WANAOTOA MIKOPO YA KAUSHA DAMU BILA LESENI KUPIGWA FAINI HADI MILIONI 100, BOT YAFUNGUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 15

  • @josephkisaro1377
    @josephkisaro1377 ปีที่แล้ว +2

    Taasisi yoyote ya mikopo ina vigezo na masharti yao, mkopaji ndio una jukumu la kuona utaweza hayo masharti au la. Wahanga wakubwa wa hii mikopo ya rejesho la kila siku ni wanawake. Sababu kubwa ni tamaa, na kwenda kutumia hela nje ya malengo ya mkopo.

  • @GiftMariam-w2q
    @GiftMariam-w2q 3 หลายเดือนก่อน

    Waacheni,mbona nyie huko benk mashart mengi sana

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 ปีที่แล้ว +1

    Mnachelewa sana kujua hizi mambo

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 ปีที่แล้ว +1

    Kausha damu tena

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 ปีที่แล้ว

    Wanatuibia sana

  • @kigomakid74
    @kigomakid74 ปีที่แล้ว +1

    Kausha DamU

  • @cvicentryoba9988
    @cvicentryoba9988 11 หลายเดือนก่อน

    Riba kubwa sn laki kwa laki kwa laki na 40 unalipa miaka 8

  • @rosepaul7901
    @rosepaul7901 ปีที่แล้ว +2

    Sasa kwa nn msiwakopeshe nyie kwa riba ndogo? Pesa za kuwakopesha hamna halafu mnataka muwawekee wenye pesa zao masharti, kwa hili hamtafanikiwa, mm kama hufati masharti zangu sikupi pesa zangu nenda kakope kwny riba nafuu hukoo, sitaki kupangiwa kwny pesa zangu

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji umechapia 0:36-0:38 kusajili taasisi sao😅

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 9 หลายเดือนก่อน

    Neno kausha damu huwa linakuja baada ya kuchukua pesa basi wasikope wanasumbua ofisi za watu

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 ปีที่แล้ว

    Ila uyo dada anamacho ya upole sana