He was a good leader,if all African leaders could be like him ,,,,tungekuwa mbali sana Sana ,,,poleni watanzania wote ,mungu ametoa na amechukua ,binafsi inaniuma Sana Sana nasikitika, love from kenya we are together in this mourning 😭😭😭
Kenya inalia, Africa inalia. Tanzania makiwa. Rais wa kweli! Nilimfwatilia sana huyu Mwamba. Sijui mbona siikubali kifo yake...... Wazungu hawakumpenda huyu Shujaa. Ila ishafanyika, baba pumzika kwa amani. African Cotter Pin!!!
Ulale salama kwenye nyumba yako ya milele raisi wetu shujaaa wa Tanzania nan Kama wew jamni it's tooo pain 😭😭😭😭😭😭 Daaah Kama ni mapenzi ya mungu yamempendeza nenda tupo nyuma yako to
Inauma kinoma asee" Why should black Heroes die so soon? Kamanda alikuwa kiona mbali, chapa kazi na mtu wa mipango tekelezeka,,binafsi nilimhusudu sana na nilikoshwa na huduma aliyoitoa kwa nchi yetu. Mapungufu aliyokuwa nayo ni kutokana na upungufu wa binadamu hatujakamilika " Jah amlaze pema peponi shujaa JPM"
Pumzika Kwa Amani Rais Dr JPM.Umemaliza Kazi yako.Lala Salama.
Yani nimeumia sana, sisi mozambique tunapara tabu, basi tulikua tunarizika na magufuli wetu baba, mungu akulide milele daima
He was a good leader,if all African leaders could be like him ,,,,tungekuwa mbali sana Sana ,,,poleni watanzania wote ,mungu ametoa na amechukua ,binafsi inaniuma Sana Sana nasikitika, love from kenya we are together in this mourning 😭😭😭
Pumzika kwa amani mpendwa wetu nasi tu njia moja bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe ameen
Hauta zikwa chatu raisi mangu utazikwa kwenye miyoyo yawanyonge raha yamilele umpe eebwana namwanga wamilele umwangaziye
Komenti nzuri Sana,
Apumzike kwa amani .Amina
My President, my President. I am speechless
Inauma sana jaman, ni ngumu kumeza kidonge, Mungu ampumzishe mahali pema mzee wetu 😥😥🇹🇿
Pumzi kwa amani baba yetu shujaa Wa taifa
GOOD by dady magufuli
Eti dodoma na fisi zao😂😂 utani huu ndo unanifanya nimmis sana Magufuli. R.I.P
I love you JPM you left my heart broken. You will be miss. God bless you
Your the One African Reader Keep his in the Story Of African Greetest
Innalilah wainailah rajiun, Mungu tupe subra katika kipindi hiki kigumu 😭😭😭😭😭😭😭
UtubA.yafusho.wamagofuli
Kenya inalia, Africa inalia. Tanzania makiwa. Rais wa kweli! Nilimfwatilia sana huyu Mwamba. Sijui mbona siikubali kifo yake...... Wazungu hawakumpenda huyu Shujaa. Ila ishafanyika, baba pumzika kwa amani. African Cotter Pin!!!
Jamn penda sana babaaaa😭😭😭pumzika kwa Amani, tutakumis mno baba YETU🙏
Nashindwa kujizuia na maumivu ninayo yapata nikisikia sauti yake' naona kama ata amka baadae aje tuu aone tinavyomlilia. Eeeee Mungu.....Alhamdullilaah.
Ulale salama kwenye nyumba yako ya milele raisi wetu shujaaa wa Tanzania nan Kama wew jamni it's tooo pain 😭😭😭😭😭😭 Daaah Kama ni mapenzi ya mungu yamempendeza nenda tupo nyuma yako to
Daaa inauma sanaa MUNGU mwema akurehemu kipenzi cha wanyonge
Inna lilah wainna ilaih raajiun, ni simanzi sana...
Nimesikitika sana ata bado sijaaamini kama Rais wetu hayupo tena,,,,,..yaaani imekuwa aje jamani... Poleni sana kwa kumpoteza kiongozi aliyemcha Mungu
Mungu akulaze mahali pema peponi raisi wetu
Daaaah yani kama bado upo kumbe haupo tena mungu akurehemu Raisi wetu
2naoumia mioyo nicc Wananchi wako ume2acha Baba 2likuwa bado 2nakupenda sana 😭😭😭😭😭
The most beautiful soul....
RIP how president we will Miss you into our life 😂😂😂😂😂😂
Inauma kinoma asee" Why should black Heroes die so soon? Kamanda alikuwa kiona mbali, chapa kazi na mtu wa mipango tekelezeka,,binafsi nilimhusudu sana na nilikoshwa na huduma aliyoitoa kwa nchi yetu. Mapungufu aliyokuwa nayo ni kutokana na upungufu wa binadamu hatujakamilika " Jah amlaze pema peponi shujaa JPM"
Amiiin Inshaallah🙏🏼
Asante kwa Hikma zako.
exactly! even me dear...mbeba maono😭
Mwanga wa milele amwangaziwe ewe mungu
Tunasikitika Sana R I P MAGUFURI
Hahahahaha et Aliogopa kumuuliza mzeee mwinyii 🤣🤣🤣😭😭
Inna lillahi wainna ilahi rajioun. RIP🙏
Daaah inaumaa saaana😭😭😭😭 nikm ndoto kumbe kweli pumzika baba yetu kipenzi.
💔😭😭ohh Magufuli jamani!!This hurts aki
dah nenda baba tutaonana baadae
RIP Dr tutakukumbuka xana
Rais wetu pumzikakwaaman
Innalilah wainnailay rajiuni😭😭😭😭
inauma sana wewe ulikua na bii wa mungu
R.I.P baba wa. Maendeo. Jasili muongoza njia
Daah bado machungu yapo inauma sana mungu akulaze mahala pema pepon amin
Baba baba Dah kweli ndo haupo tena
Kweli kabisa baba😭😭😭
THE BIGGEST BOSS NASRI
Pumzika kwa amani mpendwa wetu amen.
🥺🥺daah magu amka baasi baba yetu
😭😭😭😭😭🙌🙌😭😭😭😭😭😭😭😭Baba tagulia nasi tupo nyuma yako 😭😭😭😭😭😭
Poleni sana wanatanzania hata nazi roho zauma sana kwa rais JPM
Tunaomba magufuli asizikwe 🥺🥺tunaomba awekwe makumbusho plz
Kweli chema hakidumu jmn
baba pumzika kwa amani
Kweli kizuri akidumu jamani. Rest in peace jembe😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿.
Rip legend
R I P magufuli you will be missed
Hilo eneo lifanywe eneo la kumbukumbu ya maraisi
Innalillahi wainnaillahi Rajiun
R.I.P Magufuri
Jmn kwani uwa mtu nikama anajua
Ashasema na huo ndio ukweli , mzikine kwao Chato alikozikwa babayake
Pumzika kwa amni
Nimecheka ila kwa masikitiko aliposema niliogopa muliza mzee mwinyi sababu alikuwa na miaka 90...anyway umeende baba ila mioyon mwetu bado unaishi
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Inna lilah wainna ilahi lajihun
Inaumaa Sanaa
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Duh Rest in peace Mr. President
allah kareem 😭😭😭😭😭
😭🇰🇪😭🇰🇪😭🇰🇪😭🇰🇪😭🇰🇪😭🇰🇪
Rais alkua mtu wa utan sn msema kwel
Lakini kweli kaburi nitajiri
He was jokes man😭😭
😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😅😭pumuzika kwaamani
Allah ampunguzie adhabu ya qabr
😭😭😭😭
Roho husema hata tuki kinzana.nayo
Funny but sad
Pumzka kwa amani baba
R.I.P sir
Hi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
H
😭😭😭
Pumzka kwa amani baba
THE BIGGEST BOSS NASRI
😭😭😭😭
😭😭😭😭