Waooow nzuri sana hii mpaka machozi yamenitoka jamani. Ujumbe mzuri sana mama wa kambo ni mama ,adui usimlete karibu atakuangamiza,fikiri kabla ya kutenda,usimuhukumu mtu kwa maneno ya kuambiwa maana yanaweza kuwa kweli hama si kweli
Maskini Mage wema wake umemponza ona sasa hali inakuwa ngumu upande wake. Mponji hebu muelewe Mage ajafanya hivyo ni mama Shadya huyo ndio katengeneza huo mchezo Mage hana hatia yoyote maskini
Fundisho kubwa sana kuna watu wanadhurumiwa haki zao kama Mage kwasababu tu ya maneno ya uongo na ya chuki. Hongera sana Mponji umetumia busara maana bila hivyo ningeumia sana kuona Mage anaangamia kwa maneno ya uongo zidi yake
Mtoto haongei uongo lakn mkumbuke akiambiwa anashika mtoto anaweza kudanganya kwa kufundishwa na mtu mkubwa kuen makin. mponji umeendana sana na magg ❤❤❤❤❤❤
Inafundisha sana kuna mambo manne wamama wanatabia sana kuwamezesha watoto wao sumu pili ukiolewa na mwanaume mwenye mtoto anapenda sana kumsikiliza mtoto wake, tatu ukiambiwa neno baya akachukua uamuzi bila uchunguzi utamdhurumu haki mtu mwingine, NNE mponji kafikiri kabla ya kutenda kaokoa jahazi la dada wa kazi. Mponji ni mwandishi bora wa mwaka huu sio siri napenda sana kazi zako kaka
Mmh watu waliowahi kukaa pamoja n wakazaa n ngum sanaaa kuachan , mage umeambiw uende n hajra yupo ndani , bad hujagundua kit, tayal kaon mkewe anathamani
Mwisho wa ubaya aibu ila mage nimekubali sana alichokifanya kama kweli anataka baba hajra Aishi na aman ni Bora kuondoka hapo ndipo baba hajra atajuwa kama mage anamakosa au laaa
Mwanaume nae ameshaanza gubu kuambiwa kidogo tu maneno na mtoto unamini tusiwe hivyo kama unamini gonga like
Mage haya ameyataka mwenyew kumkarbish huyu mam shadya
Waooow nzuri sana hii mpaka machozi yamenitoka jamani. Ujumbe mzuri sana mama wa kambo ni mama ,adui usimlete karibu atakuangamiza,fikiri kabla ya kutenda,usimuhukumu mtu kwa maneno ya kuambiwa maana yanaweza kuwa kweli hama si kweli
Maskini Mage wema wake umemponza ona sasa hali inakuwa ngumu upande wake. Mponji hebu muelewe Mage ajafanya hivyo ni mama Shadya huyo ndio katengeneza huo mchezo Mage hana hatia yoyote maskini
Baba Shadia safi sana kasha ujua ukweri
Hapo umeaanza poa sna
Hahaaa kk kua na mshimamo hisgerl alikua anakaa nae kbl iweje amtese tn
Duh jmn hongera. Na Asante nimejifunza kitu kaka ya kumi na tano sijaona
Kazi nzuri sana nawapenda🎉🎉🎉🎉❤❤
Kazi safi sana mungu azidi kuwaongoza
Kazi ya viwango vya juu❤❤❤❤❤
Tamu Sana iina elekea pazuri❤❤❤
Pole San mponji ma shady co mtu mzur
Shadia nakuaminia,,, nakupenda sana we mtoto
Tam sanaaaa❤❤❤❤
Jamaa mwenyewe msenge tu
Usijelezee sana mage achana nae hanisi to uyooo mpoji
We mage wondoka tu huyo muponji atajuta na huyo muke wake maraya huyo from south Africa 🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri tunasubri next ep msicheleweshe jaman
Kk muelewe dada Magi ana mapenzi ya kweli kwako maman shadya ana roho mbaya sana.
Pole sana mage! Mponji kweli ? kwa nini unakosa moyo wa huruma, mponji nimekuchukiya tena,yaani sikupendi tena
🌷🌷 kwenu hongeleni kwa mafundisho
Mtoto nampenda bure❤
Mama hajrah kayakanyaga❤❤❤
❤❤❤ seemuya kumi natanom
Nice episode 👏 jamani like kwa mtoto shadia 😂❤ 👍
❤❤❤🎉🎉
Kabis❤❤❤🎉🎉
Duh pole sana dada mag ndo shangamoto za kimaisha nikimekuonea huruma sana had chozi lanitoka
Niatari kbs
Hapo mwiso tamu sana nagoja Sasa hiki kimama kitimuliwe
Ubaya ubwela saf sana
Fundisho kubwa sana kuna watu wanadhurumiwa haki zao kama Mage kwasababu tu ya maneno ya uongo na ya chuki. Hongera sana Mponji umetumia busara maana bila hivyo ningeumia sana kuona Mage anaangamia kwa maneno ya uongo zidi yake
Mashallah kaz mzur kipenz changu❤❤❤❤❤
Kumbendio Kazi zenu kuwapotosha watoto
Cao from Germany kenya ❤
Mtoto haongei uongo lakn mkumbuke akiambiwa anashika mtoto anaweza kudanganya kwa kufundishwa na mtu mkubwa kuen makin. mponji umeendana sana na magg ❤❤❤❤❤❤
Hongera sana Mponji kwa kutumia busara maana bila hivyo ningeumia sana mimi
@@AminaNdugai 😆
Kazi nzuri mpoji nimekubari kazi nimejifuza kitu
Inafundisha sana kuna mambo manne wamama wanatabia sana kuwamezesha watoto wao sumu pili ukiolewa na mwanaume mwenye mtoto anapenda sana kumsikiliza mtoto wake, tatu ukiambiwa neno baya akachukua uamuzi bila uchunguzi utamdhurumu haki mtu mwingine, NNE mponji kafikiri kabla ya kutenda kaokoa jahazi la dada wa kazi. Mponji ni mwandishi bora wa mwaka huu sio siri napenda sana kazi zako kaka
Tunawapenda wahigizaji wetu ❤❤❤❤
Safi mtoto mzuri
Kazi ninzuri sana
Nimelia Sana nimemuonea uruma mage
Safi mage kuomba nauli ❤❤❤
Wow😮 Kitoto kizuri kabisa 😍😍😍. Huyo mwanaume naye ni zoba, anashindwa kujuwa mwanamke ampendae 🤣 na anae mpelekesha!!!
Kawada mtoto hanananga siri lazima atasema
Mashallah mtt mzur
Kazi nzuri sana
Jmn mage umenitoa machozi😢😢
Ni kweli kabisa
Uyu ajira sio.wa kweli 😂😂😂😂😂mage nawe jengewa toka uko pangisha upokeange hela tuone uyu mshezi atakua akijingamba na nni
Your views, likes, comments, share and subscriptions mean the world to me. Thank you so much. Love y'all ❤❤❤.
Wee mpoteze mke mzuri kwa upuzi tu😢
Jamani mage kaingia choo Cha kiume angejua asingemtetea hajila ni shetani kabisa huyu mama, pole mage
Mmh watu waliowahi kukaa pamoja n wakazaa n ngum sanaaa kuachan , mage umeambiw uende n hajra yupo ndani , bad hujagundua kit, tayal kaon mkewe anathamani
Jamani mage pole Sana
❤❤❤malavo love yako Mponji hapo umetumia akili sana kuchunguza kujua ukweli na sio kumfukuza Mage
Ni kwel
Wabongo wazur ila hamna nywele mabuno tu makubwa
Sai umejuwa kuwa mkeo ni nyoka,,, hahaha uko na sumu
Kwanza unatakiwa kufatilia kitu ndo utoe maamuzi nasi kukurupuka Kwan utajuta
Hapo sasa mponji huo ndio ume kujukua mda mwafaka Kwa kumjunguza shady Maggie kiukweli anampenda mtoto pia shady anampenda sanaaa kuliko mama'ke 😊😊
Waoooo shadya kamaliza kipindiii
😂
Next plz leo adi nimelia jaman pole sana mage
Wachan kuchelewesha mzigo bana wenyewe umetulia kama nn vle ❤❤❤❤
Baba shadia waanza kukera sasa.Mbna unataka kumkosesha mwenzako raha.Mwaanza kutuudhi sasa watazamaji ak.
Munazingua bna munachelewesha sana
Leo mida mida kidogo inatoka my dear
Kweli tabia ni kama ngozi 😂
Jamani huyu mtoto 😂
Mponji we chix kweli unashindw kijiongeza , toka uko nyuma mage anakaa na mtt xizur
Mm afai kufundisha mtoto tabia za kipumbavu iyo niujinga
Jaman mama shaja we nimfitinaji kabisa😢
Baba shaidia chunga mama shadia huyo amerudi na zake😂😂😂
Mponji zin waarijii pima nauzidishe chunguza kwanza
Munataka move iwe ndefu t au mwanaume unazingua paniki bila uchunguzi
Inauma sana kwa Mage ila sisi tulikwambia huyo mama Shadya kaja na mpango wake angalia sasa anavyokuangamiza kwa maumivu makali sana
Ila ataumbuka sana hatafaulu anajitengenezea mwenyewe ticket ya kutoka kwenye hiyo nyumba
Mwanaume hajitambui huyo bwegeee
Mama shadya acha roho mbaya
Msiwe mnachelewesha sasa
Bab shadiya msikilize mage nyoko wew.
Mmeanza kuzingua kuchelewa
lakin kusudi haiyambiwi pole mama ndo ukome magee umeyataka mwenyewee kula chama sasa ichoo
Uyu kaka nae ni mweu tu maggy ana kosa lolote
Yani hii inafunzo kubwa sana kwa pande zote mbili, Kila unachoambiwa unatakiwa kukifikilia kwa kina na sio kukurupuka, na siku zote ukweli haujifichi
Wanaume kweli
Tuletee haraka tajiri mponji,,,maana patamu hapa
Jamani wanaume hawa kidogo tu wanaamini Dah ndoa shida
Mwisho wa ubaya aibu ila mage nimekubali sana alichokifanya kama kweli anataka baba hajra Aishi na aman ni Bora kuondoka hapo ndipo baba hajra atajuwa kama mage anamakosa au laaa
Aki mupoji ni mujiga vipi
Naomba like jaman sijawai kuomba leo naomba
❤❤
Bro Mponji Leo nimekukubali lakini huweziamini nilishaanza kukuchukia
Imeishia patamu
DAH HAJAR NI NYOKA KABISA
Asante Mungu kwakua mponji amajua ukweli
Mimi nilijua tu mamashady anataka kuharibu sio poa
Mwanaume kamili haezi akafanya huu ufala ni huyu pekee
Bola mtoto ameongea ukweli jaman mage ni mwema sana mponji🎉🎉
Hauna mkosi sema ni wenge lako tu
Unakumbuka shuka kumekucha
Kahanza kuyatoa makucha do 🤣🤣🤣🤣
Huyu hajjra ni mbaya kwel anamutia sumu mtoto jamani mponji nae anaamini haraka bila uchunguzi jamani mage pole sana ❤❤❤😢😢