🔴VITA YA SIMBA NA YANGA KUINUFAISHA AZAM FC
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- clabu ya soka ya simba sc imetuma offer kwa matajiri wa chamanzi azam fc juu ya kutaka kumnunua kiungo wao mshambuliaji raia wa tanzania kutokea visiwani zanzibar faisal salum abdallah maarufu kama fai toto ama zanzibar finnest
jioni ya leo mabosi wa timu hizo mbili walikutana kujadili uwezekano wa kukamilisha dili hilo ambalo simba wameona ndio njia sahihi ya kuwaridhisha mashabiki wao baada ya kuondoka kwa mchezaji tegemezi clatus chota chama ambae amechukuliwa na wapinzani wao yanga sc
klabu ya soka ya yanga sports club ya Tanzania imefanikiwa kumsajili mchezaji wa azam FC prince dube
#simba #yanga #football #tanzania #viral #chama #azamtv #simbasc #soccer #aziziki
#azamtv #azam #usajilisimbasc #usajili #simba #simbasc #yanga #tanzania #tanzaniafootball #tff #sports #football #cafinal #totalenergiesafcon2021 #afcon2023 #tetesi #tetesizausajilileo
Azam mliambiwa huyo kijana jeuri hamkusikia.
🤣🤣🤣
Hamna kitu hapo.
🤣🤣🤣
Usajili hatari
Kazi ipo msimu ujao