Shekhe Allah akuzidishie umri nakupe mwisho mwema,nilikuwa mzito Sana kswali sala zausiku ilakwaku kufatiliya nimekuwajasiri Sana na ninajivuniya Hilo, Allah akulipe kila lakheri, na tunaomba kwenye undugu zidi mawaidza,sababu dunia inapoelekeya.undugu utakuwa sioudugu tena Allah akuwezeshe inshaa Allah
Salaam mimi Namuomba Allah akuzidishie umri na akujaalie mwisho mwema shekh mi nilikua hata kuswali ni mpaka nijiskie yani ila nikaanza kufatilia mawaidha yako sana kila siku lazima nisikilize mawaidha yako na ndipo nikaanza kuswali tena swala 5 na sunna zake na dhuha alhamdulillah najiona kabisa mabadiliko kwe maisha yangu kuna vitu nimeviacha vichafu nimebadilika sana saivi nimeanza kuswali swalat alannabi kila siku asubuh inshallah Allah atanijibu nipo Oman niombee nipate mume
MASHALLAH shiekh ALLAH akuzidishie umri tuzidi kupata faida kutoka kwako,nimefaidika na zoezi la viungo uliyotuonyesha,nimelifanyia kazi ALLAHMNDULILAHI naona faida yake sana kwa sana,nakuombea dua sheikh uzidi khishi miaka mingi 🤲🤲
Mashallah akuzidishie Allah umri tuzidi kujia na kisoma Deen kupitia hapo atujalie kheri Dunya na akhera tumiliki vitu vikubwa .❤❤🙏
Shekhe Allah akuzidishie umri nakupe mwisho mwema,nilikuwa mzito Sana kswali sala zausiku ilakwaku kufatiliya nimekuwajasiri Sana na ninajivuniya Hilo, Allah akulipe kila lakheri, na tunaomba kwenye undugu zidi mawaidza,sababu dunia inapoelekeya.undugu utakuwa sioudugu tena Allah akuwezeshe inshaa Allah
Salaam mimi Namuomba Allah akuzidishie umri na akujaalie mwisho mwema shekh mi nilikua hata kuswali ni mpaka nijiskie yani ila nikaanza kufatilia mawaidha yako sana kila siku lazima nisikilize mawaidha yako na ndipo nikaanza kuswali tena swala 5 na sunna zake na dhuha alhamdulillah najiona kabisa mabadiliko kwe maisha yangu kuna vitu nimeviacha vichafu nimebadilika sana saivi nimeanza kuswali swalat alannabi kila siku asubuh inshallah Allah atanijibu nipo Oman niombee nipate mume
Mashaallah
Yarabbi tuongoze kwa sote
Kwenye njia ilonyooka.
Sheikh bhana mm nakukubali Sana na nataman niwe kama wew niwe natoa daawa kama ww
Kheri inshallah kwenye Nia Pana njia❤❤
Masha Allah Allah akulipe pepo sheh wetu
Allah akihifadhi shekh na akulipe na dua zako tunafaidiaka sana
MashaAllah shukraan shekh kwa kutupa darsa
Allah Akbar, Allah akulipe kheyri uzidi kutuelimisha mashallah,n'a tunahitaji dawa za kisunna tupo Burundi tufanyie fikra in sha Allah
Mashaa Allah shekh Allah akulipe kwa kila hatuwa Amin yarabil Alamin 🤲🤲from 🇬🇧
Masha Allah very beneficial lecture, BarakAllah feek
Allah akuzidishie umri sheikh.
Amiina Yaa Rabbal Alamiini
Mashaallah shekh, mwaaaa nakupanda kwaajili allah ❤❤❤
Mashaallah Mwenyzi Mungu akuhifadhi walahi nakupenda kwaajili ya Allah na mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema
MASHALLAH shiekh ALLAH akuzidishie umri tuzidi kupata faida kutoka kwako,nimefaidika na zoezi la viungo uliyotuonyesha,nimelifanyia kazi ALLAHMNDULILAHI naona faida yake sana kwa sana,nakuombea dua sheikh uzidi khishi miaka mingi 🤲🤲
InshaAllah 🤲
Maxha Allah tabarakakallah❤❤❤❤
Mashaallah ❤❤
Allah Akbar, Allah Akbar
Record Leo hafifu kidogo shekh wasikika kwa rasha rasha
Amiin Amiin
Shukran shekh
shukran jazzakallahu khair🥰