Mama weeeeee!! SUALA LA AZIZ KI MZEE WA JAMBIA ANASIRI YA WAKALA KAMPENYEZEA!! KIMENUKA JANGWANI

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 29

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 16 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu oruma hana network hohoho jina lake nikama maneno yake yanatia huruma hohoho

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 17 วันที่ผ่านมา +2

    60/40

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 17 วันที่ผ่านมา

    Huyo wakala akimpa taarifa huyo oruma atakuwa chizi anaakili kama ya oruma😂😂😂😂

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 17 วันที่ผ่านมา

    Eti wakala ametafutwa cheusi mandala wa efm radio hongera mzee wa jambi ila azizi ataondoka yanga ataiacha wee na wenzio endeleeni kudanganya

  • @jacksonmillengo1913
    @jacksonmillengo1913 16 วันที่ผ่านมา

    Iko hivi simple sana Aziz kasaini lkn Soka ni biashara ameshakuwa mali ya Yanga isipokuwa wenye fedha wakiendelea kumtamani wanunue Mkataba kwa mkwanja mrefu zaidi wa kusaidia kileta vyuma vingine Bora zaidi na vyenye maisha marefu eleweni hivi

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 17 วันที่ผ่านมา

    Huyo aliyeongea ni msemaji wa Yanga??uchambuzi uchwara tu

  • @msemakweli...
    @msemakweli... 17 วันที่ผ่านมา

    "Nimemtafuta wakala wa Aziz Ki nikachati nae". Lugha yenyewe hujui ila umeweza kumpata na kuchati nae Mashabiki wa mikia ni waongo sana😅. Ila Hersi kaishika nchi pabaya kwenye upande wa soka😅😅😅😅😅😅

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu 17 วันที่ผ่านมา +1

    Wapunguzen presha utopolo"wasije wakafaaaa

    • @msemakweli...
      @msemakweli... 17 วันที่ผ่านมา

      Uko sahihi maana utopolo wa mo dewji watakufa kwa pressure wakigundua kumbe Aziz Ki bado yupo😅😅😅

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 17 วันที่ผ่านมา

    Kolo lololooooohao

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 17 วันที่ผ่านมา

    Hiki ni kikundi Cha kolo FC 😂😂😂

  • @HassanZiroy
    @HassanZiroy 17 วันที่ผ่านมา

    Uyo boko hana akili alafu anachobisha mimi skielewi kwakifup kwaluga laisi aziz hana mkataba pale yanga

  • @AzizMangara
    @AzizMangara 17 วันที่ผ่านมา

    Mkataba umeisha, ila Kuna mapenzi na PESA, Aziz ki ananipa Heshima Yanga, wamuengezee PESA, ila Yanga PESA sijui Awana!!! Sasa akienda kwenye PESA msimchukie, ingekuwa mwingine mbaka Leo angisha sepa, sasa Yanga mmepewa Heshima na ki. Siku aliziwapa Yanga msipo mpa Ela kumuongezea. Anasepa huyo.

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 17 วันที่ผ่านมา

    Hatuuzi silaha wakati tupo vita ni

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 17 วันที่ผ่านมา

    HAO WOTE NI WAONGO SANA. KWANN MNADANGANYA? HIZO ZAMA ZILISHAPITA NA WAKATI. KWANN UNAKUWA MWONGO?MARA AMESAINI MARA HAJASAINI HIYO NDY NN?ACHENI UTOTO WENU.

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 17 วันที่ผ่านมา

    Hapo nimekuelewa

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 17 วันที่ผ่านมา

    Tulieni sindano iwaingie hamjaona usajili yanga hawajatangaza mnaongea pumba
    Hizo za ndani ni zakwenu nyie kolo FC😂😂😂

  • @mohamedguveti5372
    @mohamedguveti5372 17 วันที่ผ่านมา

    Umbea kwisha sasa

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 17 วันที่ผ่านมา

    Azizi Ki ni Mali ya Yanga

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 17 วันที่ผ่านมา

    Hiyo ni tension injinia anaandaa ili kumpandisha thaman azizi, azizi kaisha saini muda tu ila maelezo ya injinia yatafanya azizi atafutwe na timu nyingi sana kibinafsi hii itafanya injinia aonekane bora kwa kumzuia azizi, kumbe alishazuiwa. Na kaipata hii kiki baada ya kuona moh dewji kamtaka akaona mmmmmmmh! Hii mbona kama kiki tam.

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 17 วันที่ผ่านมา

      Kuna mambo mawili hapa unachanganya weka tafakuri yako sawa Ukisha mzuia mchezaji maana yake umesha mfunga sasa na ukisha mfunga anae mtaka aje kwako kwa dau unalo taka wewe (Unaringa) hapo unakua hauja mpandisha thamani watu wataogopa kuja kwa sababu ya dau. Lakini hili la pili wasomi hua wanaongea na kuweka akiba jifunze hili ktk mazungumzo ya Engineer ametaja vilabu vikubwa vinavyo mtaka akavitaja kwa majina lkn hukumsikia akimtaja Mo dewj anamtaka hapo angeitaja Simba lkn hakuitaja. Wewe unapata wapi ujasiri wa kuidanganya akili yako Engineer baada kumsikia MO anamtaka. Kaitafutia kiki. Acheni kukurupuka.

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 17 วันที่ผ่านมา

    UNAELEWA MAANA YA 60/40?AZIZI KII AMESAINI YANGA ASILIMIA 60+40=100

  • @issayaibrahim8490
    @issayaibrahim8490 17 วันที่ผ่านมา

    Oruma wewe unamuuliza wakala wa azizi kama nani acha kuifata yanga kaa na simba yako

  • @HassanZiroy
    @HassanZiroy 17 วันที่ผ่านมา

    Mbona hueleweki bloo azizi hana mkataba mkataba umeisha

    • @msemakweli...
      @msemakweli... 17 วันที่ผ่านมา

      Mkataba upi ulioisha au walisaini mkataba wa wiki 2?😅😅😅😅😅

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 17 วันที่ผ่านมา

    Oruma hata wakala wa azizi humfaham acha uongo !!

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 17 วันที่ผ่านมา

      Ndio maana tunasema hiki kikundi cha hii redio ni wahuni TU 😂😂😂😂 wanaumia kweli nakutowa uongo

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 17 วันที่ผ่านมา

      Nyie hamjaona usajili tulieni sindano iwaingie😂😂😂

  • @msafirimhagama6445
    @msafirimhagama6445 16 วันที่ผ่านมา

    Katika mchambuzi mku.. u ambaye simkubali ni huyu msenge oruma sura ngumu kama govi la punda