Mtanzania awazungumzia wapinzani wa Yanga, CBE ya Ethiopia
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Mtangazaji @katangaommy yupo nje ya dimba la Abebe Bikila Addis Ababa Ethiopia, akizungumza na Mtanzania aishie huko kuhusu ukubwa wa klabu ya soka ya CBE SA ambayo inamilikiwa na benki ambayo ina jengo refu kuliko yote katika taifa hilo.
Yanga watakuwa dimbani saa 9:00 alasiri dhidi ya CBE SA katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
#CAFCL #Yanga
Ahsante Mungu wetu ,tunaendelea kukushukuru kwa sababu WEWE ndiye ushindi na furaha yetu. Tenda kilicho chema nasi tuendelee kukushukuru kama jana leo na hata milele. Amina
Amina atatenda
@@petermanala6138 Peter ,Huku Tayari Mungu amesha tenda. Amina
All da best my favourite team
Tx ni yetu
Kwa uwezo wa mungu tutashinda
Amen
@@CasianCasian-v4e Na kwa uwezo wake tumeshinda kweli na tumshangilue. Amina.
Fazili Asante kwauzalendo
Tz ni yetu
Salam no🙏
Talifa kuhusu mchezo wa leo ya CBE dhidi YANGA 9 alasili
MECHI INAONYESHWA CHANNEL GANI?
Mpenja TV
Plz jamn yanga inacheza saa ngp
Nenda google andika CBE vs Yanga, utapata muda.
Saa 9 mchana 6:54
Hutaki maswali 😂@@johnnyambuya8671
Saa TISA za tanzania
Saa9