[07.07.2024] KONGAMANO KUBWA LA KUFUNGUA NJIA SABA ZILIZOFUNGWA KWENYE MAISHA YAKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- 07.07. 2024
Tufatilie mubashara - Mkesha wa makuhani wa YESU KRISTO MUNGU Mkuu aliye Nuru Halisi ndani ya madhabau ya ngome ya YESU KRISTO.
Tufuatilie Live JEHOVA JIRE TV kwenye King'amuzi cha Azam Channel 006 Upande wa Other Channels na kwenye Startimes Antenna 445 pia TH-cam channel.
#livestream #matendomakuu #mezayamakuhani #kuhanimusa #matendomakuu gospel #jesus #god #bible #love #christian #faith #church #o #jesuschrist #worship #music #gospelmusic #christ #prayer #christianity #deus #holyspirit #godisgood #bibleverse #pray #hope #blessed #truth #grace #scripture #amen #believe #biblestudy #praise - ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
Najiungamanisha na ibada ya leo tarehe 7 mwezi wa 7 kumwomba Yesu kufungua baraka zangu na familia yangu.pia kuwateketeza watu wote waliofunga baraka zangu na familia yangu kuazia leo baraka 7 zifunguliwe na madhaifu 7 kutoka familia yangu yafungwe kwa jina la Yesu.Aminaaaa
Ameen papaa,God bless you,you're full of energy. Kama alivyo kuhani,ndivyo na watu wake watakavyo kuwa. ❤❤❤
Najiungamanisha mm na uzao wangu katika IBADA ya Leo ee mungu wa Nuru halisi angaza na kwetu🙏🙏🙏
Amen 🙌🙌
Najiunga na ibadani Leo🙏🙏🙏
Najiungamanisha na ibada ya leo kutoka spring fellowship kimara temboni
Najiuganisha na Ibadan yaleo tarehe 7 na mwezi 7
Najiungamanisha na ibadani leo
Najiungamanisha na ibadani leo