HARMONIZE NA MWAKINYO WAKUTANA USO KWA USO WATAKA KUZICHAPA LIVE GYM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 193

  • @AnuaryShedafa
    @AnuaryShedafa 9 หลายเดือนก่อน +22

    Hamna kitu hapa tume wastukia zote h n kiki tu😂😂😂

  • @ShukuruLazaro
    @ShukuruLazaro 9 หลายเดือนก่อน +3

    Isiingekua kua walinzi wa harmoniz hamo angetolewa macho

  • @AsiaAa-w5m
    @AsiaAa-w5m 2 หลายเดือนก่อน

    Mwakinyo mungu anakupenda huyo adui mkubwa kakuonyeshea kama uantaka kupigana situated utaratibu mini sasa

  • @MoriceGilliad
    @MoriceGilliad 7 หลายเดือนก่อน

    Oaa kondee nakubali Sana life yako uyo kimwende asikuletee noma of coz me najua akuwezi kivyovyote vilee. Yani kwa kifupi uyo mtoto2 so akililia wembe mpeeew

  • @KamoteprinceKamote
    @KamoteprinceKamote 9 หลายเดือนก่อน +10

    Daaah hii nchi ngumu sana
    Konde embu endelea kufanya mziki bhn kikizingine hazina bhn

    • @samwelmatemu8873
      @samwelmatemu8873 9 หลายเดือนก่อน

      Huyu atapigwa na atalazwa hospital au kufa.

    • @NorascoKipeto
      @NorascoKipeto 9 หลายเดือนก่อน

      oya mpaka raha ivi ndo safi, kulipoa mno,

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 9 หลายเดือนก่อน +1

    😂Sasa huyo mlinzi Alo vaa Sweta ya njano anashituwa shituka nn sasa 😅

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 9 หลายเดือนก่อน +10

    Kiki hii yaani camera man alijiaandaa kabisa

  • @IbrahimHassan-ex7sn
    @IbrahimHassan-ex7sn 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hizi ni kiki za kishoga tu mitandaoni 🎤 na 🥊 wapi na wapi jmn

  • @nicolausngindo6712
    @nicolausngindo6712 9 หลายเดือนก่อน

    Mngewaacha kwanza wazichape kidogo ili tumjue nani zaidi maana ukiwaamulia hawata heshimiana hao😮😮

  • @SuleimanSalum-ck1ws
    @SuleimanSalum-ck1ws 6 วันที่ผ่านมา

    Harmonize msenge tu amina ndala ndefu hawez kumpiga cha mpenzi na hana sifa za kupigana na mwakinyo hamonize atafutiwe kibesen kidogo akakune naz na dada zake😡😡😎

  • @JaphetJairos-n4l
    @JaphetJairos-n4l 9 หลายเดือนก่อน +6

    Hii kiki tu imetengenezwa😂😂

  • @hanjorbeeofficial
    @hanjorbeeofficial 9 หลายเดือนก่อน +1

    Imekaa kama behind the scene ee😅

  • @jacksonjulius8261
    @jacksonjulius8261 9 หลายเดือนก่อน +9

    Mbona kama igizo.. 😂😂

  • @AminerKumwadu
    @AminerKumwadu 8 หลายเดือนก่อน

    Maisha ya wabongo ayo jamani na ap akuna cha ziada ni kk2😮😮

  • @GeorgeJusto-y4v
    @GeorgeJusto-y4v 9 หลายเดือนก่อน +7

    Mnatuletea maigizo ya isidingo the need

  • @maselejonathan8452
    @maselejonathan8452 9 หลายเดือนก่อน +1

    Naona movie tu ya anodi na jini

  • @Hakunambatata
    @Hakunambatata 9 หลายเดือนก่อน

    Kwenye any game, kuna rank, namaanisha unaanza na rookie, amateur, master, grandmaster, halafu kuna legend. Sass hili swala la rank harmonize anatakiwa aliangalie Sana, mwakinyo ni grandmaster kwenye boxing, huwezi from nowhere unataka kupigana na mtu kama Yule, Anaeza akamuharibu uso, sikatai yeye kutaka pambano na mwakinyo, but first angefanya pambano na rookies at least three of them, then ajitazame Kama Ana match to fight with grand master, mana nikisema legend ntakuwa namzungumzia Floyd or Mike Tyson. Anyways good luck harmonize

    • @iddimakana1385
      @iddimakana1385 26 วันที่ผ่านมา

      Huo ugrand master autoe wap anapigana na mabondia wepesi sana na hata huyo floyd siyo legend kwa mapambano yake ya kupanga ushasikia kapigana nje ya Taifa lke?

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx 9 หลายเดือนก่อน +4

    Hamo anapenda sana kiki kwa pikipiki

  • @daudpius130
    @daudpius130 9 หลายเดือนก่อน +5

    Baba levo mshukulu mungu haukutwa vzr na bondia hamo ungekufa

  • @RayMaynard5
    @RayMaynard5 9 หลายเดือนก่อน

    asanti kwa ubeya

  • @jrynezel1394
    @jrynezel1394 9 หลายเดือนก่อน

    Sa ndo nn wanawazuia wangewaacha waheshimiane😂😂😂😂mnatunyima uhondo😂

  • @Y4themusician
    @Y4themusician 9 หลายเดือนก่อน +6

    Shida ya wasanii bana kutafuta trend kila panapo kucha

  • @mrsochu7504
    @mrsochu7504 9 หลายเดือนก่อน

    Sijapenda mulivowazuia, mngewaacha tu tukajua nan bingwa 😂

  • @kelvinpaul2808
    @kelvinpaul2808 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hili ni jambo ambalo litamfanya konde asihusishwe kwenye tuzo kubwa kutokana na cv's zake kushuka kutokana na mfululizo wa matukio yake
    Haoni wenzake wanavyofanya na kujumuishwa kweny tuzo kubwa
    Harmo aache skendo...

    • @hatibbaraka3956
      @hatibbaraka3956 9 หลายเดือนก่อน +1

      Hajitambui na hata makampuni makubwa hawatompa michongo ikiwa siku zote atakua hivi anatakiwa abadilike.

  • @ngumnyeuc8226
    @ngumnyeuc8226 9 หลายเดือนก่อน

    Sa mmakonde nini ushamba namabodigadi yakuzidi yamevimba lakini mwakinyo anajaribu kurusha mizigo nahawamfanyi kitu konde Acha madrama atachafukwa msambaa akugonge kweli aise😅😅😅

  • @SelemaniakombeSelvo-bm3kd
    @SelemaniakombeSelvo-bm3kd 8 หลายเดือนก่อน

    Jamani kwani pambano litakuwa siku gani eti, maana si kwa kiki hizo ahiseh !!

  • @MwanaidyMushi
    @MwanaidyMushi 9 หลายเดือนก่อน

    isiwe tabu wapen ulingo tuu tujue moja nani atamueshim mwenziy apo ila drama atutak tumechoka 😂😂😂😂😂

  • @theprincejr1417
    @theprincejr1417 9 หลายเดือนก่อน

    Yeah, hapa hamna ktu camera was active before kweli haha ngoj nicheke😂

  • @andrewraphael3098
    @andrewraphael3098 9 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 8 หลายเดือนก่อน

    Labda wapigane diamond platinum na mwakinyo

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 9 หลายเดือนก่อน

    Acheni siku moja achanwe huyu harmo ni msenge sana wanamchekea sana huyu unapiga na kuua kabisa kuma huyo

  • @immaknight4414
    @immaknight4414 9 หลายเดือนก่อน

    harmo mshikaji sanaa wa mwakinyooo 😂😂😂😂😂

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 9 หลายเดือนก่อน

    Kuna Mtu Music 🎵 Umeanza Kumshinda Maana Hana Hata Mkanda Moja ANATAKA Kupambana na Mwknyo
    Mh Ngoja Tusuburi Milango ya Geti Kwenye Midomo

    • @nth3512
      @nth3512 9 หลายเดือนก่อน

      Kugombana ni tofauti na mchezo wa bondia, kwa bondia sawa ila sio kwa ngumi za kitaa

  • @emmanuelmasatu
    @emmanuelmasatu 9 หลายเดือนก่อน

    Hamonize hivi kweli unataka kupigana na Mwakinyo. Usione kinasimama ukakimbilia kuoa! Wakati mwingine nimkojo tu ndugu yangu. Ngumi zinamambo mengi sioni kama umeiva vya kutosha kuzichapa na jamaa.

  • @VeronicaAdam-lx8yd
    @VeronicaAdam-lx8yd 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mabauns wenyew wanafrah

  • @nicolausngindo6712
    @nicolausngindo6712 9 หลายเดือนก่อน

    Hawa wameshiba unajua shibe nayo ni shida 😮😮😮

  • @ThabitAsaaMbarouk-jz1fx
    @ThabitAsaaMbarouk-jz1fx 9 หลายเดือนก่อน

    Harmonize mswahili sana

  • @abdul-hamidali6534
    @abdul-hamidali6534 9 หลายเดือนก่อน

    Hizi ni kiki tu hasa wapigane kisa nini 😂😂

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 9 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh hili jamaa linapenda mikiki aisee

  • @NdoileSelemani-zj6dl
    @NdoileSelemani-zj6dl 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu body guard mwenye yellow jacket arudishe mshahara wake alokula

  • @Obertan_coolkid-04_
    @Obertan_coolkid-04_ 9 หลายเดือนก่อน +3

    Ameenda kishari na makamera

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 9 หลายเดือนก่อน

    Mtu hajawahi kupigana hata ndondo eti anataka apigane na professional aliyepigana mapambano kibao. Kwanza Harmonize hatopiga ngumi hata moja, kila akitupa anapitiliza mwenzake kila akitupa inanasa😂😂😂😂

  • @markovuruga86
    @markovuruga86 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mtu na nusu atakuja apigwe😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @HassanLituli
    @HassanLituli 9 หลายเดือนก่อน

    millard ayo huwa habar zako zinaaminika na watanzania nzima kuwa zinaukwel sasa kwa hili ndugu umezingua tena tutakujumlisha na wale wengine wasio jitambua kama habar za kutoa huna lala ndan mpaka upate habar zenye ukwel sio kutuona watanzania. wapumbavu kumbuka unafatiliwa na wengi nyuma yako

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 9 หลายเดือนก่อน

    Oteee machokooo tuuu wanaumeee awaongei sanaaa

  • @EliyaSeleman
    @EliyaSeleman 9 หลายเดือนก่อน

    Harmonize anatafutia pa kufia tu,,anadhani hiyo ni bongo fleva.😂😂

  • @tetrinumz-tz
    @tetrinumz-tz 9 หลายเดือนก่อน

    Wangewaacha washikishane adabu kwanza 😂 ili waheshimiane

  • @elymollel
    @elymollel 9 หลายเดือนก่อน

    Proteins shakes hazijawahi kumuacha mtu salama. Ngumi ni ufundi sio kubeba nondo ukaona umeomuka ukadhani utauweza ubindia.

  • @Sakinaamani-o1t
    @Sakinaamani-o1t 9 หลายเดือนก่อน

    Ssa c wangewaacha tu ubaya wanategemea ma bouncer mwakinyo tuliza munkari mwache huyo naomba mshenzi

  • @HajiMasmenti
    @HajiMasmenti 9 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wenye akili km mm apo washajua km hao.wazush to akuna mazala yoyote apo wanatuzuga wa bongo to

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 9 หลายเดือนก่อน

    Maigizo 😁😁😜

  • @bakaryCMD
    @bakaryCMD 9 หลายเดือนก่อน

    Hawa Akina harmonize ni makuma tu, wana manyonyo kama mijimama inayotaka kufokolewa hawawezi ngumi wanabana pua hafu wanataka kuingilia kazi za wanaume wangemuacha huyo konde apigwe kama ngoma mbwa huyo mziki na ngumi wapi na wapi mbwa huyo

  • @SurprisedBubbles-bz2nm
    @SurprisedBubbles-bz2nm 9 หลายเดือนก่อน +1

    Harmonize nae anaboa na anachosha anapenda ugomvi juz amegombana na baba levo mara waislamu hivi mpaka lini

    • @godfreymagige8930
      @godfreymagige8930 9 หลายเดือนก่อน

      Matumiz mabaya ya Madawa yan hapo kinachomuendesha n madawa

  • @chimamilion
    @chimamilion 9 หลายเดือนก่อน

    Iv nani kamuona uyu mwenye jakti la njano😂cjui analuka luka nn

  • @samwelmwilongo
    @samwelmwilongo 9 หลายเดือนก่อน

    Harmonize huna heshima pumbavu umenikera kweli

  • @Michaelptangono
    @Michaelptangono 9 หลายเดือนก่อน

    Rmonizer huwez moto wa mwakinyo

  • @Kaida_Cut254
    @Kaida_Cut254 9 หลายเดือนก่อน

    Yani mwakinyo anasukumana kama demu boxer anafaa kuanza na gumi yey anaanza na kusukumana , kweli mchumba kama konde anavyosema. Tena kamsukuma na nguvu zake zote na bado konde hakuanguka 😅😅😅

  • @hamismchoma
    @hamismchoma 9 หลายเดือนก่อน

    Mwakinyo mtu poa xana apend ujinga alfu ngumu nikazyake Ila uyo mla mihogo na panya anataka xfa na Kik kupitia kwa mwakinyoo

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu fala anafkri ngumu sawa na 🎤!?😅😅

  • @ImanuelMwaipaja-wf7xq
    @ImanuelMwaipaja-wf7xq 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kiduku kaporwa. Gem yake upinzani. Konde vs mwakinyo

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 9 หลายเดือนก่อน

    Konde andika nyimbo ngumi sio kama unavofikiria utapigwa kenge wee 😅

  • @THEGAME_t
    @THEGAME_t 9 หลายเดือนก่อน

    Wazeee hi sio kiki ona aaha wangepigana kweli😂😂

  • @abdul-hamidali6534
    @abdul-hamidali6534 9 หลายเดือนก่อน

    Wee jiulize camera man alijuaje kama itakua hivyo tena camera man anaonekna hatumii simu kabisa😂😂😂

  • @FRANK_FUNS
    @FRANK_FUNS 9 หลายเดือนก่อน

    Kesi ya harmonize na mwakinyo mahakamani
    Video th-cam.com/video/eA49e2jnfJg/w-d-xo.htmlsi=8LDpvK5UpFsVKguS

  • @kharashbabar7393
    @kharashbabar7393 9 หลายเดือนก่อน

    Wasani nyote munatakiwa muheshimu kazi yamwenzio ikiwezekana hatakupongezana...... Tanzania kweli sio hainamaana yakua nawatu kama Hawa.....niwachache mno ktk tasnia niwachache walio nautulivu.....mwakinyo hapendwi nawingi kisa tu yy ndio the one in Africa so tena anatokea Tanga hapo ndipo wengi wasipo penda.....sijui nikwann.....hembu kumbuken wasanii Tanzania walianza kuwakilisha watanga nanyie mukainuka acheni wivu basi....wakijinga....fanyeni kazi.....

    • @emmanueldavid9506
      @emmanueldavid9506 9 หลายเดือนก่อน

      Kweli babisa katika sanaa yenye mambo ya kipuuzi ni ya tanzania dunia nzima

  • @LucasHumayi
    @LucasHumayi 9 หลายเดือนก่อน

    Harmonize amekosa ustaarabu kumvamia mwakinyo gym asuburi chama Cha ngumi tz kiawaandalie pambano

  • @adambakari9276
    @adambakari9276 9 หลายเดือนก่อน

    Hadi camera man kaandaliwa

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje 9 หลายเดือนก่อน

    Ili ujue ni kiki mbona walinzi wa eneo hilo hatujawaona hata mmoja wakiwazuia wasipigane. au hilo eneo halina walinzi? walishapanga iwe hivyo isingekua kiki kungeibuka zogo kubwa sana hapo hata meneja wa eneo hilo angejitokeza hiyo nyimbo sijui inatoka lini mwakinyo kalipwa atengeneze kiki nayeye pia aonekane kwani yupo kmy muda mrefu

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm 9 หลายเดือนก่อน

    Njia nyepesi ni kutayarisha pambano rasmi la ndondi baina ya hawa waili wa settle scores in the ring

  • @eliezerwamungu4614
    @eliezerwamungu4614 9 หลายเดือนก่อน

    Sas cameraman alijuwaj kam watakutan ili aanz ku record

  • @BonfaceCharles-n8h
    @BonfaceCharles-n8h 5 หลายเดือนก่อน

    Kama harmonize anajiamini mbona kaja nana bodyguard angekuja peke yake

  • @hakambashe8421
    @hakambashe8421 9 หลายเดือนก่อน

    Nimeona footwork ya Hamo😂. Ni bora aendelee na mazoez ya kuchez , ngumi Bado saana

  • @HappyBooks-dj6oy
    @HappyBooks-dj6oy 9 หลายเดือนก่อน +1

    Changa la macho hilo.Danganya Toto sio wakubwa.Nyang'au nyie

  • @chidimsafi1279
    @chidimsafi1279 9 หลายเดือนก่อน

    Konde boy tutamkosaa jamanii

  • @jesusbrother7684
    @jesusbrother7684 9 หลายเดือนก่อน

    😅 Labda albadili ilisha timia, kwa hiyo kuna uwezekano watu wata imba “Parapanda italia” si muda mrefu! 🤣

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 9 หลายเดือนก่อน

    Naombeni jibu, hivi Bondia na Bausa ni nani mbabe?????

    • @godfreymagige8930
      @godfreymagige8930 9 หลายเดือนก่อน

      Mbabe ni Baunsa lkn ulingoni bingwa ni Bondia

  • @blackmonkey4606
    @blackmonkey4606 3 หลายเดือนก่อน

    Harmonize anakaa mpumbavu Sana kwani shoga au nini,,,Kila wakati vita Yani kajiskia Sana huyu,,ataumia one day

  • @anuarymyekakimolo4785
    @anuarymyekakimolo4785 9 หลายเดือนก่อน

    😂Wnatania bana 😂😜😜

  • @JamilahJumanne-ke3gf
    @JamilahJumanne-ke3gf 9 หลายเดือนก่อน

    Hamo anasifa san

  • @IsaacNapudjo
    @IsaacNapudjo 9 หลายเดือนก่อน

    Mbona konde una taka dji shusha eshima yako banane achana na ma kiki bwana tuendelee na muziki yetu.((mtu na nusu))

  • @Wapambe
    @Wapambe 9 หลายเดือนก่อน

    Harmonize mienendounayofata unaishusha brand kakangu unausenge mjubaa unajidhalilisha kwamakampuni unayofanya ubalozi acha utotoo.dogo

  • @isayajoram2434
    @isayajoram2434 9 หลายเดือนก่อน

    Mwakinyo amejishusha thamani yake ngumi hazihitaji kiki za kishamba kama izo

  • @Obia-t9d
    @Obia-t9d 9 หลายเดือนก่อน

    Aah kweli hajaenda hospital mda mrf umepita

  • @mwanamimihamad4936
    @mwanamimihamad4936 9 หลายเดือนก่อน

    Kiki zitakuua ww konde boy una boa sana acha ujinga huo

  • @wilsonnzowa3620
    @wilsonnzowa3620 9 หลายเดือนก่อน

    Mziki wa bongo na kiki ni Kama ugali na mboga😂😂😂😂

  • @Anti-zionistboy4327
    @Anti-zionistboy4327 9 หลายเดือนก่อน

    Good acting

  • @HOSEAHALLAN-tt3gx
    @HOSEAHALLAN-tt3gx 9 หลายเดือนก่อน

    Mwakijo wapi na mtoto uyo unajijafua dugu yangu

  • @AnnethLaizer-i5d
    @AnnethLaizer-i5d 9 หลายเดือนก่อน

    Unamkosea Sana mwakinywa iyo Uyo nibondia wewe inafanya mazoezi ya Bodi ulipingana lini ukavaa mkanda

  • @josephnovatus3140
    @josephnovatus3140 9 หลายเดือนก่อน

    Shida harm kiki zata mua huyo kija , chamsing mtoto hakililia wembe mpe ajikate sasa kautaka mpen hak yake boya huyo yani yupo ka shoga bana

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 9 หลายเดือนก่อน

    Harmo ni k tu apo kajidhalilisha sana

  • @SuleimanSalum-ck1ws
    @SuleimanSalum-ck1ws 6 วันที่ผ่านมา

    Yani hamonize na mchukulia kama mtoto wa nguluwe

  • @EmanuelAthuman
    @EmanuelAthuman 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 hamo anachekesha na hako kakifua hajui kama kunawatu na vifua vyao na wanapasuka 😅😅😅😅fido uko wap

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 9 หลายเดือนก่อน

    Naimani kabisa amonaez ndioshida

  • @IragiMycol
    @IragiMycol 9 หลายเดือนก่อน

    Najuwa tembo akiingia hatoki mutu

  • @omoshomosh4098
    @omoshomosh4098 9 หลายเดือนก่อน

    Hawa wote Akili ndogo

  • @badeuxGerard
    @badeuxGerard 9 หลายเดือนก่อน

    Mmakond bangi 😂😂

  • @ShabanKuziwa
    @ShabanKuziwa 9 หลายเดือนก่อน

    Wote wasenge mnafirwa

  • @MOHAMEDYUSUPH-oq1th
    @MOHAMEDYUSUPH-oq1th 9 หลายเดือนก่อน

    Washambaa hao Kiki tyu izo Amna Lolote tumewastukia

  • @BaekSun-s7g
    @BaekSun-s7g 9 หลายเดือนก่อน

    Aki na ukwa😂

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 9 หลายเดือนก่อน

    Utoto tuu
    Kutulia bandle zetu