VIDEO: AROBAINI YA MTOTO WA MARIOO NA PAULA, KAJALA NA MAMA MARIOO KWA PAMOJA WAMSOMEA DUA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 164

  • @mohamedmahmudali9346
    @mohamedmahmudali9346 3 หลายเดือนก่อน +12

    Mtihani mtupu hapa , ukosefu wa kuijua dini na kuhafilika na matamanio ya Ulimwengu,inapelekea watu kuishi kama vile mbuzi aliekata kamba eti hela inaongea , wenye uwelewa wameshaelews,zaidi ninani atamfata mwenziwe kwenye dini yake ? COME back to Allah💪

  • @OmanOman-ru4eu
    @OmanOman-ru4eu 3 หลายเดือนก่อน +4

    Wamependeza sana mashaallah

  • @yfhff5268
    @yfhff5268 3 หลายเดือนก่อน +4

    Huyo mama marioo kama haruhusiwi kumshika mtoto

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn 3 หลายเดือนก่อน

    Mario. Mtu. Wa wapi. Yani. Mkoa gani

  • @khadija5761
    @khadija5761 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wa sita

  • @BerthaKihanga-qd5hy
    @BerthaKihanga-qd5hy 3 หลายเดือนก่อน

    So

  • @ShamsaOmary-l9g
    @ShamsaOmary-l9g 3 หลายเดือนก่อน +9

    Punguzeni ukali wa maneno...mtoto ametimiza cku 40 tangu azaliwe anatolewa nje inasomwa dua mtoto anapata baraka zake..watu wanajitoa ufahamu hayo wakati uko mtaani hayo mambo tunafanya sana na tukialikwa tunaenda lakin umu mtandaoni kla mtu sheikh kazi kukosoa ya watu

    • @Ashuzuberi
      @Ashuzuberi 3 หลายเดือนก่อน

      Waaambie chuki tu zinawasumbua, utazan wao wamekamilika Kila kitu😂😂😂

    • @NaifinMohamed
      @NaifinMohamed 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe unasema 40 mtoto akifikisha siku7anatakiwa afanyiwe hakika na ikiwa wakike mbuzi 1 aanachinjwa na kutolewa sadaka mifupa yake inafukiwa na nywele zake sinanyolewa na kupiwa halafu zinatolewa pesa Kwa mujibu wa kipimo chake na akiwa wakiume ni mbuzi wa2 nayo mifupa hairuhusiwi kuvunjwa I nn afukiwa hivo ndio dini inavosema na sote watoto wetu tumewafanyia na ikiwa imefikia arubaini kama mwenyewe unataka kumtoa unamtoa Kwa Dua khalas

    • @alhamdhulillahyaallah4013
      @alhamdhulillahyaallah4013 3 หลายเดือนก่อน

      Nenda kasome dini wewe sikujiongelea ovyo tu...nani kakwambia Kuna arubaini wala sitini?hebu kasome usipotoshe wasiojua kama wewe

  • @MoniraAbuu
    @MoniraAbuu 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mashaallah yani apo wangefunga ndoa kabisa ingependeza zaidi Allah awafanyie wepesi watimize jambo la heri❤❤

  • @BonifaceMasolwa
    @BonifaceMasolwa 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona Paulababa mtoto hayupo hapo mmependezen na mond km ndio baba shuhuli 😂😂😂😂😂

  • @bintyk5149
    @bintyk5149 3 หลายเดือนก่อน +22

    Mama ake omy kama hajawahai kumuona mjukuu wake anamuangalia kwa kuibia😢

    • @GraceMarine-vo9hu
      @GraceMarine-vo9hu 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huyo ndo alikuwa anamfanyisha mazoezi yakutembea Paula kama hujui

  • @barbiepixie92
    @barbiepixie92 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi nyie mnaoulizia ndoa nyie mnazo? hebu mtupishe

  • @ghhyhh7591
    @ghhyhh7591 3 หลายเดือนก่อน +39

    Huyu alosema km 40 maana tunajua amefariki nakujib km ulizaliwa 40 ipo na ukifa 40 ipo kwa ss waislam cjui wengin

    • @Nihadshighadi
      @Nihadshighadi 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mbona wamesema 40 sio kiislam

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 3 หลายเดือนก่อน +12

      ​@@Nihadshighadisio kiislam na wakati siku ya 40 ndo damu ya uzazi ya mama inakata anatakiwa ajisafishe ili kuendelea na ibada zingine kwnye ukristo mnayajua hayo

    • @MamyHamso
      @MamyHamso 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@fettiemaganza1484sikubaliani na ww kabisa mia fil mia damu ya uzazi wengi ni wk 2 ikizidi inategemea na pindi damu zikiacha kutoka unapaswa kujinadhifisha ndio wuanze ibada kama kawaida

    • @africa7479
      @africa7479 3 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@Nihadshighadikatika uisilamu hakina arubain tofauti na hapo mtoe dalili sio kusema tu hakuna arubaini msibani wala uzazini

    • @Nihadshighadi
      @Nihadshighadi 3 หลายเดือนก่อน

      @@africa7479 yani ww na huyo mwenzako hapo ju hamjulikani mnaeleza ama sijui makasiriko ya nn

  • @abuu-bakarshaaban6246
    @abuu-bakarshaaban6246 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mayahudi(Wana ezrail) walisema hawatatuacha hadi tufate Mila zao ndio hizi sasa

    • @RayanDai-fr7ks
      @RayanDai-fr7ks 3 หลายเดือนก่อน +1

      Swadacta

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 3 หลายเดือนก่อน

      Waisrael wanawapa joto sana ,siku hizi hata mkishindwa kuwaridhisha wake zenu , Israel kahusika😂😂😂

  • @HalimaYussuph
    @HalimaYussuph 2 หลายเดือนก่อน

    siku mkiyachana yani sijuhi niseme nini

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mama mkwe mbona anaogapa kumwamngilia mtoto anaon kaingia ukoo wa maneno kajala muonyeshe vizuri mtoto mama w omari

    • @sisifaty9183
      @sisifaty9183 3 หลายเดือนก่อน

      Umesema kweli kama vile ushirikiano mdogo kama kuna kitu

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 3 หลายเดือนก่อน +6

    Nimefurahi kumuona mama Marioo.

    • @ASHAKHAMISMUSSA
      @ASHAKHAMISMUSSA 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yaani ! Wambea wamezibwa mdomo

  • @sadakombo2048
    @sadakombo2048 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe mama wa mariyo bado kichanga kabisa

  • @naomymuro2199
    @naomymuro2199 3 หลายเดือนก่อน +1

    Leo kajala kavaa nguo ya kumstri nahis anaona mwl unamuwasha kabs anataman avue zote 😅

  • @Milanorock
    @Milanorock หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉mashallah

  • @salmasalam3268
    @salmasalam3268 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ako katoto keusi sana kama bibi kizaa baba😂mkono nimeuon bas apo rkn kaatapigwa Snapchat mpkatuisi kazungu kumbe black

    • @Nihadshighadi
      @Nihadshighadi 3 หลายเดือนก่อน

      Kwan babake mzungu?

    • @HappyMtondi
      @HappyMtondi 3 หลายเดือนก่อน

      ndo hapo xax bab ake sio mzung😢😢😢😢😢

    • @barbiepixie92
      @barbiepixie92 3 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo unamaanisha watu weusi no wabaya au hebu acha ulimbukeni

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mario ana amaniiii anampenda saaana paula

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hy sio 40 ni sherehe kchwa wazi ndio nn ss

  • @أبوفيصل-د3ش
    @أبوفيصل-د3ش 3 หลายเดือนก่อน +3

    Uislam Hauna Arobaini.Hizo ni Mila za Kifirauni ktk Nchi ya Misri.

    • @AishaNgoyi-vi2ku
      @AishaNgoyi-vi2ku 3 หลายเดือนก่อน

      Hawa Malaya wapo kzn Mario utachunw mpaka utaukimbia mji

    • @NaaPius-kl2wh
      @NaaPius-kl2wh 3 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@AishaNgoyi-vi2kuwivu mbaya sana mwanamke unamuita mwanamke mwenzio malaya kwel jmn wakat wew Kuna jemba inakupanua miguu na unamuomba Hela vp wew haumchuni mwanamke kuwa na kauli ya stara

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 wenzio wanapiga hella kila katukio mbona warabu hawafanyi na ndo wenye dini

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@dorcaskidoti249arobaine hufanywa acha uongo wangu siku ya 40 ndo alitahiiriwa

    • @Boshbriz3344
      @Boshbriz3344 3 หลายเดือนก่อน

      ​@Aish😂😂😂aNgoyi-vi2ku

  • @ASHAKHAMISMUSSA
    @ASHAKHAMISMUSSA 3 หลายเดือนก่อน +4

    Jaivah amebadilika aiseee😅😅😅😅😅

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 3 หลายเดือนก่อน

    Naombeni kufafanuliwa 40 Ni nn?! Mtoto kufikisha mwezi tanguvazaliwe au Nini??

  • @BJM-j2t
    @BJM-j2t 3 หลายเดือนก่อน +1

    Niulize wali funga ndoa hawa

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 หลายเดือนก่อน

    Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 หลายเดือนก่อน

    Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 หลายเดือนก่อน

    Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 หลายเดือนก่อน

    Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 หลายเดือนก่อน

    Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 หลายเดือนก่อน

    Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 หลายเดือนก่อน

    Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 หลายเดือนก่อน

    Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 3 หลายเดือนก่อน

    Ujinga tuuuu.utapeliii.,..mapenzi hajui...kiuno kigumu

  • @GoodWoow
    @GoodWoow 3 หลายเดือนก่อน

    Jmn binadamu tunashida wivu ndo tumejaza kwenye mioyo yetu kipi kibaya kimefanyika hapo

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 3 หลายเดือนก่อน +2

    Dua inasomwa kichwa wazi Subhannallah 😢. Haya hatimae mama wa Marioo aonekana sasa

    • @husnaabubakar7144
      @husnaabubakar7144 3 หลายเดือนก่อน

      Si ameva buibui na mtandio wa Black alafu akabadilisha

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 3 หลายเดือนก่อน

      @@husnaabubakar7144 Kwahy hapo sio muda wa dua? Km sio muda wa dua sawa

  • @IbrahimOmar-tu5tc
    @IbrahimOmar-tu5tc 3 หลายเดือนก่อน

    Ona mlivo vaa mavaz ya dini sahih ya uislam mlivopendeza

  • @Rinnickbenard
    @Rinnickbenard 3 หลายเดือนก่อน +1

    hongereni sana mungu awatunze

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 หลายเดือนก่อน

    Kajala yeye ndo mama wamarioo maana yeye ndoànanekana Yuko bize bize

  • @OmanOman-fr5hl
    @OmanOman-fr5hl 3 หลายเดือนก่อน

    40 ya wazinizi lanatullahi alykum

  • @samhasuleiman7673
    @samhasuleiman7673 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mmemuona Amara Anchzea face ya dady ake ❤

  • @Sabina_Thomas
    @Sabina_Thomas 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera Dana mdogo Angu Paula mungu awatunze

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 หลายเดือนก่อน +1

    Marioo uweke akili sawa au utakuta huna hata pesa ya kula hoa wanapenda mahali pawe na pesa huoni rayvanny al8shiyuka katoka japonica alilimlipia ada ya shule na duka akafungua kudaiwa tena ada ya shule akaona hapa mm analipa ada mtu yupi na mungine na wewe kaa mkao w kuliwa na mshenga mwenywe ni j lokole

    • @Gersah
      @Gersah 3 หลายเดือนก่อน +3

      Acha makasariko

    • @Nihadshighadi
      @Nihadshighadi 3 หลายเดือนก่อน +1

      Bado hujasema

    • @ASHAKHAMISMUSSA
      @ASHAKHAMISMUSSA 3 หลายเดือนก่อน

      Hakuna asiependa helaa wewe mwenyewe ukipewa utazitupa?😮😮😮

  • @Nadraalimwalim
    @Nadraalimwalim 3 หลายเดือนก่อน

    Waowane Tena wapate watoto wa halali,maana Kama baba wa mtoto ni muislamu basi si mtoto wake na hafai kujinasibisha nae,ni mtoto wa nje,anapaswa kumuhudumia lakin hawez kumrithi so etlist wakioana atakuwa na nafasi ya baba wa kambo,ni vile tu tunayaendesh maisha kidunia na sio kidini

    • @MYME-u5d
      @MYME-u5d 3 หลายเดือนก่อน

      Swadactaaaa umeongea kweli kabisaaa

  • @Mariam-pe6ow
    @Mariam-pe6ow 3 หลายเดือนก่อน

    Minaona wanache kexha2 Dunia 😅ahaaaaa

  • @doricemwakasengo1167
    @doricemwakasengo1167 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mm wa nne😂😂

  • @Mariam-pe6ow
    @Mariam-pe6ow 3 หลายเดือนก่อน

    Minaona wanache kexha2 Dunia 😅

  • @MSELLEMSWELUMYAHYA
    @MSELLEMSWELUMYAHYA 3 หลายเดือนก่อน

    Oya dogo km n kweli muowe wcha uwoga

  • @JumaMpwimbwi-oi4fz
    @JumaMpwimbwi-oi4fz 3 หลายเดือนก่อน

    Acheni kuchipua mamb wabongo wapeni maua yao na mpite na yenu 😊

  • @PetroagustinoMgina
    @PetroagustinoMgina 3 หลายเดือนก่อน +2

    🎉🎉hongera Mario kwa kupata jiko zuri lakin muoane huoni wa2wanapenda maneno mengi 2 ukifa auwoz 😅😅😅 wooooh Mario and paula❤❤❤❤

  • @SuleimanAbdallah-jb6sx
    @SuleimanAbdallah-jb6sx 3 หลายเดือนก่อน

    Hawajaowana. Nafahamu wote ni waislamu.. Nauliza u _ jee mtoto nje ya ndoa huitwaje. ? Na anaweza rithi ?

  • @arafakhamis3336
    @arafakhamis3336 3 หลายเดือนก่อน

    Mtihani dual kusomwa kichwa waz

  • @RockstarKitanga
    @RockstarKitanga 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wasitaa😂

  • @CandidaTemba-up5yj
    @CandidaTemba-up5yj 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ooo this is so nice God bless them forever❤❤🥰😍

  • @arafakhamis3336
    @arafakhamis3336 3 หลายเดือนก่อน

    Mtihani dual kusomwa kichwa waz

  • @keyla3641
    @keyla3641 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona km paula hamumfungi tumbo

  • @RoseMadatta
    @RoseMadatta 3 หลายเดือนก่อน

    Anae onekana și amala amala bado anafinywa agalieni anavyo funikwa ❤❤❤❤❤

  • @maryamathman8917
    @maryamathman8917 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wa tano🎉😂😂😂😂

    • @estermongela8733
      @estermongela8733 3 หลายเดือนก่อน

      Lazima marioo afate nyayo za baba mkwe wake kuishia kulea mtoto nahiv nayy ni wakike yaani milemule maji hufuata mkondo

  • @abuu-bakarshaaban6246
    @abuu-bakarshaaban6246 3 หลายเดือนก่อน +3

    Aroubaini ya mtoto wa nje ya ndoa halafu eti Jina la baba Ni muislam na mama mkiristo Hakuna hiko kitu kwenye Dini yetu Hao wote Ni wazinifu na huyo mtoto Ni koba tu

    • @MvuviJuma
      @MvuviJuma 3 หลายเดือนก่อน

      Ucmtie mtt dhamb n za wazaz wake

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 3 หลายเดือนก่อน

      Na wewe ni Koba mbona tunakufahamu vzr

    • @Nadraalimwalim
      @Nadraalimwalim 3 หลายเดือนก่อน

      Hamjamuelewa tu ijapokuwa ametumia neno sio zuri la kumuita mtoto koba,mtoto Hana kosa,makosa ni ya wazazi wake

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 3 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤

  • @fahymamsangi7303
    @fahymamsangi7303 3 หลายเดือนก่อน +9

    Wakwanza leo nipewe maua yangu😂❤❤

  • @HellenaMissana
    @HellenaMissana 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaalla❤❤

  • @annamussa185
    @annamussa185 3 หลายเดือนก่อน

    Uchafu tu

  • @anjelagwasma
    @anjelagwasma 3 หลายเดือนก่อน

    Hata celewi

  • @pendoseleman9069
    @pendoseleman9069 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi wa nane😅

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 3 หลายเดือนก่อน

      wa kumi hapa nimetuliaaa😂😂😂😂

  • @PitaMwinuka-o6k
    @PitaMwinuka-o6k 2 หลายเดือนก่อน

    Hongeren

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah ❤

  • @Pemba680
    @Pemba680 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sisi waislamu tunajuwa 40 anafanyiwa mtu aliekufa

    • @NoelaSumari-ww9lo
      @NoelaSumari-ww9lo 3 หลายเดือนก่อน

      Ww muislamu wa wapi
      Mbona mm mkristo na najua kuna arobaini ya kuzaliwa na dua inasomwa na pilau tunakula

    • @zahrazahraa3485
      @zahrazahraa3485 3 หลายเดือนก่อน

      Ww n mwesilam wa wp kwani hujuwi mtoto wakiisilam anapo zaliwa n anapokufa nilazima afanyiwe 40 au ww wa wp

    • @Pemba680
      @Pemba680 3 หลายเดือนก่อน

      @@NoelaSumari-ww9lo ww kafiri kaa kmya ya upande huu ww hayakuhusu hivyo ata niongee vpi kamwe huwez kunielewa

    • @Pemba680
      @Pemba680 3 หลายเดือนก่อน

      @@zahrazahraa3485 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣maiti iyo,alie hai hasomewi 40

    • @victoriamatei7757
      @victoriamatei7757 3 หลายเดือนก่อน

      Noo pia ya kuzaliwa we vipi

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi napita tu

  • @RamadhaniIbrahim-ed8xr
    @RamadhaniIbrahim-ed8xr 3 หลายเดือนก่อน

    Jamn simlitangaza mtt amefarik kumbe yup Hay asante mng napenda sana wtt mung atampa maisha marefu inshaalla

  • @Msafirimakini
    @Msafirimakini 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sawa

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque5335 3 หลายเดือนก่อน

    Karibu amarah

  • @TatuSeleman-zm1hn
    @TatuSeleman-zm1hn 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wakumi

  • @Zuuh4286
    @Zuuh4286 3 หลายเดือนก่อน

    𝗠𝗮𝘀𝗵𝗮𝗮𝗔𝗹𝗹𝗮𝗵❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi jina la mtoto ni Amarah au ni Amalah

    • @khadijaamur6032
      @khadijaamur6032 3 หลายเดือนก่อน

      Kama Nerson na Nelson

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa hapa lipi sahihi😂😂😂😂

  • @NadiaNdayisaba-k8c
    @NadiaNdayisaba-k8c 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 3 หลายเดือนก่อน +1

    Baada ya hapo mario ataachwa atakuwa nahudumia mtoto tu

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 3 หลายเดือนก่อน

      Why aachwe😂😂

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw 3 หลายเดือนก่อน

      @@aminakipande5645 wewe si maji yanafuata mkondo mama ake WA Paula ilikuwa VP??

    • @Nihadshighadi
      @Nihadshighadi 3 หลายเดือนก่อน

      Ww unajua kesho yao,yko waijua

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw 3 หลายเดือนก่อน

      @@Nihadshighadi ndio najua Mimi

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@GeorgeChitemo-kt8sw mnh hebu ngoja tuone mwisho wa huu mchezo lkn km kweli wanapendana wanaweza fika mbali

  • @SalmaSalma-e8g4k
    @SalmaSalma-e8g4k 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @hassanramadhani1122
    @hassanramadhani1122 3 หลายเดือนก่อน +1

    😊

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 3 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wajinga wote kama kweli alobaini mbona mashekhe hawapo pumbafu zenu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 3 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉❤❤❤

  • @BerthaKihanga-qd5hy
    @BerthaKihanga-qd5hy 3 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @saumukiduma
    @saumukiduma 3 หลายเดือนก่อน

    Maashallah

  • @GeorgeJusto-y4v
    @GeorgeJusto-y4v 3 หลายเดือนก่อน

    Mnajua maana ya 40 kwamba alifariki au

    • @Nihadshighadi
      @Nihadshighadi 3 หลายเดือนก่อน

      Ukizaliwa kuna 40 na ukifika vile vile

  • @MwanaHussein-s2n
    @MwanaHussein-s2n 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mama kavaa hereni pia kapendeza mashaa Allah ❤.. Baba nae kavaa hereni na kipini juuu😢😢

  • @RayChausa
    @RayChausa 3 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂Wa mwisho wenu mm hapa...ma sha Allah❤❤❤❤

  • @stivmabando5661
    @stivmabando5661 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hatari sana