Pole sana haji Kuna walimwengu wa hovyo sana wazoee tu wanakosoa kazi ya Mungu watalaaniwa wao hawawezi hata kumuumba chura achana nao focus na maisha yako Mungu atabless .
Hivi wewe Haji😂😂😂😂 ulipokuwa mdogo ulichelewa kusema! Mbona unajua kuyajajenga maneno namna hii kweli unakipaji cha kuongea.❤❤❤❤penda sana Mwanangu.🎉🎉🎉🎉🎉
Pole sana kaka iyo. Ilimkuta mama mmoja morogoro alimpa maji ya kunywa albino na kopo la chooni baada ya hapo alizaa albino watoto wote sita pole sana kaka
Ukiachana na Ualbino..bado Haji Manara huongea na kujenga hoja vizuri..Watu wanakosea namna wanavyomjibu.. Haji akiongea kimichezo tumjibu kimichezo..Mungu wabariki watu wote wenye changamoto ya "albinism" na wengine wote wenye changamoto!.
Kaka allah atakulipa kulingan na nia yako achan nao ao wanao kuthalau awajui mungu mkali kias gan brother mm nakubar na naelewa nn umemaanisha inshallah Allah atakulipa zaid nazaid ingawa mm sio jamm yako
Nenda upimwe akili wewe if you think he is smart. Haji is well accepted in the community! Problem, majivuno yake na matusi. What has he done in the soccer sector, nothing bali matusi tu.
KWA KWELI FISI JEMADARI AMUOMBE RADHI MANARA KWA KUMDHALILISHA MANARA KWA RANGI YAKE INAUMA MJINGA JEMADARI UMEMZALILISHA HAJI KWA UZAZI WAKE KUA ALBINO INAUMA KUMZALILISHA HAJI UNAFAA UFE JEMADARI USIPOMUOMBA RADHI HAJI JEMADARI NI MTANZANIA DHALILI HUFAI KUWA KATIKA KITUO CHA JAMII KUMZALILISHA BINADAMU MWENZIO UNGEKUA KITUO KINACHOJIELEWA UNGEFUKUZWA KAZI KWA DHALILI HII ,,,UJINGA ULIOUFANYA YAFAA UOMBE RADHI JAMII,,,,
Sio hulabino tu hulemavu yoyote mimi mume wangu anamacho kekengeza kuna kaka alimtharau sana lakini leo mke wake ameza mtoto ambae ana macho kama ya mume wangu kwaio mm najua huchokiongea mungu akubariki
Pole saaaaaana kaka Haji ila hata wewe Kuna wakati unatumia rangi yako kufanya makosa ukikosolewa unalalamika ukitaka uheshimiwe kaka Anza wewe kujiheshimu MUNGU AKULINDE
We acha upuuzi unapenda kulia lia we unapowanyanyapaa wenzine mbona wa tu tunakausha ile kauli kwa askari magereza ilikuwa sahihi sio kauli ya dharau na kuzalilisha utu wa wenzio wewe ni mdogo sana ukifananisha na wasemaji wa sasa acha kujikweza tena usifanye wengine tukufuru maana we huna adabu hata punje
Wewe acha upuuzi,wewe mbona ulifikia hata kunyanyapaa mamlaka za serikali,unalialia Nini,hata jeshi la magereza sijui kwanini walikucha salama Kwa upuuzi uliowafanyia.huna brain yoyote,ndio maana huna adabu.usisingizie watu tatizo ni wewe,hujitambui.
Shida unajiona unajua kila kitu ukipigwa spana unakimbilia kulia unanyanyapaliwa kaka, mimi hata sizingatii ualbino wako na judge hoja zako, kama za kweli sawa kama za hovyo nakosoa.
Mashaalha kaka haji umeongea vizur mungu akuzidishie ufanikishe ulicho kisema mimi nakuombea mungu akuzidishie 🙏🙏🙏
Pole sana haji Kuna walimwengu wa hovyo sana wazoee tu wanakosoa kazi ya Mungu watalaaniwa wao hawawezi hata kumuumba chura achana nao focus na maisha yako Mungu atabless .
Mungu akufanikishe kaka Haji manara, katika taasisi yako yakusaidia watu wenye ualbino.
Mungu akulinde ilimpendeza Mungu kuwa hivyo ulivyo Haji jitu moja kubwa kongole kwako 🎉🎉
MANARA UMETISHA HII NI BUSARA YA AJABU .......Daaaaa!
Fantastic kaka ........
........
Hivi wewe Haji😂😂😂😂 ulipokuwa mdogo ulichelewa kusema! Mbona unajua kuyajajenga maneno namna hii kweli unakipaji cha kuongea.❤❤❤❤penda sana Mwanangu.🎉🎉🎉🎉🎉
Pole sana kaka iyo. Ilimkuta mama mmoja morogoro alimpa maji ya kunywa albino na kopo la chooni baada ya hapo alizaa albino watoto wote sita pole sana kaka
Ubarikiwe mno Haji ndo maana cku zote mimi mfuasi wako jinsi uishivyo nami na kauli kwa jamii ubarikiwe
Mungu akubariki sana Manara kwa kukemea tabia za baadhi ya watanzania
Huyu mwamba siku atakuwa hayupo ndio tutajuwa mchango wake mkubwa kwenye mchezo wa soka.
Kaka Manara Allah akuzidishie umri mrefu.
Umeongea kwa uchungu nipo naenjoy na demu wangu albino nampenda sanaa
Ukiachana na Ualbino..bado Haji Manara huongea na kujenga hoja vizuri..Watu wanakosea namna wanavyomjibu..
Haji akiongea kimichezo tumjibu kimichezo..Mungu wabariki watu wote wenye changamoto ya "albinism" na wengine wote wenye changamoto!.
Haji wewe ni kioo katikaa jamii. Wewe ni Binadamu kama wengine Rangi tofauti sio tatizo.Akili Yako kubwa sana .Mungu akujaliee Kwa yote
NYOOOOOOO 😂😂😂😂 ETI SENIOR PUNDIT TANZANIA NZIMA HAIJAWAHI KUTOKEA 😅
Kaka allah atakulipa kulingan na nia yako achan nao ao wanao kuthalau awajui mungu mkali kias gan brother mm nakubar na naelewa nn umemaanisha inshallah Allah atakulipa zaid nazaid ingawa mm sio jamm yako
Kweli baba❤❤❤
kwahili jemedari said unamuanza mwenyewe
Nyau wewe
This man is very smart and genuine.
Tatizo Kamdomooo
Nenda upimwe akili wewe if you think he is smart. Haji is well accepted in the community! Problem, majivuno yake na matusi. What has he done in the soccer sector, nothing bali matusi tu.
Mtu hajisifii wee mzee.. huwa anasifiwa
Hahahaaa Mzungu bhana 😀
Uliyo yapngea yamenigusa sana sana ila wasamehe hao wasiyo kua nahofu ya mungu Mimi ni mshabiki Yako kindaki ndaki naenda unavyo jiamini
Hapo sasa ndo ukubwa ,huo sio mambo ya kitoto
😂😂ZERU×2
Bwege ww
Kampendelea kabisa kamwita kwa kiingeleza 😂 huyo ni zeruzeru au mlemavu wa ngozi
KWA KWELI FISI JEMADARI AMUOMBE RADHI MANARA KWA KUMDHALILISHA MANARA KWA RANGI YAKE INAUMA MJINGA JEMADARI UMEMZALILISHA HAJI KWA UZAZI WAKE KUA ALBINO INAUMA KUMZALILISHA HAJI UNAFAA UFE JEMADARI USIPOMUOMBA RADHI HAJI JEMADARI NI MTANZANIA DHALILI HUFAI KUWA KATIKA KITUO CHA JAMII KUMZALILISHA BINADAMU MWENZIO UNGEKUA KITUO KINACHOJIELEWA UNGEFUKUZWA KAZI KWA DHALILI HII ,,,UJINGA ULIOUFANYA YAFAA UOMBE RADHI JAMII,,,,
Upo saiii
Wanafanya makosa makubwa sana tena Mimi napenda sana mwanamke mwenye uarbino tena najikuta tu nawapenda
Kama hujafa hujaumbika , na hakuna aliyetimia katika dunia hii tuache lugha chafu.
Sasa Kwa hili kaka Niko nyuma yako
What a sad story
Umesahau kuwa majuzi tu ulitumia ualbino kulinyanyapaa jeshi letu la magereza alafu sio ukifanya janbo mpaka utangaze so vizuri bro
Anazingua bhana ajieshimu jemedal kafanyejetena
Wejamaa unajua sana pia akiri niyaviwango vyajuu sana
Ndo upunguze mdomo sasa😊😊
😂😂😂😂kamdomo kana mponza!!!
apunguze mdomo kuhusu nini
Manara ana nuka mdomoo
Sio hulabino tu hulemavu yoyote mimi mume wangu anamacho kekengeza kuna kaka alimtharau sana lakini leo mke wake ameza mtoto ambae ana macho kama ya mume wangu kwaio mm najua huchokiongea mungu akubariki
INSHAALAH JEMADARI KWA UZALILISHAJI HUU UTAZAA MLEMVU WA AINA YEYOTE ILI UMNYANYASE ALIE KUUMBA WEWE NDIE MUUMBA WA MANARA,,,,JIONE UMEJIUMBA
MUNGU atawalipa
Maadui unawatafuta mwenyewe we kenge
Sawa hajji tusamehe mm nisamehe
Kwanza anajisikiaga sana
Kweli bwana Haji Manara hakuna anayekuweza kwa uchambuzi na kujua story nyingi sanaaa wakuache hao wanaokubeza tena Wakome
Huyu kila siku anaonewa yeye bila kusahau hata Yeye domo lake chafu anabwabwaja sana.
Hamna kitu kabisa
Wewe mwenyewe una matatizo matupu na dharau juzi tu hapa umetoka kuwashambulia askari magereza demit
Kila kitu uko sawa Haji ila kwenye uchambuzi hapanaaa; Ali kamwe humuwezi hata kidogo lakini kwenye uchambuzi..(ukongwe siyo kujua sana bro)📌
Haji punguza uwongo na properganda.
Hao wanaokutukana Mungu atawapa mafungu yao wewe waache tu Hajji
Uyu akishkwa pazuri anakimbilia uko
UTASEMWA SANA NA MAPUNGUFU YAKO
Uyu chizi vipi
ila manara kwenye kuongea uwa unapangilia maneno
😂😂 na wewe bhana ........ushaanza kuzeeka
Jemedali hajielewagi kabisa, Kaka Haji wali usisumbuke kugombana nae, kwanza unamzidi mbali mno
Huyu jamaaa bila yanga jumpa nafasi itakuw ngumu sana Hersi hebu mpe hio nafasi ulioisema
Manara ni mnafqi namba moja.kqma ni enzi za mtume ..i abu jahli
Kumamakooo. Amekufanyia wapi Unafiki😂
SIO MNAFIKI NI LINAFIKI LIKUBWA NA
kaka elimu ndio tatizo tanzania..
Huyu mshkaji kwa kweli kuna kitu anahitaji kitu katika jamiiii
Ndio maaa yuko calm leo nakujifanya ananyanyapaliwa anataka kuingia bungeni
Kwani kuna mtu anapenda kilema huyo ni mshenzi kabla hujafa hujaumbika
Wambie ukweli hao wanaopingana namungu kama wanauwezo wakuumba mwanadamu waumbe binadamu tuone
Kwa sasa hiv chale ni wew kaka unachekesh2 sasa hiv ulivyo kua simba yang walikua wanakusema kwahiyo langi yako ila ujawai sema hayo maneno kuna ki2
Yanga ikifugwa utaleta habar ilikua hazipo
Unachokozaga watu wakikujibu unakimbilia kusingizia hali yako
Shida kubwa uliyokua nayo Mzee ni huna adabu
Ungetuliza mdomo ungeonekana wa maana sana na ukaendelea kumuomba Mungu wako
Pole saaaaaana kaka Haji ila hata wewe Kuna wakati unatumia rangi yako kufanya makosa ukikosolewa unalalamika ukitaka uheshimiwe kaka Anza wewe kujiheshimu MUNGU AKULINDE
Umesha zeeka achamambo ya kuropoka
Hili linafki sana
Madunduka Wana kuchukia kisa umetoka kwao hata Hilo jemedari saidi pia ni dunduka
Eti na wanawake wanampenda jamani huyu arubinooo ni shidaaa Tanzania
Haji Manara, unapenda kutafuta kiki. Nakuomba mpigie magoti Eng, Hersi, akurudishe kwenye mstari. maana umepotea.
Ww umuez jemedali. Jemedali kachza mpaka ligi kuu ww ulichez wapi
Yanga wangepita usingeongea kwa heshima hivo c tunakujua
Maa Shaa Allah. Maneno yako yametufikia
Nikiangaliaga mate ya manara humo pemben yalivyomazito halafu zai anampa kiss aiseee mtihan wallah sikunyanyapai ila punguza ka mdomo
Unachosema ni kweli huyo Dada mjingaaa kabisaa huo mdomo wake daaaah
Unadhani hicho ulichosema sio unyanyapaa, kama hujampenda mtu kaa kimya tu dada, ukute unatoka kimapenzi na mtu duni kuliko haji..mshukuru mungu tu
We acha upuuzi unapenda kulia lia we unapowanyanyapaa wenzine mbona wa tu tunakausha ile kauli kwa askari magereza ilikuwa sahihi sio kauli ya dharau na kuzalilisha utu wa wenzio wewe ni mdogo sana ukifananisha na wasemaji wa sasa acha kujikweza tena usifanye wengine tukufuru maana we huna adabu hata punje
Wewe mwenyewe punguza mdomo na kudharau watu.
Ona sasa unavyolialia wakati wewe mwenyewe kutwa kudharau binadamu wenzako.
Punguza KAMDOMO.
Upunguze dharau pia hakuna mtu atakudharau
Chizi ww
Wewe huishiwi maneno, kwenye mkutano wa CCM hukupewa nafasi ya kuongea. Sasa umepata nafasi tumia Manara TV. uongee.
Lini kakudhihaki??
Dah uyu HERSI AMPE HATA UONGOZI WAKUCHUNGA NGUO ZA WACHEZAJI NA VIATU😢
😂😂😂 kwa kweli
Ivi askali magereza naye n mfungwa?
Mzee usitumie jiheshimu uheshimiwe.
Wewe acha upuuzi,wewe mbona ulifikia hata kunyanyapaa mamlaka za serikali,unalialia Nini,hata jeshi la magereza sijui kwanini walikucha salama Kwa upuuzi uliowafanyia.huna brain yoyote,ndio maana huna adabu.usisingizie watu tatizo ni wewe,hujitambui.
Wewe ndiyo una akili mshenz mkubwa ww
Kumbe ww hujielewi
Baada ya yanga kutolewa ndo unajifanya kuongea udhaifu
Punguza mdomo sasa
Ndugu YANGU Haji watu tukuelewe na hili wengi waelewe usemwe kama Haji sio Hali yako ni kosa kubwa sana na ni chukizo kwa muumba
Wewe zeruzeru, funga mdomo wako. Tumekuchoka, huna jipya
Hii ni mitihani ya kawaida hasa kwa hii sehemu ulonayo kuwa na subra na uvumilivu ni vitu vya kawaida
Mimi sijawahi kuona albino ata kama anabusala awe mpole wana pwampwa haooo mda wote wanaona wanaonewa
Mtu hawez kukutukana Bure pacpo sabbu
Bugatti waambie ukweri baba waache ukolo
Wewe mwenyewe unawadharau watu kwa sababu wamezaliwa vijijini nyamaza wewe unaomba msaada
Tulijua utafika uko saa gapi kakwambia wew alubino unatafuta uluma kwa watu
Shida unajiona unajua kila kitu ukipigwa spana unakimbilia kulia unanyanyapaliwa kaka, mimi hata sizingatii ualbino wako na judge hoja zako, kama za kweli sawa kama za hovyo nakosoa.
Mtenda husahau mana unaongoza kuzalau watu babu ile kauli ya zalau kwa magereza vuka siku moja kwa vyombo vile vingine viwili ili tuluone umwamba wako
Mbona ww ulitukana askar magereza na ukawakashfu mbele y jamii acha ufala shwain
Mambo ya Ualbino yanatoka wap tena
Acha sifa unasaidia watu halafu unatangaza ktk umaaa km umetowa msaadaa
KAMDOMO HAJI KAMDOMOOOOOO😂😂😂😂😂