Muandishi umeongea uhalisia wa Ndugu wakubwa ambao wanajitoa kwa wadogo zao kipindi icho huna kitu yani ukiwa mkubwa alafu uwe hauna pesa dharau,masimango na dharau na kusemwa pia kwa mwanaume au wanaume au wake za wadogo zetu....yani kama ujawai pitia hiyo changamoto ni ngumu kuelewa utaona kama ni simulizi ila wengi wanapitia kilochoandikwa na kusimuliwa😢😢😢tujitoe kwa mipaka ili kueka akiba ya kesho incase lolote litokee😊😊Much love from kenya Mombasa
Daah nizuli sana hii simulizi inamafunsisho mengi na matamu ya kusisimua MashaAllah ❤❤, 🇴🇲🇴🇲 kweli nimeamini rafiki ni mama ako mzazi atandugu nae awaminiki
Asante sana kwa simulizi yenye u kaguo nzuri na uchungu pia ila kila anae nyenyekea na kutendea wengine wema yeye ndie huumizwa na aliwo watendea wema haijali ndugu yako wala asie kuwa ndugu yako maranyingi wa rudisha mabaya
@@Aishwaraimasiennah yalianza zamani juu Nabii yusuf kauzwa na nduguze wa damu katiwa kisimani na nduguze wa damu sasa letu nikiishi kwa tahadhari juu jamii inatuzunguka haitutakii wala kufurahia mema na neema zetu
Ila ww dada ni maharage ya mbea, watu wanakaa hata miaka 10 bila mume, ww ni kila mwanaume unampea tu, unafanya mtoto anarepiwa shenzi kabisa, kwani haewezi kukituliza na watoto uko nao😏😏
Muandishi umeongea uhalisia wa Ndugu wakubwa ambao wanajitoa kwa wadogo zao kipindi icho huna kitu yani ukiwa mkubwa alafu uwe hauna pesa dharau,masimango na dharau na kusemwa pia kwa mwanaume au wanaume au wake za wadogo zetu....yani kama ujawai pitia hiyo changamoto ni ngumu kuelewa utaona kama ni simulizi ila wengi wanapitia kilochoandikwa na kusimuliwa😢😢😢tujitoe kwa mipaka ili kueka akiba ya kesho incase lolote litokee😊😊Much love from kenya Mombasa
Asante sana Victotia kwa usimuliaji makini wa hadithi yenye mafunzo mengi ♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹👋💃
Daah nizuli sana hii simulizi inamafunsisho mengi na matamu ya kusisimua MashaAllah ❤❤, 🇴🇲🇴🇲 kweli nimeamini rafiki ni mama ako mzazi atandugu nae awaminiki
Nuria mjinga sna saw saw na helen tu huruma zke zinampnza ungeuliwa ww ndo ungekuwa kma ndugu yko ndo mbaya jinga sna ww unaacha kumsikiliz mwnmme aliyekupa maisha unaenda kuamin kma mdogo wko ndo kaonew mpka mtt wko anabakwa kwa ujinga wko
❤❤❤ honger sana nuria mungu akulindeee
Simulizi ina funzo kubwa san kuhusu undugu . Asante sana ❤
Hizi ndio simulizi zknazofaa katika .jamii..nimejifunza mengi sana ee mola niajalie moyo wa msamaha kama wa Nuria na .....
Simulizi tamu ina mafunzo mazuri mashaallaah
MashaAllah nzur Sana nimeipenda
Marshallah simulizi kama movie hivi.
Story nzuri na inamafunzo
Pole sana Nuria
Ee Mwenyezi Mungu nipe moyo kama wa Nuria,moyo wa dhahabu wakusamehe🙏
Jamn nimekuwa wa kumi na Tano like zangu
❤❤❤🎉
Nuria ww nikiwembe sana zoazoa kbs😮
Asante sana kwa simulizi yenye u kaguo nzuri na uchungu pia ila kila anae nyenyekea na kutendea wengine wema yeye ndie huumizwa na aliwo watendea wema haijali ndugu yako wala asie kuwa ndugu yako maranyingi wa rudisha mabaya
Hatari
Yaani siku hizi hakuna cha damu nzito kuliko maji juu wasiohusiana nask kwa damu ndio wanaotustiri kuliko ndugu wa damu
@@MwanatumuJumaa-rj4fg damu sikuhizi si nzito nikama ilitiwa maji🤣🤣
@@Aishwaraimasiennah yalianza zamani juu Nabii yusuf kauzwa na nduguze wa damu katiwa kisimani na nduguze wa damu sasa letu nikiishi kwa tahadhari juu jamii inatuzunguka haitutakii wala kufurahia mema na neema zetu
@@MwanatumuJumaa-rj4fg kweli kabisaa
Duhhh jamanii
Mamuh kwann unaniliza tena jmn
Inauma sana
Wao❤❤❤
Nuria ana roho nzur San daaah❤❤
Roho nzuri ama ni ujinga, anafanya mtoto anabakwa mpuuzi sana, ni yy tu na wanaume
😂Dawa ya moto ni moto dada kajaaa kwenye mfumooo
Simulizi tamu na yenye funzo
Subilini niwafungulie mlango kwanza jman mtanikanyaga😂😂😂
❤❤❤🎉
@@zenaathumani8144 my dear 😘
❤❤❤❤
Wa tatu
❤❤❤🎉
Kweli Nuria angemwacha mdogo wako angekuua wewe
❤❤❤🎉🎉
Jaman me cjui namna ya kusave hizi simulizi nkijaribu inagomaa
Simulizi Moja tamuu❤❤❤❤❤nipeni like basi kama umekufunza kitu❤❤
Dah😢
❤
🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️🎉🎉🎉
Simulizi tabu nimejifunza kitu
Jamani kila jambo linakuwa na sababu ktk maisha yajayo,tusiwe na kazi yakulaumu tu sisi binadamu,😂😂😂 ubaya ubwela na udugu umala 😂😂😂
😂😂
Dada penda penda huyu.japo ni utunzi ila mdada noma anapenda mboo
Pamoja
Upo vzr san Dada angu nimetokea kupnd san stor zako
usiwaonee huruma wanaume...watakuliza. wengi waliohurumia wanaume na kuwasaidia huishia kulizwa tuuu.
Sasa Nuria utaambulia ukimwi tulia fala wewe
😢😢😢😢
😢😢🤔
Urikuwa mjasiri
🎉🎉🎉❤
Huyu nuria nimujinga malibo nihapa duniani mudogo wako alivuna alicho panda
Hiyo imekaa poa
daaah...siyo kilamtu anawez lip wem wakoo..norine ni mxhez xana
Story nzr san coz inafundish san nimeipend
Wapili jamani
Ila ww dada ni maharage ya mbea, watu wanakaa hata miaka 10 bila mume, ww ni kila mwanaume unampea tu, unafanya mtoto anarepiwa shenzi kabisa, kwani haewezi kukituliza na watoto uko nao😏😏
Kweli wajinga sana mtu kampa sumu huku shitaki hata polisi ushahidi tosha unge mpata tu
Kupata ndugu kama huyo mtihani kwakweli
Duuuh
Nuria nyoko
Duu Felix Mwenda uko wapi
❤❤❤
❤❤❤❤❤🎉🎉
❤❤❤❤❤🎉
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤