Tatizo Mbowe, Tundulisu na Slaa hawamjui Rais Samia . Huyu mama kwanza kalelewa na baba na mama yake hakulelewa na boding , kakulia mjini , msomi sihaba , dini yake anaijua nakuifuta kikamilifu , mzingumzaji na mwenye kipaji Cha kujieleza , ni sahihi amezaliwa na kukulia Zanzibar ni mzuri sana wa kukujibu usafii pale unapo mchokoza .kwale wanaemjua viziri wanashanga kuwa matusi yote anayotukwanwa matusi ya nguoni mitandaoni na hata wahuni lakini Bado yeye Yuko kyimya . Tatizo wa bongo hawamjui Samia wanamchukulia powa TU . Wakimuona na mashungi yake basi ni mbole . Sasa mmemchokoza na Bado .
Hamuwezi kushinda kwanza hakuna mwananchi wenye akili timamu anayekikubali chadema .kuanzia viongozi wenu naninyi eote Hanna hoja wala Sera kusema nirahisi sana kuliko kutenda .
Haki huinua taifa. ❤❤❤
Saafiiiiii sana
CCM acheni uoga jibu hoja mbona sasa munapaniki kulikoni
Maneno mengi hakuna kitu😢
Safisana kaka kufakupo akunakuogopa. Tusonge mbele
Unalipwa kias gani
❤❤
Kwa sasa Tz kila kitu Siasa,Waalimu,Madaktari na Wataalam mbalimbali wamesusa fani zao,wakaamua kufanya Siasa/Uchawa,tunaiua Nchi wenyewe
Mmeanza woga wanafunzi wa wapi kupiga kura? Ni mihemuko TU kelele. Mara polis hawafai mara wazuri chama chenu hamna msimamo
Sasa Nani aliwaambia msishiliki miaka Ile jamani Tanzania tunaitaji vyama vya upinzani vyenye akili wapenda Amani sio vulugu
Tatizo Mbowe, Tundulisu na Slaa hawamjui Rais Samia . Huyu mama kwanza kalelewa na baba na mama yake hakulelewa na boding , kakulia mjini , msomi sihaba , dini yake anaijua nakuifuta kikamilifu , mzingumzaji na mwenye kipaji Cha kujieleza , ni sahihi amezaliwa na kukulia Zanzibar ni mzuri sana wa kukujibu usafii pale unapo mchokoza .kwale wanaemjua viziri wanashanga kuwa matusi yote anayotukwanwa matusi ya nguoni mitandaoni na hata wahuni lakini Bado yeye Yuko kyimya . Tatizo wa bongo hawamjui Samia wanamchukulia powa TU . Wakimuona na mashungi yake basi ni mbole . Sasa mmemchokoza na Bado .
Suala ni mfumo wa katiba,siyo Samia binafsi kama yeye.
Semea cha chako usisemee wengine. Ukiitwa una ushahidi.
Asilimia 100 chadema akili zao mavi
Kwan miaka yote hamkuwa seriously?Dogo punguza maneno
Chama chenu kime washinda mstshe watu mnmwenyekit selasin selasini kunademoklasi
Umma hawataki vilema na vifo jee
Msituharibie amani mbona vyama vingine Wana ustarabu? Mnaingiza utekwaji ili shughuli zikwame hamuwezi kufikia hata 25% ya uongozi
Kwann chama nichadema tu
Acha tempa siku itafika
Huu ndio uchizi
Hamuwezi kushinda kwanza hakuna mwananchi wenye akili timamu anayekikubali chadema .kuanzia viongozi wenu naninyi eote Hanna hoja wala Sera kusema nirahisi sana kuliko kutenda .
Akili yako ipo matakoni subiri mwanao atekwe ili akili yako iwe kichwani
Kelele zote ni uwoga mtupu
Chadema bd cn kushika madaraka ya nchi ya tanzania sababu bado haijawa na sera imara tena zenye kutekelezeka kwa maendeleo ya nchi hii
Kama bado acheni kutumia dola ndio utajua Kama bado sanaa au
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
Haya ngoja tuone
Mhhhh
Utalia😂
D
Sasa tuonyeshe mlicho mlicho fanya kwa ajili ya wananchi mdomo tu haitoshi debe tupu hutoa sauti tele
Wewe nipumbavu kweli chadema walisha tawala ao kushika Dolan kwenu unanunuwa ndoo ya maji 500
Wakuonyeshe nini walishawahi kuinhia madarakani ..MBONA MAREKANI WANAPOKEZANA REPUBLIC THEN DEMOCRATIC
Msituteke tuu