MTANGA COMEDY ,BALAA LA NDOA YA MKURYA NA MPEMBA ,NOMA SANA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 31

  • @BIGbone.9422
    @BIGbone.9422 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mtoto ni mzuri na anajua sana na anajua tena!!

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 หลายเดือนก่อน

    Mzinzi bar mazuri MashAllah afu anajuwa sana😊🙌

  • @Fahmialfarisy22
    @Fahmialfarisy22 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mpemba gani hata kufunga mtandio hajui

    • @sittandaki2135
      @sittandaki2135 3 หลายเดือนก่อน +1

      Jaribu na wewe kuingiza kama una ona ni rahisi

  • @omarabdallah2974
    @omarabdallah2974 3 หลายเดือนก่อน

    Mke mwenyewe hakufanana kushika jembe ati alime subutu hahaha mtoto ashazoea AC

  • @safarichui8551
    @safarichui8551 3 หลายเดือนก่อน

    Usilime wewe nani? Eti Haithamu. Haithamu bongo??? Afu Mwalabu Chapati naye 😂

  • @kafitiwilliam8358
    @kafitiwilliam8358 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂 hatarii sana

  • @IBRAHIMUCOMEDY
    @IBRAHIMUCOMEDY 3 หลายเดือนก่อน +1

    Maigizo jaman maan naon koment mbaya ila ametowa mufano musisem vibay

  • @YusuphJuakali
    @YusuphJuakali 3 หลายเดือนก่อน

    Mpemba gani mikono wazi

  • @denisotieno5972
    @denisotieno5972 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mpemba mrembo sana naeza pata namba zake

  • @SaidAbdala-f7p
    @SaidAbdala-f7p 3 หลายเดือนก่อน

    Mko sawa. Kwasababu zanzibar ndio iliyomurika tochi kwenye hilo pori la tanganyika.

    • @DanielGood-m8l
      @DanielGood-m8l 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 eti pori

  • @AmeHaji-r3m
    @AmeHaji-r3m 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi njiti ana mimba au vipi maana hatumuoni kwenye comedy zenu huyu mlomchukuwa saivi haendani na nyinyi kiukweli hamna kitu huyu

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 3 หลายเดือนก่อน +1

      Anaendana vizuri tu fikra zako ndio haziendani na content 😂

  • @enah-j9w
    @enah-j9w 3 หลายเดือนก่อน

    Ww msichana ndio unakipaji sawaa lkn jistiri basi ww ni mtt wa kiislamu kuvaa hivyo si maadili ya kiislamu , kwani ukijiaitiri utapungua wapi ? Kumbuka kuna uhai na umauti.

  • @johnnnko5814
    @johnnnko5814 3 หลายเดือนก่อน

    Unaiga umaskini umevaa miji.chains kibao....??

  • @Kassim-o6m
    @Kassim-o6m 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwamke hamufanani chukua mnyamwezi mwenzio

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 3 หลายเดือนก่อน

      Acha roho mbaya

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln 3 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga hio ni Sanaa watu wapo kazini wanatafta rizki

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 3 หลายเดือนก่อน

    Mambo mengine Ni kujidhalilisha TU kwa tamaa ndoogo ZA upuuzi. Mwanamke kama wewe wameolewa na wastaarabu na uwezo wao. Umekaa kupumbazika na wahuni mara tiktok. kama ulikuwa dhahabu basi wanawake mnajigeuza kuwa vinyesi tu. Kila kitu hakikuelekei upo upo tu ndio yashakupita na wenzako wana heshima zao wametuliia. Uwarabu ukawe nao wewe kishamba tuu.

    • @auleusmuyamba4208
      @auleusmuyamba4208 3 หลายเดือนก่อน +2

      Acha maneno ya kukatisha watu tamaa katika kuipambania kazi na vipaj vyao

    • @mtulivu-ir1nq
      @mtulivu-ir1nq 3 หลายเดือนก่อน

      Ah kwani vip mbona maneno mengi makali kwani amekukosea Nini au unataka aweje acha kupayuka kwa watu usio wafaham iyo ni kazi kama kazi nyengine kwani kosa lake ni nini😂😂😂

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 3 หลายเดือนก่อน

      @@mtulivu-ir1nq wewe mkeo waweza mruhusu kazi hio?.

    • @mtulivu-ir1nq
      @mtulivu-ir1nq 3 หลายเดือนก่อน

      @@hilalkhalfan1452 we unaonekana unaroho mbaya na wivu mbaya sana na atakama hujapendezwa na alichokifanya ila sio kurpokwa maneno makali kiasi kile kama vile kuna jambo baya kalifnya au kakufanyia

    • @bilid4128
      @bilid4128 3 หลายเดือนก่อน

      We itakuwa unamtaka ,mbona kwa wengine hujasema ?