Part 1_SIRI KUTOKA MBINGUNI |Ushuhuda kutoka kwa Prf.Iyke Nathan Uzorma

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

ความคิดเห็น • 102

  • @fideforceinnocent5427
    @fideforceinnocent5427 3 ปีที่แล้ว +10

    Ndomana ile njia ni ndogo sana
    Nitapambana kwakadri niwezavyo
    Ili niepuke na hukumu ya milele
    Ubalikiwe Jacktan nakutakia MUNGU akupe mwisho mwema.
    Jina la YESU CHRISTO litukuzwe milele Amen

  • @marthaumazi2197
    @marthaumazi2197 7 วันที่ผ่านมา +1

    Haleluya tumebarikiwa kwa kupata Siri za mbinguni. God bless promover TV.

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 3 ปีที่แล้ว +9

    Ameeen, Haleluyaaaa litukuzwe milele Jina la BWANA wetu YESU KRISTO

  • @otacyndula5491
    @otacyndula5491 3 ปีที่แล้ว +7

    Aise hiz sehemu tatu ni shida sana maana zinatupoteza sana hasa sehemu za siri aise,,,, ila Juhudi ya kumtafuta Mungu ndio suluhisho pekee . Ushuhuda mzuri sana Jactan Mungu akubariki.

    • @agathaladislaus8991
      @agathaladislaus8991 3 ปีที่แล้ว

      Samahan jaman najiuliza mf kula dagaa,maziwa,au blubend/siagi ni kosa?kw mujib w ushuhuda nilivosikia naomb kueleweshwa;

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 3 ปีที่แล้ว +6

    Asante kwa kutujulisha hili mwenye sikio na Asikie tuishinde tamaa

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 2 ปีที่แล้ว +2

    Naomba kujua siri Zako.Mambo yote ya huko mbinguni. Mungu muumba mbingu na nchi .Aombaye hupewa kama hadi ya NENO.yoh 14:14na math 7:7 yeremia 33.3.Naomba KWA neema Yako tu sistahili ewe YEHOVA MUNGU.ktk Kristo Yesu nashukuru.Ameeeen♥️⛪💝🌺😍

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe professor

  • @nikizaanociata4730
    @nikizaanociata4730 3 ปีที่แล้ว +3

    Shukrani nyingi kwa Bwana wetu Yesu hataki tuendemotoni ndiyomana yakutufunulia siri zake zote nilikuwa nikipenda nyama sana lakini kwauwezo wake sitakulatena piya na samaki pamoja na mayayi Mungu atusaidiye sana ubarikiwe sana kwa ujumbe Mzuri kabisa

  • @yvonnemuyengo5823
    @yvonnemuyengo5823 3 ปีที่แล้ว +2

    Hee Mungu wa mbinguni Yesu christo niwezeshe kwa nguvu ya Damu yako

  • @naomikalinga3042
    @naomikalinga3042 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante jacktan kwa ushuhuda kwakweli ninahitaji Sana msaada wa YESU ili kushida kuhusu chakula

  • @rahabumyumbo7676
    @rahabumyumbo7676 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu nisaidie nipone katika haya Mambo matatu maana naogopa

  • @drnow1528
    @drnow1528 2 ปีที่แล้ว +2

    Bwana Yesu asifiwe

  • @asherylungwa3647
    @asherylungwa3647 3 ปีที่แล้ว +8

    Thanks... It's not simple but let us pray for each other..
    Blessed a lot in Jesus Christ... I learn
    And waiting for continuations

  • @maryjoviny6991
    @maryjoviny6991 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa shuhuda

  • @doreenmartin3105
    @doreenmartin3105 3 ปีที่แล้ว +3

    Ahsante Sana Jacktan.
    Mungu tunahitaji msaada wako.

  • @SivyaNyoni
    @SivyaNyoni 5 หลายเดือนก่อน +2

    Amen🙏🏾

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen,Asante sana mtumishi kwa kujitolea kwako kuokoa roho zetu kutoka kwa njia ya upotevu,Mungu akubariki

  • @kayusiludovick9848
    @kayusiludovick9848 2 ปีที่แล้ว +2

    Tunashukuru kwa hili

  • @asifiwemwamundela4388
    @asifiwemwamundela4388 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu nisaidie peke yangu siwezi.

  • @adelehakizimana1894
    @adelehakizimana1894 3 ปีที่แล้ว +2

    Eee.mungujirako.ritukuzwe.duniyani.hadi.mbinguni.a santé.mutumishi.kwakutupa.ujumbehu.kwakweri.yesu.nimwema.tujitahazari.kwahayo

  • @EvelinWilson-zx6uq
    @EvelinWilson-zx6uq 3 หลายเดือนก่อน +1

    Amen Amen.

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 2 ปีที่แล้ว

    Ndio naanza...ndani ya promover tv sichelewi kufwatilia maanake napata kubarikiwa sana.

  • @kennethogonda2947
    @kennethogonda2947 3 ปีที่แล้ว +5

    Mwanzoni Mungu aliwaamuru wanadamu wale matunda na mboga pekee, yaani mimea tu.
    Baadaye Mungu aliwaambia binadamu wale nyama ya wanyama ila baadhi yao tu, si wanyama wote. Alisema wanyama wengine ni wachafu(unclean).
    Baadaye, Yesu Kristo akiwa ulimwenguni, aliwaambia wafuasi wake wale vyakula vya kila aina, akisema kuwa maovu yanatokana na yale yatokayo mwilini kama chuki, masengenyo, wivu, nk, ila yanayoingia mwilini hayafanyi mwili ukose kuwa takatifu. Kwa kusema hayo, alimaanisha sasa tuko huru kula vyakula vya kila aina na si dhambi tena. Mfano: nyama ya nguruwe.
    Lakini mwishowe, katika dunia mpya na mbinguni, itakuwa kama mwanzoni. Wanadamu wote, pamoja na wanyama wote, watakula vyakula ambavyo vimetoka kwa mimea pekee. Kwa sababu hatutakuwa na kifo tena. Ukichuna matawi au matunda ya mmea, huo mmea hafi. Ila ili ule nyama ya mnyama, itabidi afe kwanza.
    KWA HIVYO KWA SASA SI DHAMBI KULA CHAKULA CHO CHOTE KINACHOKUFURAHISHA, ISIPOKUWA NYAMA YA BINADAMU MWENZAKO, KWA SABABU HUO NI UCHAWI.

    • @leahg2549
      @leahg2549 2 ปีที่แล้ว

      Sio kweli,sio kweli kabisa,Mungu sio kigeugeu wala hajabadilika,again jipya wala Yesu hakuja kutangua torati na manabii,kile ambacho Mungu alikizuia,ni najisi,hakijabadilika,kwa dunia hii inayozidi kuharibika ni Vyema kujitenga kabisa kw vile ambavyo Mungu amekataa tusivitumie. Kuna ushuhuda niliusikia humu yule aliyekuwa anatumika katika ulimwengu wa giza kwamba nyama zingine kwenye mabucha ni nyama za binadamu,ni vyema tukawa waangalifu sana.

    • @kennethogonda2947
      @kennethogonda2947 2 ปีที่แล้ว

      Wewe hujasoma Biblia vizuri. Yote ambayo nasema yako katika Biblia.

    • @Suenish2022
      @Suenish2022 ปีที่แล้ว

      P m

  • @nswilayella3295
    @nswilayella3295 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante kwa mafundisho

  • @matthieumathaus9026
    @matthieumathaus9026 3 ปีที่แล้ว +1

    Una weza kusoma mwanzo 9:3-4
    Tuna Nashukuru Mungu kwa ushuhuda huu bali naomba tusome neno la Mungu kwa umakini,tusije tuka jichanganya. Mungu nwenyewe ana turuhusu tule kila kitu kyenye kutembeya na kuwa na maisha. Ana sema tusile nyama na damu yake. Siyo kusema tusile nyama

    • @leahg2549
      @leahg2549 2 ปีที่แล้ว +1

      Unapingana na Mungu mwenyewe? Sikiliza tena siri hii zaidi ya mara 3,mpango wa Mungu nyama sio sehemu ya chakula,ilitolewa baada ya anguko

    • @leahg2549
      @leahg2549 2 ปีที่แล้ว

      Wenye masikio watasikia

    • @simonrevelian8372
      @simonrevelian8372 2 ปีที่แล้ว

      naona wengi hamko makini katika kusikiliza, Bali misingi ya dini zenu ndo zimwgandamana na mioyo, kuna mambo mawili hapa. 1. chakula kabla ya anguko ,mwanzo 2:29 2.chakula baada ya anguko, mwanzo 9:3, pia anasema hatamhukumu mtu kwa kula isipokuwa alaye chakula cha baada ya anguko hatafunikwa na nguvu za Mungu za kutosha kama anayekula chakula baada ya anguko. Hii Haina uhusiano na hukumu Bali uvuli wa nguvu za Mungu

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 3 ปีที่แล้ว +3

    HALELUYAH

  • @sarahsarai8690
    @sarahsarai8690 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina asante sana kwa ushuhuda Mtumishi.

  • @leahg2549
    @leahg2549 2 ปีที่แล้ว

    Ili kuweza kurejea katika hali ya utimilifu wa kiroho ni lazima kurejea Eden,huu ndio mpango wa Mungu. Kumbe wasabato tuko sahihi. Ondoa nyama kwenye seheme ya chakula chako. Ondoeni dhana za kilokole eti vimetakaswa tule tu,nimempenda mtumishi Iyke,Bwana azidi kumbariki sana.

    • @simonrevelian8372
      @simonrevelian8372 2 ปีที่แล้ว

      ila iyke sio msabayo ujue

    • @leahg2549
      @leahg2549 2 ปีที่แล้ว

      @Simon Revelian hata asipokuwa msabato,mimi ninachoangalia ni ukweli unaposemwa,kama mtu yeyote atapewa mafunuo na Mungu na yakawa sawasawa na Neno la Mungu na Roho akinishuhudia ndivyo yalivyo,mimi ni nani hata nipinge,zaidi ya kuomba neema na nguvu kuyaishi.

  • @jesusismyking5292
    @jesusismyking5292 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai4691 3 ปีที่แล้ว

    Amen Amen Amen 🙏🙏 nashukuru sana kwa kutuletea mafunzo haya. Na mungu akubariki sana Mr Jacktan kwa kuelimisha ulimwengu

    • @agathaladislaus8991
      @agathaladislaus8991 3 ปีที่แล้ว

      Jamani vp kuhusu kula dagaa,mazwa,asali,blubend na soda naomba kueleweshwa;

  • @tantinebrijitte7128
    @tantinebrijitte7128 2 ปีที่แล้ว +2

    Ewe bwana usifiwe milele yote na ahimidiwe milele ,unisaidie ni malize mwendo salama.

  • @stellaelias8174
    @stellaelias8174 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameni

  • @bedykedy3604
    @bedykedy3604 3 ปีที่แล้ว +3

    Kaka jaktan mbn tumeisha kwhy nyama haturuhusiwi?? Mbn mkanganyiko

    • @PROMOVERTVLive
      @PROMOVERTVLive 3 ปีที่แล้ว

      Ni maombi yangu tu kwamba badala ya upeo/mawazo yako bali awe Roho mtakatifu akuongozaye kuyabainisha maswala ya kiroho

  • @shamimnassor6192
    @shamimnassor6192 3 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmh

  • @harimakidesu3680
    @harimakidesu3680 2 ปีที่แล้ว +1

    afadhali nilikuwa napasubilia hapa

  • @lispafulgence9983
    @lispafulgence9983 3 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏

  • @BerylSeer1
    @BerylSeer1 3 ปีที่แล้ว

    Ameeeeen ❤️, muulize kuhusu mapambo

    • @monicahwanjira9038
      @monicahwanjira9038 3 ปีที่แล้ว +2

      Mungu hapendi mapambo. Heri kukaa tu jinsi aluvyotuumba

    • @monicahwanjira9038
      @monicahwanjira9038 3 ปีที่แล้ว +1

      Mungu hapendi mapambo. Heri kukaa tu jinsi aluvyotuumba

    • @BerylSeer1
      @BerylSeer1 3 ปีที่แล้ว

      @@monicahwanjira9038 ❤️😍

  • @miriammpatrick5795
    @miriammpatrick5795 3 ปีที่แล้ว

    amina

  • @labanijapheti3045
    @labanijapheti3045 3 ปีที่แล้ว +3

    Kumekucha sasa

    • @oliverbernad5570
      @oliverbernad5570 3 ปีที่แล้ว +3

      Ninakupata vizur Kaka Jactan kutoka IRINGA mjini

    • @tinarugemalira3852
      @tinarugemalira3852 3 ปีที่แล้ว

      AMINA MUNGU NI MWEMA amejaa Neema na Rehema si mwepesi wa Asira Naamini

  • @massawejulius5861
    @massawejulius5861 3 ปีที่แล้ว

    Na ukila lazima chakula kitakaswe Na damu ya yesu

  • @naomytemba4348
    @naomytemba4348 3 ปีที่แล้ว

    Duuu ♥️♥️♥️

  • @naomytemba4348
    @naomytemba4348 3 ปีที่แล้ว +1

    Yaani tutaenda kweli mbinguni

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 3 ปีที่แล้ว

      Tutaenda maana ndio maana MUNGU anatupa siri

    • @naomytemba4348
      @naomytemba4348 3 ปีที่แล้ว +1

      @@highzacknnko9685 lakini ngumu kweli

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 3 ปีที่แล้ว +2

      @@naomytemba4348 sio ngumu naomi temba!!!!!! Maana kama kitu usicho kijua ndio kinakuwa kigumu!!!! Lakini ashukuriwe MUNGU afumbuaye siri

  • @FUNNYANIMALIA7
    @FUNNYANIMALIA7 2 ปีที่แล้ว

    Jeremiah 30:21 leader is Kenyan Gikuyu

  • @massawejulius5861
    @massawejulius5861 3 ปีที่แล้ว +1

    Adamu mmbaya anakuja lini

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 ปีที่แล้ว +1

      Hivi karibuni, endelea kufuatilia

    • @agathaladislaus8991
      @agathaladislaus8991 3 ปีที่แล้ว

      Namsubir kw ham Sana Adam Mbaya aje kutusaidia tafcri za maandiko,tuna hitaji kuelew

  • @johnssaimon450
    @johnssaimon450 3 ปีที่แล้ว +4

    MUNGU hajawahi jichanganya hata siku moja NO NO NO leo aseme YES kesho aseme NO haijawahi.huyo sio MUNGU may b miungu ya dunia hii.siye aliyemba mbingu na nchi ambaye ni Jana Leo hata milele aliyejua yatayokuwepo milele iweje leo ajipinge kwenye biblia yake au neno lake???? jactan

    • @rhodachanangula7734
      @rhodachanangula7734 3 ปีที่แล้ว +2

      naomba nkushauri kitu kama umeokoka na unaamin katika maombi bas ni mda wako sasa ingia kwenye maombi muulize Mungu atakufunulia makubwa zaidi ya hayo ya chakula adi utaogopa kusema kwa mtu yyte sababu utaona kama watakuona umechanganyikiwa Yer 33:3

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 ปีที่แล้ว

      Johns acha ubishi Bora kunyamaza kuliko kupinga shuhuda za Roho wa uzima, Kama zimekua mzigo mwombe Mungu akurehemu ,kwani wewe unajitetea au unatetea nyama? Kwani usipokula nyama utapungukiwa Nini? Kuliko kuanza kubishana Kisha uingie kwenye hatia mbaya, yako mambo lazima yadhihirike siku za mwisho na mambo mengi yatafunuliwa yalio kua yamejificha.

  • @edwardmwalukware9734
    @edwardmwalukware9734 2 ปีที่แล้ว

    Bro this message is contravening the Bible which is the word of God. My spirit is rejecting this doctrine and to accept it is to nullify the warning of apostle Paul.

  • @stellamalangalila839
    @stellamalangalila839 3 ปีที่แล้ว

    Eeh bwana wetu yesu kristu utupe nguvu ya kutawala mdomo, tumbo Na kiungo cha siri

  • @stellaelias8174
    @stellaelias8174 3 ปีที่แล้ว +1

    Tukoko pamoja mtumishi nikomakinisana

    • @alafsakisinda4886
      @alafsakisinda4886 3 ปีที่แล้ว

      Duuu hii ni hatari, kweli njia ya mbinguni ni nyembamba, MTU toka kuzaliwa tunakulaga nyama Leo hairuhusu duuu. Mungu nisaidie

  • @emanuelmsaky8074
    @emanuelmsaky8074 3 ปีที่แล้ว

    Baba yangu wa kiroho amekatazwaa asile nyama kwahiyo halagi.

    • @agathaladislaus8991
      @agathaladislaus8991 3 ปีที่แล้ว +1

      Vp kuhusu kula dagaa,maziwa,blubend asali,hapo ipoje naomb kueleweshwa

    • @emanuelmsaky8074
      @emanuelmsaky8074 3 ปีที่แล้ว +1

      @@agathaladislaus8991 kwa kwelii sikuwezaa kukaa Naye nimuulize zaidi Ila yeye aliniambia kabisa kwamba yeye amekatazwaa asile nyama kwahiyo halagi nyama hata mafuta ya kujipaka roho mtakatifu alimwambia kabica Aina ya mafuta ya kujipaka akanunua nitapata muda nimuulize tu siku moja.

    • @agathaladislaus8991
      @agathaladislaus8991 3 ปีที่แล้ว

      @@emanuelmsaky8074 Kwa kwel muulize na hayo ili atusaidie kuelewa,napenda kujifunza ktk hili"bnafc cjaelewa

    • @emanuelmsaky8074
      @emanuelmsaky8074 3 ปีที่แล้ว

      @@agathaladislaus8991 usijali Ila kaa na mungu vizuri hatakuficha neno lake Kama umesikia ushuhuda wa Siri za mbinguni hakikisha hivyo maan hayo ndo maisha ya mwamini kweli kweli naishi ivyo naon power of God in my way.

    • @lucykapinga369
      @lucykapinga369 2 ปีที่แล้ว

      ​@@agathaladislaus8991 Mamy Simama Kiroho Sanaa Muulize MUNGU Atakuonyesha na Kukuelekeza Simama mwenyewe Utaona tyuu.mim mwenyewe nilipata ujumbe wa kuhusu Hereni mapambo haya .ukiwa karibu na MUNGU ATAKuonyeesha kilakituu

  • @dorsandollah3384
    @dorsandollah3384 3 ปีที่แล้ว

    Sasa itakuwaje?? Mbona watu wameishi tofauti??

  • @jeniphaledaschali4594
    @jeniphaledaschali4594 3 ปีที่แล้ว

    Jaktani nimejifunza xana kwa habari ya kinywa maana ndio konachotoa uchafu

  • @dorsandollah3384
    @dorsandollah3384 3 ปีที่แล้ว

    Jactani sijaelewa kwa hivyo haturuhusiwi kula nyama?

    • @fideforceinnocent5427
      @fideforceinnocent5427 3 ปีที่แล้ว

      Kama ulivyoelewa
      Kwani sio ajabu
      Kwakua MUNGU kutompa nyama Adam arikua anajua sababu

    • @dorsandollah3384
      @dorsandollah3384 3 ปีที่แล้ว +1

      @@fideforceinnocent5427 na mbona mtume Paulo alisema Tumfuate yeye kama yeye alanavyomfuata kristo sasa ni mafundisho yapi sahihi ya mitume au tuanze kufuata maono ya huyu

    • @PROMOVERTVLive
      @PROMOVERTVLive 3 ปีที่แล้ว +2

      Ni maombi yangu tu kwamba badala ya upeo/mawazo yako bali awe Roho mtakatifu akuongozaye kuyabainisha maswala ya kiroho

  • @Oredi_Mkucha
    @Oredi_Mkucha 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏

  • @stevenrichard189
    @stevenrichard189 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @faithndindakilonzi9570
    @faithndindakilonzi9570 3 ปีที่แล้ว

    Amen