Dollar laki Tano? Kwa mzize? Hebu wacheni mzaha Juzi kabanwa na wahabeshi Wala ajela hakufurukuta ataweza mziki wa waarabu? Labda kama Kuna mzize ambaye hajazaliwa lakini sio huyu
Ila Doctor mo ukiongelea mambo yaSimba nivizueisana kuliko kuongelea mambo ya Gongo funuwa.mii bnafsi sipendi kuiongelea timu wawatu wengine wakati unatimuyako.
kwa dua ulizomuomba Allah binafsi nakuombea pia kwa kusema Aaammiinn
Dollar laki Tano? Kwa mzize? Hebu wacheni mzaha
Juzi kabanwa na wahabeshi Wala ajela hakufurukuta ataweza mziki wa waarabu? Labda kama Kuna mzize ambaye hajazaliwa lakini sio huyu
Yanga habari ya mjini ndiyo maana mashabiki wengi wa simba wamehamia yanga sababu kuu timu yao mbovu
Kwani uyo boss wenu ndo mungu wapuzi nyie
Huna akili ww!unaacha kuongelea habar za simba unabwabwaja la wanaume.mtu mwenyewe hujui hta kujieleza pumbavuuuu
Mpuuzi nn unatafuta kiki broo pole
Tatizo utopolo munajifanya kama muna hera wakat hera humuna mumejaa mikopo munadaiwa kra kona mpumbavu nyie
Yanga pia wenye akili ni wawili waliobaki hamnazo ni kikwete TU na baba manara
Uyu makocha wote wa africa marafiki zake acheni ajidanganye
Kwani kinachogoma nini, kujuana ni jambo la kujiamini tu
Domo kubwa chama anakuuma sana
Wew ni muongo mkubwa
Punguza ndevu zakp utakuwa na akili chama awe na furaha kwani ameolewa au tafuta kazi
Yanga timu la Kijinga sana duniani
Muongo wewe umetumwa
Hili lijamaa halina akili kabisa😂😂😂 linalopoka kweli.. Yanga chini ya Engineer hawawezi kufanya ujinga huo..😂😂😂
Huyo ni daktari sio mbulula kama wewe anamaanisha anachoongea sio wewe unaropoka tu!
Engineer mungu
😊😊😊😊mtakoma
Ila Doctor mo ukiongelea mambo yaSimba nivizueisana kuliko kuongelea mambo ya Gongo funuwa.mii bnafsi sipendi kuiongelea timu wawatu wengine wakati unatimuyako.
Ndo mana mzee magoma anasema mashabiki wa yanga ni kama maiti mochwarii..