@@ismailkunambi2264 Na wewe mjinga nani anamuoneya wivu mjinga sana wewe .Iti simba shusha nyegine waumiye zaidi .Shusha na wewe yako uwaumize watu siyo unamwambiya ashushe yeye na wewe yako iko wapi
@@leganmwambona3881 usinifananisha na uyo mushamba wenu.wa Tanzania wengi hamujatembea muoni gisi dunia inaenda kasi njomana munabaki hapo hapo mukizani dunia ni Tanzania. Mi si mushamba kama uyo takataka wenu wakubadanganya
@@julessebintu6525 ww mwenyew takataka vile vile Sawa ss watanzania washamba ww in mnani maana Kiswahili chako kimenyooka au unataka kuukataa uwasilia wako ??
@@asmajamani2967 mi si mutanzania lakini naipenda Tanzania. Uyo mushamba alikuja Montréal bikamushinda kuimba live. Alikiba akajaa akatupugia mziki wa kimataifa nikajuwa kwamba domo iko fake
Huyo ni msanii na wasanii asilimia kubwa ndo wapo hivyo hapo ni wao watangazaji kumfuata mbona watu kibao wana magari lkn why huyo mwandishi aone ya mond tu
We fala sio rose loysi kama unavyoitamka unadhan gari ya mpinga iyo tamka vyema rolly Royce kama jina la gari sijui umepataje kazi na unamfata msanii mkubwa ivyo
Acheni ujinga ni fake, 2021 roll royce hamna wala hiyo rangi hiyo, make sure if want to fool your nation by buying fake car atleast make sure its done properly. Just because davido bought roll royce cullan nawe nae ati umenunua, what you dont understand these ppl been in tbe game longer than you and beside they speak and sing in English as well
Acha ulimbukeni ww..RR fake unaitoa wp??Ulimuona nayo nani??hyo nike tu watu wa copy wakikukamata china ni issue sembuse RR...n about the colour u r too way wrong coz hata ukigoogle to utaona RR Cullin ya blue...na hiyo ni Black badge so its even the latest model of Cullinun RR...Do u even kno how many Pieces do the RR company produce a year???Ikiwa Land cruiser fake hamna hyo RR utaitoa wp?Tafuta pesa
Tena anastahili kupewa Hongera, kufanikiwa Sio lazima uwe Mwanasiasa fisadi, Mubaji wa kodi hela za wanachi wanyonge, kwa Sasa wanasias Mafisadi, wapiga Dili hawa Market wamepitwa na wakati, kwa Sasa ni wapambanaji kama Mfano wa Diamond Platnumz, nyota ya Tanzania na Africa, Hongera Diamond Mwana wa Africa, Mpambanaji, unakula na kufurahia Matunda ya Jasho lako
Mwache mungu aitwe Mungu.na anapombariki mtu hakina anaeweza kuzuia BARAKA zake zisimfikoe,iwe feki au og.kelele za nini? Ndio kashanunua kuna anaeugua? Mond! Fanya kinachokupa furaha hizo vuvuzela zitatafuta uwanja wakupigia kelele zao,
Watu bhna feki ww unayo kipindi ajulikan mulimuona makande muachenj aponde vyake maana kaxota xan ngendele nyinyi eti male yuko fremason nenda na ww mzee baba zidi kuxhuxha vitu
Listen hiyo tunzo si kama ndio mwisho wa dunia, kwani kupata ni majaaliwa, kukosa ndo kilimwengu iwapo hajaipata leo ataipata kesho lakini kinachotuudhi ,ni watanzania wenzetu kufurahia vile mtu wa nje kachukua tunzo hiyo ndio inamfanya chibu Léo afanye hayo yote si haki iwapo mtanzania mwenzetu Ana kwenda katika mshindano yakugombania chochote tusimame nyuma Yake tumeumia kweli kwa yaliyofanyika but hatuna budi
Mfalme hashindanii magari Ila tuwashindanishe kwa music mzuri ,we unajua anayatoa wapi je! kama mwenzio anahongwa huko majuu wewe una shindanishaje na mwingine kuhusu gari ,hata Lady Jaydee aliwahi kutamba na gari Kali kuliko wasanii woote bongo unashangaa hii na je!mfalme akija na helrcopter mtamshangilia?
Yani waswhili wakipata basi watajifnya mapozi mengi musiwe hivo sawa japo mnaendesha magari hayo lakini musiwaone wenzenu kama mavi musiwe hivo .Kama huyo diamond kujifungiya viyo utafikiri uko chumbani na mkeo sasa kama ulikuwa hutaki kuonana na watu basi ungetuliya nyumbani upike lakini umetoka usiwe na dharau kama hizo watu wanataka kuongeya na wewe unaleta nyodo .Lakini sishangai waswahili ndo mulivo mukipata makaliyo huliya mbwata .Usiwe na dharau huwo ni ujinga siyo peke yako ndo unapesa .Acha dharau . MJINGA MKUBWA.Unajiona kama almasi na wakati Ulikuw unaishi karibu na jaa la taka sahivi ndo unajiyona gold huwo ni ulimbukeni .👎🏿👎🏿👎🏿👎🏿👎🏿👎🏿
Mtangazaji kazi nzuri umefanya hakika diamond amekuona na huwa anapenda vijana kama wewe mtafutaji muhangaikaji atakuchukua
Simba fanya yako achana na hayo maneno ya wanao kuonea wivu shusha nyingine waumie zaidi
Nawashangaa sana wasanii wengine yaani hovyo sana kwnn hawapendi maendeleo ya wasanii wenzao!!
@@ismailkunambi2264 Na wewe mjinga nani anamuoneya wivu mjinga sana wewe .Iti simba shusha nyegine waumiye zaidi .Shusha na wewe yako uwaumize watu siyo unamwambiya ashushe yeye na wewe yako iko wapi
Mtangazaji yupo vzr sana.
Mashallah aliye pewa kapewa Mungu anampa amtakaye tena kwa wakati alompangia hongera sana Naseeb
Kbs
Hapo umenena maneno mazito tena ya ukweli 100%
@@mandelanelson7106 swadakta 🤝
Platnum Heshima Sana Kwako
Motivation and inspire nakubari ni kujituma tu kila kitu kinawezekana hongera zana Daimond platnumz
Mwenye jeuri Kama Simba ajitokeze nae watizi wako na kiwaru. Sn watu hawalali Leo watoe jasho simba myama
Tajiri mtoto wanyoooshe wakala manenomaneno haya sasa kazi kwao
Na wewe piya na nahisi kakonyoosha
Mimi ni mbishi lakini nimekubali huyo sio tajiri huyo ni fogo
@@emmanuelcharles8919 sadala amenunuw gari kubwa duu upande wapilibwanasemaaj
Dah!! Chibu umejua kututoa kimasomaso hongera baba kusema ukwel hata mm nKuonea wivu
Mungu ambarikiye atupe n'a Sisi ishaallah wakae hapo tu Hao wakichafua Yale ambayo hawatoweza kuyafikia
Siopo...??
@@afiqmohammad8495 what do you mean siopo
@@sakinaabdallah7713 ulitakiwa umaliziE HUU USEM I KWA KUSEMA SIOP0A..
@@afiqmohammad8495 ah ok Siku mind thanks you
I love you Diamond
Hilo jembe jamani Simba Simba haswa
Dah!!! Sifa za dunia endeleeni baba ..... From 🇲🇿
Aisee kizaz sana
Simbaaaa
Simbaa the boss
Maisha ni safari ishi upendavyo
nakukubali kaka
Niunyama
Anaesema feki ya kwake iko wapi??
Huyo anaengea yy ndiyo fek mpk mawazo akili zake zote fek baskel huna watakushindana na aliyenacho akili fek
Wakomeshe mond jmn mond hebu nitafute mie msma yako naumia vile ukiongelewa vby hujuii tuu
Tawala mwanangu jasho lako hiloo kila mwenye macho hai anaona
Midomo shuuuuuuu km ushuuuuuuu
Kweli dua la kuku halimpati mwewe kha
yani ndugu zetu majirani wetu tuna washanga sana mjazoea kuona vitu kama hiziwakati ni hali ya kawaida kwetu
Hatr
Mtaa kwa mtAa
Kamata midomo kamata pua kamata akili mbovu kamata wasojielewa kamataa wenye wivu kamataa mtakamatika tuu mwaka huuuu
Wape Salam zaO waambie wasiO mpendA kaja kivingine kabsA
Sahii enunua tinga tinga la kuboul
Nice
Big Boss
Tatizo foleni amfiki mbali iz ni za ulaya bongo sio
Mnawakomesha wale wambea wasiopenda maendeleo ya watu🤣🤣🤣😀
Anayesema kuna Rolls Royce deuk lazima apelekwe Mirembe akapimwe akili..
Kwa mfano angepata na ile tuzo mji ungakuaje kwa kweli watu wangelilala kweli.
Kama umemwona Mond kapiga Salute gonga like,,
Kuwa na bidii na kazi siyo majungu na wivu
Yupo wap mwijaku kimyaaaa
ushamba sanaaa
We ndo mshamba huna hela mwenye hela hajawah kua mshamba ila wew huna akil
@@leganmwambona3881 sijui kwann wasio na pesa wanakuwa na hasira kama wajawazito jmn
@@leganmwambona3881 usinifananisha na uyo mushamba wenu.wa Tanzania wengi hamujatembea muoni gisi dunia inaenda kasi njomana munabaki hapo hapo mukizani dunia ni Tanzania. Mi si mushamba kama uyo takataka wenu wakubadanganya
@@julessebintu6525 ww mwenyew takataka vile vile Sawa ss watanzania washamba ww in mnani maana Kiswahili chako kimenyooka au unataka kuukataa uwasilia wako ??
@@asmajamani2967 mi si mutanzania lakini naipenda Tanzania. Uyo mushamba alikuja Montréal bikamushinda kuimba live. Alikiba akajaa akatupugia mziki wa kimataifa nikajuwa kwamba domo iko fake
Kinyamwezi
Wewe ni mtangazaji au shabiki
Simba noma wataisoma hao
Niyeye ✔
Ghafla atokee mtu aipige mawe avunjevunje iyo wee mondi atakufa na huyo jamaa atakufa misiba 2
Mara paap Mwenye Boda kaichuna 😂😂😂😂
Hizo utaziacha hapa duniani ni bora umuombe mwenyezi mungu kwa wakati huu
Pambania maisha acha wivu na vijimaneno vyako vya mkosaji.tumekuja duniani tufurahie maisha tuondoke.
Mdomo nyumba ya maneno tuuu
Waau
kwawale wapigarangi zamagari yakifahari mnasemaje?
Mtangazaji unatangaza na raa kama ambae ni babako kanunua😂😂😂
Dah😂🙌
Nimupya naona mange anawivu namukumbari leo apana tusemekweri mange semakweri
jamani mond nisaidie
"Mswahili akipata kila mtu atajua" nimenukuu msemo wa wahenga. Hivi matajili wote ndivyo wanavyofanya hivi?
Huyo ni msanii na wasanii asilimia kubwa ndo wapo hivyo hapo ni wao watangazaji kumfuata mbona watu kibao wana magari lkn why huyo mwandishi aone ya mond tu
Mtumba
Dable nini vile
tunaika Bentley haraka sana
sio double L ni double R
Alikiba hapendi magali ahahahaaa
Gari fake ipoje matairi yamepasuka au sterlingwheel ipo Kati
We fala sio rose loysi kama unavyoitamka unadhan gari ya mpinga iyo tamka vyema rolly Royce kama jina la gari sijui umepataje kazi na unamfata msanii mkubwa ivyo
Kweri ni bilionea
Mose ebo ameniudh ameshindwa kumpa ushirikiano mtangazaji
Ame lipwa ndio aseme hivyo,gari hiyo ni feki
Mama yako no fiki
NONGWA MBAYA CHUPI ULIYO VAA IMETOBOKA
Kafunika watu kimyaa
Kkk pena desse cão a pobreza lhe mata esse caralho, uyu ni mshamba sisi wa Mozambique ninmwona kuwa mshamba tu ana shoshote
Double RR fala wewe sio LL
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huu ss ushamba, magari ni kawaida tu ila izo showoff niushamba
mitumba ya watoto wakifalme wa kiarabu Emirates bei zakutupa
Matako wewe, ukowapi ulonunua ww na wivu mbwa ww
Utajiri wote huo mzee abdul.anashida mpaka kopeni it's a big shame on you Mr rich indeed
Mzee Abdul kamfanya ndondocha
Acheni ujinga ni fake, 2021 roll royce hamna wala hiyo rangi hiyo, make sure if want to fool your nation by buying fake car atleast make sure its done properly. Just because davido bought roll royce cullan nawe nae ati umenunua, what you dont understand these ppl been in tbe game longer than you and beside they speak and sing in English as well
Acha ulimbukeni ww..RR fake unaitoa wp??Ulimuona nayo nani??hyo nike tu watu wa copy wakikukamata china ni issue sembuse RR...n about the colour u r too way wrong coz hata ukigoogle to utaona RR Cullin ya blue...na hiyo ni Black badge so its even the latest model of Cullinun RR...Do u even kno how many Pieces do the RR company produce a year???Ikiwa Land cruiser fake hamna hyo RR utaitoa wp?Tafuta pesa
Hahaha, mshamba wewe!!
Huyu msenge hela anayo🙆🙆,kijana wa kitanzania aliyefanikiwa kwa juhudi zake.
Tena anastahili kupewa Hongera, kufanikiwa Sio lazima uwe Mwanasiasa fisadi, Mubaji wa kodi hela za wanachi wanyonge, kwa Sasa wanasias Mafisadi, wapiga Dili hawa Market wamepitwa na wakati, kwa Sasa ni wapambanaji kama Mfano wa Diamond Platnumz, nyota ya Tanzania na Africa, Hongera Diamond Mwana wa Africa, Mpambanaji, unakula na kufurahia Matunda ya Jasho lako
Mpaka mseme kwann mlimuita sadala 😂😂😂😂
Hahahaha na kayagiza mengine ujue hahaha
Hawo wanaotaka kumchafua diamond kua Royce Yake ni Fake wambie wende geogle ni ya kweli kabisa
Aiseee mtangazaji Unapenda kazi yako,Mungu akubariki sana.Unaingia mtaani Exclusive unatuletea haijalishi umbali gan.pamoja sana
TZ simbaaa to akuna mwingine mungu akubariki wewe nunua feki sisi tuko nawewe simbaaa
Mwache mungu aitwe Mungu.na anapombariki mtu hakina anaeweza kuzuia BARAKA zake zisimfikoe,iwe feki au og.kelele za nini? Ndio kashanunua kuna anaeugua? Mond! Fanya kinachokupa furaha hizo vuvuzela zitatafuta uwanja wakupigia kelele zao,
Angekua mwengine na intewiew hamngefanya simba mtu mzuli
Ivi nikuel?🙂🔥🔥🔥🔥💣
Huyu Mwamba Diamond kajuwa kutu heshimisha Sana sisi watu weusi haya magar tulizoea kuona wana endesha waarabu big up Diamond
Watu bhna feki ww unayo kipindi ajulikan mulimuona makande muachenj aponde vyake maana kaxota xan ngendele nyinyi eti male yuko fremason nenda na ww mzee baba zidi kuxhuxha vitu
Kila kitu M/mungu hufanya kwa mipango yake
Kakufungia kiooo
Bila taarifa unakurupuka kuhoji alafu barabarani inategemea nini ingekuwa marekani unalipishwa fain unaleta hatar barabarani
👏👏👏👏🙌
Wambea watakunya kwawivu🤣
🚘🚘🚘💎💎💎
Oyoooi
Aisee mtangazaji uko sawa umetisha Sana duuh ongera sana
Jamaa anapenda masifa ya kijinga uyo. Daah !
Huwa yanaungua moto wakifa hayo shauli yenu
Kakufungia kioo maskini
Anaendesha gari
Kwa mfano angepata na ile tuzo mji ungakuaje kwa kweli watu wangelilala kweli.
Remember that is a car not sofas or furniture must stay in the house. Car=Road=Show Off. PERIOD
Listen hiyo tunzo si kama ndio mwisho wa dunia, kwani kupata ni majaaliwa, kukosa ndo kilimwengu iwapo hajaipata leo ataipata kesho lakini kinachotuudhi ,ni watanzania wenzetu kufurahia vile mtu wa nje kachukua tunzo hiyo ndio inamfanya chibu Léo afanye hayo yote si haki iwapo mtanzania mwenzetu Ana kwenda katika mshindano yakugombania chochote tusimame nyuma Yake tumeumia kweli kwa yaliyofanyika but hatuna budi
Cheki youtube yc mbeya kicheche
Akuna kama wewe mnyama 👋👋👋👋🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Rangi yake tu ndio sjaelewa
Mtangazaji unatangaz na hujui tofauti kati YA double R na L,,Sema suu
Atazikwa nazo au
Ushamba huoooooo
Mbona simsikii @Allikiba akitoa jina jingine kwa Simba.
Mfalme hashindanii magari Ila tuwashindanishe kwa music mzuri ,we unajua anayatoa wapi je! kama mwenzio anahongwa huko majuu wewe una shindanishaje na mwingine kuhusu gari ,hata Lady Jaydee aliwahi kutamba na gari Kali kuliko wasanii woote bongo unashangaa hii na je!mfalme akija na helrcopter mtamshangilia?
@@yohanaikaya6218 mziki mzuri ni ule unaofika mahala usika ..xaxa kati ya mziki wa kiba na mziki wa Simba upi upo juu ya mwenzake ?...
@@selemanichiga5828 simba anatisha kwa kila kitu
Bless
watz washamba WA magari aiseee..duh..🤔🤔
Umeona eeh huku Los angels magali kama baskeli kuna zaidi ya hilo hatu shangai wala nini
Mwisho utaanguka
Yani waswhili wakipata basi watajifnya mapozi mengi musiwe hivo sawa japo mnaendesha magari hayo lakini musiwaone wenzenu kama mavi musiwe hivo .Kama huyo diamond kujifungiya viyo utafikiri uko chumbani na mkeo sasa kama ulikuwa hutaki kuonana na watu basi ungetuliya nyumbani upike lakini umetoka usiwe na dharau kama hizo watu wanataka kuongeya na wewe unaleta nyodo .Lakini sishangai waswahili ndo mulivo mukipata makaliyo huliya mbwata .Usiwe na dharau huwo ni ujinga siyo peke yako ndo unapesa .Acha dharau . MJINGA MKUBWA.Unajiona kama almasi na wakati Ulikuw unaishi karibu na jaa la taka sahivi ndo unajiyona gold huwo ni ulimbukeni .👎🏿👎🏿👎🏿👎🏿👎🏿👎🏿
👿
Me napita tu mzee
@@Moon-rp5tm Aha samahani sijajuwa .My friend 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Wabongo wacheni ushamba na kujionesha gali gn iyo ya kukufanyeni mchanganikiwe