Acheni kupotosha ukweli elezeni watu vizuri ni kweli Mungu mmoja na hizo ni nafsi yaani Roho kama alivyo Mungu ni Roho, mwana ambaye yuko milele Kristo ni Roho lakini Yesu ni matokeo ya Kristo ambaye ni mwili na Roho Mtakatifu ni Roho. Hivyo Mungu ni moja na huyo ni Roho Kwa nafsi hizo na sio huo upotovu wenu.
@@nabiiilyaaseliya2551 Ndio, tunapaswa kuiomba hiyo njia, Yohana 14;13-14. Na tunapaswa kuifuata, ili tufike peponi, Yohana 14;6 Utaona hapo alivotudhihirishia, kua yeye ndie njia ya kweli, Mtu,,,, heeee, Mtu,! Yaani mtu yeyote, yaani kuanzia adamu pamoja na mtume wako muhamadi, hamtafika mbinguni, hadi mumkubali YESU kristo kua yeye ndie njia ya kutupeleka peponi. Kwahiyo ustadh, unaposwali msikitini! Unapaswa uswali kwa jina la YESU kristo.
Sasa mbona Elijah na Henock wamepandishwa mbinguni kabla Yesu akuje duniani? Maana manabii wote waliofariki kabla ya yesu hakuna mwenye ataenda mbinguni kwa sababu hawakupata hiyo njia ndo ni Yesu😂
@@NkunzimanaKevin-ck7lvkabla ya Yesu wanadamu walikuwa wanapatanishwa na Mungu Kwa njia ya kafara za damu ya wanyama. Lakini baada ya Yesu kuja hakuna tena kafara ya damu kwa sababu yeye ndiye kafara, alikufa Kwa ajili yetu. Maandiko yanasema pasipo kumwaga damu hapana ondoleo la dhambi Kwa sababu mshahara wa dhambi ni mauti. Hivyo katika zama hizi ukimkataa Yesu hakuna msamaha, na hakuna mbingu.
Nabii Eliya naomba unijibu kupitia hivi vifungu juu ya hii posti yako (wafilipi 2:5-11) yohana (1:1-5,,,,,,,, surah 4:171,,,, huyu neno anayeongeolewa kwenye bible na quran ni yesu kristo naye ni Mungu,,,) na je tuje (yohana 10:30) ni mtume gani huyo au nabii gani amabye angeweza kudirika yeye na Mungu ni umoja " I and the father are one" ni nani huyo Jesus is indeed God
Yesu kristo Ni Mwana wa Mungu, huitwa Mungu kwamamlaka aliyonayo. (Juu na chini) Pia yeye ni Mungu kwa asili (nature). Mfano: -mtoto wa nyoka ni nyoka. -wambuzi ni mbuzi. -wamtu ni mtu. Sasa je? Mtoto wa Mungu ni ?
Mkuu kwani WWE hujui kuwa binadamu asili yake ni Mungu? Binadamu ni Mungu kwa asili ana uungu ndani yake na imeandikwa kwenye biblia ukitaka kujua zaidi nichek tuhojiane@@nabiiilyaaseliya2551
Kabsa brother tutaelewana tu, Mungu n mmoja tu ambae alijitengenezea mwili wa mwanadamu nae n kristo na ndan yake alikaa yeye kama Baba
Mpiga mvinyo kaongea 😂😂😂maono aliyopata baada ya kigonga mvinyo
Awepo MUNGU mmoja, wawepo miungu wa 3, sisi tunachojua, huwezi kufika mbinguni bila kupitia njia ya kweli na uzima, nae ndie YESU kristo.
Ni kweli ni NJIA SIO DESTINATION.
SASA IWEJE UOMBE NJIA.
Acheni kupotosha ukweli elezeni watu vizuri ni kweli Mungu mmoja na hizo ni nafsi yaani Roho kama alivyo Mungu ni Roho, mwana ambaye yuko milele Kristo ni Roho lakini Yesu ni matokeo ya Kristo ambaye ni mwili na Roho Mtakatifu ni Roho. Hivyo Mungu ni moja na huyo ni Roho Kwa nafsi hizo na sio huo upotovu wenu.
@@nabiiilyaaseliya2551 Ndio, tunapaswa kuiomba hiyo njia, Yohana 14;13-14. Na tunapaswa kuifuata, ili tufike peponi, Yohana 14;6 Utaona hapo alivotudhihirishia, kua yeye ndie njia ya kweli, Mtu,,,, heeee, Mtu,! Yaani mtu yeyote, yaani kuanzia adamu pamoja na mtume wako muhamadi, hamtafika mbinguni, hadi mumkubali YESU kristo kua yeye ndie njia ya kutupeleka peponi. Kwahiyo ustadh, unaposwali msikitini! Unapaswa uswali kwa jina la YESU kristo.
Sasa mbona Elijah na Henock wamepandishwa mbinguni kabla Yesu akuje duniani? Maana manabii wote waliofariki kabla ya yesu hakuna mwenye ataenda mbinguni kwa sababu hawakupata hiyo njia ndo ni Yesu😂
@@NkunzimanaKevin-ck7lvkabla ya Yesu wanadamu walikuwa wanapatanishwa na Mungu Kwa njia ya kafara za damu ya wanyama. Lakini baada ya Yesu kuja hakuna tena kafara ya damu kwa sababu yeye ndiye kafara, alikufa Kwa ajili yetu. Maandiko yanasema pasipo kumwaga damu hapana ondoleo la dhambi Kwa sababu mshahara wa dhambi ni mauti.
Hivyo katika zama hizi ukimkataa Yesu hakuna msamaha, na hakuna mbingu.
Nabii Eliya naomba unijibu kupitia hivi vifungu juu ya hii posti yako (wafilipi 2:5-11) yohana (1:1-5,,,,,,,, surah 4:171,,,, huyu neno anayeongeolewa kwenye bible na quran ni yesu kristo naye ni Mungu,,,) na je tuje (yohana 10:30) ni mtume gani huyo au nabii gani amabye angeweza kudirika yeye na Mungu ni umoja " I and the father are one" ni nani huyo Jesus is indeed God
True 💓💓💓💓💓💓
Huyu mzee anazeeka vibaya, sema simshangai alikamatwa anakunywa pombe, akaanza kuzitetea
Yesu kristo Ni Mwana wa Mungu, huitwa Mungu kwamamlaka aliyonayo. (Juu na chini) Pia yeye ni Mungu kwa asili (nature). Mfano: -mtoto wa nyoka ni nyoka. -wambuzi ni mbuzi. -wamtu ni mtu. Sasa je? Mtoto wa Mungu ni ?
😂❤😂😂😂 umefafanua vizuri sana
Basi hata wewe Mungu kwani Hata sisi ni Watoto wa Mungu.
So kila Mkiristo ni Mungu
😂😂😂😂😂
Mkuu kwani WWE hujui kuwa binadamu asili yake ni Mungu? Binadamu ni Mungu kwa asili ana uungu ndani yake na imeandikwa kwenye biblia ukitaka kujua zaidi nichek tuhojiane@@nabiiilyaaseliya2551
kazi ipo. tumjue Mungu wa pekee na yesu Kristo aliyetumwa atukombowe
Hiyo pete aliyo vaa kuna usalama kweli?