HAJI MANARA AMLIPUA JEMEDARI SAID "KISA MIMI ALBINO NDYO MATUSI MENGI KWANGU

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 192

  • @NuhuM-s1x
    @NuhuM-s1x 11 วันที่ผ่านมา +10

    Mashaalha kaka haji umeongea vizur mungu akuzidishie ufanikishe ulicho kisema mimi nakuombea mungu akuzidishie 🙏🙏🙏

  • @JAIROSMLIMILA-cl1wp
    @JAIROSMLIMILA-cl1wp 8 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana haji Kuna walimwengu wa hovyo sana wazoee tu wanakosoa kazi ya Mungu watalaaniwa wao hawawezi hata kumuumba chura achana nao focus na maisha yako Mungu atabless .

  • @DanielYusto
    @DanielYusto 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akufanikishe kaka Haji manara, katika taasisi yako yakusaidia watu wenye ualbino.

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 9 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akulinde ilimpendeza Mungu kuwa hivyo ulivyo Haji jitu moja kubwa kongole kwako 🎉🎉

  • @NovatusZakaria
    @NovatusZakaria 7 วันที่ผ่านมา

    MANARA UMETISHA HII NI BUSARA YA AJABU .......Daaaaa!
    Fantastic kaka ........
    ........

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 11 วันที่ผ่านมา +5

    Hivi wewe Haji😂😂😂😂 ulipokuwa mdogo ulichelewa kusema! Mbona unajua kuyajajenga maneno namna hii kweli unakipaji cha kuongea.❤❤❤❤penda sana Mwanangu.🎉🎉🎉🎉🎉

  • @salumramadhani5128
    @salumramadhani5128 11 วันที่ผ่านมา +5

    Pole sana kaka iyo. Ilimkuta mama mmoja morogoro alimpa maji ya kunywa albino na kopo la chooni baada ya hapo alizaa albino watoto wote sita pole sana kaka

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ubarikiwe mno Haji ndo maana cku zote mimi mfuasi wako jinsi uishivyo nami na kauli kwa jamii ubarikiwe

  • @filyakusimsigwa5006
    @filyakusimsigwa5006 11 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akubariki sana Manara kwa kukemea tabia za baadhi ya watanzania

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 11 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu mwamba siku atakuwa hayupo ndio tutajuwa mchango wake mkubwa kwenye mchezo wa soka.
    Kaka Manara Allah akuzidishie umri mrefu.

  • @PeterLuhende-p7j
    @PeterLuhende-p7j 9 วันที่ผ่านมา

    Umeongea kwa uchungu nipo naenjoy na demu wangu albino nampenda sanaa

  • @Jayhood28
    @Jayhood28 8 วันที่ผ่านมา

    Ukiachana na Ualbino..bado Haji Manara huongea na kujenga hoja vizuri..Watu wanakosea namna wanavyomjibu..
    Haji akiongea kimichezo tumjibu kimichezo..Mungu wabariki watu wote wenye changamoto ya "albinism" na wengine wote wenye changamoto!.

  • @goodlackriwa6728
    @goodlackriwa6728 10 วันที่ผ่านมา +2

    Haji wewe ni kioo katikaa jamii. Wewe ni Binadamu kama wengine Rangi tofauti sio tatizo.Akili Yako kubwa sana .Mungu akujaliee Kwa yote

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 9 วันที่ผ่านมา

    NYOOOOOOO 😂😂😂😂 ETI SENIOR PUNDIT TANZANIA NZIMA HAIJAWAHI KUTOKEA 😅

  • @KhatibuRamadhan
    @KhatibuRamadhan 11 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka allah atakulipa kulingan na nia yako achan nao ao wanao kuthalau awajui mungu mkali kias gan brother mm nakubar na naelewa nn umemaanisha inshallah Allah atakulipa zaid nazaid ingawa mm sio jamm yako

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 10 วันที่ผ่านมา

    Kweli baba❤❤❤

  • @ShaeebMohammed-e1h
    @ShaeebMohammed-e1h 11 วันที่ผ่านมา +6

    kwahili jemedari said unamuanza mwenyewe

  • @ancytarimo1103
    @ancytarimo1103 11 วันที่ผ่านมา +3

    This man is very smart and genuine.

    • @mvukiedavid4332
      @mvukiedavid4332 11 วันที่ผ่านมา

      Tatizo Kamdomooo

    • @AdamSaffi211
      @AdamSaffi211 11 วันที่ผ่านมา +2

      Nenda upimwe akili wewe if you think he is smart. Haji is well accepted in the community! Problem, majivuno yake na matusi. What has he done in the soccer sector, nothing bali matusi tu.

  • @mansoursiulapwa8624
    @mansoursiulapwa8624 9 วันที่ผ่านมา

    Mtu hajisifii wee mzee.. huwa anasifiwa

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 10 วันที่ผ่านมา

    Hahahaaa Mzungu bhana 😀

  • @sophiaallyhussen7659
    @sophiaallyhussen7659 11 วันที่ผ่านมา +1

    Uliyo yapngea yamenigusa sana sana ila wasamehe hao wasiyo kua nahofu ya mungu Mimi ni mshabiki Yako kindaki ndaki naenda unavyo jiamini

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo9610 9 วันที่ผ่านมา

    Hapo sasa ndo ukubwa ,huo sio mambo ya kitoto

  • @kakore_jr
    @kakore_jr 10 วันที่ผ่านมา

    😂😂ZERU×2

  • @ToivoJase
    @ToivoJase 10 วันที่ผ่านมา

    Bwege ww

  • @godfreykarigo6404
    @godfreykarigo6404 8 วันที่ผ่านมา

    Kampendelea kabisa kamwita kwa kiingeleza 😂 huyo ni zeruzeru au mlemavu wa ngozi

  • @OmaryRajabu-g7r
    @OmaryRajabu-g7r 9 วันที่ผ่านมา

    KWA KWELI FISI JEMADARI AMUOMBE RADHI MANARA KWA KUMDHALILISHA MANARA KWA RANGI YAKE INAUMA MJINGA JEMADARI UMEMZALILISHA HAJI KWA UZAZI WAKE KUA ALBINO INAUMA KUMZALILISHA HAJI UNAFAA UFE JEMADARI USIPOMUOMBA RADHI HAJI JEMADARI NI MTANZANIA DHALILI HUFAI KUWA KATIKA KITUO CHA JAMII KUMZALILISHA BINADAMU MWENZIO UNGEKUA KITUO KINACHOJIELEWA UNGEFUKUZWA KAZI KWA DHALILI HII ,,,UJINGA ULIOUFANYA YAFAA UOMBE RADHI JAMII,,,,

  • @ShamsiMbago-n2q
    @ShamsiMbago-n2q 10 วันที่ผ่านมา

    Upo saiii

  • @binamutawa9637
    @binamutawa9637 2 วันที่ผ่านมา

    Wanafanya makosa makubwa sana tena Mimi napenda sana mwanamke mwenye uarbino tena najikuta tu nawapenda

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 5 วันที่ผ่านมา

    Kama hujafa hujaumbika , na hakuna aliyetimia katika dunia hii tuache lugha chafu.

  • @husseinngala7503
    @husseinngala7503 7 วันที่ผ่านมา

    Sasa Kwa hili kaka Niko nyuma yako

  • @mahmoudmihanjamu669
    @mahmoudmihanjamu669 11 วันที่ผ่านมา

    What a sad story

  • @DianaDeograthias
    @DianaDeograthias 11 วันที่ผ่านมา

    Umesahau kuwa majuzi tu ulitumia ualbino kulinyanyapaa jeshi letu la magereza alafu sio ukifanya janbo mpaka utangaze so vizuri bro

  • @allyslim7774
    @allyslim7774 10 วันที่ผ่านมา

    Anazingua bhana ajieshimu jemedal kafanyejetena

  • @OsmaniSiame
    @OsmaniSiame 11 วันที่ผ่านมา

    Wejamaa unajua sana pia akiri niyaviwango vyajuu sana

  • @SaybathKassim
    @SaybathKassim 11 วันที่ผ่านมา +2

    Ndo upunguze mdomo sasa😊😊

    • @AllyMbuma-c6y
      @AllyMbuma-c6y 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂kamdomo kana mponza!!!

    • @abdullaothman5728
      @abdullaothman5728 11 วันที่ผ่านมา

      apunguze mdomo kuhusu nini

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 11 วันที่ผ่านมา

      Manara ana nuka mdomoo

  • @carolinecaroline-rs7pr
    @carolinecaroline-rs7pr 10 วันที่ผ่านมา

    Sio hulabino tu hulemavu yoyote mimi mume wangu anamacho kekengeza kuna kaka alimtharau sana lakini leo mke wake ameza mtoto ambae ana macho kama ya mume wangu kwaio mm najua huchokiongea mungu akubariki

    • @OmaryRajabu-g7r
      @OmaryRajabu-g7r 9 วันที่ผ่านมา

      INSHAALAH JEMADARI KWA UZALILISHAJI HUU UTAZAA MLEMVU WA AINA YEYOTE ILI UMNYANYASE ALIE KUUMBA WEWE NDIE MUUMBA WA MANARA,,,,JIONE UMEJIUMBA

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 11 วันที่ผ่านมา

    MUNGU atawalipa

  • @abdulahmanmahalufu9524
    @abdulahmanmahalufu9524 10 วันที่ผ่านมา

    Maadui unawatafuta mwenyewe we kenge

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 11 วันที่ผ่านมา

    Sawa hajji tusamehe mm nisamehe

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 11 วันที่ผ่านมา

    Kwanza anajisikiaga sana

  • @kilalak2932
    @kilalak2932 10 วันที่ผ่านมา

    Kweli bwana Haji Manara hakuna anayekuweza kwa uchambuzi na kujua story nyingi sanaaa wakuache hao wanaokubeza tena Wakome

  • @BarakaKusalula
    @BarakaKusalula 10 วันที่ผ่านมา

    Huyu kila siku anaonewa yeye bila kusahau hata Yeye domo lake chafu anabwabwaja sana.

  • @IdrisKabenza
    @IdrisKabenza 11 วันที่ผ่านมา

    Hamna kitu kabisa

  • @JumaNyumba-m7y
    @JumaNyumba-m7y 11 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe mwenyewe una matatizo matupu na dharau juzi tu hapa umetoka kuwashambulia askari magereza demit

  • @sharulchenja2167
    @sharulchenja2167 11 วันที่ผ่านมา

    Kila kitu uko sawa Haji ila kwenye uchambuzi hapanaaa; Ali kamwe humuwezi hata kidogo lakini kwenye uchambuzi..(ukongwe siyo kujua sana bro)📌

  • @nasseralshaibani6995
    @nasseralshaibani6995 10 วันที่ผ่านมา

    Haji punguza uwongo na properganda.

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 10 วันที่ผ่านมา

    Hao wanaokutukana Mungu atawapa mafungu yao wewe waache tu Hajji

  • @rickierunyota3613
    @rickierunyota3613 10 วันที่ผ่านมา

    Uyu akishkwa pazuri anakimbilia uko

  • @kakore_jr
    @kakore_jr 10 วันที่ผ่านมา

    UTASEMWA SANA NA MAPUNGUFU YAKO

  • @annajohn2488
    @annajohn2488 11 วันที่ผ่านมา

    Uyu chizi vipi

  • @EdsonyMashaka
    @EdsonyMashaka 10 วันที่ผ่านมา

    ila manara kwenye kuongea uwa unapangilia maneno

  • @NkundweMwakyangwe
    @NkundweMwakyangwe 11 วันที่ผ่านมา

    😂😂 na wewe bhana ........ushaanza kuzeeka

  • @richardpembe606
    @richardpembe606 10 วันที่ผ่านมา

    Jemedali hajielewagi kabisa, Kaka Haji wali usisumbuke kugombana nae, kwanza unamzidi mbali mno

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 11 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaaa bila yanga jumpa nafasi itakuw ngumu sana Hersi hebu mpe hio nafasi ulioisema

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha3055 11 วันที่ผ่านมา +1

    Manara ni mnafqi namba moja.kqma ni enzi za mtume ..i abu jahli

    • @songombingo108
      @songombingo108 10 วันที่ผ่านมา

      Kumamakooo. Amekufanyia wapi Unafiki😂

    • @kakore_jr
      @kakore_jr 10 วันที่ผ่านมา

      SIO MNAFIKI NI LINAFIKI LIKUBWA NA

  • @ahmedhussein-p6l
    @ahmedhussein-p6l 11 วันที่ผ่านมา

    kaka elimu ndio tatizo tanzania..

  • @salumnassor9330
    @salumnassor9330 11 วันที่ผ่านมา

    Huyu mshkaji kwa kweli kuna kitu anahitaji kitu katika jamiiii

  • @salumnassor9330
    @salumnassor9330 11 วันที่ผ่านมา

    Ndio maaa yuko calm leo nakujifanya ananyanyapaliwa anataka kuingia bungeni

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 วันที่ผ่านมา

    Kwani kuna mtu anapenda kilema huyo ni mshenzi kabla hujafa hujaumbika

  • @SwadakatYusuph
    @SwadakatYusuph 10 วันที่ผ่านมา

    Wambie ukweli hao wanaopingana namungu kama wanauwezo wakuumba mwanadamu waumbe binadamu tuone

  • @AllyBopa
    @AllyBopa 10 วันที่ผ่านมา

    Kwa sasa hiv chale ni wew kaka unachekesh2 sasa hiv ulivyo kua simba yang walikua wanakusema kwahiyo langi yako ila ujawai sema hayo maneno kuna ki2

  • @carloshernandezvalda2136
    @carloshernandezvalda2136 11 วันที่ผ่านมา

    Yanga ikifugwa utaleta habar ilikua hazipo

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 10 วันที่ผ่านมา

    Unachokozaga watu wakikujibu unakimbilia kusingizia hali yako

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 11 วันที่ผ่านมา

    Shida kubwa uliyokua nayo Mzee ni huna adabu

  • @NsabiKizengi
    @NsabiKizengi 11 วันที่ผ่านมา

    Ungetuliza mdomo ungeonekana wa maana sana na ukaendelea kumuomba Mungu wako

  • @barakasaimon860
    @barakasaimon860 11 วันที่ผ่านมา

    Pole saaaaaana kaka Haji ila hata wewe Kuna wakati unatumia rangi yako kufanya makosa ukikosolewa unalalamika ukitaka uheshimiwe kaka Anza wewe kujiheshimu MUNGU AKULINDE

  • @ChristianLimo-k8t
    @ChristianLimo-k8t 11 วันที่ผ่านมา

    Umesha zeeka achamambo ya kuropoka

  • @annajohn2488
    @annajohn2488 11 วันที่ผ่านมา

    Hili linafki sana

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe 10 วันที่ผ่านมา

    Madunduka Wana kuchukia kisa umetoka kwao hata Hilo jemedari saidi pia ni dunduka

  • @janethrwambali2782
    @janethrwambali2782 11 วันที่ผ่านมา

    Eti na wanawake wanampenda jamani huyu arubinooo ni shidaaa Tanzania

  • @williamkilembwe7189
    @williamkilembwe7189 11 วันที่ผ่านมา

    Haji Manara, unapenda kutafuta kiki. Nakuomba mpigie magoti Eng, Hersi, akurudishe kwenye mstari. maana umepotea.

  • @DhahiriHamisi
    @DhahiriHamisi 11 วันที่ผ่านมา

    Ww umuez jemedali. Jemedali kachza mpaka ligi kuu ww ulichez wapi

  • @JosephJackson-f1s
    @JosephJackson-f1s 11 วันที่ผ่านมา

    Yanga wangepita usingeongea kwa heshima hivo c tunakujua

  • @khalidallynganzojr1676
    @khalidallynganzojr1676 11 วันที่ผ่านมา

    Maa Shaa Allah. Maneno yako yametufikia

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 11 วันที่ผ่านมา +2

    Nikiangaliaga mate ya manara humo pemben yalivyomazito halafu zai anampa kiss aiseee mtihan wallah sikunyanyapai ila punguza ka mdomo

    • @janethrwambali2782
      @janethrwambali2782 11 วันที่ผ่านมา

      Unachosema ni kweli huyo Dada mjingaaa kabisaa huo mdomo wake daaaah

    • @SimbaHaji-jm7md
      @SimbaHaji-jm7md 11 วันที่ผ่านมา

      Unadhani hicho ulichosema sio unyanyapaa, kama hujampenda mtu kaa kimya tu dada, ukute unatoka kimapenzi na mtu duni kuliko haji..mshukuru mungu tu

  • @bravosenior2387
    @bravosenior2387 11 วันที่ผ่านมา

    We acha upuuzi unapenda kulia lia we unapowanyanyapaa wenzine mbona wa tu tunakausha ile kauli kwa askari magereza ilikuwa sahihi sio kauli ya dharau na kuzalilisha utu wa wenzio wewe ni mdogo sana ukifananisha na wasemaji wa sasa acha kujikweza tena usifanye wengine tukufuru maana we huna adabu hata punje

  • @stanslausmwengwa5288
    @stanslausmwengwa5288 9 วันที่ผ่านมา

    Wewe mwenyewe punguza mdomo na kudharau watu.
    Ona sasa unavyolialia wakati wewe mwenyewe kutwa kudharau binadamu wenzako.
    Punguza KAMDOMO.

  • @mbwizax87
    @mbwizax87 11 วันที่ผ่านมา

    Upunguze dharau pia hakuna mtu atakudharau

  • @ToivoJase
    @ToivoJase 10 วันที่ผ่านมา

    Chizi ww

  • @williamkilembwe7189
    @williamkilembwe7189 10 วันที่ผ่านมา

    Wewe huishiwi maneno, kwenye mkutano wa CCM hukupewa nafasi ya kuongea. Sasa umepata nafasi tumia Manara TV. uongee.

  • @princesaha3262
    @princesaha3262 11 วันที่ผ่านมา

    Lini kakudhihaki??

  • @annajohn2488
    @annajohn2488 11 วันที่ผ่านมา

    Dah uyu HERSI AMPE HATA UONGOZI WAKUCHUNGA NGUO ZA WACHEZAJI NA VIATU😢

    • @AgnesJohn-f1r
      @AgnesJohn-f1r 8 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 kwa kweli

  • @agnesmussa7061
    @agnesmussa7061 11 วันที่ผ่านมา

    Ivi askali magereza naye n mfungwa?
    Mzee usitumie jiheshimu uheshimiwe.

  • @danielmwakapila2231
    @danielmwakapila2231 11 วันที่ผ่านมา +3

    Wewe acha upuuzi,wewe mbona ulifikia hata kunyanyapaa mamlaka za serikali,unalialia Nini,hata jeshi la magereza sijui kwanini walikucha salama Kwa upuuzi uliowafanyia.huna brain yoyote,ndio maana huna adabu.usisingizie watu tatizo ni wewe,hujitambui.

    • @HamzaMduda
      @HamzaMduda 10 วันที่ผ่านมา

      Wewe ndiyo una akili mshenz mkubwa ww

    • @Japanese-lz1or
      @Japanese-lz1or 10 วันที่ผ่านมา

      Kumbe ww hujielewi

  • @DaudMakoyejr
    @DaudMakoyejr 11 วันที่ผ่านมา

    Baada ya yanga kutolewa ndo unajifanya kuongea udhaifu

  • @HajiMaliki-y6o
    @HajiMaliki-y6o 10 วันที่ผ่านมา

    Punguza mdomo sasa

  • @josephatlaban3602
    @josephatlaban3602 11 วันที่ผ่านมา

    Ndugu YANGU Haji watu tukuelewe na hili wengi waelewe usemwe kama Haji sio Hali yako ni kosa kubwa sana na ni chukizo kwa muumba

  • @williamkilembwe7189
    @williamkilembwe7189 11 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe zeruzeru, funga mdomo wako. Tumekuchoka, huna jipya

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 11 วันที่ผ่านมา

    Hii ni mitihani ya kawaida hasa kwa hii sehemu ulonayo kuwa na subra na uvumilivu ni vitu vya kawaida

  • @majaliwaandulile8379
    @majaliwaandulile8379 11 วันที่ผ่านมา

    Mimi sijawahi kuona albino ata kama anabusala awe mpole wana pwampwa haooo mda wote wanaona wanaonewa

  • @sheikhanRashid-ch8yq
    @sheikhanRashid-ch8yq 11 วันที่ผ่านมา

    Mtu hawez kukutukana Bure pacpo sabbu

  • @ZakiaHamoo
    @ZakiaHamoo 11 วันที่ผ่านมา

    Bugatti waambie ukweri baba waache ukolo

  • @HassanSalum-w5v
    @HassanSalum-w5v 11 วันที่ผ่านมา

    Wewe mwenyewe unawadharau watu kwa sababu wamezaliwa vijijini nyamaza wewe unaomba msaada

  • @zulfafengu3783
    @zulfafengu3783 11 วันที่ผ่านมา

    Tulijua utafika uko saa gapi kakwambia wew alubino unatafuta uluma kwa watu

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 10 วันที่ผ่านมา

    Shida unajiona unajua kila kitu ukipigwa spana unakimbilia kulia unanyanyapaliwa kaka, mimi hata sizingatii ualbino wako na judge hoja zako, kama za kweli sawa kama za hovyo nakosoa.

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 11 วันที่ผ่านมา

    Mtenda husahau mana unaongoza kuzalau watu babu ile kauli ya zalau kwa magereza vuka siku moja kwa vyombo vile vingine viwili ili tuluone umwamba wako

  • @ShakiruWakili-kx8ef
    @ShakiruWakili-kx8ef 11 วันที่ผ่านมา

    Mbona ww ulitukana askar magereza na ukawakashfu mbele y jamii acha ufala shwain

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 11 วันที่ผ่านมา

    Mambo ya Ualbino yanatoka wap tena

  • @iddimasika1173
    @iddimasika1173 11 วันที่ผ่านมา

    Acha sifa unasaidia watu halafu unatangaza ktk umaaa km umetowa msaadaa

  • @AminiMsellem-gk3yy
    @AminiMsellem-gk3yy 11 วันที่ผ่านมา +1

    KAMDOMO HAJI KAMDOMOOOOOO😂😂😂😂😂