Dully Sykes afunguka alivyomtoa ALIKIBA, Queen Darleen, alivyomsaidia P-Funk arudiane na KAJALA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024
  • #ChillnaSky #Part1
    Bonyeza link hii kutazama Part 2 - • Dully Sykes alizinguli...

ความคิดเห็น • 98

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 11 หลายเดือนก่อน

    Dully bana Mungu amtunze,Sky nyimbo ulizozitaja ni hatarii sana we love you guys 👁️👁️🇫🇮🤝

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 ปีที่แล้ว

    All the way from Tunduma border post ##nakuombea maisha marefu brother prince dully Sykes 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 4 ปีที่แล้ว +2

    Legend kama legend 🔥🔥wimbo bora kwangu kutoka dully ni baby candy 🥰🥰👌

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz 4 ปีที่แล้ว +7

    🍁Daaah nime enjoy sana aisee... unajua brother Dully ni kama mvinyo kadiri anavyozidi kukaa kwenye game ndio anazidi kuwa bora. He deserves everything and still yuko humble 💥🔥💥. By the way haujaniangusha kwa maswali yako mazuri big up #Sky 🍁

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 4 ปีที่แล้ว +2

    Dully, ww ni shida, balaa, mwanamuziki bora Tz

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni 4 ปีที่แล้ว +3

    Huyu brother ajawai zeeka nice interview mr Sky

  • @ismailmasanilo7018
    @ismailmasanilo7018 4 ปีที่แล้ว +3

    Dully huwa interview zake sichoki huwa ananena ukwel maisha yake na inafundisha sana

  • @rashidomar1558
    @rashidomar1558 ปีที่แล้ว

    MUSICIAN.....GREAT.

  • @rehemahussein748
    @rehemahussein748 4 ปีที่แล้ว +2

    Alikiba angefanya bonge la collaboration na Dully!

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 4 ปีที่แล้ว

    wewe dully Sykes wewe ni regend mkubwa umesaidia watu wengi sana na wakubwa ivi sasa na wana maisha yao hongera sana bro dully

  • @budebadeus3429
    @budebadeus3429 4 ปีที่แล้ว +2

    Bro pia ucsahau kumtafta Mr blue byser tnamkubal sana mwamba

  • @baby16mariki48
    @baby16mariki48 4 ปีที่แล้ว +1

    I love you Dully Yani hii ni zaidi ya utamu

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 4 ปีที่แล้ว

    Dully ana kipaji sana anavyozielezea izo biti 2020

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 4 ปีที่แล้ว +8

    Baby candy one of my favorite songs from #MrMasifa huyu jama is a living legend

  • @feisalshahar9212
    @feisalshahar9212 ปีที่แล้ว

    Kuna majani na prince dully syskes ni watuu waliotengeneza hii bongo fleva wasanii wengii wamesapotiwa na dully na wamepikwa na majani respect to them

  • @asheripeter419
    @asheripeter419 4 ปีที่แล้ว +1

    Nikweli kaka sky nakukumbuka Sana RFA nilikuwa nakupenda Sana ghafla ckujua umeenda wapi kaka

  • @barackhuncho2432
    @barackhuncho2432 4 ปีที่แล้ว +1

    Kiba....king

  • @msabaa3962
    @msabaa3962 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakubali Sana brother juliy ngoma zako unauwasana

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 ปีที่แล้ว

    Such a nice interview

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 4 ปีที่แล้ว +2

    Gwiji Kama gwiji! Nimecheka Sana alipokuwa ana muigiza namna majani alivyokuwa anamwambia Nini Cha kufanya kwenye wimbo wa kajala!

  • @messaabbas8346
    @messaabbas8346 4 ปีที่แล้ว

    The legend Dully ❤️❤️❤️❤️Thanks SNS,,,and Nice job 😍😍😍😍😍

  • @feisalngowi1831
    @feisalngowi1831 4 ปีที่แล้ว

    Legend mi nimeshuhudia upo juu enzi za misifaz camp

  • @خسنموس
    @خسنموس 4 ปีที่แล้ว +7

    Zamani airudi wasanii walikua wanapendana sahi game imechange kiki kibao na vijembe vingi

    • @marcsthinker3882
      @marcsthinker3882 4 ปีที่แล้ว +1

      Hapana, chuki zilikuwa tangu zamani

  • @heriholder2937
    @heriholder2937 4 ปีที่แล้ว +1

    Dully napendaga ile ngoma yako handsome dah nakumbuka nilikuwa A . Town na kwa sasa nipo Mara dah!!

  • @robbyawesometv7030
    @robbyawesometv7030 ปีที่แล้ว +1

    Dully the king

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 ปีที่แล้ว

    Maisha ya nasiri yake kweli.Mungu akubariki bro

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 4 ปีที่แล้ว +1

    Walahi mwanangu Dully weeky chache zilizopita nikua naangali hio nyimbo ya UTAMU wa TUNDA nokajiuliza hao wasichana Anna na Neema kama bado mnaonana

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 ปีที่แล้ว

    Sema dully kwenye sauti ya majani aliua sana

  • @katahiko15
    @katahiko15 3 หลายเดือนก่อน

    @Simulizi na Sauti Hivi Kuteseka ya Ali Kiba na Dully ilitoka mwaka gani? Nakumbuka kama ilikuwa 2003 au 2002 hivi

  • @felisterchimtunga7011
    @felisterchimtunga7011 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa hazeeki lakini kikongwe🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @hamzahussein4493
    @hamzahussein4493 4 ปีที่แล้ว

    LETA PART 2

  • @boniphacekajuna4782
    @boniphacekajuna4782 3 ปีที่แล้ว

    Umesahau songs "Handsome" na "Hi"... bonge ya Mikito kitambo hicho Sky

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 4 ปีที่แล้ว +1

    safi nilikuwa naingoja kwa hamu

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 ปีที่แล้ว

    ❤Dull skay Hay minakupa hay😂😂😂🤩💯👍

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo7197 4 ปีที่แล้ว

    Good show

  • @rachellebahati6126
    @rachellebahati6126 4 ปีที่แล้ว

    Nampenda

  • @focuspaschal5330
    @focuspaschal5330 4 ปีที่แล้ว +5

    Kwenye sauti ya majan tuuu hapo hahaaaaa

  • @mbembelatv
    @mbembelatv 4 ปีที่แล้ว +2

    Kazi yako nzri bro sky🤙

  • @RobbyRunnerON3
    @RobbyRunnerON3 4 ปีที่แล้ว

    BROTHER MEN DULLY ❤👑

  • @McheshiOnlineTv
    @McheshiOnlineTv 4 ปีที่แล้ว +1

    😃😃😃😃😃😃shoo zote tupe part2

  • @anthonyluganje8367
    @anthonyluganje8367 4 ปีที่แล้ว

    Dully n Mwamba kwenye game ya Mziki wa Bongo flevar

  • @suedhabibu3665
    @suedhabibu3665 6 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye kum imitate p funk eeh duly njoo ingiza chorus sikiliza nimeimbaje jaza chini piga mpaka yule akisikia arudi sema umempatia sana😂😂😂😂

  • @innocentsafari9159
    @innocentsafari9159 4 ปีที่แล้ว +3

    Dully sykes is a great man🔥🔥

    • @stephanowillium8455
      @stephanowillium8455 4 ปีที่แล้ว

      Kwa lipi

    • @medicaltz169
      @medicaltz169 4 ปีที่แล้ว +1

      @@stephanowillium8455 kila kitu wapingaga hujui kua ndio walio tengeneza njia ya music kipindi kile babaako hataki uskilize mziki anasema ni uhuni asaivi ukiskiliza anafrai

    • @stephanowillium8455
      @stephanowillium8455 4 ปีที่แล้ว

      @@medicaltz169 😂😅😂Sawa mjomba

  • @McheshiOnlineTv
    @McheshiOnlineTv 4 ปีที่แล้ว

    Sns mko vizuri kila siku , maana hatujawahi Sikia story km hizi za dully

  • @khalidahmedwandera7086
    @khalidahmedwandera7086 4 ปีที่แล้ว

    Namkubari sana dully, from Japan

  • @pulkeriafarayo8953
    @pulkeriafarayo8953 4 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣duh apo ulipomuigiza P Funk Funk nimecheka sana

  • @McheshiOnlineTv
    @McheshiOnlineTv 4 ปีที่แล้ว +1

    Kipindi cha leo noma San

  • @chany9950
    @chany9950 4 ปีที่แล้ว

    Nimewapenda saaana jmn

  • @addo1018
    @addo1018 4 ปีที่แล้ว

    Kaaaa

  • @harunakayega5531
    @harunakayega5531 3 ปีที่แล้ว

    Kitu pekee ninachokupongeza kwa dully unajitunza sana kwenye mambo ya madawa

  • @lutifiaussi3728
    @lutifiaussi3728 4 ปีที่แล้ว

    Nice sns

  • @amourbahatisha4293
    @amourbahatisha4293 4 ปีที่แล้ว +1

    Hahah.....hapo kwa p funky tuu hio saut ulivoiiga me hoi😂😂😂

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 4 ปีที่แล้ว

    Lkn mpaka leoafahamiki yupo yupo tu

  • @collyalinani2407
    @collyalinani2407 ปีที่แล้ว

    sky unavyocheka ishu ya pfunk kuzama kwa Kajala🤣

  • @kabamedestrong3917
    @kabamedestrong3917 4 ปีที่แล้ว +1

    Ndugu zangu naombeni walau kwa dakika chache mtazame video yangu ya pineapple na Ku subscribe kwa kugusa picha yangu hapo juu🙏🙏

  • @McheshiOnlineTv
    @McheshiOnlineTv 4 ปีที่แล้ว +1

    I'm driving na huku nacheka San

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 4 ปีที่แล้ว

    Kajala Kajala....Na wimbo ambao ulimfanya Dully apige show zote😂😂

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu1444 4 ปีที่แล้ว +5

    Uyu kumbe kibabuuu ila akizeeki 😂😂uyu ndomflume

    • @jut1161
      @jut1161 4 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa

    • @nshonabdll9363
      @nshonabdll9363 4 ปีที่แล้ว

      Uyu mkubwa sn uyu ila mwili wkmzuri sn

  • @McheshiOnlineTv
    @McheshiOnlineTv 4 ปีที่แล้ว +1

    Hahahaaaaaa noma sana aseee

  • @shabanimakata6519
    @shabanimakata6519 4 ปีที่แล้ว +1

    Yaan duly umeipatia xn hiyo saut ya khalfan majan

    • @ramsikhamis7083
      @ramsikhamis7083 4 ปีที่แล้ว

      😀😀😀Ilee mbaayaa kweli mtu wake wa karibu nimeaminii

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 4 ปีที่แล้ว

    Hii imebamba sana

  • @stephanowillium8455
    @stephanowillium8455 4 ปีที่แล้ว +1

    SNS 💙💙

  • @freddieelice6377
    @freddieelice6377 4 ปีที่แล้ว

    ❤️❤️❤️

  • @hansboy3491
    @hansboy3491 4 ปีที่แล้ว

    Jamani me spendagi mtu aniambie mambo sasa unamwambia mambo mtoto wakiume akati na ww mwenyewe kidume wajuba mnazngua

    • @haimahaima9473
      @haimahaima9473 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @issamatukano1451
    @issamatukano1451 4 ปีที่แล้ว

    𝙳𝚘𝚗𝚍𝚘 𝚣𝚊 𝚊𝚜𝚞𝚋𝚞𝚑𝚒
    Unaposikia kuwa mtu fulani hana nguvu za kiume huwa unaelewa nini?
    -
    Maana yake ana vichocheo vichache vya kiume vinavyoitwa testosterone,shida ambayo humfanya awe
    1.Anapata shida kusimamisha uume wake
    2.Hata ukisimama hauwezi kuendelea kuwa na nguvu kwa muda mrefu
    3.Mbegu za kiume zinakuwa chache
    4. Hawezi kumpa mwanamke ujauzito
    Wasiliana nasi upata usaidizi au ushauli lishe kamili kuboresha Afya yako mwanaume ya uzazi
    Whatsapp /call +255686128516

  • @khanafrica22
    @khanafrica22 4 ปีที่แล้ว

    #Tarzan....wayback

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 4 ปีที่แล้ว

    👏👏👏👏

    • @ahmedsalumomar5002
      @ahmedsalumomar5002 4 ปีที่แล้ว

      The greatest of all time huyu jamaa alikuwa anajuwa Sana sio Siri nilkuwa namkubal Sana especially kipindi nipo shuleni lkn nashangaa industry ya music tanzania imekosa kumpa tunzo ya heshima

  • @marcsthinker3882
    @marcsthinker3882 4 ปีที่แล้ว

    Kwa jinsi unamzungumzia candy ni wazi ulimpenda sana 😂😂😂

  • @levienlevismmbenga2415
    @levienlevismmbenga2415 4 ปีที่แล้ว

    Wekeni yakuhendeleya jammeni tunasubiri mwendelezo

  • @babuubarotti8418
    @babuubarotti8418 4 ปีที่แล้ว

    Napenda kipindi cha huyu jamaa

  • @datikazumari515
    @datikazumari515 4 ปีที่แล้ว

    Bongo flava king

  • @richardkimela7900
    @richardkimela7900 4 ปีที่แล้ว

    Tupe nyingine

  • @raykibet9920
    @raykibet9920 4 ปีที่แล้ว

    Goat 🐐

  • @janatahmad7048
    @janatahmad7048 4 ปีที่แล้ว +2

    nilikua natak kujua sns tafuta gigy kwa hiki kipind jamani

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 4 ปีที่แล้ว +1

    Mjinga huyu alinichukulia demu wangu ha ha ha ha ngumi jiwe anajua hili ...mtaa wa muheza kariakoo

    • @mussasaid7025
      @mussasaid7025 4 ปีที่แล้ว

      Oya Hamza nakutafuta jamaa angu

    • @mussasaid7025
      @mussasaid7025 4 ปีที่แล้ว

      Oya Hamza nakutafuta jamaa angu

  • @alickodaniel4611
    @alickodaniel4611 4 ปีที่แล้ว

    #Sns one Day naomba mfanye interview na #rayvany tumemis hiyo kitu