambo tena mtangazaji, je ni kweli kwamba Paul kagame ndiye aliye washawishi hao watu ao pia na wenyewe tuu walikuwa na uchu/uroho wa kutaka utawala kwa nguvu ?
Yamba Letu TV, munaongea toka sehemu gani za dunia, tafazali ??
Nipo pasake naninakusikia 5 juya 5 mpasha habari
Safisani RDC BKV
Djambo mzewambichi ulisahau wahema wako ituri hazielewe
Mtangazaji umezungumza vizuri,ila Katiba imekubaliyana nahilo.lakini katika vitambulisho Wawe wanaandika mkongo mwenye asili yasehemu fulani.
Hilo lilikuwepo katika akili yangu myaka mingi sana, nilikuwa nafikiria ni lini mkongomani alimchukia mnyarwanda? Maana ukiangalia Leo tuna ma jenero, viongozi wakubwa serikalini, kama kulikuwepo chuki kwa wanyarwanda, walifikaje huko kwenye hayo madaraka? Kwahiyo inaonekana Kuna upandikizi hapo kati kati ya maisha yaliyokuja kupandikizwa kutoka inje ambayo yalivuruga maisha ya wakongomani, fungueni macho wakongo, Kongo hakuna ubaguzi wa kikabila, achaneni na wapandikizi wa chuki za kikabila.
Nakufuata vizuri sana ni kamombo toka lugushwa
Jambo ndugu mutangaziji nakuomba Sana kufatiliya hii masambo ya uyu Mungu wa Rwanda n'a Congo n'a inchi zigine ili basi tulipata kwa hii iyamba yetu vizuri ni Emmanuel toka bkv kvm.
Sabuni tutazitiya wapi ? Iyi namba iko watsap utume ako numéro nituma sabuni ,,mpesa Ama airetel yenu
Chapa kazi mtoto wa mama tunakufata kwamakini nakufata kutoka dego APA ni joseph .
Inaweza saidiya ilo ikiwa wanyarwanda watapewa uhuru na kujitambuwa kwamba katika nchi ya Congo ni wageni inaweza kuwa safi sana. Uyo ni Kiza salumu toka 🇺🇸
Ivi wanya rwanda wote watrudi kwao maali wali toka rwanda wa kongo time choka na awa wasomalia nilotiaue Tutsi awataishi kongo Tena kwisha
😢 kagame ni mjinga muwaji shetani alisi mbona wazungu wame mutumiya kuuwa wa africa
Sasa Ndugu, iyi ujumbe wanya…wanya… wenyewe watufilishiye ukumbe huyu, waombe msamaha kwa wakongomani na kujitenga azarani na siasa za Kagome!
Mtangazaji hiyo ni wongo sio Mara kwanza kusema. Achana nao kongolo nikiwa burundi
Kiza YAHYA Burundi 5/5
Ni jambo la busara kwa wa kongomani wa asili ya Rwanda.wasimwu Nge mkono tena Kagame.
Bwana Mutangaji Balongela , Banyarwanda biko banjanja sana . Hakuna approche ya kawaida na Banyarwanda . Acharna naile habari